Тёмный

Nirudie Maskini Moyo Wangu - A Swahili Movie 

RIVERWOOD BONGO MOVIES
Подписаться 380 тыс.
Просмотров 559 тыс.
50% 1

This is a Swahiliwood Bongo Movie.
Title: Nirudie Maskini Moyo Wangu
Starring: Mariam Kassim Kijavala,Abdull Kibamba,Hans Popa
MeOhFZwNbd

Кино

Опубликовано:

 

31 окт 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 173   
@chockmaumba676
@chockmaumba676 Год назад
Movie nzr sana. Naomba like jaman zifike 30 tu. Nawapenda watanzania wenzangu. Na jiran zangu wa kenya
@kevinotieno014
@kevinotieno014 Год назад
Tunakupenda pia sisi🇰🇪
@dhbegy6198
@dhbegy6198 Год назад
tunakupea piasanaa❤
@miburoaaron1804
@miburoaaron1804 Год назад
Na Burundi pia
@miburoaaron1804
@miburoaaron1804 Год назад
Like
@MaryMmm233-yh3hf
@MaryMmm233-yh3hf 11 месяцев назад
Nzuri sana
@AliSalum-cn2uw
@AliSalum-cn2uw Месяц назад
Hivi vipo kweny maisha unae mpenda hakupendi Kam kweli manen ya mjomba gonga like
@hopsonGamadzi
@hopsonGamadzi 11 месяцев назад
mimi ni mwanafunzi wa kiswahili kutoka Malawi.nilikuwa mpya katika lugha ya kitswhili wakati nikatanzama movie hii when it was only 1 day kwenye youtube ilikuwa shida na mimi kuielewa lakini sasa baada ya miezi tisa naweza kuielewa vizuri sana, naipenda. asante♥♥♥♥♥♥
@SamouOman
@SamouOman 2 месяца назад
❤❤❤❤
@rachelneema3159
@rachelneema3159 Месяц назад
Kwan Iko na translation 😅😅😅
@mkacibeiib7278
@mkacibeiib7278 Год назад
waah ni wakwanz naomb comnt jamani hii movie ni very nice 🥰🥰🥰🥰🥰
@riverwoodbongomovies
@riverwoodbongomovies Год назад
Nimefurahi uliipenda
@celinaduka3346
@celinaduka3346 Год назад
Wallah acha na mm niione
@godwinemanor4873
@godwinemanor4873 Год назад
Really great movie. Before you find love, find money first. Thanks for sharing.
@officialbigvanny8296
@officialbigvanny8296 Год назад
Nice movie, muendelezo natamani kuona Abdul kamuoa Sharifa..... Kwahyo Shadia akute rafiki yake ndio mke wa Abdul
@athumaniomary6563
@athumaniomary6563 Год назад
Penda sana move yako mumy by mkaza ochu like toooo mumy
@isayastephano9802
@isayastephano9802 Год назад
Chidi hana kosa kumbuka walikua na mausiano kabla ya abdul. Tatizo ni Mahamuzi ya mwanamke. Labda amempenda sababu ya mwonekano wake.Ivyo musilaumu sana eti kisa ni pesa!!
@eashaeasha9776
@eashaeasha9776 Год назад
Na chidi alimuuliza shadia kuhusu huyu Abdul je wameachana akamsibitishia hamtaki ndio maana mwezake akamuoa chidi kosa hana
@mejumaabaraza3989
@mejumaabaraza3989 Год назад
Mapenzi ya kweli yako moyoni na c pesa mfukoni wadada tujielewe jamani
@mapishiyetumazuri2312
@mapishiyetumazuri2312 Год назад
Kweli kabisa unaweza ukapata pesa ukakosa furaha ya maisha
@HalimaMohamed-em9zg
@HalimaMohamed-em9zg Год назад
Kwer
@cornellkemboi5591
@cornellkemboi5591 Год назад
Teachable movie waiting for part 2 walirudiana na Abdul au vipi
@neemawekab2306
@neemawekab2306 Год назад
Sisi wanawake tuna tamaa ya pesa sana wanaume maskini wana teswa sana kweny mahusiano kisa tu hawana pesa 😢
@aishasocrates5660
@aishasocrates5660 Год назад
Mathna sio mbaya aoe tuu
@alfredmarua9178
@alfredmarua9178 Год назад
Pls naomba part 2tafdali nampenda hii movie sana
@Amina-xc8tl
@Amina-xc8tl Год назад
