Huyu mwanaume nampenda mke wake, wana mtoto pamoja na walikua wanaishi pamoja, ni rafiki wa tangu utotoni. Hao wazazi na ndugu ndio wamemvuruga. Watu Wamsaidie zile shs laki mbili zilizobakia, akazilipe warudiane na mke wake
@@joycekisamo4896 huenda Mwenyezi Mungu kamuepusha na hiyo ndoa. Ukweli familia ya huyo mwanamke haifai kabisa ni bora atafute tu mwanamke mwingine aoe. Likuepukalo lina kheri na wewe hivyo asing'ang,'anie mahali asipopendwa - hiyo famìlia bomu asiikaribie tena
Kweli kabisa kila jambo linakuwa ma makusudi yake Kuna jambo Mungu kakuepusha kitu jamani Kaka Mungu atakupa mke mwingine huyo anaweza kuwa siyo wa kwako
Nikwel kabisa uyu kaka anabusara Sana na anahitaji tuzo na zawadi kiukwel mana angekuwa mwengine angefanya kitu Cha ajabu Sana..kiukwel uyu kaka anahitaji zawadi na achongewe Sanam pale dodoma au dar ...mwanaume wa mwaka...na inaonyesha mambo yake mala nyingi anayaendesha Kwa positive safi kaka mungu akubaliki na akulinde daima
Duuuuuuu!!!! Kumbe kukimbiwa na bibi harusi ulikuwa ni mpango wa Mungu. Hongera sana ndugu, kweli nimeamini baraka za Mungu zinakuja katika mazuri ya ajabu sana. Mungu amekuondolea huyo shetani, amekupa baraka, acha Mungu aitwe Mungu tu.
Tena sio maajabu ni upuuzi sana yaani maswala ya kukimbiwa kwa tanzania na tuzo wanatoa msichana hajulikani alipo sema waja watasema ya Mungu @@leokamil6284
Kuna wa2 mnatunyima jambo mnatupeleka kwenye hatima yetu🙏🏻asante umemnyima ndoa ila umaarufu huu kuna k2 pia kizuri zaidi Mungu anaenda kumpa🤲amen🙏🏻kaka be blessed🙏🏻
Hongera sana Mheshimiwa Dorothy Gwajima Umenitahidi kumtia moyo huyu mwanaume! Na iliwahi tokea huku MBEYA - Kyela Siku ya Harusi Bibi Harusi alitoroshwa Siku ya Harusi/ sherehe HADI Zambia! Na akaja kurudi kwa mume wake Baada ya miaka nenda Rudi akiwa na mtoto! Lakini yule mume alimpokea na maisha yakaendelea!
Unajua kila Jambo huja na sababu na makusud ya Mungu hutimia nadhan bi arus asingegoma leo isingekuwa hivi kwa huyu kaka so ilikuwa njia ya kijana kufika apa yote kwa yote ashukuriwe MUNGU wa mbinguni🙏🙏Ila bi harus uko aliko anajifunza kituuuu
Pole kijana shetani ameshindwa neno la Mungu linasema, Mungu hatakupatia jaribu lisilo la kawaida kwa binadamu na atakupa mrango wa kutokea kuwa mtulivu tu Mungu ana njia nyingi sana za kulinda watoto wake Hongera❤❤
Huyu mwanaume nampenda mke wake, wana mtoto pamoja na walikua wanaishi pamoja, ni rafiki wa tangu utotoni. Hao wazazi na ndugu ndio wamemvuruga. Watu Wamsaidie zile shs laki mbili zilizobakia, akazilipe warudiane na mke wake
🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤ safi sana mheshimiwa mameno yako yabusara sana Mungu akubariki Dadangu , we ni mama bora sana na kiongozi mwenyewe busara hekima na Mwenyewezi Mungu aendelee kuku kuli da na kuku wpis ha na mabaya yote. Endelea kupiga kazi dadangu 👌💓🌺🔥⚡️✨⭐️🥂💫💞💥🎻🎻❤️🔥❤️🔥🥁🥁 Singida oyeeeee✅
Mungu ugeuza mabaya kuwa mema.Kwakuzira biarusi walidhani wamemwaibisha bwana harusi,kumbe ndo nchi nzima tumemjua.Kaka umeinuliwa juu sana mpk serikali imekutambua ww ni mtu mkuu sana.Bi harusi pole ulileta dharau kwa pesa kidogo iliyobakia ila naona kwa baadae utamtanani sana jinsi alivyoinuliwa juu na hilo tuzo lawezaambatana na furusa kubao.Ubarikiwe sana bwa bwana arusi kwa uvumilivu mkubwa.
