Тёмный

Sababu Ya Mimi Kutoka Katika Ukristo / Eti Wananiita Sheitwani Mimi / Pro. Mazinge 

DARSA TV
Подписаться 108 тыс.
Просмотров 77 тыс.
50% 1

Sababu Ya Mimi Kutoka Katika Ukristo / Eti Wananiita Sheitwani Mimi /Sisi Ndiyo Tuliyofanya Wanafunzi Wavae Hijabu Mashuleni / Pro.Habibu Mazinge
Mashaa Allah Pro.Habibu Mazinge akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya Sababu Ya Mimi Kutoka Katika Ukristo / Eti Wananiita Sheitwani Mimi /Sisi Ndiyo Tuliyofanya Wanafunzi Wavae Hijabu Mashuleni / Pro.Habibu Mazinge
usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
Support us DARSA TV
M-PESA +255 765100906
Airtel Money +255782466586
Paypal 👇👇👇👇
paypal.me/Dars...
Get MORE of DARSA TV:
► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop... ​
► FOLLOW DARSA TV on Instagram: / ​
► LIKE DARSA TV on Facebook: / ​
Subscribe
Comment
Like
And
Thanks
Tu follow katika social media zetu
Facebook @Darsa tv
Instagram @Darsatv
RU-vid @Darsa tv
TikTok @Darsa tv

Опубликовано:

 

5 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 113   
@yusuphomary7410
@yusuphomary7410 2 месяца назад
Sheikh Habibu Othman Mazinge ALLAH akuongoze. Uko katika asilimia zaidi ya 1000 ALLAH na atuongoze wote ili tusiendelee kumshirikisha mwenyezi MUNGU na DINI yetu.
@HafidhKhamis-ph8qg
@HafidhKhamis-ph8qg 2 месяца назад
Sh mazinge hongera sana hakika unafanya kz kubwa kuelimisha umma MashaaAllah akubariki zaid tpo pamoja
@faiqaanwar7268
@faiqaanwar7268 Месяц назад
Alla ishaala atusailishie adhabu zake kwakila jamii ya islam.ishaala amin
@AndulHida-hs5py
@AndulHida-hs5py Год назад
Barak Allah feeq, Jazzak Allah kheri
@khadijakimana8809
@khadijakimana8809 Год назад
Mazingi, Allah akupe umri mrefu, wenye afya na amani! Allah akujalie mwisho mwema. Mimi binafsi nimeanza ku kusikia 1990..na nimejifunza mengi kupitia mafunzo yako kwenye cassettes, DVDs, & RU-vid..Allah akulipe kwahatuwa zote ulizo piga..amin ya'arab!
@ashleybeby111
@ashleybeby111 Год назад
00 00p
@ashleybeby111
@ashleybeby111 Год назад
P😊❤
@ashleybeby111
@ashleybeby111 Год назад
P
@ashleybeby111
@ashleybeby111 Год назад
Pp0pp
@FatmaSalim-bd9ix
@FatmaSalim-bd9ix 2 месяца назад
MASHALLAH ALLAH ,,HUJAKATA TAMAA KWA UZEE MAADAMU LENGO LAKO LIKO PALE PALE NIA YAKO IKO IMARA NA ALLAH AKUPE MWISHO MWEMA..❤
@gooleserviceyoutubescandar3450
M/Mungu Anaijuwa Kila Nafsi Yenye Rehma Kwake Amiiin.
