Тёмный

TAZAMA MUONEKANO WA STESHENI ZA TRENI YA MWENDO KASI ZITAKAVYO KUWA NI MFANO WA KUIGWA AFRIKA 

TRC RELI TV
Подписаться 79 тыс.
Просмотров 152 тыс.
50% 1

DAR ESALAAM PWANI MOROGORO TANZANIA

Опубликовано:

 

29 ноя 2018

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 143   
@TRCRELITVTANZANIA
@TRCRELITVTANZANIA 5 лет назад
Wangapi bado tunaangalia hadi Muda huu gonga like
@freddymello3227
@freddymello3227 5 лет назад
TRC RELI TV ,Tuko pamoja.hii Mara yangu ya 10 na ushee kuangalia hii kitu
@hamadizuberi6295
@hamadizuberi6295 4 года назад
Hilo jengo la pili vipi mkuu
@jumabisale9974
@jumabisale9974 5 лет назад
Hapo safiiiiiiiii ewaaaaa, Tanzania mpyaaaaaaaaaaa kama umezipenda station🚏 gonga like
@ramadhanhaji8156
@ramadhanhaji8156 5 лет назад
Juma Bisale 988]
@isayazenompete1875
@isayazenompete1875 5 лет назад
Mungu atutangurie tutashinda
@nurukhama9136
@nurukhama9136 5 лет назад
Ramadhan Haji
@nurukhama9136
@nurukhama9136 5 лет назад
Juma Bisale
@wisdom_wellness365
@wisdom_wellness365 5 лет назад
Hongera! Hongera! Safi sana! kutoka Kenya
@shomarymussa6970
@shomarymussa6970 5 лет назад
Wow tht is new Tanzania mh president hapa kazi tu don't look back
@shabanaman8556
@shabanaman8556 5 лет назад
Mie binafsi nawapongeza mainjinia Pamoja na mafund kwa ujumla kwa kazi nzur Allah awafanyie wepec wa kaz
@freddymello3227
@freddymello3227 5 лет назад
Nilipopiga kura kumchagua J.P.M nilijua hatoniangusha!!! sasa nayaona matunda ya kura yangu.na kwa kazi hii nahifadhi kura nyingine 2020.wanaohesabu waihesabu kabisa. Viva J.P.M,Viva Tanzania!!
@anfanganfang7941
@anfanganfang7941 5 лет назад
Safi sana
@freddymello3227
@freddymello3227 5 лет назад
Anfang Anfang,yaani J.P.M ananipa raha sana kwa maendeleo anayotuletea. ingekuwa rahisi kuonana nae.ningempelekea kuku zawadi akachinje x mass watoto wale. raisi wa kipekee kabisa kuwahi kutokea Afrika.
@nurukhama9136
@nurukhama9136 5 лет назад
Freddy Mello
@athumanomary1438
@athumanomary1438 5 лет назад
Asante sana mwenyez MUNGU kwakuzidi kuripa mafanikio makubwa san taifa retu ewe mwenyez MUNGU tunazidu kukuomba enderea kumuongoza vyema raisi wetu na wakandarasi wetu ewe mwenyez MUNGU mkuu
@johnmlay4759
@johnmlay4759 4 года назад
Awatangulie wafanye kazi bora na yaviwango vya juu kabisa amen
@King_186
@King_186 5 лет назад
Hakika mpaka JPM atakapomaliza muda wake 2025,tutakuwa mbali sana
@helenmark7965
@helenmark7965 5 лет назад
Jamani President Magufuli unastahiki sifa we are so proud of you keep it up
@ibrahimkambi9288
@ibrahimkambi9288 5 лет назад
Kazi nzuri sana Hongera Mh.RAIS na serikali yako kwa ujumla ujenzi wa vituo umezingatia maeneo na muonekano wa asili wa mali asili zinazopatikana katika Nchi yetu. lkn ndugu zangu wa TZ uzuri na ubora wa Reli haupo ktk uzuri wa vituo bali ktk aina ya Reli yenyewe na uwezo wake ktk swala zima la ubora na Gharama za uendeshaji. HAPA KAZI TU!
