Hii kila mwaka Inasemwa na watu maulidi tunaendelea kusoma.... Sio Lazima watu woooote wasome maulidi..... ndio maana ya kuwepo kukhitilifiana.... Mlokuwa hamsomi maulidi.. Msifatilie wala kuangalia.... Mbona Kulikuwa Kimyaa Endeleeni tu na Raddi kati yenu ma SALAFIYA ALJADIDA NA SALAFI WA KALE....
Tatizo la bachu anahisi ana elimu zaidi! Unajua most ya watu wanaishi kwa mihemko!!!! Sasa kujua kwingi mbele giza……. Hawezi kua na elimu ya kumshinda said jafar iwe itakavyokua…….. ( unajua kuna vitu vingi vyakukazia ili jamiii ikae sawa…. Vijana hawaswali na madawa ya kulevya au watu kudhulumiana katika jamii hivi vitu vilitakiwa vipigiwe kelele sana!!! Ila watu hawaoni wao maulidi maulidi!!!!!!!! Kuna mayatima na wajane wanasumbuka pia ilitakiwa waislamu na wanaharakati wayashughulie haya jamiii ingefikia mbali sana…..pia kuna sehemu vya vivuko wanafuzi wakirudi shule unaweza kusimamia kwa kuwavusha ili jamii kuepusha na mabalaaa ya ajali hatufanyi hivyo…watu wamekaaa kupinga maulidi ndio wanahisi kukamilisha uislamu…..watu wanafikra mbovu sana
Hhhhhhh yani mtabweka sanaa kisha mtachoka kama walivyo choka walio kua kabla yenu lakini maulidi tutayasoma na yatazidi kila kukicha mpka siku ya kiyama.
muhammad bachu upo sahihi tatizo sisi waislamu hupenda sana kukalilishwa bila kusoma na watu haohao wanatoa hadithi ya bi aisha alipo sema mtu atakayefanya jambo ambalo hatukulifanya sisi atarejeshewa mwenyewe sasa tuwaulize watu wa maulid hili ni la nani sasa
@@SalumKarzai subuhana llah haya tuletee dalili ili Jambo liwe ibada tunajuwa bila shaka imetoka kwa Allah na mtume wake tuambie ibada hii ilifundishwa na mtume yupi?? Maana ibada zote mtume alitufundisha Hadi kwenda masharti yake na vitenguzi vyake Sasa tupe dalili ibada hii imefundushwa na nani ili nasi tuifanye tupate hizo thawabu lete majibu ya kiilimu so ushabiki lete dalili ibada hii ilifundishwa na nani?? Ikiwa mtume ndo alitumwa kutufindisha ibada na mpk anakufa akuna maulidi ibada hii ililetwa na nani??
@@SalumKarzaiww ni katika watu wajinga wagatao mkumbo wasojuwa chochote kuhusu dini yao subuhana llah, Allah atuongoze uone hakki utaona kumbe nilikuwa katika ujinga hivyo hapo huwezi ona sawa na mende aishiye chooni hawezi ona arafu Ila ww uli pembeni ndo utajuwa mshikaji mende anaishi sehemu mbaya yenye harufu jitahidi uitafute hakki maisha ya dunia ya kupitia na dunia utaondoka itabaki matendo yako mazuri na njia uipitayo angalia usije ukaingia katika makundi 72 alotaja mtume katika uma wake yataingia motoni isije isipo kuwa kundi moja ni wale watakao kuwa kama Mimi na swahaba zangu.sasa jiangalie swahaba walipiga maulidi mtume mwenyewe alipiga maulidi jibu hakuna ww ujitazame nitaingia kwenye kundi alilosema mtume litasaimika na moto?? Ukiona unafata tuuh mkumbo bhasi ww uhofii siku ya kiama na adhabu za Allah inamana umejizira kuangamia utaweza vumilia adhabu za Allah lakini na za kudumu na kuendelea hufi wala uhumwi Sasa Imani so kitu Cha kucheza ndugu ukicheza duniani bhasi hutopata fursa ya kurudi duniani Tena ujipange
Say kaanza mwanamke haajar.nanyie na ndevu zenu mwafwata kitendo kile.kisha funga la ashura walianza mayahudi na mtume akafwata mbona?lakni na kufhamu sna uliwahi sema kuna nchi Mungu kawanyima fadhla za Arafa aibuuuuuu wallah