@OmarijMfunga
@OmarijMfunga Год назад
Amina rabbih Amina Allah Umma Amina
@زينبعليعبدالله-ز3س
Mashaallah mashaallah Mwenyezi Mungu akuhifadhi sheikh wetu mazinge❤❤
@hajilukani4769
@hajilukani4769 Год назад
Mungu akujalie mwisho mwema
@MwanaJumaali-q8n
@MwanaJumaali-q8n Год назад
Allah akujalie mwisho mwema sheikh Mazinge
@abdulahijuma541
@abdulahijuma541 4 месяца назад
Tarbiyyat kwa watoto wetu imezoroteshwa na Maustadh wenyewe. "Kwanini mnasema msiyoyatenda " Waislamu jifunzeni kutoa katika njia ya Allah ,sawa na maagizo ya Allah na Mtume wetu Muhammad saw
@Aisha-qx7kz
@Aisha-qx7kz Год назад
Mazinge Allah akujalie uzima na afya akujaalie mwisho mwema inshaallah
@khairiyyahsultan-vm1fk
@khairiyyahsultan-vm1fk Год назад
Masha allah ustadh mazinge tunakupenda sana wallah! Allah akupe afya na umri mrefu wenye kher naww 😊❤❤😊 na akupe khatma njema
@nakundwamkubwe7823
@nakundwamkubwe7823 Год назад
Shekhe Mazinge nimecheka 😅😅. Allah akupe umri mrefu wenye afya tele In shaa Allah.
@ndayisengaamissi6102
@ndayisengaamissi6102 10 месяцев назад
😂😂😂😂🤲🤲🤲Allahuma aamyn aamyn aamyn ya Rabbala'alamin🤲🤲🤲😂😂😂😂
@abdiadan4837
@abdiadan4837 6 месяцев назад
Masha allah, jazakallah qeyr
@DadaDado-z7k
@DadaDado-z7k Год назад
Allah akupe umri mrefu Azina yetu....!❤
@Eshaomarsaid
@Eshaomarsaid Год назад
Akupe maisha marefu siha napepo❤❤
@mmangammanga-dw2qn
@mmangammanga-dw2qn 18 дней назад
Shetani ameingia Allah akueke shekhe wetu❤❤❤
@AA-yr7sr
@AA-yr7sr Год назад
Mazinge Mazinge Mazinge salut💯🦾
@SociedadeSust1234
@SociedadeSust1234 Год назад
Allah akuifadh sheikh Mazinge
@wilfredlukowo9476
@wilfredlukowo9476 Год назад
Kutoa ni lazima tena kwa moyo wa kupenda.
@hawasalumu1374
@hawasalumu1374 Год назад
Mashaalah mungu akupe umri mrefu na afya njema inshallah
@issafaquedalaura8279
@issafaquedalaura8279 Год назад
Ya Allah Prof Mazinge Mungu akubariki
@HabibukavenukeHabibu
@HabibukavenukeHabibu Год назад
Amina shekhe
@jimjam-xg7rv
@jimjam-xg7rv Год назад
MASHA ALLAH 💚💚💚
@mariammohammed9198
@mariammohammed9198 Год назад
Allah atujaalie mwixho mwema na sote inxhaalah
@biashaomar2367
@biashaomar2367 Год назад
Allah akuhifadhi sheikh wetu
@ummysaid8273
@ummysaid8273 Год назад
Allah azidi kukulinda
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 Год назад
Amin
@hamadsaburi3569
@hamadsaburi3569 Год назад
Ukweli kabisa ❤
@DocomoDocomo-v4n
@DocomoDocomo-v4n Год назад
❤ 6:40 insha allah pro Mazingue ww ni mkar sana
@ZuberGamero
@ZuberGamero Год назад
Masha Allah Allah akupe wepes
@RahimuMungi
@RahimuMungi Год назад
Ishallah Mwenyezmungu akuweke
@hassansharif9216
@hassansharif9216 11 месяцев назад
Masha Allah ustadh. May the almighty Allah bless you, your family and your work.
@fatimafff3065
@fatimafff3065 Год назад
Mashaallah tabarakallah 🌹
@abdulahijuma541
@abdulahijuma541 11 месяцев назад
Masheikh tafadhali wafundisheni waislamu misingi ya dini yao. Hawaijui tofauti hata ya Islamu na Ukristo. Imani za baadhi ya MASHEIKH ni za kikristo tu.Kwa mfano eti Yesu yuko mbinguni na kiwiliwili chake. Kwamba Yesu atarudi duniani na kiwiliwili chake.Sasa Sasa Pastor au Mchungaji akisema kuwa ingieni katika Ukristo kwani mnamngojea Yesu ashuke, si mumkubali hivi sasa ili akija muwe mumeshamkubali1 Wafundisheni ukweli kuwa Yesu Kristo alikufa kifo cha kawaida, hakufa msalabani wala hakupaa mbinguni Mbinguni . Tafakari hayo Poa msichanganye haki na batili, ushirikina wa kutoa majini nk.
