Тёмный
No video :(

MTOTO MUUZA NDIZI AIBUKA KWA MAKONDA KUMPA UJUMBE "UNISAIDIE KUNISOMESHA NIMSAIDIE MAMA YANGU" 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 742 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

27 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 1,3 тыс.   
@marieconnect6389
@marieconnect6389 6 месяцев назад
Magufuli kumbe ametutoka kimwili tu lakini kiroho bado yuko hai pamoja nasi. Mamwona akiwa hai ndani ya makonda. Asante ee Mungu wetu. Asante mama Samia kwa kumteua makonda.
@user-pi5ec6nj6j
@user-pi5ec6nj6j 6 месяцев назад
Kabisaa yan
@ChiefNgosyemo
@ChiefNgosyemo Месяц назад
Amin hivyo Hawawezi😢 wakauwauwa wakawamaliza
@marieconnect6389
@marieconnect6389 Месяц назад
@@ChiefNgosyemo kweli kabisa
@marieconnect6389
@marieconnect6389 Месяц назад
Mungu wetu anatupenda sana na bado atatupigania watu wake. Asante mungu wetu
@marieconnect6389
@marieconnect6389 Месяц назад
Kweli
@banguha
@banguha 6 месяцев назад
I'm crying for joy Asante Mokonda jmni uyu ni mtoto mdogo sana kizur anapenda shule na anakumbuka familia yake
@Bridge2024
@Bridge2024 6 месяцев назад
Hakika tukiwa na wigo wema wa kusaidiana kwenye maisha huo ndiyo uongozi mungu akubariki mh: makonda. Amin
@justinomtili9226
@justinomtili9226 6 месяцев назад
Daaah! Mtoto amenitoa machozi, Mungu akulinde mh makonda
@bbanyikwa
@bbanyikwa 6 месяцев назад
Haki ya Mungu makonda ni kiongozi Namuona magufuri ndani yake ❤❤❤❤❤❤
@laylayl5166
@laylayl5166 6 месяцев назад
Kabisaa yaani
@marieconnect6389
@marieconnect6389 6 месяцев назад
Kumbe Magufuli bado anaishi nasi japo amenondoka kimwili
@NasraOthmani-by4rn
@NasraOthmani-by4rn 6 месяцев назад
Kwakweli mungu amtunze
@selemanhamidu1398
@selemanhamidu1398 6 месяцев назад
Kabsa
@salometabu100
@salometabu100 6 месяцев назад
Kweli kabisa amefanya vizuri sana kumsaidia Huyo mtoto maana ndo professor wa kesho
@jumakapesa2940
@jumakapesa2940 6 месяцев назад
Sitaacha kukuombea Mh:Makonda. Hakika unachokifanya kinaujira wake. Asante kwa Rais wetu Dr Samia kwa kukuteua katika nafasi hiyo.
@user-ng6yt2od7l
@user-ng6yt2od7l 3 месяца назад
Yaani cjui alijuaje?maana Arusha moto
@marieconnect6389
@marieconnect6389 6 месяцев назад
Usikatishwe tamaa na wengine waovu wa kichinichini wenye wivu ambao hawana ubavu wa kusimamia haki kama wewe. Hawapendeki kama wewe hivyo wanatafiuta kila namna ya kukuchafua mh. Makonda kwa faida zao binafsi. Wewe piga kazi bila woga wala unafiki na mungu akutunukie uongozi wa ngazi kubwa zaidi kwa taifa hili ili aendelee kutimiza mapenzi yake kupitia wewe kwa faida ya faida lake hili. Tunakukubali mh Makonda Mungu akulinde na akuinue zaidi sana
@mukeragabilodiana9391
@mukeragabilodiana9391 6 месяцев назад
Huyu baba makond mungu ambaliki sana mimi ni murundi nirikuwa kambini tanzani arinisaidia sana na sasa niko ulaya yani watanzania wenye loho nzuli nyote mungu awazidishie balaka kwa jina ra yesu amen
@Maryc2G
@Maryc2G 6 месяцев назад
Asante Muheshimiwa Makonda kwa kumsaidia mtoto huyo na familia hiyo. Mungu asikupungukie kwa chochote.🌹🌹🌹🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@user-he1rn4og2i
@user-he1rn4og2i 3 месяца назад
Mungu akuhifadhi akubariki Mtumishi wa Mungu Mheshimiwa Makonda
@priscadaniel6459
@priscadaniel6459 6 месяцев назад
Makonda mungu akuweke sana .sio lazima kila mutu.aone.wema wako mungu akulkpe
@janethngowi1058
@janethngowi1058 6 месяцев назад
Kwa hili Mungu akubariki sana Makonda!