@Abdallah_mussa
@Abdallah_mussa 5 лет назад
NAKUPENDA TANZANIA,MUNGU BABA LIPELEKE TAIFA JUU ZAIDI(MATHAYO 21:43)
@johnmlay4759
@johnmlay4759 4 года назад
Amen
@rogersswai3684
@rogersswai3684 5 лет назад
Wamezingatia muonekano wa kiasili na mazingira yetu. Cultural restoration in a modern technology!!!
@amoslukyaa5792
@amoslukyaa5792 5 лет назад
Majengo ya Station wangewapa Wichina, Wachina wana uwezo mkubwa for artistic impression - Waturuki hilo hawana hata ukienda kwao, majengo ya masteisheni hayana mvuto wowote, ujenzi wa reli wanejitahidi sana lakini sio majengo - sisemi haya kwa nia mbaya. Jaribu kuchunguza ujenzi was Station za reli na majengo ya viwanja vya ndege huko Uchina na sehemu nyingine Wachina walizo pewa tenda mfano Africa magharibi na Kenya, angalia Station za reli ya kisasa ya Kenya - muonekano wa Station zao unavutia sana sana.
@ernestsinje9532
@ernestsinje9532 5 лет назад
treni station zinajengwa na wachina
@nasibumaiko2035
@nasibumaiko2035 5 лет назад
muonekano was tanzanite ungejengwa huko arusha dar wangejenga vya asili ya dar
@ernestsinje9532
@ernestsinje9532 5 лет назад
hata mlima kilimanjaro simuko arusha kilimanjaro viko vitu vingi kuwakilisha tamaduni ya nchi yetu cha msingi wanajenga
@nasibumaiko2035
@nasibumaiko2035 5 лет назад
upon kilimanjaro
@madaiincubationcenter4947
@madaiincubationcenter4947 5 лет назад
hongera sana Mh Rais JPM najua sitapata Rais mwingine baada ya ww mwenye upeo kama ww ila najua pia kuna wenzetu wenye maono tofauti kutokana na upeo wao uliowafikisha hapa kukataa kila jema nazani ni bahati mbaya tu ila tunakupongeza sisi weengi tunapenda kazi yako usiogope kelele za chura we kunywa maji tu (chapa kazi)
@ernesttuseko8780
@ernesttuseko8780 5 лет назад
TRC reli TV. Haya maneno na hizi picha na hayo maduka nadhani haituvutii sisi ambao tumetathminiwa nyumba zetu mwaka sasa. Tunashindwa kupanga maisha yetu. Sasa nendeni mkaoneshe na wakazi wa ukonga wanavyo hangaika. Sikilizeni na mioneshe kero za wananchi
@ramadhanhussein8036
@ramadhanhussein8036 4 года назад
Hongera magufur
@chainassnga1840
@chainassnga1840 5 лет назад
Tanzania mpya mbele ya Dr Jon Joseph pombe magufuli.
@neemajoshuaer9562
@neemajoshuaer9562 5 лет назад
Saf kazi nzuri
@chainassnga1840
@chainassnga1840 5 лет назад
Magufuli anajitahid kwakwel
@freddymello3227
@freddymello3227 5 лет назад
Neema Joshuaer,steshen ya Dar ndio baba yao!!nimeipendaje
@mawazoselemani614
@mawazoselemani614 5 лет назад
Neema Joshuaer ..sasa hongera kabla kitu hakijafanyika?
@esamsamla7963
@esamsamla7963 5 лет назад
Neema Joshuaer mambo Neema
@esamsamla7963
@esamsamla7963 5 лет назад
Mungu tuongoze tjfike salama
@danielmlanda9787
@danielmlanda9787 5 лет назад
Mungu mwema nakupenda Tanzania yangu.