@HamadJecha
@HamadJecha Год назад
Mashallah
@saidahmed9688
@saidahmed9688 Год назад
Asante sheikh othman mazinge
@prochesernest5439
@prochesernest5439 Год назад
Mazinge unafanya vizuri kuwaelekeza waislamu hapo msikitini kuwa yupo mtume mwaposa ana maji na mafuta kawe waislamu wenye majini wakafukuze kupitia maji na mafuta mwamposa asingewafikia alaka hao Asanteni
@MtoniHigh-class
@MtoniHigh-class 10 месяцев назад
Allah akulipe kila la kheri duniani na akhera
@MirajiHemedi
@MirajiHemedi 10 месяцев назад
Mazinge wewe uko vizuri na unafahamu kabisa kuwa bila Bwana Yesu hakuna wokovu, huwezi kabisa kufika mbinguni jitahidi sana kabla hujafa umgeukie kiristo bila yesu ndugu yangu pepo hakuna. Na kinachokufanya udumu ni kuwa hujawahi kumtukana Yesu. Yesu anakuita ubatizwe.
@MakataWaMakatani
@MakataWaMakatani 8 месяцев назад
😂😂😂😂😂 hahahahaha
@MakataWaMakatani
@MakataWaMakatani 8 месяцев назад
😂😂😂😂😂 hahahahaha
@ndayikezaoscar3467
@ndayikezaoscar3467 Год назад
Mimi ni Mkristo jina langu OSCAR. ila nampenda sana sheikh OTHMAN MAALIM. Waislam ni ndugu, hatuna haja ya kuchukiana. MUNGU hapendi chuki. TUPENDANE WANAADAMU
@AzamuTawasili-ie7sc
@AzamuTawasili-ie7sc Год назад
Allah akulipe Kila jema shekh wangu
@MwanaJumaali-q8n
@MwanaJumaali-q8n Год назад
Allah akujalie mwisho mwema sheikh Mazinge
@khalidmdimu4177
@khalidmdimu4177 Год назад
Mazinge very funny 😂
@prochesernest5439
@prochesernest5439 Год назад
Mazinge unafanya vizuri kumtangaza mtume mwamposa humo msikitini wakafuate maji na mafuta wakayafukuze majini yanayowate watamiminika sana kawe kwa mtume
@mustafarashid2484
@mustafarashid2484 Год назад
Kafir yule Allah atamshinda inshallah.tapeli wenu huyo anadanganya watu.
@prochesernest5439
@prochesernest5439 Год назад
@@mustafarashid2484 mtume mwaposa ana Yesu kwaiyo Allah hamuwezi kwetu Allah sio muweza wa yote ni Yesu kristo tu mwokozi njoo na wewe Kwa Yesu huone umlinganishe Yesu na Allah utajua tu
@shabbymakapane
@shabbymakapane Год назад
@@prochesernest5439. Mh. KUFURU hiyo . MATHAYO 7 : 21 - 23 Si Kila Mtu Aniambiaye BWANA , BWANA , Atakaye Ingia Katika UFALME Wa MBINGUNI : Bali Ni Yeye Afanyaye Mapenzi ya BABA YANGU Aliye MBINGUNI 22 Wengi Wataniambia Siku Ile , BWANA,BWANA , Hatukufanya Unabii Kwa Jina Lako , Na Kwa Jina Lako Kutoa PEPO , Na Kwa Jina Lako Kufanya MIUJIZA MINGI ? 23 Ndipo Nitawaambia DHAHIRI , SIKUWAJUA NINYI KAMWE : Ondokeni Kwangu , Ninyi Mtendao MAOVU, 🤣🤣🤣😜😜😜. Swali BABA Wa YESU Ni Nani Hapo ??? MATHAYO. 