Тёмный

PETER MSECHU NA MJENGO WAKE WA KIFAHARI, AFUNGUKA ALIVYOJENGA KWA GHARAMA "SIUZI HATA KWA BILIONI 3" 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 252 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

15 сен 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 810   
@teychriss3248
@teychriss3248 10 месяцев назад
Kila binadamu ana ndoto ya kuishi kwenye nyumba kama hii na zaidi!! Hongereni sana kwa kweli!! Nimependa sana hiyo sentenso ya Mimi na mke wangu!!
@barakakomba6087
@barakakomba6087 10 месяцев назад
Hongera kwanao jua ujenzi nini tumekuelewa narudia tena hongera bro☝️👍
@salimmwabundu958
@salimmwabundu958 10 месяцев назад
Mungu nibariki nguvu na mm niweze miliki kama hii naamini inawezekna ilimradi napambana...Hongera sana Msechu
@mwanaikaomar8628
@mwanaikaomar8628 10 месяцев назад
Aamin yaa Rabby.wewe na ss pia
@UsafiMichael-mc8kt
@UsafiMichael-mc8kt 8 месяцев назад
Itakuwa hvyo
@JohnPrine-ut2ni
@JohnPrine-ut2ni 10 месяцев назад
Dah bro peter ameniinspire sana MUNGU ambariki tusiache kupambania ndoto zetu siku zote
@paulmushi2428
@paulmushi2428 10 месяцев назад
Hongera Mr*Mrs Peter Msechu endeleeni kumcha na kumpenda Mungu
@lulanjamd3886
@lulanjamd3886 10 месяцев назад
Mungu muumba wa mbingu na nchi amlinde Peter msechu na familia yake Amen.
@franknicolaus1921
@franknicolaus1921 10 месяцев назад
Amen
@ivankulola5847
@ivankulola5847 6 месяцев назад
Na wewe pia, akutimizie ndoto zako
@monikamasasi7582
@monikamasasi7582 10 месяцев назад
Mungu akubariki wewe na family yako,mke wako umempa nafasi tunayo ithamini wanawake wengi ana bahati kupata mume kama wewe,ndoto zanu zimetimia kwa kishindo na kutuacha mdomo wazi big congrats bro
@matronmalimali6809
@matronmalimali6809 6 месяцев назад
Msechu Nyumba yako ni nzuri sanaaa kuliko ya Mwijaku Msechu nakupa mauwa yakooo 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤
@seifsaid845
@seifsaid845 5 месяцев назад
Both houses are nice, ya msechu 1, mwijaku 2, aristote last. Am an architect and engineer but aristote has over used materials. one secret about house, white and black colour is the best
@mimihuyo8239
@mimihuyo8239 10 месяцев назад
Kila mtu anatamani kuishi kwenye nyumba nzuri tena aliyoijenga mwenyewe. Hongera sana Peter na Mkeo kweli mmeweza
@joshuamwaisaka1839
@joshuamwaisaka1839 10 месяцев назад
Thats awesome. Hongera BIG Peter kwa kujenga nyumba nzuri. You have spoken important things to wasanii
@Fx_expertmoneymaker001
@Fx_expertmoneymaker001 10 месяцев назад
Msechu umenifanya nijifikirie mara mbili mbili... 💪
@jamalumwinama2774
@jamalumwinama2774 10 месяцев назад
Haaaaahaaaaa
@gradnessshitindi3694
@gradnessshitindi3694 10 месяцев назад
Mme wangu Shitindi tutegemee nyumba kama hii miaka ijayo.. acha tumuombe Mungu uzima,,, hongera sana Mr and Mrs msechu🥰
@yusuphsanga7194
@yusuphsanga7194 10 месяцев назад
Hahahahhha
@Chalsbanks
@Chalsbanks 10 месяцев назад
Power!! I'm inspired, congratulations brother 🙏
@devissyprian1526
@devissyprian1526 10 месяцев назад
Bwana Yesu awasaidie mkae salama mpaka muishi miaka 99 mkiwa pamoja Bwana awalinde
@tunkuh661
@tunkuh661 9 месяцев назад
Ninavyopenda mambo ya nyumba na makazi Mungu mwenyewe anajua... Niwape hongera Mr & Mrs kwa kufikia malengo mliojiwekea hii ndio maana ya ushirikiano wa wanandoa.
