Mungu akubariki wewe na family yako,mke wako umempa nafasi tunayo ithamini wanawake wengi ana bahati kupata mume kama wewe,ndoto zanu zimetimia kwa kishindo na kutuacha mdomo wazi big congrats bro
Both houses are nice, ya msechu 1, mwijaku 2, aristote last. Am an architect and engineer but aristote has over used materials. one secret about house, white and black colour is the best
Ninavyopenda mambo ya nyumba na makazi Mungu mwenyewe anajua... Niwape hongera Mr & Mrs kwa kufikia malengo mliojiwekea hii ndio maana ya ushirikiano wa wanandoa.
Hongera sana kaka. Nimependa sana ujumbe wako unatia moyo kwa watu wengine tunaojitafta unatutia moyo na wengine kutokukata tamaa kwenye maisha big up bro🎉
Daaah he is a family man, unaona kabisa moyo wake upo kwa familia yake. Kwanini usitoboe!! Hongera sana sana. I connect to such grace. Iwe hivyo na kwangu pia 🙌🙌🙌
Msechu binafsi mmeniinspire sana wewe pamoja na mkewe.Kupitia hii nyumba nami naweka malengo ya ujenzi.2030 nitawaita millardayo kwenye nyumba yangu.😊😊
Namuelewa sana Msechu namna anavoelezea kwa hisia, namuelewa vzr sana. Mungu nakuomba uniinue kiuchumi na unipe hekima pia niweze kufika hatua hii. Kwa jina la Yesu.
Hongereni sana .Hii ni mala ya kwanza kutoa comm.Nakumbuka mlivyojitoa kwa KUMWIMBIA Mungu Kkkt enzi hizo usharika wa kigoma mjini , kuanzia Baba,mama na Watoto.Haya ASANTE MUNGU ANAJIBU.WEWE UKUMBUKI MBEGU ULIYOIPANDA KWA MUNGU.SALUT
Safi sana Mr msechu Mungu akikubariki lazima ushukuru na kufrahi Hongera sana nanimejifunza kitu kutoka kwako na mm nitaanza kumbe inawezekana kumiliki nyumba ninayo itaka natakiwa kuwa na nidhamu ya pesa
Hongera sana Peter! Watakao kubeza hawana akili! Funzo kubwa heshimuni sana wake zenu na muwashirikishe kwenye maendeleo! Mungu azidi kukuinua Peter na mkeo kipenzi mama lolo
Wanawake wa saivi anataka akija akute ushajenga mjumba, una magari yeye aje na jibegi lake la nguo tu aingie ndani😅 hawatutaki tukiwa tuna hussle ili tupambane pamoja, hadi tufanikiwe ndo wanajileta
Hongera kakaangu mungu ampe maisha marefu ufanye mengi zaidu ya hayo .usitulie useme umemaliza manaume nikupambana hongera kwa mkewo mshauri wa familia❤
Tumemchoka na yy kila leo hatupumui nyumba nyumba kina Kiba kina Samata wana mijengo ya maana mbona hatuoni wakijitapa kila leo huyu Muha ni mshamba na km hujui huyo anatangaza biashara ya hao waliojenga hiyo Nyumba upo TT
Hongereni sana Mr $ Mrs Msechu,hakika huu ndo umoja na mshikamano unaotakiwa kwenye ndoa. Haijalishi mnapitia changamoto zipi lkn mme akimpenda,kumthamini,kuwa muwazi na kumheshimu mke,kwa vyoyote vile mke atamtii mume wake na maisha yataenda vizuri
Nimekuwa inspired sana na hii kitu kwa uwezo WA mungu siku moja nitakuja kuishi sehemu yangu mzur hataka kama isifikie hii ila angalau namm nitakuwa nimetimiza ndoto yangu..hongera sana peter msechu
Mungu akunariki sana Peter. Kila anajenga but damn, beauty ya nyumba yako niyakipekee. Clip imeonesha nje tu inakufanya mtu utake kujua ndani kutakuaje. InshaAllah nami soon im following your steps🙏🏾🙏🏾
Mume kapata mke na Mke kapata mume" ongeleni saana, Ehee Mwenyezi Mungu wajalie hawa wajawako maelewano na upendo endelevu sikuzote za maisha yao, uwaepushe na kila lililokinyume nao, furaha ya huyu ikawe kwa huyu na furaha ya huyu ikawe kwa huyu pia na familia yao" Amen.
Hii nyumba ya Peter Msechu na ya Aristoste ipi nzuri zaidi na iliyo Classic zaidi, nje tumeona labda siku Peter akituonyesha ndani ndiyo tutaweza kuthaminisha, kwa sababu Aristote ametuonyesha kuanzia nje hadi ndani, hongera sana Peter
Ninataman sana nyumba nzur lakn kwa majukumu yalivyonizd naona so rahc kumiliki mjengo mzur but naamn one day nitakuwa na nyumba kwa kias chake in shaa Allah
Congrat sana bro mungu azid kukupa ktk mambo ya maendeleo lazima tupongezane na kuombea dua njema hasa hakuna ktu km familia mungu akupe zaid na zaid ammyn unatupa na ss kujitafuta kaka mungu awalinde na familia yko ammyn ammyn🤲🤲🤲❤❤❤