Mr Joel am running to be at the top am humbly waiting that video sijawahi kosa video yako hata Halafu kuna kitabu nilikutafta nikakutumia whatsapp unisaidie kunielekeza kitu since mwaka jana hujanijibu kaka joel please naomba unifanyie hvyo
Habari ya asubuhi mchana na jioni ikitegemea unasoma comment hii mda gani. Pitia Video yangu itakayokufanya uone upande wa pili wa sarafu ambayo hukuwahi kuonyeshwa. Much love uwe na siku njema
Yaani Kwa mtu anayepambana hapa lazima anukuu kitu ila Kwa mtu eankawaida hanaweza kuona kama anaongea tu. Ila namshukuru sana ananipa Nguvu katika maisha
Sina Cha kukulipa bro MUNGU AZIDI KUKUBARIKI. Masomo Yako yamenifanya nikue sana kibiashara. Na nimeajiri vijana wengi na tunakuwa Kwa Kasi, yoote haya nimeyafanikisha under 40yrs.