@yumbujackson869
@yumbujackson869 10 месяцев назад
Hongera sana kaka. Nimependa sana ujumbe wako unatia moyo kwa watu wengine tunaojitafta unatutia moyo na wengine kutokukata tamaa kwenye maisha big up bro🎉
@zulekha3028
@zulekha3028 10 месяцев назад
Mashllh mashallh....nyumba nzurisanasana...hongerenisn...mungu awajaalie maisha ya furaha awaepushe na hasadi za viumbe vyake..
@beatricepallangyo2821
@beatricepallangyo2821 10 месяцев назад
Hongera sana Peter Msechu na Mkeo.., Mwenyenzi Mungu Awabariki sana na watoto wenu!!!
@Jacque_Fungo
@Jacque_Fungo 10 месяцев назад
Daaah he is a family man, unaona kabisa moyo wake upo kwa familia yake. Kwanini usitoboe!! Hongera sana sana. I connect to such grace. Iwe hivyo na kwangu pia 🙌🙌🙌
@lucmpangaje8727
@lucmpangaje8727 10 месяцев назад
This man is a role model to many 😍😍😍❤️❤️❤️
@255kwetu8
@255kwetu8 10 месяцев назад
Msechu binafsi mmeniinspire sana wewe pamoja na mkewe.Kupitia hii nyumba nami naweka malengo ya ujenzi.2030 nitawaita millardayo kwenye nyumba yangu.😊😊
@Bracha_collections
@Bracha_collections 10 месяцев назад
The house is real Nice...! Hongera sanaaa Peter na Mke wako. Amazing House🎉🎉🎉🎉
@williammsilu8617
@williammsilu8617 10 месяцев назад
Honestly, I love every in this house. Nice achievement my brother.
@elizabethkimaro4443
@elizabethkimaro4443 10 месяцев назад
Kwenye kila maendeleo ya mwanaume kuna mwanamke nyuma yake❤ umechagua fungu lililo bora Hongera sana na Mfike mbali🎉
@judicalosika7642
@judicalosika7642 6 месяцев назад
Hakika Hakika Hakika
@rahmahabibu4727
@rahmahabibu4727 10 месяцев назад
Napenda msechu anavompa kipaumbele mke wake napenda sanaaaaa❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️ na mungu awabariki
@amanimanase8798
@amanimanase8798 10 месяцев назад
VIP na ww nianze kukupa priority
@lucymoshi6866
@lucymoshi6866 10 месяцев назад
Aisee hii ni ya kuigwa jilindeni ombeni sana hili lisiondoke kwenu na shetani asipate nafasi hongereni
@rhodachristopher4398
@rhodachristopher4398 10 месяцев назад
ndio maana wanafanikiwa
@sskondopoleani9616
@sskondopoleani9616 10 месяцев назад
Wanaume wengi waliowaamini wake zao na kuwashirikisha kwenye mambo ya maendeleo ndani ya familia Trust Me *WAMEFANIKIWA*
@user-ex4jv5uz9w
@user-ex4jv5uz9w 10 месяцев назад
Congrats father Msechu kwa kufanikiwa kumilik chako
@Isynick
@Isynick Месяц назад
Mungu akubariki sana Peter Msechu kwa vile unavyomthamini mke wako.
@pascalntandu1217
@pascalntandu1217 10 месяцев назад
Hongera Brother na family yako;nyumba nzuri.
@rosejeremy9484
@rosejeremy9484 10 месяцев назад
ishi kwenye ndoto zako big up umeua congratulations
@sky-wz5zi
@sky-wz5zi 10 месяцев назад
Namuelewa sana Msechu namna anavoelezea kwa hisia, namuelewa vzr sana. Mungu nakuomba uniinue kiuchumi na unipe hekima pia niweze kufika hatua hii. Kwa jina la Yesu.
@sonnyr1899
@sonnyr1899 10 месяцев назад
Nadhani huyu ndio msani alie heshimisha sana yake. Ongera sana brother umenipa usongo na wivu wa maendeleo. Big up brother Heshima yako.
