Тёмный

SGR MWANZA ZEGE HALILALI, UJENZI DARAJA LA KM 1.4 WAANZA 

TRC RELI TV
Подписаться 80 тыс.
Просмотров 47 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

13 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 37   
@surusuru1994
@surusuru1994 Год назад
Wow beautiful mwaza 🔥🔥🔥💪👏👏
@humphreymsengi6686
@humphreymsengi6686 Год назад
Na daraja la Magufuli likikamilika, badi Mwanza itakuwa ni sehemu ya kuvutia sana.
@ezekielmwadomba4675
@ezekielmwadomba4675 Год назад
HONGERA SANA DADA KWA UJEJZI WA TAIFA MUNGU AKUBARIKI
@zainabumartin9520
@zainabumartin9520 Год назад
Mwanza pazuri sana
@MadilishaSimon-sb9kk
@MadilishaSimon-sb9kk Год назад
Kabisa mama inabadilika sana
@mesutnyaryanga8932
@mesutnyaryanga8932 Год назад
RIP - Magufuli - best ever president i have ever seen in my life time...
@henrysalala8818
@henrysalala8818 Год назад
Making Africa great again!
@madirishasimon9692
@madirishasimon9692 Год назад
mwanza kumekucha safi mama samia
@josh_versal8180
@josh_versal8180 Год назад
Viva madame SAMIA
@martinmabago9194
@martinmabago9194 Год назад
Big up Eng...Chusi
@yassin171
@yassin171 Год назад
Station ya Mwanza central, tunaomba tupate muoenako jamani
@FELIXMBWANJI
@FELIXMBWANJI Год назад
Wapi Ben Mwanantala
@donaldmartin1233
@donaldmartin1233 Год назад
Tuulizien na ajira aisee huko
@lameckbalekere1962
@lameckbalekere1962 Год назад
Magufuli oyee
@sultanmkale3562
@sultanmkale3562 Год назад
Dar TU mwanza nauli shilingi ngapi
@obadiakajungu6965
@obadiakajungu6965 Год назад
Huu ni mwaka wa tatu mnacheza hakuna kinachosogea tangu wachina wamekabidhiwa site! Hakuna kitu hapo wapeni tender waturuki vinginevyo tutavuna mabua!
@Gisakijamaduda
@Gisakijamaduda 10 месяцев назад
Obadiah ndio maana unamalizia jina lako na kajungu hivyo umezoea majungu!!!!!!hutaki kumsifia na kazi iendeleee hukubaliani nayo?😅😅 Haaahaa aaaaaaaàaaaàa😅😅😅
@nickdemo640
@nickdemo640 Год назад
Ila kwakweli mwanza hatujasahaurika
@madirishasimon9692
@madirishasimon9692 Год назад
mwanza inaenda kung'aaa si mchezooo
@nickdemo640
@nickdemo640 Год назад
@@madirishasimon9692 miladi mikibwa 4 yakimkakati
@madirishasimon9692
@madirishasimon9692 Год назад
​@@nickdemo640 acha mwanza iwake bado na ule mradi wa kimataifa wa kayenze ukiisha mwanza haitakamatika ongeza ujenzi wa mall kubwa kabisa ya kimataifa pale nyakato pia hotel ya nyota tano pale kapripointi ambayo itaisha mwakani
@ezekielmwadomba4675
@ezekielmwadomba4675 Год назад
Kwahiyo Dada,ni wale wa,Turiki ndo wanaendelea na,Ujenzi? Maana nilikuwa nawaona hapa Dodoma,wakijenga,yaano Rail iko maridadi sana,sasa kuna,watu na bishana nao sana hapa mtaani,mimi nasema hiyo train niya umeme wenzangu wananopinga kwamba,niya,kawaida siyo ya umeme.wakl sawa au?
@Ali-nl2du
@Ali-nl2du Год назад
SGR inatumia umeme, sio diesel. Wajenzi hapo Mwanza nadhani wachina. Waturuki wameishia makutupora. Mwenye kujua zaidi atufahamishe
@fadhiliromwald
@fadhiliromwald Год назад
@@Ali-nl2duupo sahihi
@josephwilliammnyune5464
@josephwilliammnyune5464 Год назад
Òò
@abuuramadhan8093
@abuuramadhan8093 Год назад
Tunaomba SGR ya kwenda kigoma ikamilike haraka kuliko hyo ya mwanza
@elikanapeter1545
@elikanapeter1545 Год назад
Kwanini
@lucasmhagama8166
@lucasmhagama8166 Год назад
Kwa nini? Lete sababu za msingi maana huko Kigoma hata kuanza bado
@abuuramadhan8093
@abuuramadhan8093 Год назад
@@lucasmhagama8166 kigoma inatakiwa ilishe soko la Congo lenye watu million 90 sgr itapunguza gharama za usafiri tutauza San kwa Bei rafiki
@madirishasimon9692
@madirishasimon9692 Год назад
unaijua mwanza wewe au unaongea tu uganda kuna soko kubwa mno ukiunganisha na Sudan kusini na baadhi ya maeneo ya Kenya ongeza na rwanda
@nickdemo640
@nickdemo640 Год назад
Hamna ki2 kama hicho nyie muombe mletewe mbegu za mawese2
@mybrevisai2508
@mybrevisai2508 Год назад
Hamjakamilisha awamu ya kwanza mnakimbilia awamu nyingine, mna akili sawa sawa?
@bakariamour1024
@bakariamour1024 Год назад
Akili unazo wewe tu peke yako wengine wote hawana pumbavu zako
Далее
Most Useless Megaprojects in the World
16:31
Просмотров 49 млн
Ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) nchini Tanzania
2:58