Tazama wimbo mpya wa kushirikiana BEST NASO na MR NAY (NAY WA MITEGO) - HELLENA ulioongozwa na Director Deo Abel. Mfuate kwenye mitandao ya kijamii. / bestnasotz / naytrueboytz
Mungu akubaliki Mkubwa @Nay kwa kuikubali collabo hii na Mkubwa Best Naso. Najua kuna baadhi ya wasanii wamekuja na vitu tofauti kwa ajili ya kuwapoteza wengine. Big up to you ma Brothers.
Mnakosea sana mnao sema Naso kaludi hakuwahi toa ngoma ikawa kimeo nyie semeni tu ukwel midia zetu zimejaa rushwa na majungu km usipo kubal kuwatumikia hupewi saport hata uwe unajua na ukapewa max zote na malaika wa Mungu
Alaa kumbe mnaweza kutunga mashair mazur paxpo matusi na wimbo ukabamba??asante balaza la sanaa wizara na tcra kwa kaz mnayoifaya sasa namwona nay nlompenda cku ya kwanza anaanza kutoka... Yan cye mashabk sio kwamba mkiimba bla matus et ngoma hatuikubal noo cye tunapenda wimbo ambao hata ukpga akat mkwe yupo inakua poa sio unaplay huku remote umeweka kdole kwe FF ama next
Mung alijuwa kukubaliki kakupa Langi uzur ulef Saut kipaji Mung akuinuwe zaid nakupenda dugu yang njia moja unaniacha lamadi unaedelea na safali kwann nisikukubali