Тёмный
No video :(

SAKATA LA UINGIZAJI WA SUKARI LAIBUA SURA MPYA BODI YA SUKARI WAFUNGUKA/KUMEKUWA NA UPOTOSHAJI 

JAMBO TV
Подписаться 918 тыс.
Просмотров 5 тыс.
50% 1

#JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►RU-vid: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 34   
@user-uy5nx1bj5r
@user-uy5nx1bj5r 2 месяца назад
Pole sana Mzee wangu Mnakazi ngumu sana kwa watu tunaoishi kwa propaganda " umeongea ukweli kwa ushahidi"
@martinkisha6307
@martinkisha6307 2 месяца назад
Hii nchi siasa mpaka kwenye chakula hii ni kutuchezea tu watanzania hii CCM inahitaji kutumbuliwa
@SaidKaswella
@SaidKaswella 2 месяца назад
Was there any due diligence to the so called voucher companies?
@abdulhakeem959
@abdulhakeem959 2 месяца назад
HII NCHI NGUMU SANA SANA.UNAFIQ NA UCHAWA NA KUCHAFUANA NDO ZIMEGEUKA SERA ZA TAIFA.BADO TUMELALA NA SIKU TUKIAMKA TUTAJIKUTA THE HAGUE
@user-wj6zj1ly4e
@user-wj6zj1ly4e 2 месяца назад
Swali mulijuaje km wazalishaji wameshindwa kuingza kusukar hadi mkawapa kampun za simu hyo nafas? Masilani ni tofaut ya mwez mmja
@yusuphngwele4190
@yusuphngwele4190 2 месяца назад
Kwa hali hii na uongeaji huu takukuru wanatakiwa wahusike.ukweli utajulikana tu.
@user-uy5nx1bj5r
@user-uy5nx1bj5r 2 месяца назад
Huyu Jamaa wa Bodi ya sukari anaonyesha ushahidi unaonekana Mimi nimenunua sukari elfu 7 Jamaa inawauma sana safari hii walitaka sukari ikosekane ili wapandishe bei
@margarethsolomon9823
@margarethsolomon9823 2 месяца назад
Baada ya sakata hili la sukari kuwa moto, ni kwa nini kutokee badiliko la uongozi TRA ????.Inatupa picha gani 🤷🏼‍♀️🤷🏼‍♀️🤷🏼‍♀️❓❓Mlikaa kimyaaaaa, na mlivyo hodari wa data, mmezipika kutuaminisha.
@godfreymeagisa1871
@godfreymeagisa1871 2 месяца назад
Sukari shida,Ngano shida ,sio chuma shida vijiti vya meno shida nguo nje tyre shida sisi vyetu wenyewe lini wakubwa wetu tujibuni.
@rajabumtuga7372
@rajabumtuga7372 2 месяца назад
Kwahiyo unavosema sisi wananchi tukiongea hain haja ya nyie kueleza ukweli. Sisi ndo waajir wenu mnapaswa kutoka na kufafanua azalani. Ipo siku mtatulilia nyie.
@andrewassey5108
@andrewassey5108 2 месяца назад
Sikumbuki kama tuliwahi kuambiwa ukweli nchi hii iliyoasisiwa na JKNyerere.
@Chrisblaze-beats
@Chrisblaze-beats 2 месяца назад
Kutumbua hapana kukopa aaaah😊
@vedastusmdapo3837
@vedastusmdapo3837 2 месяца назад
Solution ya hii issue so kulumbana Bali ni vitendo yaani miwa inalimwa hapa na ardhi ni kuuubwa.Yaani hata Mimi nikipewa wizara natatua tatizo hili kwa Mwaka tu tutauza sukari Hadi 1500
@TheresiaAndrea-hv9dg
@TheresiaAndrea-hv9dg 2 месяца назад
Mnatuvyruga, maana kila mmoja anadai ushahidi upo, hatuwaelewi, tunachokijua ni kwamba sukari ilikosa, tukasafa. Mnapoendelea kurumbana mnatupa ushahidi kwamba viatu halitoshi. Mkikaa kimya tutawaona waomavu. Huo ni utoto
