Rpc wa mkoa wa katavi anajitahidi sana utendaji kazi wake kwenye idara ya ulinzi tatizo binadamu hatuna shukrani mpeni maua yakee huyu dada......tuwe na desturi pale mtu anapotakiwa kupewa sifa zake tumpee tuu
Samia nilimju kabla 2020,kuwa atakuja kuwa rais,naendelea kumpongeza kwa kuwa anaendela kuongoza nchi yetu vizuri kwa namna yatofauti,mwenezi anapiga kazi,mama anashudia gemu kwa mbali,shughuli zina kwenda mama anatumia akili hatumii nguvu,excellent mama.
wewe makonda wewe ni Kama makufuli tu Kaka wewe ni kiwongozi Pola Sana mungu atakubaliki Sana Kaka mungu akubaliki uendelee kufaya kazi yako Kaka wewe ndie kiwongozi mwaka wa 2025 Mimi natoka kenya lakini Mimi ni mkuriya si unajua kua sisi wakurya tumetoka Tanzania 🙏🙏
Hili jambo la gender kwenye nafasi za uongozi bila kuzingatia uwezo ni tatizo kubwa kwa taifa. Mikoa inayoongozwa na RPC wanawake mingi imefeli pakubwa.