Waaaah 🤔yani majuto mjukuu hapa,katika mausiano mpk uambiwe uongo ndio utaona ndio ukweli,tamaa mbaya jmn
@sukhairatyally6077
@sukhairatyally6077 Год назад
Nzuli mashallah ❤️
@hawaamejumaa1958
@hawaamejumaa1958 Год назад
Part 2 jamani nzuri hadi raha nataka kuona abdhuli alifanya nn na Shadia alimwambia nn rafiki yake Sharifa much love nkiwa 🇸🇦🇸🇦🇸🇦 Saudi Arabia
@abdulkibamba679
@abdulkibamba679 Год назад
Hahaha Asanteni Kwa saport by Abdul actor from Tanzania
@JoriJori-es2re
@JoriJori-es2re 11 месяцев назад
Hawa naomba namba yako
@user-ld1du2dr3f
@user-ld1du2dr3f 10 месяцев назад
Shadia msichana mwenye uragayi mukubwawe!!
@MMoriet
@MMoriet 22 дня назад
Huyu jamaa alipenda sana shadia lakini hakuna kitu mbaya kama kulia mbele y mwanamke. (1) Huyu akienda kubali matokeo (2) Rudi palepale mahali mlipatania bdo xko
@salomegedion6883
@salomegedion6883 Год назад
Nice movie congrats 👏🎉 part 2
@radhiamohaa3723
@radhiamohaa3723 Год назад
Masha Allah nice movie
@omanruwi5501
@omanruwi5501 Год назад
Masha Allah
@shamsaamor001
@shamsaamor001 Год назад
Movie nzuri ,mafunzo tele... ukikubali tamaa ikutawale umwache mwanamme mzuri kisa Hana hela uolewe na wenye hela basi michepuko watakuhusu shoga, upo?!
@gwitembestudio8132
@gwitembestudio8132 Год назад
LOVE VOICE NICE MOVIE
@tausihamisi193
@tausihamisi193 Год назад
Nashukur pia kuna kitu nimejifunza mko vizur
@julienzigashanekanigu5846
@julienzigashanekanigu5846 Год назад
Tuko pamoja nasisi wa kongomani kutoka Bukavu
@user-od2ek7cn6p
@user-od2ek7cn6p 27 дней назад
Funzo nzuri sana mpaka ya nivutia❤
@fatmaamissi7251
@fatmaamissi7251 Год назад
Mansh Allah inamafuzo mazur
@Shazia-bo9en
@Shazia-bo9en 4 месяца назад
Shadia ungekubali Abdul kwa sasa unalia pole sana
@clementimanishimwe2644
@clementimanishimwe2644 Месяц назад
Hii movie ni ya kwanza kabisaaaaaaa❤❤❤❤
@user-yw3nh6xo3d
@user-yw3nh6xo3d 5 месяцев назад
tutafute ela tusigombonie mapenz😅😅😅😅
@samiragodfrey9135
@samiragodfrey9135 Год назад
Jamn nzuri episode two jamn
@user-up7uo8dw7o
@user-up7uo8dw7o 2 месяца назад
❤❤❤❤love story
@hamisimaningi4758
@hamisimaningi4758 Год назад
Tuko pamoja majirani zetu...Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@abdulkibamba679
@abdulkibamba679 Год назад
On love
@andreakalolo1678
@andreakalolo1678 Год назад
Jamani muendelezo wake upo kwel movie nzuri sana hii
@XtMash_7
@XtMash_7 3 месяца назад
Abdul banaa!!!mambo gani haya!(Wajizalilisha saaana bwana!!
@newvip4508
@newvip4508 Год назад
Nimeipenda
@aishaomar9621
@aishaomar9621 Год назад
Hongereni Sana filamu nzuri Sana ina mafunzo
@user-fy4op1sw2f
@user-fy4op1sw2f Год назад
Hamja imalizia vizuri filamu
@muhamedkasimu407
@muhamedkasimu407 Год назад
Mapenzi ya kweli yapo moyoni na sio mdomoni
@sumayyahally3199
@sumayyahally3199 Год назад
Subhananllah nimejifunza pole amduli ama kweli tamaa mbaya poleni wote
@josephochieng6825
@josephochieng6825 Год назад
Nzuri
@Reymonditz
@Reymonditz Год назад
Xafi san mungu awabarik san movie nzuri 💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚
@sifunadismas7372
@sifunadismas7372 Год назад
Very nice...
@hamisimaningi4758
@hamisimaningi4758 Год назад