24 : 36 Walakini Habari ya Siku Ile Na Saa Ile Hakuna Aijuaye , Hata MALAIKA Walio MBINGUNI, Wala Mwana , Baba Peke Yake .🤣🤣🤣😜😜😜. Yaani. YESU Anajua Kuna Allah Wewe Unapinga 😬😬😬 . 24:4-5 YESU AAkajibu, A. Akawaambia , Angalieni , MTU. ASIWADANGANYE , 5. Kwa Sababu Wengi Watakuja Kwa Jina Langu , Wakisema , Mimi ni KRISTO : Nao WATADANGANYA Wengi , 🤣🤣🤣😜😜😜👏👏👏. MARKO 10: 18 YESU Akamwambia , Kwanini Kuniita Mwema ? Hakuna Aliye Mwema Ila Mmoja , Ndiye. MUNGU 🙏🙏🙏 ,
@miltonswai5102
@miltonswai5102 Год назад
Sheikh mazinge napenda kusikiliza nasaha zako ila mm sio muislam
@yusufuuamissijuma9831
@yusufuuamissijuma9831 Год назад
Unangoja nini kimbilio kubwa mwislamu ni upendo wa Mungu kwako
@daudhabona8897
@daudhabona8897 Год назад
Aslaam aleikum. Hakuna namba ya kuweza kutoa sadaka kwenye hiyo madrasa.
@aminahkimwana109
@aminahkimwana109 10 месяцев назад
😂😂😂Mwenyezi_Mungu akuhifadhi ❤❤❤
@abdoulkarenzo3138
@abdoulkarenzo3138 Год назад
mtume Moses fedha,mtume wakuweka pesa 😂😂😂😂😂 Myaka yote Sheikh wetu ananichekeshaga sana
@gabrielnyumba1155
@gabrielnyumba1155 Год назад
Shekh mungu akulinde akuhifadhi
@Seifchui007
@Seifchui007 10 месяцев назад
Allah akumpe umri mrefu
@OscarMalaki
@OscarMalaki 6 месяцев назад
Mtume mnyaqxa hapana mpaka awemwarab
@khamissalim8708
@khamissalim8708 10 месяцев назад
Ameen ya rabbi
@miishhassn
@miishhassn Год назад
😂😂😂😂et na bukta na mfuko 😂😂😂😂😂kachoka kbeba mfuko akaona ajiite mtume😂😂😂
@زينبعليعبدالله-ز3س
😂😂😂😂
@RenzahoDjuma
@RenzahoDjuma 3 месяца назад
Mazinge maposa
@faiqaanwar7268
@faiqaanwar7268 Месяц назад
Kweli kabisa sheihk mpaka kwenye mabaa waislam wako wengi
@Be-daeStevenMwamakula
@Be-daeStevenMwamakula Год назад
Ulitoka kwa kukosa imani ya kweli kumhusu Yesu kristo , mhubiri yoyote asiye mjua kristo atakuja kujuta kwa nini alihubiri asiçhokijua
@HafidhKhamis-ph8qg
@HafidhKhamis-ph8qg 2 месяца назад
Toka uko ! Mazinge yupo sahihi
@saddybrezzy9777
@saddybrezzy9777 7 дней назад
Hakuna aya ndani ya biblia inasema ukristo ni dini wala yesu ajasema Kama yeye mkristo
@IsayaSosolo-nx8zk
@IsayaSosolo-nx8zk 10 месяцев назад
😂wewe unataka mtume wa kiarabu ndiye utakaye mkubari Mazinge!
@eliamunuo225
@eliamunuo225 8 месяцев назад
Yesu (issa) una maanisha hana sababu ya kusifiwa??
@myself4128
@myself4128 Год назад
Unaona Nguruwe na Pombe ndio dhambi ila Kuabudu Jiwe kwa Kiarabu unaona Umesalimika😂😂😂???
