DAR ES SALAAM TANZANIA
Tanzania inatarajiwa kuandika Historia mwaka huu wa 2019 kwa kuzindua Treni yake ya kwanza ya Umeme ambayo itafanya safari zake kutoka Jijini Dar Es Salaam hadi Morogoro,ambapo hadi sasa Ujenzi wa Reli awamu umefikia asilimia ZAIDI YA 40
14 окт 2024