Masufi mnashida sana hakika njia ya kwenda kwa allah subhnallah imekaliwa na maadui wengi ndo kama hawa hakika hawa mashekhe wa tasaufi wazuia watu kujua haki hakika ni watu wabaya mnoo na hawa mashekhe kama hawa wanapaswa tuwachukie kwa ajiri ya allah
Acha NYAMBU MZEE.....MAULIDI NI IBADA YA KIZUSHI YA KUBUNI.....TENA IMEBUNIWA NA MASHIA AMBAO WANAMTUKANA RASUL......KARNE YA 4...MISR.....DOLA YA FATWIMIYA.......MCHENI ALLAH ....ACHENI NYAMBU
Khaa... izo hoja we... mmh ndio nini sasa sasa kuwa na darasa aubkudarisisha sehem siku flani ndio inaingia wapi na hoja ya kukhusisha siku na ibada flani... Tunamuomba Allah atuongoze
DOH TATIZO NI HAO WANAOSIKILIZA SJUI WANAELEWA !!! HUYU SHEKHE WENU ASEMA MAULIDI HUKMU YAKE NI MUBAAH, NA MUBAAH HUA HAKUNA DHAMBI WALA THAWABU UKIFANYA NA USIPOFANYA NI SAWA. SASA BASI WAAMBIENI HAO WANAOTOA PESA WENZENU WANAONA NI IBADA KUBWA
Ss ww mwerevu tuoneshe uwerevu wako tu uwone ama n Yale Yale useme Hujui 😂😂😂😂 Polee banaa hataa mkitupa sumu ss tuko pale pale ss n mtu mtume n ss mpka kufaaa
@@mybabyarchive2104 Kwa nini nyinyi Masufi mnanyoa ndevu zenu? Je, Mtume Salah allah alleyhi wasalam, alinyoa ndevu zake? Je, aliwaamrisha Umma wake kunyoa ndevu zao? Jibu ni hapana, bali aliwaamrisha tuzikuze ndevu zetu, na hilo ni amri ambayo tunapaswa kufuata. Lakini nyinyi Masufi hata hamjui jinsi ya kuswali vizuri. Pia mnafanya shirki kwa kuomba msaada kutoka kwa wafu, mkisema "Al madad ya Badawi" au "Al madad ya Sheikh Abdul Qadir."