Habari Digital a registered online TV with registration number TCRA/0CS-OT/02/2019 by Tanzania Communications Regulatory Authority. we report all kinds of news in and outside the country every day.
Habari Digital ni runinga ya mtandaoni ambayo imejikita katika kutoa taarifa za kweli za michezo,burudani, siasa, elimu, sayansi na teknolojia na matukio mbalimbali kwa saa 24, siku 7 za wiki
Wewe kama mfuatiliaji (subscriber) wetu Karibu sana kwenye channel hii na endelea kufuatilia taarifa zetu kwa kuzingatia sheria na maadili ya nchi yetu, Hepuka lugha za matusi na kashifa, heshimu mawazo ya kila mtu kwani kila mmoja ana haki ya kutoa maoni yake. Habari Digital ina haki ya kufuta maoni ya mtu yoyote yanayokiuka sheria na miongozo ya nchi Habari Digital ina haki ya kumzuia yeyote atakaekiuka sheria na miongozo ya nchi.
Kama makonda yule aliweza aliweza kufanyiwa yooote hayo vp mpinzani au mwananchi wa kawaida kuna watu wanarudishwa nyuma wanafilisiwa kwa mambo ambaya awajayatenda
Waziri Aweso Pongezi Sana hawa ndo viongozi, mm ndo maana huwa siliwalaumu viongozi wa juu kma vile Rais nk, ila wanaokwamisha mambo ni hawa watendaji wadogo wanatumia pesa vibaya Sana, pesa zinaletwa kutengeneza miradi ya wananchi Lkni mtu anasimama anaongea utumbo tu as if pesa zimekuja kuchezewa tu. Wakibanwa kuna mtu anajitokeza oh watumishi wa Umma wanadhalilishwa
Kazi nzuri sana. Pongezi kwa Mheshimiwa Makonda. Arusha mtafeli sana kama msipomuomba Makonda achukue fomu ya kugombea Jimbo la Arusha. Mimi natamani uingie Bungeni kisha Mungu akubariki uingie katika Baraza la Mawaziri
Mwangu karawitia lakini kesi imezimwa kimyaa cjui hii serikari yet cjui nifanyaje Nini kinaendelea mtoto amelawiti harafu naishi ma hofu duu inauma jamani usikie.kwtu kesi imezimwa kimyaaaa 😢😢nimeghalamika kila siku natembea natembea hakuna haki Tanzania Ina watanzania wake naumiaaa