Nilichogundua sisi baazi ya wabongo tuna roho mbaya uchawi kuombeana mabaya chuki fitina majungu ili lipo sana mtu akifanikiwa atupendi kbc ilo lipo wazi kbc watu Wana chuki zao za maisha wanajifanya wanaamishia kwenye mpira
binafsi namkubali sana sama goal lakini kusema jambo frani halitatokea ikiwa maisha bado yanaendelea hicho kitu sikubaliani nacho ninacho amini tuombeane kheri hakuna mkate mgumu mbele ya chai vijana sasa hivi wanauwasha sana moto
Jitahidi sana usiende warabuni sisi watu weusi wanatubangua sana kua makini sana nibora ubaki kwawazungu naupewe pesa ndogo kuliko kwawarabu kupewa hela nyingi watakupaki benchi kwakue kibaji kama watanzania tupata hazara kumbuka tunakutemea kama nchi
Mesi akiletwa kikosi Cha mtibwa suger watamchukia, samata wanamuona ana kiwango kidogo kwasababu ya wachezaji anaokutana nao team ya taifa Wana uwezo mdogo ndio maana wanamuona anawaangusha taifa
We unavyomuona, ana nafasi ya kucheza Simba au Yanga? Ukweli Ni kwamba kiwango chake Ni kidogo kwa sasa. Anaweza akawa Ni sababu ya team ya taifa kudumaa. Kuna umuhimu akaachwa ili kuenda kwenye direction nyingine
Kuna umuhimu akaachwa team ya taifa ili kujenga team yenye ushindani zaidi. Anaweza akawa ndio sababu kubwa hatuna muelekeo sahihi. Sioni tukijenga future ya stars wakati tunaendelea kumkumbatia.nahodha asiye na mchngo wowote
Wachezaji wengi hawapati muda wa kuendana na mifumo ya timu wanazoamia kutokana na mihemko ya makocha na mashabiki.mpira umegeuka kama wimbo wa mwizi.akionekana teyari taharuki.
Mpira ni hakiri mchezaji mtanzania anayejua hivo ni zimbwe na samatta basiiiiiiiii michezaji mingine yote sijui msuva, mingine kutoka yanga inacheza mpira kwa kutumia nguvu nyingi bila akili hayiwezi ata kukotro mpira et unamulaumu samatta
Mwandishi. Umeshaambiwa ni kweli haitavunjika LAKINI haina maana yoyote hadi pale ITAKAPOKUWA INAZUNGUMZIWA sasa bado unakazia kwamba ina maana. JIFUNZE KUWA Good listerner.
SISI WA TANZANIA INATEGEMEA UMEZALIWA KUTOKA FAMILY GANII ILA COMMENT ZINAWEKA WATU KATIKA MATABAKA ILI TUJUE WAZAZII WALIOWAZAAA KWAHIYO KIUFUPI COMMENT NA UNAYO YASEMA NDO FAMILY YENUUU KWAIYO .........
@@bhm675 sorry. I was supposed to say yupo kwenye.second tier nyuma ya premiership, ambayo ndiyo championship league. Nchi nyingine wanaiita first division. Msuva anastruggle kuextens contract huko. Nafasi ya samatta ni finyu, in my opinion
Mpira unaenda sambamba na umri kiukweli samatta na msuva mda wao umeisha hakuna makubwa tutakayoyaona tena. Samatta muda wake ulikuwa kipindi kile yupo Genk anachukuwa tuzo ya mfungaji bora, na muda wake uliisha akiwa Aston villa, kwa ufahamu wangu mdogo tu.
Ndo ushangae,,, Yani tatizo watanzania Elimu ndogo , Pili hatuna exposure😝Ukisoma comments utajua weng hatuna kazi so hatuelew kaz n nn, changamoto za kazi, na maendeleo ni nini.
Sisemi amchezee mtu asaidie wengine kwani anampira Gani wa ajabu! Kuna vijana wanacheza soccer balaa! SAMATA IS A SELFISH PLAYER HATA SHULE ALIOSOMA YA MSINGI WATOTO WANAKAA CHINI!