@mjukuuhotelitv7736
@mjukuuhotelitv7736 6 месяцев назад
Makonda wewe ni Magufuli mtupu Mungu akuweke zaidi
@laylayl5166
@laylayl5166 6 месяцев назад
Amiin amiin yaarab
@jackiesheo6063
@jackiesheo6063 6 месяцев назад
Haswa
@user-br7sf6ey9t
@user-br7sf6ey9t 6 месяцев назад
Asante sana mweshimiwa makonda ❤❤❤❤ mwenyezimungu akutunze mpaka vitukuuu visipungukiwe amina
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 6 месяцев назад
😢Umasikini unadhalilisha sana 😢😢MUNGU ampony mama ako 😢😢na wewe ni mwamba 🥰hongera sana dogo
@ramadhanimuya2162
@ramadhanimuya2162 6 месяцев назад
Nimempenda sana huyu dogo.safi sana.Mwenyezi mungu amsaidie.
@OlivaSilayo-mj5yf
@OlivaSilayo-mj5yf 3 месяца назад
😂
@KelvinBanda-pk5py
@KelvinBanda-pk5py Месяц назад
MH Paul makonda mungu wakujua kubariki akubariki katika kazi zako zote,unapolala,unapotembea,unapowaza katika kutetea wanyonge na mwenyezi mungu akulinde kwa hari ya juu.Mi ni malawi ila nimeshawahi kukaa huko Tanzania kwa miaka 10 ila nachonderea kuona unachoendera kukiona ila moyo wangu nafurahi sana hakika wewe kabisa ni magufuri wapiri .
@RukiaMwenge
@RukiaMwenge 6 месяцев назад
Mungu akubariki mhe makonda hicho unachokifanya mungu atakulipa.Hongera sana mtoto wetu ni shujaa sana atafika mbali mradi asome tu
@sheryphamwenevalley6124
@sheryphamwenevalley6124 6 месяцев назад
Namkubali sana makonda, viongozi wakifata mfano huu ubarikiwe sana makonda❤🎉🎉
@tatutumbi4640
@tatutumbi4640 6 месяцев назад
Makonda, Mungu Akubariki Sana Mwanangu. Huyo mtoto , ndoto zake zifike mbali.
@jeanmiruho4770
@jeanmiruho4770 6 месяцев назад
❤❤Ubarikiwe sana Makonda kuokoa maisha ya uyo mtoto Nakupata 5/5 från Stockholm Sweden
@BoavidaAlbenito
@BoavidaAlbenito 5 месяцев назад
🎉
@immabahatiimmabahati2373
@immabahatiimmabahati2373 6 месяцев назад
Mhuu mwenyezi mungu akuponye kabisa katika Jina LA yesu lililo Hai 🙏 huyo mama
@YasminaMkali
@YasminaMkali 6 месяцев назад
This is more than painful 😢😢😢....mie sio wa kulia lia, ila leo nimelia sana 😢😢😢 Mzimu wa Magufuli wamvaa Makonda ❤❤❤
@benjaminjoseph1747
@benjaminjoseph1747 6 месяцев назад
Yaani acha. Nimeguswa. Hakika nimemkumbuka mzee wetu JPM. Alale mahali pema.