@@abuuaidh6500 Haki itabakia haki,na mwishowe itasimama tu,Ikiwa Allah ndie aliekadiria kila kitu,Qayyima yake itasimama,Allah keshatubainishia muongozo wake kutoka kwa mtume wake,hizi tafaraka na uzushi,tayari zikishatokezea kaumu zilizopita.Sisi ibada tutamfuata Allah muongozo wake,na aliyokuja nayo mtume wake,hiyo ndiyo haki. Waumini ni watulivu na ni wenye kusubira,
Labda nikujib kwan msikit ni dini? Tatizo mukiambiw bidaa hamuelew sio kilakit ni bidaa msikit sio dini ila zile ibada ndio dini pale makka ukiondeza ibada ndio kosa sio kuongeza msikiti tatizo hamtak kusoma
Bachu mbona uliondoka Zenji ukaja Kenya kupotosha watu? Ina maana wazanzibari walichoshwa na kielimu chako kitoto..rudi ukasome ukalinganie watu wa kwenu kwanza
Mbona mnapenda kuwachanganya waislamu misikiti ya Sunna ndio misikiti gani waislamu wote tunavyojua misikiti yote niyamwenyezimungu na humo hutajwa jina lake au hii misikiti mnayoita ya kisunna inajambo lingine.
Wasipochomwa watu wa Maulid watachomwa wasiopenda Maulidi maana tunadhani tuko sahihi sanaa na tukafikia kipindi tukajiweka pepo kwetu wenyewe Tafuta maneno ya hekima na busara kueleza watu sio kwa matusi hiyoo
Acha kumkweza na kiukwel kama mtume hakufanya jambo hili basi wwe na huto Saidi wako mna mtume wenu kivyenu acha tusubiri Allah atapeana ukweli upo wapi maana macho unayo na huon
Hata Makka watu wakizungumka alqaba wako wanaume kazi yao kugandisha wanawake wenye makalio makubwa viza vya ukweli hivi mtu analipwa kw nia hata mtu hata madrasa inatokezea
Naomba ujibu maswali haya je mtume aliwah kuigawa tauhidi namna tatu naomba dalili na naomb dalili niwap mtume aliwah kuwakusany watu na kuwashinadnish mashindano ya kur an naomba dalili
Waloruhusiwa na mtume kupiga dufu ni wanawake na vigori na wanaume wakiwaiga wanawake enzi hizo wakiitwa muhannasa Je wewe mwaume unae n'gan'gania kupiga dufu uko ktk kundi gani ktk haya 3
NAOMBA DALILI YA KUTOKA KWA MTUME WETU,,AU MASWAHABA,,KUSWALISHA TARAWEHE KWA JUZU MOJA KATIKA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI ,,SWAHABA NGANI KASWALISHA WATU TARAWEHE KWA JUZU MOJA NAMBIE
Anakuita abu rududi ukamueleze ni hadhyani au hadhayani sasa km hata lugha ya kiarabu kwako ni mtihani haya mengine utayaweza kweli kaka yangu wacha kujiaibisha kaa kitako usome kwanza wacha kuhangaika kwenye vinara vya elimu kuzidi kujitia aibu umemkosoa mwenzako kumbe ww ndio mwenye makosa *IKIWA HAUNA HAYA BASI FANYA ULITAKALO*
Nyinyi musisome lakini Sisi tutasoma na ndiokwanza maulidi yananawiri nyinyi kilamukipinga sisindomunatutianguvu zaidi hataibada yamaka niyalazima kulikomaulidi lakini hawaendiwatuwote
Muhammad bachu wallahy sema kma ww ni kidume tukuketee ustadh said popote ulipo sema tu wala hautochangia kitu uje ukojoe tena mbele za watu kwa aibu😂😂😂
Kijana nakushauri, fanya uliloamrishwa kufanya na acha ulilokatazwa kufanya au lililonyamaziwa na Allah na mtume wake,,,,, Allah alisha kamilisha kila kitu katika dini yake, Tuacheni kutaka kujifanya wajuzi kumshinda mtume,,, kwnn Mtume ainyamazie siku yake ya kuzaliwa...
