Obadiah ndio maana unamalizia jina lako na kajungu hivyo umezoea majungu!!!!!!hutaki kumsifia na kazi iendeleee hukubaliani nayo?😅😅 Haaahaa aaaaaaaàaaaàa😅😅😅
@@nickdemo640 acha mwanza iwake bado na ule mradi wa kimataifa wa kayenze ukiisha mwanza haitakamatika ongeza ujenzi wa mall kubwa kabisa ya kimataifa pale nyakato pia hotel ya nyota tano pale kapripointi ambayo itaisha mwakani
Kwahiyo Dada,ni wale wa,Turiki ndo wanaendelea na,Ujenzi? Maana nilikuwa nawaona hapa Dodoma,wakijenga,yaano Rail iko maridadi sana,sasa kuna,watu na bishana nao sana hapa mtaani,mimi nasema hiyo train niya umeme wenzangu wananopinga kwamba,niya,kawaida siyo ya umeme.wakl sawa au?