@ibrahimgwasma235
@ibrahimgwasma235 5 лет назад
Great Tanzania
@xmaramoja362
@xmaramoja362 3 года назад
Kweli shetani yupo et kuna watu wanadislike kwa habari njema namna hii.
@rachelkibaya8537
@rachelkibaya8537 5 лет назад
HII NI SAFI SANA,MUNGU IBARIKI TANZANIA,WABARIKI NA VIONGOZI WAKE
@miltonjohn9779
@miltonjohn9779 19 часов назад
Magufuli alingekuwepo hayo majengo yangejengwa yote, lkn kwa sasa limechakachuliwa hilo jengo refu halijajengwa. Hata hilo lingene ni ndogo sana halina hadhi ukilinganisha na stasheni yentewe ilivyo
@dominickraphael4414
@dominickraphael4414 5 лет назад
That's scintillating structure ❤
@stevenjohn3688
@stevenjohn3688 5 лет назад
Nadhani mwakilishaji hana uzoefu wa kupresent, hakuandaa picha nzuri za kutuelezea pengine vituo ni vizuri zaidi. Pili sehemu kubwa ya mapato ya treni hii ni mizigo, hakutuonesha kabisa sehemu za mizigo amekazia sana kwenye abiria, tungependa kuona pia na mizigo. Tuzingatie maoni ya wananchi juu ya design views za vituo, mradi ni mkubwa tafadhali tusiukosee tukamwangusha Raisi wetu. Mliopewa dhamana ya usimamizi na ushauri tafadhali tumieni elimu na akili zenu vizuri, umizeni vichwa simamiemi kwa ukaribu na kwa uchunguzi, mjadiliane kila details za mradi na kukubaliana.
@user-iq2vf5yq1z
@user-iq2vf5yq1z 5 лет назад
Ah sema wewe kiazi nikisema mimi mhogo una mzizi ntarushiwa matusi kama mvua ya mawe. Presenter Mwanantale alitupa boom MAKUTUPORA mkoani SINGIDA. Hivi kweli ipo huko au ipo Dodoma ile? mhandisi nae train anaita NANILIIII au TLENI 😭🏃🏃🏃
@zainabumakame6743
@zainabumakame6743 5 лет назад
Maashallah
@idrisashelimo307
@idrisashelimo307 5 лет назад
Bongo kama ulaya
@jasminissanga8642
@jasminissanga8642 5 лет назад
Idrisa Shelimo ooo
@kingjoshuamhuamk2559
@kingjoshuamhuamk2559 5 лет назад
Watanzania pendeni effort za gvt yenu.kama mnataka kujenga reli kama yetu kenya mtahitaji big commitment in terms of pesa.reli ya kenya ni ya mizigo juu na chini yaani double stack kwahivyo kama pillars ,slippers na vyuma ni nyembamba hence requiring more money.kwahivyo vituo vyenu viko sawa.reli ya kenya ni tofauti na Ethiopia na yenu Tanzania in terms of purpose use,kwahivyo reli yenu itawasidia don't complain a lot like am seeing in the comments
@totidatutadu1918
@totidatutadu1918 5 лет назад
Watanzania hawajui Zuri Leo watacomplain lkn mradi ukiisha utaona kila mtu anasifia na kuomba ungepita hata kijijini kwao. Mfano BRT project watu waliponda sana ulipoisha watu walimiminika kwenda kupanda na wakasifia sana
@kingjoshuamhuamk2559
@kingjoshuamhuamk2559 5 лет назад
Totida Tutadu ni ukweli Mimi ni mkenya reli ya Tanzania imejengwa na yapi ambao ndio wamejenga Dubai metro kwahivyo sioni haja ya kulalamika kwasababu they are very professional. Hakuna haja ya kucomplain na kujilinganisha na nchi zingine hii reli itasaidia sana Tanzania
@ipyanamwakosya9665
@ipyanamwakosya9665 5 лет назад
Ok
@majadotto9513
@majadotto9513 4 года назад
Ben nikisikia tu voice yako nafurahia kazi yako
@adamkasasa6072
@adamkasasa6072 5 лет назад
safi
@shomarymussa6970
@shomarymussa6970 5 лет назад
Kazi nzuri inayofanya serikali ya hawamu ya tano pia naishauri kama ingetengeneza toll get kwa magari yanayo kwenda mikoani na kurudi mjini kila gari likilipa hata shilingi miambili kwa kila gari fedha izo zinaweza zikanunua atamadawa hospitalin
@shaibuyahya778
@shaibuyahya778 5 лет назад
Uzinduzi November 2019, sidhani kama hilo jengo litakamilika kwa wakati
@franceboy5591
@franceboy5591 5 лет назад
Safi magu
@user-he2pk6io4d
@user-he2pk6io4d 2 месяца назад
❤❤
@ashapearubart2624
@ashapearubart2624 5 лет назад
Safi sana.