@@mobilespecialschool4216 duh kumbe Dini sio uwanja wako yanapokuj mambo ya Dini kuwa msikilizaji au uliza kwa lengo l kutak kujua pia tafuta sehem usome Dini yako vizuuuur hutaburuzwa maana saiv ndugu yangu wewe ni chambo
@@mobilespecialschool4216 umesoma vitabu vya tauhiid vingap, Lugha, fiqhi n.k kam hujakaa na kusomeshwa hivyo vitu usipende kukoment kwasababu ya hamasa
Dah jmn hii ndo hoja ya kupinga maulid mbn tumeshuhudia visa vingi ramadhani watu wanatoka kwenda taraweeh kumbe wanatumia fursa hio kukutana na mawahara wao kufanya maovu bc tuondoe taraweeh pia haifai au mnasaje😂😂😂
Ata mkusanyiko wa hajj wameshawah shikwa waty wamezini wengine kuiba hadi leo watu wengi hawataki kukaa krb na wa nigeria sbbu ya wizi kwaio tuondoe hajj au 😂😂😂 dah tafuteni hoja zakielimi za kupinga maulid sio kupinga kwa chuki tu
@@LASSUH4947 Acha ujinga ww dini aipelekwi kwa matamanio yako mzushi ww issue so hivyo issue ni ibada ambayo imetumgwa na watu ikapachikwa hilo ndo lamsingi mara nyingi nyi watu wabidah mnatumia akili kutafuta uhalali wa uzushi wenu ila atushangai kama toka mtoto uliona hiyo ndo dini kutoka barabarani na mazefe hutoweza ongoka ni wakaidi sana watu bidah
Kwani mtume atangazwi katika Adhana misikitini na maspika kabisa na anatangazwa katika konngamano mbali mbali za usomaji na mashindano ya quruani. Unamtangaza katika mkusanyiko batwili uso sheriwa na kuridhiwa na Allah na mtume wake mnamtangaza mtume ndani yake kuna ufuska na maouvu yanafanywa watu hukutana na kupeana funguo za kufanya zinaa kheri gani katika Hilo hiyo so hoja kaka jipange upya njoo na jipya la kiilmu katika kutetea maulidi so porojo na maulidi hayateteki Sabu si Jambo liloshariwa na Allah na mtume wake havipo katika quruani hadithi za mtume unayaweka wapi? Na muanzilishi so muhammadi ibn abdi llah uzushi wa watu wakaupachika katika dini bhasi ukafundishwa katika majiis mbali mbali na kuupalilia uzushi huoo
Kitu kinacho wapelekea hawa watu wa maulidi kupotea kuhusu hili kuna makundi ma 3 katika washerekeao maulidi kundi la kwanza ni wale wafatao mikumbo tuuh na hili kundi ndo la wengi wasojuwa chochote kuhusu dini yao, kundi la pili ni wale wapendao malaji maslahi yani matumbo mbele dini nyuma😂😂😂 kundi la 3 ni la watu walopotea na wakawapoteza na wengine hawa ndo wabaya sana wame watenganisha watu na sunnh ya mtume wao na kuziangamiza sunnah na kuhuwisha bidaah.
