Allah awaongoze ndugu zetu masufi wapo kwenye giza zito Sana hoja zote wanazo zibainisha masalafi kwa ufahamu wa maswahaba lakin hawaelew poleni huo ni msiba
Asante shekh Idd Hawa watu sio waislam hatupaswi hâta kula n'ai ndio wameharibu wislam kila Kona n'a kuleta makundi yanayokufurisha waislam laana ya Allah iwafikie kwa upotofu wao.
MUongo ww. kwani mtu wako amekuwa akitumia Falsafa nying na Talbiisat na wanaomuelewa sanaa Ni watu wavivu na Awaamu na Masufi wenzie. ni mtu hana Historia ya Kusoma kwan Alifukuzwa Na Mwalimu wake Huyo kwenye picha. Alishaulizwa Maswali Na hajajib mpaka Leo.Kaz yake ni kuleta mijadala Mipya.
@@أبوفيصل-د3ش Wew Falsafa umeisoma wapi??? Hapo hakuna Falsafa tuulize tunaojua hiyo Falsafa hapo shekh katembea na Usuul acha wehu kijana mdogo wa kiwahabi
@@fahmiiidrisa5110 Falsafa ni Moja kati ya Elimu wanazojifunza masufi.Inaitwa Elimul Kalaami wa ilmul Hisaabi Wa ilimul Mantwiqi. Ukitaka Kunambia Sio Zipo wap Dalili za Kielimu?? Kwanza atueleze Uwahabi ni nin na kama ww waweza Msaidie
Tupo Tunaoelewa Na Kufahamu Madini Unayoyatoa Usikatike Moyo Shekh Na Wewe Hakika Kbca Mungu Amekuteua Kwa Kazi Hii (Wanafunzi Wenzangu Acheni Ushabiki Sikiliza Hoja Kisha Pambanua) Kisha Nimegundua Kama Mawahabi Wanakimbilia Kukoment Upuuz Kabla Kusikiliza Hoja..
Uwahabi umeanza Miaka 200 iliopita. Uwahabi ni sawa na Niacea Conference ya Pili. Uwahabi uliondoa Dola ya Ban Hashim ya Shariff Hussein na kushirikiana na Wayahudi na Wazungu kuunda dola itayo control Kitivu cha uislam. Ni project kubwa ya kijasusi kutoka kwa Mayahudi. Hawa pia walifanikiwa Kuwavuruga Wafuasi wa Nabii Issa Aleihi Salam na kuwaundia utatu! Tuwe makini sana nao
Naam shekh Muhammad Idd sisi tunakupata vizur ..pia bab deo anafanya kaz bora Allah awaongoze...lakin yule shekh Mohamed isihaka hiv shekh unasikiliza kwasababu naona kama anapiga stor mana hana mada wala hiyo radi haieleweki kwakweli sim mtu wa kubishana nae
Muhammad idi ungekuwa mkweli ungemaliza ule mjadala uloanza na shekh mafuta. Na mkakubaliana kuwa hamtakimbiana. Kule hujamalza ushaanzisha mengne. Ww sio mkweli
Toa hoja na dalili maana tunaishi nao hatuwaoni hivyo zaidi ya kuwaona wao wanafuata qur an na hadithi za mtume katika maisha yso kila siku wao na familia zao.Toauti na hao wengine.
HUYU Sheikh badala ya kuwaleta watu kwenye Uislamu au kwenda vijijini kuwasilimisha watu,kazi yake ni kuleta mfarakano ndani ya Uislamu. Anafurahia kubaki tu mjini Dar mbele ya camera 😊
@@abuuuyaynah8801 sasa unajuaje je kama yeye hajaifanya kuwa badal Shekh wang alinambia ukipenda kukosoa sana unawaonesha watu kuwa wew kiwango chak kdog
@@abuuuyaynah8801 إذا رمت أن تحيا سليما من الأذى ودينك موفور وعرضك صين لسانك لا تذكر به عورة امرئ فكلك عورات وللناس ألسن وعيناك إن أبدت إليك معايبا فدعها وقل يا عين للناس أعين
Nyie Babdeo hawa ndio watu wenu. Na ile Kauli yenu kusema eti hamfungani na yeyote ktk Masheikh Eti mnaweka Audio za yeyote. Mbona hamkuweka Audio Za Radd dhidi ya huyu mtu Kuhusiana na UWAHABI,MWEZI MWANDAMO.
Huyu kweli itakua anavuta bangi khaaa😂😂😂Saa nzima utumbo mtupu! Ila nmecheka zaidi hapo mwisho aliposema eti "Sisi waislamu tunaamini kuwa maiti wanasikia" Nmejiuliza ni waislamu gani hao wasiojua kauli yake Allah mtukufu " Mukiwaita/mukiwaomba hawawezi kuyasikia maombi yenu..."
Sheikh kasome bado elimu hujafikia hata akida yako ni mtihani sana. Lugha tu lakin elimu ya sheria hakuna kitu kabisa mweupe sana. Ila kiuoande wa siyasa ukiingia unafaa sana sheikh Abuu Eid maana wanasiyasa wapo hivi. Njoo ukae muhadhara wa kujibizana macho kwa uso na usikimbie ndiko wanafunzi wako watasoma kweli na kuelewa vizuri bali sio ukimbie pembeni ukiweka picha ya sheikh kama vile ndio nguzo yako.
Kama Sifa ya mawahabi ni kuwadharau Masheikh Basi na ww ni Wahabi Mkubwa kwani ulimdharau Sheikh Kilemile Na kusema ni Mpotoshaji.Mwaka 2020... Na tukizingatia Sheikh Kilemile amekuzid umri Abuu Idd.Na ana digrii of Aqida.
