Тёмный
No video :(

#SamiaMotocrossChampionship2024 

Azam TV
Подписаться 2,7 млн
Просмотров 47 тыс.
50% 1

#SamiaMotocrossChampionship2024 | Tazama madereva wa bodaboda wanavyoruka viunzi kwenye mashindano ya pikipiki ya Samia Motocross Championship katika viwanja vya Laki Laki mkoani Arusha.
Washindi watakwenda kuiwakilisha nchi kwenye michuano mbalimbali ya kikanda na kimataifa, ikiwemo mashindano yatakayofanyika mwezi wa tisa nchini Morocco.
#SamiaMotocrossChampionship2024 #RacingShow #Arusha

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 68   
@JumaAbdallah-gn5qu
@JumaAbdallah-gn5qu Месяц назад
Makonda 👍 kiboko Nikiongozi Hajawai kufeli Anajuwa kuongoza na kujenga Maendelea Naiyona Arusha mpyaa Zaidi mbele👍👍👍Piga kazi
@yosephatMasanyiwa-oh1rl
@yosephatMasanyiwa-oh1rl Месяц назад
Nyoko akili fupi sana wewe
@AlhajiIssa-jb9hr
@AlhajiIssa-jb9hr Месяц назад
Makonda is very bright person 🎉
@malikkb6444
@malikkb6444 Месяц назад
Big up sana. Mwanzo mzuri na kwa mara yakwanza Tanzania tunatengeneza identity nyingine ya mchezo utaoweza kututambulisha duniani.. Kazi nzuri Mh. Makonda
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo Месяц назад
Du! Niko Kigoma, hii tunasema imeenda. Kiufupi utadhani tuko Denmark. Big up Paul Makonga the Great RC ever seen.
@Nostressalways
@Nostressalways Месяц назад
Big up makonda,Mwanza tupo nyumaa sana kumbe
@dannythegreat8017
@dannythegreat8017 Месяц назад
Waooohhh, very impressive. Cuddles team ya uchambuzi, your're very smart . Not boaring, your're encouraging, inspiring and appreciative to our vijana on their ride. Hongera sana Mheshimiwa Makonda kwa ubunifu, na uwekezaji kwa vijana wetu. Hii sasa itaaongeza dhamani ya mtu anaendesha pikipiki, lakini vijana sasa wataona umuhimu wa kazi yao. Kwa hao wachache wanataka kuharibu kazi ya vijana wetu, tutawashughulikia ipasavyo. Arusha oyeeeeeee!!!!!!!!!!!!!
@zakazakazi-fn6zy
@zakazakazi-fn6zy Месяц назад
Daaa mweli Arusha ni nchii hao maridder ni wanomaaaa ataaaariii sanaaa ni 🔥 🔥
@janethayo4967
@janethayo4967 Месяц назад
Waaaoooo Arusha yang pendwa ❤
@alphagroup9477
@alphagroup9477 Месяц назад
Arusha like America
@gladwellmassawe46
@gladwellmassawe46 Месяц назад
Olasit🥳🥳🥳🥳🥳
@CimonMollel
@CimonMollel Месяц назад
Chuga kama mbele big up Paul makonda
@user-qx6mm2lp2b
@user-qx6mm2lp2b Месяц назад
Masuuuudd mtalam wetu wa misugu sugu nimemuona bog up bro
@stevenvictor437
@stevenvictor437 Месяц назад
Duuuh safi sana, nwapats vzr nikiwa boda ya msumbiji hapa.