@dwiny7841
@dwiny7841 10 месяцев назад
Wapi baba levo😂😂😂😂😂😂😂😂Congrats🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 Msechu
@SharifaOman-bf1bn
@SharifaOman-bf1bn 10 месяцев назад
Alhamdulilah. Mungu awajalie na familia yako
@shivobs4485
@shivobs4485 10 месяцев назад
Nyumba ni nzuri sanaaaaa yaaani sanaaaaaa
@FL777-i6c
@FL777-i6c 10 месяцев назад
Be blessed my brother. Soo inspirational😊
@victormbekomize8154
@victormbekomize8154 10 месяцев назад
Kuna watu hawaamini katika Mungu;Msechu waoneshe kuwa MUNGU anaishi ndani yetu.
@peterdavid4230
@peterdavid4230 10 месяцев назад
Amina Mungu anatenda sana ukimuamini
@user-zs4qz4wm2n
@user-zs4qz4wm2n 10 месяцев назад
Wewe lala usijitume uone kama Mungu atatenda au wasubili wagalatia watende😂
@nicolenabintu2509
@nicolenabintu2509 10 месяцев назад
Mfano wa ku igwa , felicitations Piter 🌷🍂🙏🏾🔥
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 10 месяцев назад
Hongera sana Bro, Mashallah 🙏
@immanuelmruma-nr8kl
@immanuelmruma-nr8kl 10 месяцев назад
Hongera sana peter Msechu you deserve to be a role model
@priscillatumwesige4525
@priscillatumwesige4525 10 месяцев назад
Hongereni sana .Hii ni mala ya kwanza kutoa comm.Nakumbuka mlivyojitoa kwa KUMWIMBIA Mungu Kkkt enzi hizo usharika wa kigoma mjini , kuanzia Baba,mama na Watoto.Haya ASANTE MUNGU ANAJIBU.WEWE UKUMBUKI MBEGU ULIYOIPANDA KWA MUNGU.SALUT
@user-xn7oc4qu2m
@user-xn7oc4qu2m 5 месяцев назад
Safi sana Mr msechu Mungu akikubariki lazima ushukuru na kufrahi Hongera sana nanimejifunza kitu kutoka kwako na mm nitaanza kumbe inawezekana kumiliki nyumba ninayo itaka natakiwa kuwa na nidhamu ya pesa
@VeronicaMwilombe
@VeronicaMwilombe 5 месяцев назад
Watoto na mke part wanavyogombania remote ya a/c n.k 😢 I felt that father's joy
@hamenyayohanakasase5836
@hamenyayohanakasase5836 10 месяцев назад
Kwa kweli hata mimi nimejifunza kitu hapo. Hongereni sana Bw. & Bibi Msechu.
@ldavis7753
@ldavis7753 3 месяца назад
Yaan Msechu kanifanya niache kuwaza kujenga ghorofa very classic home❤
@sulleymanjimmy2214
@sulleymanjimmy2214 10 месяцев назад
Hongera sana bro I appreciate you for this 👏👏👏
@marianajohn5415
@marianajohn5415 10 месяцев назад
Hongera sana Peter! Watakao kubeza hawana akili! Funzo kubwa heshimuni sana wake zenu na muwashirikishe kwenye maendeleo! Mungu azidi kukuinua Peter na mkeo kipenzi mama lolo
@konshazikonsha6180
@konshazikonsha6180 10 месяцев назад
Sio kila mke au mwanamke ana akili kama za mama Lolo ujuee!!!
@judicalosika7642
@judicalosika7642 6 месяцев назад
​@@konshazikonsha6180Sahihi mzee
@AbuubakaryLyamba-pc1gp
@AbuubakaryLyamba-pc1gp Месяц назад
Hongera Sana mungu akuzidishie zaidi na zaidi
@biasharaonline693
@biasharaonline693 6 месяцев назад
Wanawake wa saivi anataka akija akute ushajenga mjumba, una magari yeye aje na jibegi lake la nguo tu aingie ndani😅 hawatutaki tukiwa tuna hussle ili tupambane pamoja, hadi tufanikiwe ndo wanajileta
@salimbilali5174
@salimbilali5174 10 месяцев назад
Mfano WA kuigwa Kwa Peter msechu from wasanii to watu WA kawaida.... Peter msechu ❤❤❤
@TM.Sullusi
@TM.Sullusi 10 месяцев назад
Napenda mama Lolo anavotumia maneno "Tulifanya, tulikusanya, etc". UMOJA NI NGUVU.
