Muhandisi Zena Ahmed Said Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Mhe. Mgeni Hassan Juma Naibu Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar wakieleza matarajio yao baada ya kutembelea katika Banda la Zanzibar katika maonesho ya 46 ya Kimataifa ya Biashara yanayofanyika katika viwanja vya Saba Saba Dar-es-salaam
#investzanzibar
#visitzanzibar
#wekezazanzibar
3 июл 2022