@josephlorri431
@josephlorri431 Месяц назад
Hii tamu..hadi nimesisimka kwa ninavyopenda michezo hiyo ya bikes 🏍
@mamakayla6697
@mamakayla6697 Месяц назад
Ni mzuri sanaaa,wakati mwingine wamwage maji kuondoa vumbi
@prime_215beatz
@prime_215beatz Месяц назад
😂😂😂 wamwage maji afu boda ipite utaua watu.. utelezi kidogo tu watajikuta wapo chini
@DominicKizwalo
@DominicKizwalo Месяц назад
😂vumbi ni sehemu mojawapo ya vigezo na obstacles. Yaonyesha ujuzi wa rider uko vipi
@sylvanjosam3402
@sylvanjosam3402 Месяц назад
Saf san makonda kula yangu chukuwa🎉
@franknnko4744
@franknnko4744 Месяц назад
Pamoja sana Arusha
@ElibarikiElibarikimrema
@ElibarikiElibarikimrema Месяц назад
❤❤
@JolotaErastoJuma
@JolotaErastoJuma Месяц назад
Pamoja sana POUL MAKONDA
@hashimuomary4569
@hashimuomary4569 Месяц назад
Kuanzia leo me shabik wa olasiti elisante
@AlfredMtandi
@AlfredMtandi Месяц назад
RC wewe nimwamba unaweza, Mungu akurinde nasi tunazidi kukuombea.
@AllyKadege-on8zb
@AllyKadege-on8zb Месяц назад
Makonda anajua kuwafurahisha watu wake
@stephenmsanzu9850
@stephenmsanzu9850 Месяц назад
Makonda safi sana
@FREDDYJuma-gk6lp
@FREDDYJuma-gk6lp Месяц назад
Chuga kama ulaya😁
@dullayomwinyi3359
@dullayomwinyi3359 Месяц назад
Chuga kama mambele yani
@user-xk7vy4gb6g
@user-xk7vy4gb6g Месяц назад
Mh 💪💪💪💪💪🙌🙌🙌 kweli ww noma 🎉🎉🎉🎉
@WisleyJohn-vy6jp
@WisleyJohn-vy6jp Месяц назад
Nice things
@ALEXLOTAN
@ALEXLOTAN Месяц назад
Safi sana mama. Makonda usitoke alusha tutakupa urais aki l love you chuga yangu
@Ars-t2k
@Ars-t2k Месяц назад
Alusha ndo nini
@yosephatMasanyiwa-oh1rl
@yosephatMasanyiwa-oh1rl Месяц назад
Nyoko
@WazirJuma-gd5oo
@WazirJuma-gd5oo Месяц назад
Yani makonda hapana wewe nikiongozi bwana unaweza kiivusha hii nchi Kwa kipndi kifupi Sana . Maana umeangalia mbali mno mungu akubariki Sana brother.
@swahilitherapytv3846
@swahilitherapytv3846 Месяц назад
Chuga iyooooo..😊😊
@rashidlwengo6940
@rashidlwengo6940 Месяц назад
Mmh huyo anweza kuwa mwiz huyo
@kibasamohamedi8029
@kibasamohamedi8029 Месяц назад
Safi sana
@JosephMoleni
@JosephMoleni Месяц назад
Nakupenda makonda
@LeonardJumanne-p2q
@LeonardJumanne-p2q Месяц назад
Kama mbele iyo ndio arusha
@user-eu5tj7yg8c
@user-eu5tj7yg8c Месяц назад
yes makonda
@MsafiriRichard-c1i
@MsafiriRichard-c1i Месяц назад
Wapo viruri sana tunaonba tanga pia iwepo kama hii. Au kila mkoa .