@@abbaspaziaog2188 Acha kupayuka wewe Hizbi na huyo mropokaji wenu vibaraka wa Barahyan na Islam Mulidhani Masalafi ni vilaza kama Masufi na kuingililia mambo yasiyo muhusu mbona kakimbia ALLAH kamdhalilisha watu washamjua mropokaji tu huyo mze wa ku Google
@@hafidhwajina6718 Utaona vp wakati ALLAH kasha kutahini na uhizbiya Kama huoni huyo mropokaji wenu alivyo dhalilika kwa kuitukana markaz ibnu taymiya maana yake nini na wewe hizbi mpaka pale atakapo kiri ALLAH kamdhalilisha au ajibu maswali alio ulizwa na Abu ruduud
Abu rudud ameshinda,ametufundisha kuwa kuropoka na mropokaji ni sawa,sisi tumeelewa, so hatuendelei kupoteza muda au nini kingine unahitaji,au na maulid ni njia yako ikawa yauma ikiguswa
Ewe jadida neno hadhayani ni kupoteza maboya maswali 6 mmeshindwa jibu mmekimbilia kupoteza mada ili kutoka mchezoni kiufipi mmeshindwa hata huyo mafuta mwenyewe kimya mpk leo yule mafuta kumbe ni jahli mi nilikuwa sijui anakwambia dr islamu niletee mwanazuoni hata mmoja alisema kuchukuwq ilmu hata kwa shetani kaletewa zaidi ya 11 duhu ndo nkajuwa mafuta mtupu sasa kama mwalimu mtupu wanafunzi itakuwaje arafu umekomaa neno hilo hadhayani mbona bachu kamtowa makosa kibao abu rudud kusoma quruani aixee anavuruga vuruga na kuharibu kuruani vibaya mno ninyi jadida mmekalia ushabiki na kutowa watu katika sunnah majahli xana na chama chenu hicho ni cha wajinga wasojielewa vitabu vya ulamaa
Sheikh Bachu hakukimbia,ila anasubir Abuu Ruduud kwanza ahangaike na Hadhayaan na lugha,akishakumaliza huko ndo tunasubiri aje au afike kwenye point zetu muhimu zile tulizomuuliza,akifika huku hapo tutaingia uwanjani kwa hoja.
@@abbaspaziaog2188 Wewe una Usalafi Gani wew na huyo mropokaji Bachu mahizbi nyote vibaraka wa Barahyan na Islam Kazi yenu kutukana wanachuoni na kuwazulia uwongo
Mada za maulidi kila mwaka, hamna ajenda nyyengine? Mashekhe mnatuchosha na mada hizo hizo kila siku. Kwani waislamu wote wakisoma Maulid ndo tutapata utukufu gani? Na Waislamu wote wasiposoma Maulid ndo tutakuwa tayari tumepata Izza dhidi ya Ukafiri unaotutawala leo duniani? Acheni mada pumba
Jamaa wanahangaika hawa wanafikiri watu wote niwajinga na wapotevu kama wao na masalafi. kwanza salafi nikundi la kigaidi wamevamia dini. Dini yenu inamashaka sanaaaaa sanaaaaa.
Fauzaan bado hajaingia au kufika pale tunapopataka,bado yuko kwenye Hadhayaan kwanza na lugha,anahangaika nazo,tunasubiri afike kwenye zile point zetu muhimu,ikisha tuanze kushindana kwa hoja
Masufi hoja zenu hata mtoto mdogo asiyeweza kuongea vizuri anaweza kuzijibu, Masufi mcheni Allah maulidi sio dini,,,, maulidi sio dini,,,, maulidi sio dini,,,, Allah anasema ".......Mukizozana kitu kirudisheni kwa Allah na mtume wake....... (4:59)". Mtume alisema,,,,,,,,,, "........Atakayeishi baada yangu ataona ikh-tilafu zilizo nyingi, ni juu yenu kushikamana na sunna zangu na sunna za makhalifa wangu walio waongofu..."
@@user-lp3gi5wd4e Unafiqi mtupu. Mara ngapi tunamtaja katika sala ulisha ingia katika nyoyo za watu ukajua kua wanamchukia mtu. Au unataka kuwaambia watu ninyi masufi mnajua mambo ya Ghaibu. Pia mwalimu wangu alisha wahi kuniambia ukiona mtu Anawaita Mawahabi waislamu wenzake basi mtu huyo Hajitambui wala hajui hata anacho kifanya katika dini. Nina uhakika hujui neno Wahabi limeanza vipi na walio lianzisha walikua wana maana gani. Na kama unajua basi wewe ni katika wanao ficha chuki dhidi ya mtume na kujifanya kutetea baatwil kwa kumchukia mtume na kumzushia uzushi na uongo na kumtengenezea shirki.