@MuddyShaakif-wk8ni
@MuddyShaakif-wk8ni 6 месяцев назад
Dah sio uyu dogo amenifanya nilie kwa uchungu sana makonda mungu akulie endelea kuwa na moyo uwo uwo
@amosmakoba5042
@amosmakoba5042 6 месяцев назад
Ninamshukuru Mungu kwa kukupa ufahamu wa Neno lake mh Makonda.. Mungu kakupa nafasi ya kuwa kiongozi katika Taifa hili kwa kusudi maalumu. Moyo wako uigwe na wengine katika kuongoza wananchi...🙏🙏
@user-kr4kn4vc9z
@user-kr4kn4vc9z 6 месяцев назад
Pole sana mdgo wangu mwenyez mungu akusimamie na akubaliki kwenye utafutaji wako
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 6 месяцев назад
Mtoto maashaallah anaakili sana yakujisaidia nakujiakini Allah akufanyiewepesi makonda Allah atakulipa heri ulipotoa pataongezeka lnshaallah
@laylayl5166
@laylayl5166 6 месяцев назад
Amiin
@mugetakasenyi821
@mugetakasenyi821 6 месяцев назад
sikuwa nakuelewa kabisa kazi yako makonda lakini kwa hili dah! nimelia sana huyu mtoto asomeshwe na hikishindikana tushirikiane
@halidimgonza5945
@halidimgonza5945 6 месяцев назад
Allah atakufanyia wepes mtt mzr na akurudishe kwnye iman yko ya awali na akuongoze ktk njia iliyonyooka
@marieconnect6389
@marieconnect6389 6 месяцев назад
The president in the making. We have a future preside here. God thanks and bless our country with this kind of leaders. Amen
@jackiesheo6063
@jackiesheo6063 6 месяцев назад
Ameni
@judithkirenga9977
@judithkirenga9977 6 месяцев назад
Viongozi wetu huu ni ujumbe mzito sana kwenu, Wenzetu wanatengeneza future za vizazi vyao huku sisi tunatapanya pesa na kujivinjari kwenye mataifa ya watu wengine yaliyo endelea huku mkidharau na kuto kuidhamini Nchi yetu
@mamamdogo409
@mamamdogo409 6 месяцев назад
Niko Kenya nakufatilia sana ila kwa hili la huyu mtt nimetoa machozi mungu akubariki nakupenda bure
@SirasKeyoo
@SirasKeyoo 5 месяцев назад
Kenya sehemu gani
@habibabarker1644
@habibabarker1644 6 месяцев назад
Mwanangu Makonda Mungu akulipe na atakulipa tuu unasaidia wasiojiweza
@paschalnghomba4671
@paschalnghomba4671 8 дней назад
Makonda from Koromije near by Bugomba and Mwasubi,,,hakika ww ni mwamba na nikiongozi mzuri sana hakika unaweza sana Mkuu
@umsulaiman7468
@umsulaiman7468 6 месяцев назад
Makonda Mungu akuhifadh kwakweli unaiman na huruma Jaman Al haj Yahya Allah akuhifadh yarab usome ufaulu ManshaAllah unaakili baby wangu na
@mohamedsalat1066
@mohamedsalat1066 Месяц назад
Huyu mtoto msaidiyeni kabla haja poteza imani yake walahi siku ya kiyama tutaulizwa siku ya qiyama wale wako karibu nayo mimi walahi niko mbali sana lakini wale walio karibu ole wenu
@modestamashoke9038
@modestamashoke9038 6 месяцев назад
Mungu akubariki Mh Paul Makonda kwa kumsaidia huyu mtoto
@user-ok4fe4be9m
@user-ok4fe4be9m 6 месяцев назад
Makonda mungu akubariki sana kwa kazi nzuri
@marieconnect6389
@marieconnect6389 6 месяцев назад
Asante sana kaka Makonda kwa kuvaa roho ya ubinadamu. Mungu akubariki sana.