@mugerajakatarama2144
@mugerajakatarama2144 4 года назад
Hakuna kulala Rais wetu Mungu akubaliki 🙏🙏
@davidreuben8770
@davidreuben8770 5 лет назад
Safi sanaaa
@elingowi8556
@elingowi8556 5 лет назад
Safi sana
@gwajimagwajima
@gwajimagwajima 5 лет назад
😂 😂 😂 😂 si kny michoro tu, njoo kny huduma, DART mfano
@geoffreychurchkayora1230
@geoffreychurchkayora1230 5 лет назад
Mimi sihami dsm
@isaackm3620
@isaackm3620 5 лет назад
Hiv mnawezaje kutuaminisha hizi stesheni zitakamilika kabla ya November 2019 leo ni January 2019 mpo kwenye site clearance na leveling!!!!!Ni majengo gani hayo makubwa yanayojengwa ndani ya miezi 10.Msaada kwny tuta plz kama kuna civil engineers wanisaidie kitaalamu!!!!
@emmanueljohn8970
@emmanueljohn8970 5 лет назад
Halafu oooooh Membe, Membe hivi JPM wa kumlinganisha na membe jamani??? JPM ni JPM
@tinyaanosiatha1118
@tinyaanosiatha1118 5 лет назад
Inapendeza sana
@aginiweyessayakyando9855
@aginiweyessayakyando9855 5 лет назад
Mimi mniwekee ticket ya trip ya kwanza kbs. Nipeni bei na utaratibu nilipe kbs nisubirie safari tu.♿🚇🚈🚉🚊🚝🚞🚋
@wasshaincmwanza4374
@wasshaincmwanza4374 5 лет назад
Wazo zuri vitavutia sana
@user-iq2vf5yq1z
@user-iq2vf5yq1z 5 лет назад
Chananja Mwandikila TLENI YA NANILIIII ndiyo nini? Ila huo mjengo hapo hands up. Whoever design it BIG UP. You've done remarkable job. Well done. But Mwandikila NANILIIII ndio nini?
@fikiripazi9630
@fikiripazi9630 5 лет назад
Kwa mawazo yangu natamani kuona ktuo cha pugu kiwe kikubwa sana. Sabab kipo nje ya mji yaani msongamano mdogo na pili ndio sehem pekee dar unaweza pata sehem kubwa. Mfano kituo cha mabasi ubungo leo kinapelekwa mbezi
@daudimpulumba6742
@daudimpulumba6742 4 года назад
Magufuli aishi
@alexlazaro9972
@alexlazaro9972 5 лет назад
Sijawahi ona watu wanafiki kama watanzania.
@theeokorah8320
@theeokorah8320 4 года назад
Tz ...
