Hivi chadema mnasahau tunaavyo uwawa cc wazanzibar kipindi cha uchaguzi Yani miaka yote takriban tunakua ktk tabu Yani tunatamani hii nchi iwe ya kifalme ili tuepukane na haya mauwaji.
Ni kweli kabisa.uko sahihi,wazanzibar kila kinapofika kipindi cha uchaguzi wanauawa sana wanapojaribu kutetea haki yao ya kushinda uchaguzi.Inasikitisha sana kuwapora uchaguzi na kuwaua.Mzee wa watu maalim hadi anaingia kaburini wamemnyima haki yake ya kutawala.sijui wataenda kujibu nini kwa Mungu.
Ukiona Wana nchi wa nchi yoyote wanatendewa ubaya ujuwe kwamba wanyonya nchi wanaabudiwa na utawala kama hii nchi yetu wanyonyaji weupe wanaabudiwa sana.
Huyu msemaji kweli aongea Pemba Eti basi la abiria lishindane na magari madogo mawil? .Halafu ataka wahusika wa basi wabishane na watu wenye silaha za moto
Wacha ushamba mwehu unaejipendekeza Samia ni raisi wangapi macho hii ? Ni watu wangapi walio uwawa mbona hayakufanyika maandamano ?usijifanye zuzu Pemba walikufa wangapi ? Raisi alikuwa nani ?Wacha kuwakhanithi watu mbaguzi mkubwa .