Huyu Jamaa wa Bodi ya sukari anaonyesha ushahidi unaonekana Mimi nimenunua sukari elfu 7 Jamaa inawauma sana safari hii walitaka sukari ikosekane ili wapandishe bei
Baada ya sakata hili la sukari kuwa moto, ni kwa nini kutokee badiliko la uongozi TRA ????.Inatupa picha gani 🤷🏼♀️🤷🏼♀️🤷🏼♀️❓❓Mlikaa kimyaaaaa, na mlivyo hodari wa data, mmezipika kutuaminisha.
Kwahiyo unavosema sisi wananchi tukiongea hain haja ya nyie kueleza ukweli. Sisi ndo waajir wenu mnapaswa kutoka na kufafanua azalani. Ipo siku mtatulilia nyie.
Solution ya hii issue so kulumbana Bali ni vitendo yaani miwa inalimwa hapa na ardhi ni kuuubwa.Yaani hata Mimi nikipewa wizara natatua tatizo hili kwa Mwaka tu tutauza sukari Hadi 1500
Mnatuvyruga, maana kila mmoja anadai ushahidi upo, hatuwaelewi, tunachokijua ni kwamba sukari ilikosa, tukasafa. Mnapoendelea kurumbana mnatupa ushahidi kwamba viatu halitoshi. Mkikaa kimya tutawaona waomavu. Huo ni utoto
Mliwamdikia barua waje kuchukua vibali dec ngapi? Inawezekana mmewapa barua kibali dec mwisho ndiomaana mwazo wa jan wakachukua kibali hapa raisi atupe wachunguzi huru ili ukweli ujulikane
Hizi Tantalila za nn Wananchi wanataka Sukari tena kwa bei rahisi kama wenzetu (nchi) Zinazo tuzunguuka, Hii mipasho yenu mgeitana huko mmalizane wenyewe......!!!!!!
Yule Mzee wa jana nimuongo tokea jana nilipo muona Ishu hii inawatu wanatetea maslahi yao na sisi wananchi hatuko makini na jamaa hao waviwanda kunadili imefeli imekuwa dirisha na wameamua kumtumia yule jamaa wa GANG" kujifanya mzalendo