@samuelemmanuel3400
@samuelemmanuel3400 6 месяцев назад
Alienda kanisani akaombea akapona, such a miracle. Glory be to Jesus
@RobertsonNandime-eo9fp
@RobertsonNandime-eo9fp 6 месяцев назад
Amina❤❤
@JoyceMichael-bm9yw
@JoyceMichael-bm9yw 6 месяцев назад
Amen
@prizmtotnan2353
@prizmtotnan2353 6 месяцев назад
Na bado akainuliwa from no one to someone power of prayers
@isaliisu3408
@isaliisu3408 6 месяцев назад
Watoto wanaruhusiwa kujihusisha na siyasa
@greysonkisinda7390
@greysonkisinda7390 6 месяцев назад
​@@isaliisu3408😂 nawekumbe umemuona yule mtoto kavalia shati ya ccm
@Bensonfrank25
@Bensonfrank25 6 месяцев назад
Dah! Wekeni hata namba jamani tumsaidie uyu mtoto! 😭😭
@NdesaPesa
@NdesaPesa 23 дня назад
Mmmmmh,aseeee!!Paulo wewe ni mtu Wa Mungu,kwa hichi hakuna chochote kitakachokukuta hata kama atapewa sumu hufi maana hata kitabu Cha Mungu kimesema.Mungu akupe ulinzi thabiti baba yetu/kaka yetu P.M.❤❤❤❤❤❤❤
@tilifozakikoti5046
@tilifozakikoti5046 6 месяцев назад
Makonda Mungu azidi kukutunza uishii maisha marefu kazi yako njema sana ubarikiwe sanaa
@filbertmahay32
@filbertmahay32 6 месяцев назад
Hongera sana mheshimiwa makonda kwa kazi kubwa unayofanya ya kuwasikiliza na kuwasaidia wanyonge.
@lucaskagoma7605
@lucaskagoma7605 6 месяцев назад
Asante Sana Makonda kwa kumusaidia kijana huyu kwakweli kizuri huwa hakidumu naomba Makonda kuonana na wewe
@user-vm3vt7sx6h
@user-vm3vt7sx6h 6 месяцев назад
This kid will never forget you Sir!!! He will live to testify your greatness
@jackiesheo6063
@jackiesheo6063 6 месяцев назад
Exactly
@user-ibrahim35
@user-ibrahim35 6 месяцев назад
Pitapita za magu zinaonekana mungu akubless sana more than a. Leader
@user-ut5iv2bv7s
@user-ut5iv2bv7s 6 месяцев назад
Mpaka Nimetokwa Namachozi Mungu Amsimamie Huyu Mtoto
@hamzafishten9560
@hamzafishten9560 6 месяцев назад
Namimi kabisa
@JehovaJonas
@JehovaJonas 6 месяцев назад
Inaumiza kwa kweli
@immaculathaemmanuel8240
@immaculathaemmanuel8240 6 месяцев назад
Mimi nimejikuta nalia tu
@nkundajames3999
@nkundajames3999 6 месяцев назад
Dar huyu dogo nam fahamu japokua nilikua mgen kigoma lakin kunasiku nilimuona DOGO nikahisi kama kunakitu ndan yake nilimsaidia kwakile nilicho jaliwa mungu nimwema kumbe dogo anavitu vingi sana japo hatujaongea mambo mengi
@sabinuskomba2535
@sabinuskomba2535 6 месяцев назад
Nitafutie mawasiliano yake
@peterhelpeterluena9191
@peterhelpeterluena9191 6 месяцев назад
Hongera sana. Ulifanya vizuri sana. Mungu atakulipa siku yako ikifika.