@godfreymeagisa1871
@godfreymeagisa1871 2 месяца назад
Kwanini tutegemee sukari ya nje wakati tuna ardhi kubwa namna hii ya nchi yetu
@kenethmaseti8953
@kenethmaseti8953 2 месяца назад
Ameshindwa kujibu hoja za msingi 😊
@SaidAlly-uh4qw
@SaidAlly-uh4qw 2 месяца назад
Mijitu ya chadema hata haielewi kila ikielimishwa inaleta siasa eleweni mnachoelekezwa acheni acheni uzwazwa
@SaidKaswella
@SaidKaswella 2 месяца назад
Business licence only is not adequate in determining the competence and compliance of any business entity.
@abdallahally842
@abdallahally842 2 месяца назад
Mliwamdikia barua waje kuchukua vibali dec ngapi? Inawezekana mmewapa barua kibali dec mwisho ndiomaana mwazo wa jan wakachukua kibali hapa raisi atupe wachunguzi huru ili ukweli ujulikane
@kwisa4899
@kwisa4899 2 месяца назад
munapoteza muda wenu tu mwezeno yupo busy na kuteua na kariakoo😂😂😂😂😂😂
@margarethsolomon9823
@margarethsolomon9823 2 месяца назад
Ameteua akijua hicho kinachoendelea hapo👆👆ndio maana kwenye uteuzi amemtoa Boss wa TRA kupotezea. Wanajipanga
@issakassim8291
@issakassim8291 2 месяца назад
Mlivunja sheria wizar ya kilimo ilipiga
@kwisa4899
@kwisa4899 2 месяца назад
Meli ilipita mlango wa nyuma
@devangandhl2255
@devangandhl2255 2 месяца назад
Mbona mnalumbana kazi yenu ninkushirikiana kutulinda sisi wananchi dhidi ya shida
@user-no2ut7yd3e
@user-no2ut7yd3e 2 месяца назад
Wewe unamajengo kufuru acha udambwi.
@charleslukumai7875
@charleslukumai7875 2 месяца назад
Kwa issue ni kampuni zil izopewa vibali vya sukari, au uvunjwaji wa sheria ya sukari?
@Sangaadam
@Sangaadam 2 месяца назад
Hizi Tantalila za nn Wananchi wanataka Sukari tena kwa bei rahisi kama wenzetu (nchi) Zinazo tuzunguuka, Hii mipasho yenu mgeitana huko mmalizane wenyewe......!!!!!!
@robertphilip385
@robertphilip385 2 месяца назад
Huyu ni tapeli tu haieleweki anazunguza nini
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 2 месяца назад
Mmi sielewi unachoongea kama ni sukari bei ni juu toeni Siasa hapo
@user-uy5nx1bj5r
@user-uy5nx1bj5r 2 месяца назад
Yule Mzee wa jana nimuongo tokea jana nilipo muona Ishu hii inawatu wanatetea maslahi yao na sisi wananchi hatuko makini na jamaa hao waviwanda kunadili imefeli imekuwa dirisha na wameamua kumtumia yule jamaa wa GANG" kujifanya mzalendo
@abeidsanga7361
@abeidsanga7361 2 месяца назад
Kwamfano Ng'ombe wako akikupiga teke we unampa sumu ili akufe 😂😂😂😂akili matope aabu tupu
@yahayaramadhani6418
@yahayaramadhani6418 2 месяца назад
Mimi huyu bwana anachoongea simwelewi kabisa.
@margarethsolomon9823
@margarethsolomon9823 2 месяца назад
Jitupora tu hilo ni linyung'unya fulani, matumbo malaji. Yaani Lina kila jina baya.
@beatricehenry6776
@beatricehenry6776 2 месяца назад
Huyu shida yake Nini?!?! Sielewi
Далее
Matangazo ya Dira ya Dunia TV
Просмотров 313