Hongera bro, mshukuru mungu. Everything for reason labda ndio kakufungulia njia ya mafanikio. Na pia yupo mwingine ambaye mzuri zaidi ya huyo utampata . Huyo dio riziki yako na dio uliyebalikiwa nae.❤
SISI WENGINE TULIVUKA HIKI KIZINGITI ILA TULIPOFIKISHWA KWENYE VYOMBO VYA SHERIA TUKAITWA WASHAMBA ...Jamii huwa inapenda kuona mwanamke kapigwa na kuumizwa sana ndio wajue kweli huyu ni mwanaume Kumbe unaweza kudeal na tatizo kwa njia nyingine na ukawin...Hongera sana kaka wewe utakua sehemu ya wawakili wa Wanaume tulio na hekima zaidi
Masha Allah hongera mheshimiwa gwajima Mungu akubariki sanaa Ombi kwa mama samia panga pangua sawa ila please usitupangulie huyu mama kwenye hii wizara
Ukishinda vita Mungu anakupeleka utukufu hadi utukufu. Mungu hawezi kukufungia milango yote, angekuwa mwingine angejiuua. Hongera mheshimiwa kwa kutambua hilo
Natamani huyu kaka apate pesa nyingi awe tajiri na apate mwanamke mzuri aowe afanye harusi kubwa sana ionekane kwenye mitandao na ile familia na binti aliemdharau na kumkataa waone Mungu alivowa ajabu
unaambiwa njia za Mungu hazijawai kuwazwa na binadamu, pale unapoona ni pagumu na hakuna njia, endelea kua na hekima kwan mwanga uko karibu kuja, kijana saizi matangazo ya biashara yatakuja kama siafu, hakikisha una hama mtaa ili bibi harusi asikutege tena 🤣🤣 kwako bibi harusi, pole sanaaa maana umetumika kama daraja la kumvusha kijana wetu huyu toka Misri hadi nchi yenye mema, Kwa familia ya bibi harusi, poleni sana maana nyie ndio vishoia no1 mliomdanganya mtoto wenu mkiamini mtamkomesha bwana harusi, nawaona saiz mnavozidi kumtia moyo bibi harusi kwamba wanaume wako wengi ..
Huyu kaka amenifundisha kitu kikubwa sana haijalishi ntapitia changamoto gan kwenye maisha yangu ntamshuku Mungu kwa yote na bado nitaendelea kuwa na tumain 🙏🙏 kuna wakati Mungu anakuondolea mtu kwenye maisha nia yake sio kukuumiza bali kuna nyakati nilazima upitie ili Mungu ainuliwe hakika kuna mabadiliko mazur kwa mtu anayemtumainia Mungu siku zote
Hongera mh.waziri kiukweli hujawai kuliangusha Taifa jambo jema ata usipo mpa chochote maneno yako uliyotamka ni tiba tosha kwa huyo kijana mungu akubariki sana.
Njia za MUNGU si njia za wanadamu Wala mawazo yake si mawazo ya wanadamu. @ambwene mwasongweSong: TUMEKUBALIKA NA MUNGU "Walidhani wanatukimbiza kumbe wanatusindikiza".