@cjrtz
@cjrtz 2 месяца назад
Mungu asikupungukie nkunda james
@khadijakimana8809
@khadijakimana8809 6 месяцев назад
Makonda, Im following you from 🇨🇦 You're a nice man with good heart 💖 May God bless you and protects you💫🤲
@user-eu5fb7kd1y
@user-eu5fb7kd1y 6 месяцев назад
Amen
@jackiesheo6063
@jackiesheo6063 6 месяцев назад
Ameni
@user-io5gh8gd7b
@user-io5gh8gd7b 6 месяцев назад
Makonda mungu akubariki kaka akuongoze ktk kazi kwa kumsaidia huyo mtoto Asante kaka makonda
@hamzafishten9560
@hamzafishten9560 6 месяцев назад
Makonde Allah akulipe kaka yangu akupe urmi mrefu
@martinamahenge4476
@martinamahenge4476 6 месяцев назад
Another day to cry with stranger…😭😭😭😭😭
@budhbd5208
@budhbd5208 6 месяцев назад
Me to😢😢😢
@zurfapahenge8802
@zurfapahenge8802 6 месяцев назад
wow 😭
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 6 месяцев назад
Me too 😢😭😭
@azizahamisi7349
@azizahamisi7349 6 месяцев назад
Me to 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@JOYCEKIVUGO
@JOYCEKIVUGO 6 месяцев назад
​@@budhbd5208😊😊😊😊
@marieconnect6389
@marieconnect6389 6 месяцев назад
Tanzania yetu Mungu atatujali tu. Tufanye maombi kwa sana Mungu atatuelewa tu. Atupe vipngozi wazalendo wenye mapenzi ya kweli na nchi toka moyoni na wanaopenda kutumikia watu na siyo kutumikiwa. Watu hao wapo Mungu wetu awasimamishe sababu yeye amawajua. Tuombe bila kukata tamaa 🙏🙏🙏 Mungu wetu siyo kiziwi
@MsalabaniReko
@MsalabaniReko 3 месяца назад
Amina
@MaikoSiria
@MaikoSiria 2 месяца назад
kweli kabisa 😢😢😢😢
@marieconnect6389
@marieconnect6389 2 месяца назад
Amina na iwe hivyo
@SalomeEvarist
@SalomeEvarist 12 дней назад
Makonda mungu akubariki sana yani nikikutazama kama namwona baba yangu magufuli machozi yananibubujika kila nikikutaza mungu akulinde undelee kuwa na moyo huu huu kaka angu kipenzi cha watu Mungu akulinde huko uliko
@user-el6mm4lh4m
@user-el6mm4lh4m 6 месяцев назад
Makonda ni mwanadamu ktk wanadamu mungu ndo atakulipa🎉❤❤❤❤❤ C.C.M.Juu
@hamisimkulu6571
@hamisimkulu6571 6 месяцев назад
makonda we we nikiongozi
@mokitaa8750
@mokitaa8750 6 месяцев назад
muache kuchezea hela kwa kununua goli moja milioni 5 . mnateketeza hela kwenye mpira hali ya kua wananchi wenu wana hali mbaya sana
@husnathabiti4114
@husnathabiti4114 6 месяцев назад
Kweli kabisa
@ahmadisaidi3952
@ahmadisaidi3952 Месяц назад
Kila kitu na umuhimu wake ndio maana budget ya nchi huwekwa katika makundi yaani wizara kutokana na uhitaj, kwa mfano wizara ya TAMISEMI inatengewa budget kubwa kutokana na majukum mazito iliyo nayo
@MongoraNdege
@MongoraNdege 19 дней назад
Mungu akubariki saana Makonda kwa msaada wa kusaidia maskini na wahitaji akuondolee mitihani👃👃
@user-vq5vp2nm6l
@user-vq5vp2nm6l 10 дней назад
Mungu akubariki mkuu wa mukowa Arusha natamaani siku Moja ukawe rais wa Tanzania
@jacquelinenanze6530
@jacquelinenanze6530 6 месяцев назад
God Bless you Brother Makonda.
@user-dx1hz3ow7k
@user-dx1hz3ow7k 6 месяцев назад
Mungu akufanyie wepesi ktk kazi zako muheshikiwa Makonda
@Asuubrown
@Asuubrown 6 месяцев назад
Its so emotional wallahi,young boy like him takin care of the family as a Dad. Makonda live longer
@Pys590
@Pys590 6 месяцев назад
From tiktok . Aki qko na mungu wake..
@Maryc2G
@Maryc2G 6 месяцев назад
Mtoto anaakiri sana, Mungu ampiganie huyo mtoto
@GubraCity-dm5sx
@GubraCity-dm5sx 6 месяцев назад
😢😢😢😢unanikumbusha mbali mdogoangu umenigusa
@user-lt4vk6qy8i
@user-lt4vk6qy8i 6 месяцев назад
Kazi nzuri Mungu akutunze🙏🙏🙏
@AliHassan-fy6zk
@AliHassan-fy6zk 6 месяцев назад
Kazi safi Makonda Mungu akupe nguvu
@fadhilfundi6265
@fadhilfundi6265 6 месяцев назад
Daa Makonda Mungu akubariki urifanya kitu sahihi kabisa maana na sisi turipitia mitiani kama iyo msomeshe Allah atakuripa
@hilarymark7583
@hilarymark7583 6 месяцев назад
Huyu dogo apelekwe shule nzuri kisha jeshini moja kwa moja
@PrinceBonnyTz8
@PrinceBonnyTz8 6 месяцев назад
😅😅
@wilsonjaphet5547
@wilsonjaphet5547 6 месяцев назад
True
@SululuZungu-kx8ws
@SululuZungu-kx8ws 6 месяцев назад
Jeshini ya nyoko 😂😂
@bensonmasanja9862
@bensonmasanja9862 6 месяцев назад
​@@SululuZungu-kx8wsAnafaa kwenda jeshini,ana Uwezo mkubwa wa kiintelijensia.