@RamadanPaul
@RamadanPaul Год назад
Hii naisikia leo tangu nizaliwe,, Allah ni jiwe
@myself4128
@myself4128 Год назад
​@@RamadanPaulKumbe wanaabudu nini😂😂? unajua al ka'ba pana nini wanachoramba na kuzunguka kama sio Jiwe??kuna hadithi inasema pia Jiwe ni mkono wa.kuume wa Allah...likitoka lile jiwe hakuna ibada
@AzamuTawasili-ie7sc
@AzamuTawasili-ie7sc Год назад
@@myself4128 kaipokea nani iyo hadithi
@Kobe_Sungura-2024.
@Kobe_Sungura-2024. Год назад
Endeleeni Kujitoa Akili, Endeleeni Kumezeshwa Propaganda, Waislamu Wanayo Elimu Ya Kutosha Ya Dini Yao Na Dunia Yao.. Ninyi Endeleeni Na Maandiko Ya Kale Yaliyojaa Waraka Za Paulo.. Waislamu Wanaelekea Uelekeo Mmoja Na Swala Yao Ni Moja, Mungu Wao Mmoja..... Waislamu Tuko Very Smart With Uniformity... Endeleeni Kuimba, Wakati Yesu Yeye Pindi Alipomlilia Mola Wake Amuokoe Na Kikombe Cha Kifo Cha Msalabani Kwa Kusujudu, Akiweka Paji Lake La Uso Ardhini.... Ninyi Mnapindisha Kiswahili Mnasema Alianguka Chini Kifudifudi Akiomba..... Kwahiyo Mnatuhumu Yesu Alishikwa Na Kifafa... Kweli?! Tatizo La Ukristo Ni Paulo, Sio Yesu.. Tatizo La Ukristo Ni Bibalia Ya Paul Na Sio Injili Bwana Mkubwa Yesu.. Swali: Hivi Paulo Alijaza Zaidi Ya Nusu Ya Bible Waraka Zake, Alikuwa Nani Enzi Za Maisha Ya Yesu Duniani..?!
@Kobe_Sungura-2024.
@Kobe_Sungura-2024. Год назад
​@@RamadanPaulNA NINYI MNAJUA KAMA NDANI YA BIBLE HAKUNA ELIMU, NDIO MAANA SEHEMU KUBWA YA MAFUNDISHO YENU NI KUMEZESHWA PROPAGANDA CHAFU DHIDI YA UISLAMU, ILI MUUCHUKIE BILA SABABU NA HOJA ZA MSINGI
@ConfusedChicken-ze9fz
@ConfusedChicken-ze9fz 4 месяца назад
Zungumzia mambo yako acha kuzungumzia habari watu wengine
@josephbonday8510
@josephbonday8510 Год назад
😆😆😆😆😂😂😂😂...nimecheka sana,eti mitume yote IPO kinondoni
@AyshaHamza-yd7so
@AyshaHamza-yd7so Год назад
Akili ndogo inapojalibu kujitutumua .
@wilsonm.7376
@wilsonm.7376 6 месяцев назад
Mazinge hubiri dini acha wivu na uongo😂😅
@zulfajuma8394
@zulfajuma8394 5 месяцев назад
Haichekeshi
@faiqaanwar7268
@faiqaanwar7268 Месяц назад
Hapo kwenye kufa sheikh hapo pangumu
@mwanajumaraso4637
@mwanajumaraso4637 Год назад
❤❤❤❤
@johngerald4677
@johngerald4677 Год назад
Nyie imani yenu iko mdomoni2
@shabbymakapane
@shabbymakapane Год назад
Wewe Imani yako ipo Wapi ?
@martinmhina5596
@martinmhina5596 Год назад
Mmhh
@michaelbachubira7197
@michaelbachubira7197 4 месяца назад
We Lia na mwamposa ye akujibu chochote anaendelea na mambo yake
@FadhilMsuku
@FadhilMsuku 2 месяца назад
Pole kaka
@abdulahijuma541
@abdulahijuma541 4 месяца назад
Elezeni mambo ya kimsingi. Hoja na dalili kuhusu ubora wa Qur'an Tukufu, ubora wa sunna na Hadithi za Mtume Muhammad saw. Pia ifahamike kwamba utume sio mahususi kwa kabila fulani bali utume hutoka kwa Allah na Yeye Humpa Amtakaye katika watu wema wamchao Mwenyezi Mungu.Kwa hivyo ondoa sharti la kabila na utume.Sio kazi yako kuhukumu kwamba kabila fulani haliwezi kupewa utume .Hilo mwachie Allah sht.
