Nilipopiga kura kumchagua J.P.M nilijua hatoniangusha!!! sasa nayaona matunda ya kura yangu.na kwa kazi hii nahifadhi kura nyingine 2020.wanaohesabu waihesabu kabisa. Viva J.P.M,Viva Tanzania!!
Anfang Anfang,yaani J.P.M ananipa raha sana kwa maendeleo anayotuletea. ingekuwa rahisi kuonana nae.ningempelekea kuku zawadi akachinje x mass watoto wale. raisi wa kipekee kabisa kuwahi kutokea Afrika.
Asante sana mwenyez MUNGU kwakuzidi kuripa mafanikio makubwa san taifa retu ewe mwenyez MUNGU tunazidu kukuomba enderea kumuongoza vyema raisi wetu na wakandarasi wetu ewe mwenyez MUNGU mkuu
Kazi nzuri sana Hongera Mh.RAIS na serikali yako kwa ujumla ujenzi wa vituo umezingatia maeneo na muonekano wa asili wa mali asili zinazopatikana katika Nchi yetu. lkn ndugu zangu wa TZ uzuri na ubora wa Reli haupo ktk uzuri wa vituo bali ktk aina ya Reli yenyewe na uwezo wake ktk swala zima la ubora na Gharama za uendeshaji. HAPA KAZI TU!
Majengo ya Station wangewapa Wichina, Wachina wana uwezo mkubwa for artistic impression - Waturuki hilo hawana hata ukienda kwao, majengo ya masteisheni hayana mvuto wowote, ujenzi wa reli wanejitahidi sana lakini sio majengo - sisemi haya kwa nia mbaya. Jaribu kuchunguza ujenzi was Station za reli na majengo ya viwanja vya ndege huko Uchina na sehemu nyingine Wachina walizo pewa tenda mfano Africa magharibi na Kenya, angalia Station za reli ya kisasa ya Kenya - muonekano wa Station zao unavutia sana sana.
hongera sana Mh Rais JPM najua sitapata Rais mwingine baada ya ww mwenye upeo kama ww ila najua pia kuna wenzetu wenye maono tofauti kutokana na upeo wao uliowafikisha hapa kukataa kila jema nazani ni bahati mbaya tu ila tunakupongeza sisi weengi tunapenda kazi yako usiogope kelele za chura we kunywa maji tu (chapa kazi)
TRC reli TV. Haya maneno na hizi picha na hayo maduka nadhani haituvutii sisi ambao tumetathminiwa nyumba zetu mwaka sasa. Tunashindwa kupanga maisha yetu. Sasa nendeni mkaoneshe na wakazi wa ukonga wanavyo hangaika. Sikilizeni na mioneshe kero za wananchi
Magufuli alingekuwepo hayo majengo yangejengwa yote, lkn kwa sasa limechakachuliwa hilo jengo refu halijajengwa. Hata hilo lingene ni ndogo sana halina hadhi ukilinganisha na stasheni yentewe ilivyo
Nadhani mwakilishaji hana uzoefu wa kupresent, hakuandaa picha nzuri za kutuelezea pengine vituo ni vizuri zaidi. Pili sehemu kubwa ya mapato ya treni hii ni mizigo, hakutuonesha kabisa sehemu za mizigo amekazia sana kwenye abiria, tungependa kuona pia na mizigo. Tuzingatie maoni ya wananchi juu ya design views za vituo, mradi ni mkubwa tafadhali tusiukosee tukamwangusha Raisi wetu. Mliopewa dhamana ya usimamizi na ushauri tafadhali tumieni elimu na akili zenu vizuri, umizeni vichwa simamiemi kwa ukaribu na kwa uchunguzi, mjadiliane kila details za mradi na kukubaliana.
Watanzania pendeni effort za gvt yenu.kama mnataka kujenga reli kama yetu kenya mtahitaji big commitment in terms of pesa.reli ya kenya ni ya mizigo juu na chini yaani double stack kwahivyo kama pillars ,slippers na vyuma ni nyembamba hence requiring more money.kwahivyo vituo vyenu viko sawa.reli ya kenya ni tofauti na Ethiopia na yenu Tanzania in terms of purpose use,kwahivyo reli yenu itawasidia don't complain a lot like am seeing in the comments
Watanzania hawajui Zuri Leo watacomplain lkn mradi ukiisha utaona kila mtu anasifia na kuomba ungepita hata kijijini kwao. Mfano BRT project watu waliponda sana ulipoisha watu walimiminika kwenda kupanda na wakasifia sana
Totida Tutadu ni ukweli Mimi ni mkenya reli ya Tanzania imejengwa na yapi ambao ndio wamejenga Dubai metro kwahivyo sioni haja ya kulalamika kwasababu they are very professional. Hakuna haja ya kucomplain na kujilinganisha na nchi zingine hii reli itasaidia sana Tanzania
Kazi nzuri inayofanya serikali ya hawamu ya tano pia naishauri kama ingetengeneza toll get kwa magari yanayo kwenda mikoani na kurudi mjini kila gari likilipa hata shilingi miambili kwa kila gari fedha izo zinaweza zikanunua atamadawa hospitalin
Hiv mnawezaje kutuaminisha hizi stesheni zitakamilika kabla ya November 2019 leo ni January 2019 mpo kwenye site clearance na leveling!!!!!Ni majengo gani hayo makubwa yanayojengwa ndani ya miezi 10.Msaada kwny tuta plz kama kuna civil engineers wanisaidie kitaalamu!!!!