@johnkigina1696
@johnkigina1696 6 месяцев назад
Jeshini ndo umeona pazur ndg mh
@ester.k.6837
@ester.k.6837 29 дней назад
MUNGU WA MBINGUNI akubariki sana kaka Paulo Makonda. Akuzidishie miaka ya kuishi, akulinde na mabaya yote kwa JINA LA YESU KRISTO. Amen!
@johnlucas8509
@johnlucas8509 3 месяца назад
Kwa kazi unayoifanya Makonda Mungu aendelee kukukumbuka zaidi katika kazi zako kwa kusaidia jamii na kuwapambania wanyonge
@bm4tv602
@bm4tv602 6 месяцев назад
Mwenyezi Mungu akujalie brother makonda
@user-vl9ic1rb3w
@user-vl9ic1rb3w 6 месяцев назад
Be blessed Big Bro. Makonda. Another Magufuli coming for TZ. May Allah protect for the Evils.
@jackiesheo6063
@jackiesheo6063 6 месяцев назад
Exactly
@chomasongidion6047
@chomasongidion6047 6 месяцев назад
Allah akuhifadhi inshallah urudi mtoto mzuri katika imani yako ,,makonda ubarikiwe sana
@stephenkilalacharles1981
@stephenkilalacharles1981 6 месяцев назад
GOD BLESS YOU BROTHER MAKONDA
@estermussa486
@estermussa486 6 месяцев назад
Kweli brother umezifuata nyayo mungu akuzidixhie
@aminarajab1045
@aminarajab1045 6 месяцев назад
Mtt anakichwa cha utajili mbeleake
@habibabarker1644
@habibabarker1644 6 месяцев назад
Alhamdulilah watu wakwetu jamani mmemchangia mtoto wetu Allah atawalipa
@user-rn6ft5yz2l
@user-rn6ft5yz2l 6 месяцев назад
Natamani sana machoni mwangu nikuone ukitawala hii nchi maombi yangu mungu kayafanyia kazi
@SarahWilliam-ik2nc
@SarahWilliam-ik2nc 4 месяца назад
Kweli KBS inshallah 🙏
@user-so5sd1fv1v
@user-so5sd1fv1v 2 месяца назад
dah MAKONDA namkubali xn
@gorethlutego2587
@gorethlutego2587 6 месяцев назад
Waooooh jamani nimefurahi bure be blessed Mhe.MAKONDA
@mariamkibindo1741
@mariamkibindo1741 6 месяцев назад
Nyieee MUNGU ni mwema sana alhamdulillah nakumbuka nami nilikuwa nasaidia mama angu kutembeza ndiz na bagia nkirudi shule alhamdulillah Sasa si haba
@lelomellowtz
@lelomellowtz 6 месяцев назад
IKIWA UNAJIONA WEWE NI MDHAIFU NA MNYONGE KUMBUKA MUNGU ANAPENDA KUTUMIA VITU NA WATU WADHAIFU NA WANYONGE WALIODHARAULIKA ILI KUONYESHA UKUU WAKE NA NGUVU ZAKE KWA KUWAINUA KATIKA VIWANGO VYA JUU KABISA. AMEN😭🙏🏽❤️
@ZuhuraMohamed-q2f
@ZuhuraMohamed-q2f 20 дней назад
Mungu akubariki we baba uweze kuzidi kutusaidia wore na inxhalah utalipwa hapa hapa duniania na aherA
@aminahhuawei1133
@aminahhuawei1133 6 месяцев назад
Allah akulinde kiongozi wetu makonda🙏🙏🙏😭❤️❤️❤️❤️❤️🥰🥰🥰
@zainab8251
@zainab8251 6 месяцев назад
Inaumiza sana،pole sana mwanangu mwenyexi MUNGU MWEMA
@rosemassawe9456
@rosemassawe9456 4 месяца назад
Mh. Makonda mungu akubariki pamoja na familia yako. Nimefurahi sana umeteuliwa kuja kwetu Arusha. Karibu sana ututetee sisi wakina mama ambao hatukupewa mkopo wa kurudisha bila riba. Kwani ni mungu amekuleta Arusha. Amina.