@umfahad2609
@umfahad2609 10 месяцев назад
Ma sha allah. Namuomba Mungu akujaalieni iwe nyumba ya furaha na amani. Na mzidi kuelewana.🇹🇿🇴🇲
@gabrielkokolo4251
@gabrielkokolo4251 10 месяцев назад
Wow that's awesome, big up kwake
@happyfaniabatromeo8010
@happyfaniabatromeo8010 10 месяцев назад
Safi Sana🔥🔥🔥tujifunzee ❤️❤️ Hongereni sanaaa na MUNGU awape mda mrefu wa kuishi kwa nyumba yenu🔥🔥🔥🙏🙏🙏
@hafsalucky1088
@hafsalucky1088 10 месяцев назад
Hongera sn Peter na Mkewo Mungu awatunze na kuwabariki zaidi.❤
@user-rk4xy5ii6i
@user-rk4xy5ii6i 9 месяцев назад
Hongera kakaangu mungu ampe maisha marefu ufanye mengi zaidu ya hayo .usitulie useme umemaliza manaume nikupambana hongera kwa mkewo mshauri wa familia❤
@ismailmussa5662
@ismailmussa5662 10 месяцев назад
Mashallah safi sana msechuu, with the help of Almighty God under the sun nothing impossible brother
@user-lo9pb1po8l
@user-lo9pb1po8l 10 месяцев назад
Hii ni zaid ya nyumba,mara nyingi huwa naona kwenye kideo hasa mijumba ya dubai❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 10 месяцев назад
Aristote naye alisema ana nyumba eeeeh😂😂😂😂😂basi sawa MashaAllah 🎉🎉pongezi kubwa kwa hii family,MashaAllah 🎉🎉🎉
@naomihaika538
@naomihaika538 9 месяцев назад
Congratulations Mr. Peter...you truly are a role model
@thescop1003
@thescop1003 10 месяцев назад
Kwenye mambo ya kipuuzi utakuta comment 10000. Ila kwenye vitu kama ivi unakuta tano. Tuuzwe tu😅
@Chiruka-qj3eb
@Chiruka-qj3eb 10 месяцев назад
Unadhani watu wanapendaga maendeleo ya watu ingekuwa connection hapo ndo ungeona wasingelala leo😂
@msbeckie4693
@msbeckie4693 10 месяцев назад
😅😅😅
@directorabiero340
@directorabiero340 10 месяцев назад
Ww ndie unaona upuuzi mwenzako kufanikiwa. Fanya kama vile unajenga Yako milady ayo aje akutangaze tu like
@Official83640
@Official83640 10 месяцев назад
Tumemchoka na yy kila leo hatupumui nyumba nyumba kina Kiba kina Samata wana mijengo ya maana mbona hatuoni wakijitapa kila leo huyu Muha ni mshamba na km hujui huyo anatangaza biashara ya hao waliojenga hiyo Nyumba upo TT
@automotivetz1275
@automotivetz1275 10 месяцев назад
@@directorabiero340hujamuelewa
@BurtonSon
@BurtonSon 10 месяцев назад
Blessed Brother you and your family..
@devotamutayoba9373
@devotamutayoba9373 10 месяцев назад
Hongereni sana Mr $ Mrs Msechu,hakika huu ndo umoja na mshikamano unaotakiwa kwenye ndoa. Haijalishi mnapitia changamoto zipi lkn mme akimpenda,kumthamini,kuwa muwazi na kumheshimu mke,kwa vyoyote vile mke atamtii mume wake na maisha yataenda vizuri
@hasani565
@hasani565 10 месяцев назад
Bonge moja la nyumba congratulations msechu family ❤
@twalebleboss9687
@twalebleboss9687 10 месяцев назад
AMAZING..... !!! MAASHAALLAH
@TECHTZTV
@TECHTZTV 6 месяцев назад
Nimekuwa inspired sana na hii kitu kwa uwezo WA mungu siku moja nitakuja kuishi sehemu yangu mzur hataka kama isifikie hii ila angalau namm nitakuwa nimetimiza ndoto yangu..hongera sana peter msechu
@zulfahussein6784
@zulfahussein6784 10 месяцев назад
Kwakweli hongereni sana na Mungu awabariki kumiliki nyumba ni jambo na khey sana
@elinajacksonharusha7155
@elinajacksonharusha7155 6 месяцев назад
Hongereni sana kwa kupambania ndoto zenu. Nyie ni watu na nusu na Mungu awajaalie ndoa yenu idumu, muwe na furaha na amani siku zenu zote.