@johnbazil6907
@johnbazil6907 5 лет назад
tamania mengi sana usikosoe hata kimoja kwani havikuwepo,vipo sahivi tuombee mengi zaidi
@MrRush-ev6nr
@MrRush-ev6nr 5 лет назад
mamaeee itakuwa Hatari Tupu
@abubakarharuna6712
@abubakarharuna6712 2 года назад
Hilo jengo lefu mmetungopea
@derickdanny9623
@derickdanny9623 5 лет назад
Tunaona Baba tunaona
@vincentmasanja789
@vincentmasanja789 5 лет назад
Nafikiri mawazo ya wimbo wa Bob Marley yanatimilika ndani ya Tanzania"...Zion Train is coming our way...."
@kaijagececilia5693
@kaijagececilia5693 5 лет назад
Izo ela zote za miradi kama hiyo mpaka ya nyuma wamekula sana kumbe inawezekana kweli majipu ametumbuliwa
@yusuphwella9651
@yusuphwella9651 4 года назад
Mbona sahv tunaona jengo Mona tuu pale hilo lingine halipo ufafanuzi jmn naomba anaejua
@triplea3463
@triplea3463 3 года назад
Wanaharakisha la abiria ili tren zifanye kazi hata pugu jengo la mizigo halijajengwa hadi sasa
@davidkaguru9511
@davidkaguru9511 5 лет назад
haaahaaaaa wäbonğò ķwa kushangilia picha hawajambo
@mwamengele
@mwamengele 5 лет назад
Renders hazina detail boss, wamerashirashia mno
@Tiffany340
@Tiffany340 5 лет назад
Alafu zito kabwe nachama chake cha kazi Na bata atapata kura yake na membe tu tukutane 2020
@davidchesco52
@davidchesco52 5 лет назад
UTAKUMBUKWA SANA SANA MH RAIS PINDI UKITOKA MADARAKAN HATA HAO WANAOJIFANYA KUPINGA KILA ZURI I SWEAR TO GOD ENDELEA KUIBADILI NCHI YETU
@boysmart6300
@boysmart6300 5 лет назад
Real Madrid &:Vs ,,,,, I Valencia
@johnbazil6907
@johnbazil6907 5 лет назад
xaxa
@samsonkusupa6809
@samsonkusupa6809 5 лет назад
sio mlete zile za mwakyembe
@michaelsiweya6500
@michaelsiweya6500 5 лет назад
Katika watu ambao hawalitakii taifa lao mema ni watz.. Tena baadhi yao.. Hata ukifanya mazuri ya kushangaza kwao ni ugonjwa tu.. ILa zifanye nchi zingine utaona aaaa.. Tanzania haina uwezo wa kuwafikia.. Kuna mijamaa inaboa kweli
@josephsaghana1056
@josephsaghana1056 5 лет назад
Ukubwa uzingatie pamoja na uimara
@naitwachilipo892
@naitwachilipo892 5 лет назад
Dah mpaka pa malizike tutakuwepogo kwel..?
@samsonkusupa6809
@samsonkusupa6809 5 лет назад
sasa hiyo treni iwe ya rangi hiyo
@georgephilip8220
@georgephilip8220 5 лет назад
Tunajenga kituo cha treni? Au kumbi za mikutano? Who the hell needs that? Mwisho wa siku tutakuwa na steshen ndogo ambayo ina matatizo kibao kama msongamano na exits mbovu sana kwa hilo I guarantee nawajua wabongo! Why invest hela ya steshen kwenye jengo la pembeni nje ya steshen? Am so disappointed! Ubunifu kidogo hapo nimekubali tunaweka historia yetu kwenye majengo bravo!