@AlfredAloyce-wh5nq
@AlfredAloyce-wh5nq 6 месяцев назад
Mungu akubariki kiongozi makonda
@LeodigaryPatrick-zo5kl
@LeodigaryPatrick-zo5kl 6 месяцев назад
One love makonda your the best ❤❤❤❤
@user-nu3gd9pt3y
@user-nu3gd9pt3y Месяц назад
Mungu akakufanye kichwa wala si mkia wa juu tu wala si wachini ukafanikiwe sana mdogo wangu Mungu akutunze
@hellenmagembe8768
@hellenmagembe8768 6 месяцев назад
Mungu akubark makonda,pia mungu akusaidie mtt mzuriii ufke mbali 😭😭😭
@user-ds8kq8ov6l
@user-ds8kq8ov6l 6 месяцев назад
Daaah nimeliaa sana jamn daah
@Carolina-sm5zt
@Carolina-sm5zt 6 месяцев назад
Mungu akujalie Kaka mpendwa wetu barikiwa sana
@dismaspascal6198
@dismaspascal6198 6 месяцев назад
Great makonda..mungu akubariki sana,one of the greatest leaders of all the time
@mohamedimiraji5495
@mohamedimiraji5495 2 месяца назад
I appreciate this mission for the poor and vulnerable. BIG-UP BROTHER MAKONDA
@BrendaGeorge-yz2px
@BrendaGeorge-yz2px 6 месяцев назад
Nimelia kwa uchungu xn, kuna watoto wanafanya kazi ngumu sana, umri wake wa kwenda shule huyu jomon. Duuuuuuuh Baba Makonda mshike mkono huyu mtoto, He'll make it oneday
@vivianboaz8653
@vivianboaz8653 6 месяцев назад
Mungu akupe maishani mrefu kiongozi
@SikujuaEmmanuel-fj4mg
@SikujuaEmmanuel-fj4mg 22 дня назад
Du!!!!Mungu akubariki pol makonda hakika Mungu kajizazia watu wazuri
@rosechrizant2850
@rosechrizant2850 11 дней назад
Mungu akubariki sana, Fanya maamuzi siku moja ututembelee Bukoba
@magrethjullias5770
@magrethjullias5770 6 месяцев назад
Mungu alibariki Tumbo lililo mbeba huyu mtoto miez tisa mama ake anabahat sana kameniliza
@juliusbaynit1060
@juliusbaynit1060 6 месяцев назад
Mungu akubariki sana Mh. Makonda
@Jesca-yl5xg
@Jesca-yl5xg 16 дней назад
Mungu akubarik sana daima twakuombea uishi miaka mingi nakuliendeleza taifa letu
@agathekibobe
@agathekibobe 20 дней назад
Kaka muweshimiwa makonda ndanimwako kuna kitu mungu kakuweka unaweza kuwa mutumukubywa ama ukawa nabii
@mamamdogo409
@mamamdogo409 6 месяцев назад
Makonda nakuja kutoka Kenya ,tuijenge inchi maombi yangu yalijibiwa kukurudisha uwanjani piga kazi
@Mery-st4nu
@Mery-st4nu 6 месяцев назад
Jaman nimeumia sanaa jaman makonda siungegombea uraisi
Далее
Kutana na Mama Mariam Nabatanzi  mwenye watoto 44
5:40
MWANAFUNZI MCHAWI |1|
9:03
Просмотров 4,7 млн