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 Месяц назад
alafu ushindano wa taifa..safi sana
@WisleyJohn-vy6jp
@WisleyJohn-vy6jp Месяц назад
🎉🎉🎉🎉🎉
@bonifassimon7909
@bonifassimon7909 Месяц назад
Hapa dar labda mashindano ya pombe na majungu vitu kama hivi tutaishia kutozama kwa TV tu
@JumaDezombie-cn3yu
@JumaDezombie-cn3yu Месяц назад
😂😂😂😂😂
@coolruler6820
@coolruler6820 Месяц назад
😂😂😂😂😂😂😂
@avitusmichael5
@avitusmichael5 Месяц назад
Makonda ni raisi ajae
@emmanuelmchomvu2676
@emmanuelmchomvu2676 Месяц назад
Hyo Elisante mamaeee watu wana balaa
@shuaybuMalonga
@shuaybuMalonga Месяц назад
Hawez linganiaha Chuga na mikoa ningne asee Kwa cc 2liowahi zunguka Tz Chunga n Jiji Lina Kila sfa
@HamisiSalehe-c6b
@HamisiSalehe-c6b Месяц назад
We hujazunguka hujuw kitu
@HamisiSalehe-c6b
@HamisiSalehe-c6b Месяц назад
We hujazunguka hujuw kitu
@lampadshigonko3006
@lampadshigonko3006 Месяц назад
Umezungyukaa?
@allyzubery1768
@allyzubery1768 Месяц назад
@thomasmunis9814
@thomasmunis9814 Месяц назад
A town kama mambele
@mralright7838
@mralright7838 Месяц назад
@johngitau6995
@johngitau6995 Месяц назад
Katika vumbi ajali inaweza tokea rahisi,mbona wenye kuanda hawaweki Lori la kunyumyuiza maji na kuondoa hio hatari.
@HusnaSimbila-ig7ks
@HusnaSimbila-ig7ks Месяц назад
Olasitiii
@user-bf3mm5wu1s
@user-bf3mm5wu1s Месяц назад
Duuh izo vumbi 😅😅jamn
@SadikiSaid-cp1pt
@SadikiSaid-cp1pt Месяц назад
piki piki ndio atuna ira wapo vizuli ira biki piki sio izi sasa
@barrynzeyimana6270
@barrynzeyimana6270 Месяц назад
Ubaya Wa Tanzania kila kitu kinakua na kumbembeleza Rais. Kwakua wameweka mamulaka kama yote kwa Rais. Rais hana control power nyuma yake. Hakuna utofauti Wa kipindi cha tawala za wazungu na rais Wa Sasa.
@sundaystanley5322
@sundaystanley5322 Месяц назад
Unamaanisha nini hapo,hili ni wazo la makonda,na kaamua kuingiza jina la samia hapo kuna shida gani
@evansmoshi1923
@evansmoshi1923 Месяц назад
Dah! ilo vimbu lisije kusababisha ajali
@AthumanyMvula
@AthumanyMvula Месяц назад
Wangemwaga ata maji kupunguza vumbi
@fahadsalim3000
@fahadsalim3000 Месяц назад
Ukimwaga maji njia😂itateleza kwa bike sio salama❤
@JumaDezombie-cn3yu
@JumaDezombie-cn3yu Месяц назад
𝙢𝙖𝙟𝙞 𝙖𝙮𝙖𝙢𝙬𝙖𝙜𝙬𝙖𝙜 𝙝𝙖𝙩𝙖 𝙢𝙗𝙚𝙡𝙚
@DanielMaksiro
@DanielMaksiro Месяц назад
NIMEIKOSA HII DAAH😢
@rashidlwengo6940
@rashidlwengo6940 Месяц назад
Makonda hajawahi kufeli
@ShimbaChilemeji
@ShimbaChilemeji Месяц назад
Olasit anakiwasha haswa
Далее
VITUKO VYA KWENYE DALADALA STEVE KIMEMLAMBA NDARO
8:00
MILLION JAMOASI 2024 4K
2:17:51
Просмотров 12 млн
Triple Protein Sandwich
00:32
Просмотров 4,6 млн
CHEKESHA : MTANGA YAMEMKUTA NA WATOTO WA MJINI
14:17
Просмотров 175 тыс.
Rally de Portugal 2023 - SS 3/6 Arganil
4:37
Просмотров 47 тыс.
JAMBAZI SUGU LILIVYOULIWA
7:39
Просмотров 394 тыс.
NDARO STEVE WE NI TAPELI   MSIKILIZE MANENOYAKE
14:35
Просмотров 271 тыс.