@shabanpaulo8605
@shabanpaulo8605 4 года назад
Duuu
@angelinaelishachisongela7859
@angelinaelishachisongela7859 5 лет назад
Tuseme nini tena jamani
@eddechriss2664
@eddechriss2664 5 лет назад
Architecture wa vituo vidogo ameharibu Kazi kwani vituo vinaonekana ni vidogo sn sina hakika kama aliconsider na ongezeko la watu kwa miaka ya baadae pia vituo vyenyewe sio vya kisasa, tafadhali structure engineers na architectures to design modern structure which will provide all facilities considering more than 100 years, please Tanzania Government this is our money we need to see the value for money, biggining railway line , buildings, and also Train in general
@freddymello3227
@freddymello3227 5 лет назад
eddıe chriss 100% fact.abiria wanamizigo.has a wafanyabiashara sijui ndio itakuwaje.maana huko mikoani ndio kutakiwa na shehena za mazao zinazokuja Dar.jamaa kabugi sana huyo designer wa vituo vidogo.hicho cha Dar wamekuna upele wa wapenda maendeleo.
@machoyote3991
@machoyote3991 5 лет назад
Kwani hivyo unavyovitaka ulishawahi kuviona wapi
@machoyote3991
@machoyote3991 5 лет назад
Hamuishi lawama
@johnmlay4759
@johnmlay4759 3 года назад
Hivi hata hatujavitumia tukajua efficiency yake ikoje so tuwe na subra vianze kazi ndo tutaona but siamini wataalam walichofanya ni makosa pia wamezingatia na budget iliyopangwa so mujue hilo, sisi tunakuwa kama watoto ambao wakati chakula kinapikwa tunaanza lawama ati mbona hiyo chakula ndogo Sana hata sintashiba afu baadae ikiiva na ukala unakuta hata haiishi unaanza kusema ati niliona ndogo kumbe ilikuwa nyingi
@amanintabindi6101
@amanintabindi6101 5 лет назад
Magufuli tunakupa miaka yote utubadilishie Tz iwe kama Ulaya
@malkomkengefu8026
@malkomkengefu8026 5 лет назад
Pongezikwalaisi✨🎈✨🎈✨🎈✨ 🎈🌟🎉🎂🎉🌟🎈 ✨🎉🎁🌟🎁🎉✨ ✨🌟🌟✨🌟✨✨ ✨🌟🌟🌟✨ ✨🌟✨ ✨ 🌟 ✨ 🔥 💗❤💗 💗❤❤❤💗
@nurukhama9136
@nurukhama9136 5 лет назад
Malko Mkengefu
@tradelinkagencyafyakilimob2031
@tradelinkagencyafyakilimob2031 4 года назад
NATOA USHAURI KUWA KATIKA KIJIJI CHA KWALA KUNGEWEKWA KITUO CHA ABIRIA KWA SABABU PALE KUNA MRADI MWINGE MKUBWA WA BANDARI KAVU VIWANDA, ENEO HILO LIKUWA KWA KASI SANA NA IDADI YA WATU ITAONGEZEKA MARA BAADA YA MRADI WA BANDARI KAVU KUKAMILIKA
@hilaryouma611
@hilaryouma611 5 лет назад
Good but avoid this business of advertising Tanzania all your times; some of these things Tanzania is constructing now were constructed by some countries ten years ago!
@paschazianestorymatunda6490
@paschazianestorymatunda6490 4 года назад
Hilary Ouma they are advertising it for our fellow Tanzanians to know what is going on with their money and not for other countries....
@user-iq2vf5yq1z
@user-iq2vf5yq1z 5 лет назад
Mologolo
@manish-fp1fb
@manish-fp1fb 4 года назад
November , 2019.... pumbavu.
@King_186
@King_186 5 лет назад
watakubali tuuu mpaka kufikia 2025,Tanzania km ulayaa
@nurukhama9136
@nurukhama9136 5 лет назад
Joe Mkombo
@misschagga8042
@misschagga8042 5 лет назад
Mie hata sijapenda kituo cha soga kipo kama Godown au vyumba vya madarasa tunazidiwa hata na kenya wameweka majengo makubwa mazuri na ikifika hiyo mika 100 hawahitaji kuongeza jengo.sie nafasi tunayo hatuitumii tunaweka vi chumba kama madasa.