@@OmarAbdalla-ug5yg Hoja yakuthibitisha ni hiyo aliosema Sheik hapo,Kuwa kunawatu wanakusanyika kwajiili ya kufanya maulid kukumbuka mazazi ya RASULILA,kua ni makosa.
Ni juu yetu kuchukua dini kutoka katika Quran na Sunnah,,,, "....Atakayezua katika Uislamu uzushi na akakiona kua ni kizuri (ibada zuri) ni kana kwamba amezania mtume s.a.w amefanya khiyana kufikisha ujumbe...."
Kwanza jifunze kuandika, unakosea herufi ya mwanzo wa sentensi, Yaani ilikua nikujibu ila maandishi yako yamenifanya bora nikuache tuu maanake hautonielewa.
Hiyo ndio elimu aliyotupa Allah hakutupa elimu kubwa nandiomana unatakiwa usome na huwez kuhitim elimu haina mwisho kwamana hakuna mt mweny elimu kubwa ndio mana kunamt anaelimu ya kutengeneza dau mwengne hawez kutengeneza ila anaelim ya uvuvi kwakifupi ww umekosa akili ndio tatizo
Said mapiano hana lolote ispokuwa anataka sifa za watu lkn kumbuka kuna siku atajutsiya na namajutsoyake hayato mfaa chochote wala ww unaumuyeta kiboko huwezi kwedra kumu tretreya siku hio😢😢😢😢😢😢😢😢
Hahaha iblisi mkiambiwa anapenda sana watu wa bidaa zaidi ya wapenda maasiya ndo hivyo kwasababu ukweli hamuutaki mnaona ndio haki ndio dini ila iblis anajua mfanya maaswia ipo cku anaweza kuacha ila weye sio rahisi kuijua haki mn unahisi huko uliko ndio haki na hutaki ujue ukweli juu ya dini yako ndugu yangu maisha ya akhera ni ya milele unajua maana ya milele sasa wewe endelea kukata viuno uone hiyo kesho yako
Hata abdallah bin suud sahaba huyu aliwakuta watu wamejikusanya vikund vikndi wakiwa wamekusany vijiwe wakimtaja Allah akawakataza kwakua sio utaratibu wa mtume
Mwalimu wangu aliniambia ukiona mtu anawaita waislamu wenzake Mawahabi basi mtu huyo Hajitambui wala hajui hata anacho kifanya maana Akijua Sababu ya msemo huu wa Wahabi yeye mwenyewe atajiona mjinga. Cha msingi Fanya utafiti ndugu yangu usiingie katika jopo la waislamu wajinga wasio jielewa. Kwasababu anaejielewa kila anacho kifanya katika dini lazima Uwe na Dalili.
Kwa hiyo kupiga dufu ndio kuwa na akili? TazaMa maneno ya maulamaa wakubwa maimamu wanne juu ya mwanaume apigaye dufu ana akili sawasawa? Kususa kwenu haki sio kutukomoa Bali kujikomoa watu was Nuh walisema hatuwaachi miungu yetu Yaghuta, Suwaa'a , yauuqa na Nasra wakaangamizwa wakabakia na hasara na ninyi sio was mwanzo kungangania batili mpaka qiyaama
Ukiona mtu anataka dalili katika jambo la dini. Basi jua ni mtu sahihi sana kumuelekeza juu ya dalili anayoihitaji. Ndugu yangu dalili ni hii juu ya Kumpwekesha Allah katika namna tatu labda ukatae Haqqi uwe munaafig na Murtadi. Maana hukmu ya kukataa hata aya moja katika Quraani au hadithi sahihi unakua Kafiri. Dalili hii hapa. { رَّبُّ ٱلسَّمَـٰوَ ٰتِ وَٱلۡأَرۡضِ وَمَا بَیۡنَهُمَا فَٱعۡبُدۡهُ وَٱصۡطَبِرۡ لِعِبَـٰدَتِهِۦۚ هَلۡ تَعۡلَمُ لَهُۥ سَمِیࣰّا } [Surah Maryam: 65]