Nyimbo zenu ni nzuri ajabu nefanikiwa kuwarushia rafiki zangu wasio wasabato wamevutiwa Sana na Nyimbo zenu, Mungu wa mbinguni awape hekima na maono juu ya utunzi wa Nyimbo nzuri kama hizi. Mbarikiwe sana
Nimefiwa na mume wangu tarehe 14/02/2023 Ni zawadi pekee aliyonipatia siku ya valentine kupoteza uhai wake. Wimbo huu utabaki kuwa faraja yangu katika kipindi hiki cha majonzi kwangu
Mubarikiwe Sana wapendwa MUNGU azd kuwainua. Napenda kujiunga nanyi.. ila zaidi ya yote tutaimba mbele ya kiti Cha enzi.. Naaamn mubarikiwe Sana MUNGU azd kuwapigania 🙏