Serikali imepanga kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa katika eneo la Ngungungu - Mamire wilayani Babati, mkoani Manyara ili uweze kurahisisha mawasiliano kwa mikoa mitano inayozunguka mkoa huo.
--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali tembelea www.dar24.com
#Dar24 #Dar24Media
5 сен 2024