@ernestsinje9532
@ernestsinje9532 5 лет назад
gharama za treni station Kenya wangeimprove treni yao ingekuwa vizuri ukweli treni ya kenya sio haina tofauti na ya kwetu ambayo tunaleta mabehewa mapya na kuifanyia repea inayoendelea sasa hivi sisi treni yetu itakuwa ya kisasa soga idadi ya watu ni wachache ukatengeneze treni station kama uwanja wa taifa kwa nini hiyo hela usiongezee speed ya ujenzi mpaka mwanza?
@ernestsinje9532
@ernestsinje9532 5 лет назад
DAR,MORO,DODOMA,SHINYANGA,KIGOMA,MWANZA,TABORA,SINGIDA,MARA,,MOROGORO ,DODMA kutakuwa na matreni station kama yale ulioona kenya lakini vituo vidogo vitakuwa na treni station za wastani kutokana na idadi ya watu .upo hapo?
@mathiasbuyobe3512
@mathiasbuyobe3512 5 лет назад
Tunaangalia mahitaji ya Nchi kwa malengo mliojiwekea swala la kuzidiwa hata wewe majirani zako huwazidi wote maisha mazuri.
@kingjoshuamhuamk2559
@kingjoshuamhuamk2559 5 лет назад
Ernest sinje am Kenyan our trains are diesel electric trains and they are new not old ni uongo was media.train ya kenya ni heavy duty type for double stacking purpose kwa hivyo ni tofauti na Ethiopia na Tanzania.kwa mfano pillar za kenya ni nyembamba ,slippers kwenye reli ni pia nyembamba na chuma ni kubwa pia.specifically train yetu ni ya kubeba mizigo juu na chini kama bsnf america
@ernestsinje9532
@ernestsinje9532 5 лет назад
mimi naona kenya imechukuwa hatua kujenga Reli ya kisasa kwa sababu nchi yingi hazina hata Tanzania bado iko kwenye ujenzi hata nigeria hawana kwahiyo Bigup kenya you should be proud of it.
@kingjafu7759
@kingjafu7759 5 лет назад
Sasa hizo tanzanite unajengea siunatafuta watu kubomoa
@triplea3463
@triplea3463 3 года назад
Hivyo ni vioo tu ila vinajengwa kwa umbo la Tanzanite
@user-iq2vf5yq1z
@user-iq2vf5yq1z 5 лет назад
"Zikatakazokuwa ambazo zimeanza kujengwa"...struggling with Swahili language aren't you?
@sumatanjunior231
@sumatanjunior231 5 лет назад
seat mall :D
@athumaniaolo2064
@athumaniaolo2064 5 лет назад
xema wanazngua, asili inafany visivutie ivyo vtuo vyao
@michaelndilima6210
@michaelndilima6210 5 лет назад
Binadamu yeyote usiye jua. Kushukuru ujue ana walakini atu kwenye vitabu vya Dino inasisitizwa kushuru
@sumatanjunior231
@sumatanjunior231 5 лет назад
@@michaelndilima6210 acha kuvamia vamia comment. Sasa mada ya shukurani imetoka wapi. Mimi nime-note tu mwandishi amejing'ata akasema seat mall, badala ya city mall. Uko emotional kama totoz bana.
@georgephilip8220
@georgephilip8220 5 лет назад
Rubish
@davidkaguru9511
@davidkaguru9511 5 лет назад
hata mwendo kasi mlipamba hivyo hivyo.wekeza kwa watu kwanza kabla ya kuwekeza kwa vitu
@ibrahimgwasma235
@ibrahimgwasma235 5 лет назад
Great Tanzania
@ndikumanadesire6244
@ndikumanadesire6244 5 лет назад
Kazi nzuri
@jackposio1707
@jackposio1707 5 лет назад
Safi sana
@ibrahimgwasma235
@ibrahimgwasma235 5 лет назад
Great Tanzania
@bazukamimi5721
@bazukamimi5721 5 лет назад
Kazi nzuri
@mohdsalum3832
@mohdsalum3832 4 года назад
Safi sana
Далее