@exaverykalinga1487
@exaverykalinga1487 10 месяцев назад
Nyie ayo tv safi sn hizi ndo habari na hongera sn peter msechu umeonyesha mfano kwa vijana na wasani kwa ujumla....big up.
@rashdiyange7758
@rashdiyange7758 10 месяцев назад
Kuazia sasa ngoja niwe kalibu sasa na mkewangu kwastaili apana ubabe naweka pemben kuazia leo asante msechu
@paulojoel6551
@paulojoel6551 4 месяца назад
Na uyo mke wako awe na akili sasa
@dayana5513story
@dayana5513story 10 месяцев назад
Congratulations to them ❤❤
@diipesa
@diipesa 10 месяцев назад
MIMI NAONA NI BIG INSPIRATION KWA SISI VIJANA TUNAO AZA MAISHA NAKUKUBALI SANA BRO MSECHU ONE LUV🤝
@PasweloJr
@PasweloJr 10 месяцев назад
Hongera sana Msechu nimekuwa naku admire toka enzi za Tusker Project Fame.Umekuwa mfano wa vijana wengi na hii ndo maana halisi ya kuwa kioo cha Jamii
@misschagga8042
@misschagga8042 10 месяцев назад
Sijakosea kuolewa na wapare maana ni wanajua kutafuta na kupenda hawana mambo mengi hongera sana kaka nyumba ni nzuri sanaaa.
@subirajohn728
@subirajohn728 10 месяцев назад
Peter ni WA Kigoma sio mpare
@10gb27
@10gb27 6 месяцев назад
Mungu akunariki sana Peter. Kila anajenga but damn, beauty ya nyumba yako niyakipekee. Clip imeonesha nje tu inakufanya mtu utake kujua ndani kutakuaje. InshaAllah nami soon im following your steps🙏🏾🙏🏾
@selemanmaganga-le4zg
@selemanmaganga-le4zg 6 месяцев назад
Mume kapata mke na Mke kapata mume" ongeleni saana, Ehee Mwenyezi Mungu wajalie hawa wajawako maelewano na upendo endelevu sikuzote za maisha yao, uwaepushe na kila lililokinyume nao, furaha ya huyu ikawe kwa huyu na furaha ya huyu ikawe kwa huyu pia na familia yao" Amen.
@jacksonngusi4122
@jacksonngusi4122 10 месяцев назад
Hongera peter ni msanii mwenye akili ya kimaisha
@magrethmathayo2800
@magrethmathayo2800 10 месяцев назад
waoooo hongera sana msechu
@EuniceMwanri-jw9py
@EuniceMwanri-jw9py 10 месяцев назад
Congratulations brother.. everything is God 🙏
@m___ck799
@m___ck799 10 месяцев назад
Amazing 👏
@Combinemedia7569
@Combinemedia7569 6 месяцев назад
You have inspired me alot brother,,may God bless you
@rosehillary8742
@rosehillary8742 10 месяцев назад
Jishaue Peter na mkeo ...Enjoy baba...tamba tamba sana...kimfaacho mtu chake. Usisikie ya watu Peter..Una nyumba nzuri nzuri sana. Nzuri mno
@lisauroble31
@lisauroble31 10 месяцев назад
Nimekukubali maneno yako safi sana nitafta mjenamimi nikifanikiwa mdizainie hongera sanaa mama lolo nitakutafta❤❤❤😂😂😂
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 10 месяцев назад
Woow Peter Msechu. Big up aisee. Umenitamanisha sana bro. One day
@rodgerushindi85
@rodgerushindi85 10 месяцев назад
Congratulations, The house aise ni kali sana
@yusufulimo5737
@yusufulimo5737 10 месяцев назад
Hongera Sana umepambana.
