CHADEMA CHADEMA CHADEMA Peoples Power ❤❤❤❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲.Wa Tz wameaza kuzinduka toka kwa dikteta magufuli Mhe Tundu Lisu anatosha kutuongoza kwa misingi ya haki sheria na utu Mwenyezi Mungu mkubwa.
Kwa yeyote anayesoma hii.. nakuombea Baraka na maisha marefu yenye mafanikio tele. siku njema iwe kwako na kwa familia yako YOTE.! Ikikupendeza waweza pita kwenye channel yangu napost mada mbali mbali za biashara na mafanikio uweze kujifunza jambo siku ya leo. Kwa pamoja tutafanikiwa!!
TUNDU LISSU MCHE MUNGU SANA HASA KATIKA SAFARI ZAKO ZOTE ZA KAMPENI. MUNGU AMEKUTETEA SANA NA WATANZANIA TUTAKUPA KURA KWA UTUKUFU WA MUNGU UANDIKWE KWENYE GUINNESS BOOK.
Kiu ya tundu lissu ni kuitumikia nchi tumpe kura ili atekeleze matakwa ya nchi na ninaamini maendeleo yatakua makubwa maana wapinzani hawatakubali kuachia nchi hivyo watajitahidi kufanya maendeleo tuwape kura isitoshe
Wakamnyima matibabu, Wakamnyang'anya Ubunge na Wakamfungulia kesi nyingi, Halafu bado Watanzania tunawaita watesi wake kuwa WASIOJULIKANA , Kweli hata kama hatujui Kusoma hata Picha sasa tusijiongeze. Au Tunasumbuliwa na Uogaaaa! Nani Amfunge PAKA kangereee!
Wadau tutor maoni ya kuelimisha kutukana na kudhihaki kama jinsi baafhi yetu tunavyofanya haisaidi sana kutoa mwelekeo wa siasa za nchi hii tukitoa maoni tukumbuke sote ni watanzania tusifike kujengeana chuki ,kwa mwelekeo wa sasa wanaomhitaji LISSU waseme yakwake mazuri na wanaompenda magu waseme ya kwake mazuri ili tupate kuchambua ngano na magugu.
Acha kufuru damu ilimwagika ili aje aikomboe nchi sasa subiri huo ukombozi labda hapo ikungi si tz yaani mnachekesha eti nabii mweee na Mungu atawafutia hiyo kauli eti damu ilimwagika ili aje aikomboe nchi hatari
Kama salum shetani atakuragai ukaja kuwaumiza Chadema Kwa kuamia Kwa walio mpiga lisu lisasi utafika mbari Sana nyota yako inatabili uku wako Wa badae Mungu na asimame nawe Mimi ni mwana CCM Ila nakukubali Sana
Tuachieni Lisu wetu.. Yaani nyie mnaomuita Lisu Hana akili fikirieni kama sio Lisu nani angesema ukweli bungeni kuhusu mapesa yalioibiwa na ccm acheni upofu. Lisu ni mtanzania ambae Ana haki ya kuwa Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tz
SIASA NA UNABII | MNAKUFURU HUYO SI NABII UWEZO WA MUNGU NI MKUBWA SANA ,MUNGU HUWA ANAFANYA MAAJABU YAKE MENGI SIO HAYO TUU -MUUMBA ANAFISHA NA ANAFUFUA HAYO NI YA UHAKIKA KABISA | KWAKE MUNGU NI JAMBO DOGO SANA | TUNDU LISU HANA CHEMBE YA UNABII NI MTETEZI TUU WA SERA ZA MASHOGA