Salamu yenyewe hajui kutoa eti taaaala mzee hajajiandaaa kabisa mala abehue mala jashoo 😂😂😂 mzee hajui kusoma kwanza mashekhe zetu inabidi watuachie hawa wazee
Jambo ambalo Tunaliona kwa Abuu Idd Ni Lahaja ya Kiarabu hana,Halafu Muoga wa kusoma Ibara kwa Lugha ya kiarab ila ni kidogo Na pia Anakosea pia. Na haya ndio Aliwahi kusemwa Ktk Radd dhid yake.
@@ingodwetrust1852 Huyu ni Sheikh Kwa kipimo gani??amesoma wapi?? Alijitokeza hadharani Kama hiv anavofanya na kudai madai ya uongo kuwa Yeye alimsomesha Qassim Mafuta Pale Shamsiyah. Na Qassim mafuta Alikanusha na kupinga kwa kiapo,na Alimwambia Aoneshe lini na wap na kitab gan Ambacho Aliwahi kumsomesha...!?Alirudi kujing'ata ng'ata. Nasemaje huyu anaskilizwa Na Wajinga kama wew mnaowafanha kila anayeongea Ni Sheikh.Sisi tunaofatilia Dini yetu kwa Dalili Hatuna haja na porojo zake mtandaoni.Na mtume Alishasema Watakuja Maruweybidhwa.Hakika amesema kweli mtume wa Allah
maulidi sio mawahabi ndio wasema ni bidaaa Bali maulidi ni uzushi ktk dini ya yangu maulidi yamezusha karne ya 7 na mashia na kama kweli wampenda mtuma mtume alishasema kuwa anafunga siku ya JUMA tatu kwa sababu kazaliwa ,kwa hiyo kama wampenda funga kama mtume صلى الله عليه وسلم
Huyo mwanamke kweli alikua anaakili ndio maana alitambua muislam sahihi aliokua anaulingania Mohammed bin Abdulwahaab Baada ya kuwa umeharibiwa na masufi zama hizo
Ah acheni Mambo ya malumbano hayo, diini inapotea makafiri wanaibomoa mbele nyuma, nyie mnaoneshana Nani mwenye elimu zaidi ya mwenziwe, vijana wanasema sio poa kabisa. Ah miaka hii raddi! Tusubiri kizazi kijacho yamjaaliwaye tuone vimbwanga vyengine, maana UMEKUWA Kama fasheni Sasa. Badilikeni mashekhe zetu.
Hata hawa masheikh vilevile wanaweza kuwa ulafiri vilevile au wakawa waharibifu wa diini zaidi hata ya wasio waislamu chukua tahadhari na soma dini yako sio kuskiiza shida tunaskiiza saana kwa vi point point vinavyohitajika na nafsi yako
Usihukumu moja kwa moja kuwa Abuu Idd ni muongo juu ya kauli yake yakumsomesha Kassim Mafuta...wewe hukuwepo aliposoma Tamta na pia mwenyewe Mafuta anasikia na bado hajakanusha kuwa hajasomeshwa...sioni shida yeye kusema kamsomesha kwasababu Mafuta alimkuta Abuu Idd na alitangulia kiilmi...sasa kama hujui usihukumu
Alishakanusha na kaambiwa ataje kitabu gani kamfundisha abul fadhili.... hana majb ya yale ya mwanzo hata moja ila miongoni mwalo ni hilo kukataliwa kutomfundisha abulfadhil
Huyu ni mpotoshaji. Twariqa sio Dini ni Vikundi tu. Hadith inayosema من سن في الإسلام سنة حسنة...... Yeyote atakayehuisha sunna njema(nzuri)....... Kinachomsumbua Hapa Sufi huyu Ni Tafsir ya neno "Sanna" ametafsiri kwa maana "Bidaa" Haelewi Tofaut ya Maneno haya mawili ktk Lugha ya kiarabu. Pili :Sababu ya Hadith hii Ni Swahaba Aliyetowa sadaqa.wakat mtume Anahimiza watu watowe sadaka lakin Walichelewa Mpaka Alipoanzisha huyu kuitowa Ndipo wengne wakaamka na kuanza kutowa... Kwa hyo sabab Ya hadith ni Sadaka swali kwa Masufi je,Sadaka haipo au haikuwepo mpaka Alipotowa huyu Swahaba.???
@@AhmedWetaka101 kanuni ya kisheria inasema inaposhindikan kutafsir neno kwa hakika ndo utumie majazi إذا تعذرت الحقيقة يصار إلى المجاز kweny hlo neno sanna kuna udhur gan wa kutafsri kwa tafsri yake ya hakika mpka mtu atumie majazi?
Uwahabi umeanza Miaka 200 iliopita. Uwahabi ni sawa na Niacea Conference ya Pili. Uwahabi uliondoa Dola ya Ban Hashim ya Shariff Hussein na kushirikiana na Wayahudi na Wazungu kuunda dola itayo control Kitivu cha uislam. Ni project kubwa ya kijasusi kutoka kwa Mayahudi. Hawa pia walifanikiwa Kuwavuruga Wafuasi wa Nabii Issa Aleihi Salam na kuwaundia utatu! Tuwe makini sana nao
Uwe na yakini unayoyasema hilo ulilolizungumza ni kubwa mno na utowe hoja na dalili ukiwazushia uongo watu wema hukumu yake ni kubwa mbele ya Allah.Haya si mazungumzo wala utani kama wa simba na yanga.Chunga ulimi.