Chananja Mwandikila TLENI YA NANILIIII ndiyo nini? Ila huo mjengo hapo hands up. Whoever design it BIG UP. You've done remarkable job. Well done. But Mwandikila NANILIIII ndio nini?
Kwa mawazo yangu natamani kuona ktuo cha pugu kiwe kikubwa sana. Sabab kipo nje ya mji yaani msongamano mdogo na pili ndio sehem pekee dar unaweza pata sehem kubwa. Mfano kituo cha mabasi ubungo leo kinapelekwa mbezi
Katika watu ambao hawalitakii taifa lao mema ni watz.. Tena baadhi yao.. Hata ukifanya mazuri ya kushangaza kwao ni ugonjwa tu.. ILa zifanye nchi zingine utaona aaaa.. Tanzania haina uwezo wa kuwafikia.. Kuna mijamaa inaboa kweli
Tunajenga kituo cha treni? Au kumbi za mikutano? Who the hell needs that? Mwisho wa siku tutakuwa na steshen ndogo ambayo ina matatizo kibao kama msongamano na exits mbovu sana kwa hilo I guarantee nawajua wabongo! Why invest hela ya steshen kwenye jengo la pembeni nje ya steshen? Am so disappointed! Ubunifu kidogo hapo nimekubali tunaweka historia yetu kwenye majengo bravo!
Architecture wa vituo vidogo ameharibu Kazi kwani vituo vinaonekana ni vidogo sn sina hakika kama aliconsider na ongezeko la watu kwa miaka ya baadae pia vituo vyenyewe sio vya kisasa, tafadhali structure engineers na architectures to design modern structure which will provide all facilities considering more than 100 years, please Tanzania Government this is our money we need to see the value for money, biggining railway line , buildings, and also Train in general
eddıe chriss 100% fact.abiria wanamizigo.has a wafanyabiashara sijui ndio itakuwaje.maana huko mikoani ndio kutakiwa na shehena za mazao zinazokuja Dar.jamaa kabugi sana huyo designer wa vituo vidogo.hicho cha Dar wamekuna upele wa wapenda maendeleo.
Hivi hata hatujavitumia tukajua efficiency yake ikoje so tuwe na subra vianze kazi ndo tutaona but siamini wataalam walichofanya ni makosa pia wamezingatia na budget iliyopangwa so mujue hilo, sisi tunakuwa kama watoto ambao wakati chakula kinapikwa tunaanza lawama ati mbona hiyo chakula ndogo Sana hata sintashiba afu baadae ikiiva na ukala unakuta hata haiishi unaanza kusema ati niliona ndogo kumbe ilikuwa nyingi
NATOA USHAURI KUWA KATIKA KIJIJI CHA KWALA KUNGEWEKWA KITUO CHA ABIRIA KWA SABABU PALE KUNA MRADI MWINGE MKUBWA WA BANDARI KAVU VIWANDA, ENEO HILO LIKUWA KWA KASI SANA NA IDADI YA WATU ITAONGEZEKA MARA BAADA YA MRADI WA BANDARI KAVU KUKAMILIKA
Good but avoid this business of advertising Tanzania all your times; some of these things Tanzania is constructing now were constructed by some countries ten years ago!
Mie hata sijapenda kituo cha soga kipo kama Godown au vyumba vya madarasa tunazidiwa hata na kenya wameweka majengo makubwa mazuri na ikifika hiyo mika 100 hawahitaji kuongeza jengo.sie nafasi tunayo hatuitumii tunaweka vi chumba kama madasa.
gharama za treni station Kenya wangeimprove treni yao ingekuwa vizuri ukweli treni ya kenya sio haina tofauti na ya kwetu ambayo tunaleta mabehewa mapya na kuifanyia repea inayoendelea sasa hivi sisi treni yetu itakuwa ya kisasa soga idadi ya watu ni wachache ukatengeneze treni station kama uwanja wa taifa kwa nini hiyo hela usiongezee speed ya ujenzi mpaka mwanza?
DAR,MORO,DODOMA,SHINYANGA,KIGOMA,MWANZA,TABORA,SINGIDA,MARA,,MOROGORO ,DODMA kutakuwa na matreni station kama yale ulioona kenya lakini vituo vidogo vitakuwa na treni station za wastani kutokana na idadi ya watu .upo hapo?
Ernest sinje am Kenyan our trains are diesel electric trains and they are new not old ni uongo was media.train ya kenya ni heavy duty type for double stacking purpose kwa hivyo ni tofauti na Ethiopia na Tanzania.kwa mfano pillar za kenya ni nyembamba ,slippers kwenye reli ni pia nyembamba na chuma ni kubwa pia.specifically train yetu ni ya kubeba mizigo juu na chini kama bsnf america
mimi naona kenya imechukuwa hatua kujenga Reli ya kisasa kwa sababu nchi yingi hazina hata Tanzania bado iko kwenye ujenzi hata nigeria hawana kwahiyo Bigup kenya you should be proud of it.
@@michaelndilima6210 acha kuvamia vamia comment. Sasa mada ya shukurani imetoka wapi. Mimi nime-note tu mwandishi amejing'ata akasema seat mall, badala ya city mall. Uko emotional kama totoz bana.