@mwassamwassa7264
@mwassamwassa7264 Год назад
Unapofanya matendo machafu unakuwa karibu zaidi na Shetani,mf.muhamad alipozini na maria ukimwita Shetani Siyo kosa maana Shetani ni sifa ya uovu
@yusuphmashallah3732
@yusuphmashallah3732 Год назад
Hayo umeyatoa wap toa aya tukuelew sio story
@badruseif1318
@badruseif1318 Год назад
​@@yusuphmashallah3732ndugu yangu usishughulishwe na kafiri kama huyu, mwambie aseme na ya kwao kanisa kuhalalisha ndoa za jinsia moja vipi na hili pia Ni la waislamu? Au chuki tu zinawasumbua?
@michaelrweyemamu1068
@michaelrweyemamu1068 11 месяцев назад
Pumbavu
@mastermurundidon1431
@mastermurundidon1431 5 месяцев назад
Sheikh Othman Mazinge,wewe niboya saaana.badala yakufundisha watu warudi kwenye CULTURE AND TRADITION according to ur CREATOR,unaendelea kuwaambia mambo ya kijinga.ALLAH huyo unae muongelea siyowakwenu huyo niwaa WARABU,wakwako anaitwa MUNGU,for that reason back to ur roots (Ancestors),acha ujinga.
@emmanuelpeter5686
@emmanuelpeter5686 Год назад
We mzee acha chuki, wewe umeshindwa nini kuuza maji?
@vincentcharles4385
@vincentcharles4385 Год назад
Huyu Mzee ni matako ya nyani
@mustafarashid2484
@mustafarashid2484 Год назад
​@@vincentcharles4385kafir unaumia,na mganga wenu mwamposa tapeli cku yenu itafika inshallah
@Izikiel55
@Izikiel55 Год назад
hakuna muhubir wa kiislam aliyezidisha uwongo kma huyu bwana, hiv kanisa kuchangisha milion mia 8 mosh kapata wapiii, hayo maneno yoote aliyoongea hapo hakuna hata neno moja la ukweli,kma mnahis napinga bas mtafuteni awaoneshe hyo clip inayoonesha hivyo maana kma kanisan haingii sasa hyo habar kaitolea wap? waislam kusema uwongo kwaajir ya allah imeruhusiwa so sishangai ila nasikitika kwa waislam wengi kuamin haya mauongo ya huyu bwana
@TNgwale-eu3xl
@TNgwale-eu3xl Год назад
Watu kama hawa ndio wanarudisha Waafrika Nyuma. Wakiwa Wakristu wanakuwa na Uzungu zaidi kuliko wazungu wenyewe, wakiwa ni Waislamu wanakuwa na Uarabu zaidi kuliko Waarabu. Tatizo letu ni Ufuska wa Akili na Elimu Ndogo.
@abdulahijuma541
@abdulahijuma541 4 месяца назад
Islamu hairuhusu kusema uwongo. Hakuna aya yoyote ya Qur'an Tukufu inayotuagiza kusema uwongo katika hali yoyote ile.Mtume Muhammad saw hajawahi kusema uwongo hata siku moja. Bali Watu wa Makka walimjua kuwa yeye ni Alamiin na Assadiik yaani Muaminifu na Mkweli. Wanaosema Uislamu unaruhusu uwongo basi hao sio wafuasi wa kweli wa Qur'an Tukufu wala wa Mwenyezi Mungu.
Далее
Women’s Celebrations + Men’s 😮‍💨
00:20
053 HABIB MAZINGE | JE SACRAMENTI NI MWILI WA YESU 2/2
58:24
Women’s Celebrations + Men’s 😮‍💨
00:20