@danieljoseph7120
@danieljoseph7120 10 месяцев назад
Hongera broh 😊 much love
@ladymzana4511
@ladymzana4511 10 месяцев назад
Hii nyumba ya Peter Msechu na ya Aristoste ipi nzuri zaidi na iliyo Classic zaidi, nje tumeona labda siku Peter akituonyesha ndani ndiyo tutaweza kuthaminisha, kwa sababu Aristote ametuonyesha kuanzia nje hadi ndani, hongera sana Peter
@crispinmsongole8875
@crispinmsongole8875 10 месяцев назад
Ya msechu ni classic saaaaaaana
@princekarani7836
@princekarani7836 10 месяцев назад
Aristote hana nyumba,yule chawa ashindwe kuzungumzia nyumba yake kweli?? Labda
@feronandsulubu6711
@feronandsulubu6711 10 месяцев назад
Sasa mbona uwashindanishe
@issackathman850
@issackathman850 10 месяцев назад
yani wabongo bana kila kitu kufananisha fananisha we mwnyw umepanga cjui uko kwenu
@marypatrick5877
@marypatrick5877 10 месяцев назад
Ya msechu ndio nzuri Sana... Ya Aristotle sema ana eneo kubwa tu ndio alichomzidi peter ila Kwa uzuri wa nyuma ni peter ndio nzuri
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 10 месяцев назад
Wow hongera Sana Mr &Mrs msechu umepambana Sana kaka yangu m/mungu azid kukulinda
@dominicngeno4227
@dominicngeno4227 6 месяцев назад
Congrats Peter Meschu great work
@edwinedward5352
@edwinedward5352 10 месяцев назад
Msechu icho sio kido nikikubwa sana na umenifulaisa mno kwa jinsi unavyo penda familia yako mungu akubariki Sana🙏🏾🙏🏾
@tztanzania2262
@tztanzania2262 10 месяцев назад
Ninataman sana nyumba nzur lakn kwa majukumu yalivyonizd naona so rahc kumiliki mjengo mzur but naamn one day nitakuwa na nyumba kwa kias chake in shaa Allah
@mdachiog5211
@mdachiog5211 10 месяцев назад
Amen
@roselinasandi6509
@roselinasandi6509 10 месяцев назад
Congratulations brother...Mungu akubariki
@barnabarufulenge6823
@barnabarufulenge6823 9 месяцев назад
Hongereni sana sana kwakweli ni ndoto ya kila mtu kuwa na nyumba nzuri kama hiii
@mossyfimbo3577
@mossyfimbo3577 10 месяцев назад
Hongereni saana saana Mungu na azidi kuwabariki na kuwalindia furaha yenu mkiwa na watoto wenu
@femidayahaya4882
@femidayahaya4882 10 месяцев назад
MashaAllah! Hongera sana Brother Peter Msechu.
@juliuskalawa7860
@juliuskalawa7860 10 месяцев назад
Hongera kwako Brother Peter pamoja na Mke Mwema uliye naye...
@rennyleo4874
@rennyleo4874 10 месяцев назад
Good job ❤ Mungu azidi kuwabariki muongeze na zingine
@abbashussein-hz4dr
@abbashussein-hz4dr 10 месяцев назад
Congrat sana bro mungu azid kukupa ktk mambo ya maendeleo lazima tupongezane na kuombea dua njema hasa hakuna ktu km familia mungu akupe zaid na zaid ammyn unatupa na ss kujitafuta kaka mungu awalinde na familia yko ammyn ammyn🤲🤲🤲❤❤❤
@ZeDestroya
@ZeDestroya 10 месяцев назад
Hongera sana kaka!!! Mungu akuongezee!!! True Hustler!!!
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 10 месяцев назад
Mbarikiwe saana, Mungu Ni mwema Saaana wakati wote
@leaherasto929
@leaherasto929 10 месяцев назад
Hongera Peter hongera sana nimekuelewa sana kwenye kasave ntafata mkondo
Далее
Jua kali leo usiku jumapili 21-7-2024         4k
19:14
Просмотров 40 тыс.
BEHIND THE GRAM DIVA & SHEIKH - EPISODE 2
33:33
Просмотров 22 тыс.