Movie iko chonjo sana.....🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪tuko ndani ndani ndani
@juliuskhaule8093
@juliuskhaule8093 11 месяцев назад
Movie iko sawa kabisa congratulations 👏👏
@faridamuniss6465
@faridamuniss6465 Год назад
Nzur sana leten muendelezo tuwacfie vzr
@RajabuHongoa
@RajabuHongoa Месяц назад
Nimeipenda sana
@aishaadamu6881
@aishaadamu6881 Год назад
Shukurani kwafilim nzuri tu kiukweli nimejifunza mengi
@user-lr8lh3jx3z
@user-lr8lh3jx3z 6 месяцев назад
Mashallah ❤❤❤❤
@user-ir2bi9hv3l
@user-ir2bi9hv3l 4 месяца назад
Pole xana abdul
@johnsonjones764
@johnsonjones764 Год назад
Very nice movie
@isufissa
@isufissa Год назад
Daa move mzuli sana tunaomba part 2
@NadyaAbduly-ly7en
@NadyaAbduly-ly7en Год назад
Mashaallah
@erizabethlichima6218
@erizabethlichima6218 Год назад
Ndio maana sipendi kuolewa na mwanaume mwenye pesa maana mmmh 🙄 sio poa
@salimasalim405
@salimasalim405 Год назад
Nzuri sana kazi nzuri be gup
@gerardelans8461
@gerardelans8461 Год назад
Nice move
@asliurahiin3862
@asliurahiin3862 Год назад
Can we have English subtitles pleaaaaaaaseeeeeeee
@hasnasunna6237
@hasnasunna6237 Год назад
Wap maryam msambaa nakukumbuk xan pind tupo pngani mpnz mungu akupe mafanikio kila hatua unayopga
@rachelneema3159
@rachelneema3159 Месяц назад
I need this kind of love😅😅
@momryan
@momryan 14 дней назад
😂
@asmaahlucii4653
@asmaahlucii4653 Год назад
Big up sana
@user-sc9vo8it4w
@user-sc9vo8it4w 8 месяцев назад
Jameni ni nzuri sana 🎉
@user-cb1xx5bl5m
@user-cb1xx5bl5m 2 месяца назад
Shadia acha tamaaa
@khamismohammed3763
@khamismohammed3763 Год назад
Oya hii mzuri sana
@user-ri5wq5dn9n
@user-ri5wq5dn9n Год назад
Nimeipienda sana
@PhilimoniMasanja-jy7sg
@PhilimoniMasanja-jy7sg Год назад
Habari naitwa philimoni naomba nafasi ya kuigiza
@abdulkibamba679
@abdulkibamba679 Год назад
Upo wapi
@anithabahimana-hp8en
@anithabahimana-hp8en Год назад
Pore sana shadia.tama.mbaya
@levinaleonard7652
@levinaleonard7652 Год назад
Kazi nzur vipenzi
@richardfilemoni8650
@richardfilemoni8650 Год назад
Good muve
@erickking839
@erickking839 Год назад
Mwendelezo 🙏🙏🙏🙏
@constancioaleixo5238
@constancioaleixo5238 Год назад
Estou ansioso em ver a segunda parte,weka part 2 tunataka sana kuona,cabo delgado Moçambique
@user-ri5kh5jz8d
@user-ri5kh5jz8d 10 месяцев назад
Hapo iko sawa..
@anithabahimana-hp8en
@anithabahimana-hp8en Год назад
Mashaa Allah 😂 honger
@hajikomora703
@hajikomora703 11 месяцев назад
Hii movie iko smart.
@reynaaalrawahi4137
@reynaaalrawahi4137 Год назад
Tamaa zina ponza Jamani 😢
@aminahhuawei1133
@aminahhuawei1133 Год назад
MUENDELEZO ❤️❤️💯
@sukhairatyally6077
@sukhairatyally6077 Год назад
Nzuli mashallah ❤️
@janetsidi3445
@janetsidi3445 Год назад
Muendeleze bas
@adilihassan8455
@adilihassan8455 Год назад
Mapenz c pesa anzeni pamoja life bnaaa,mtaishimiana
@aminaamina-xj6qs
@aminaamina-xj6qs Год назад
😥 part 2 please 🙏
@user-mb1vc2jq9d
@user-mb1vc2jq9d 10 месяцев назад
❤❤❤❤❤
@bintialinajima5364
@bintialinajima5364 25 дней назад
Nice movie but part 2
@NellahJoseph
@NellahJoseph 2 месяца назад
Mmmmmh
@farhanialfarsi1983
@farhanialfarsi1983 Год назад
❤️❤️❤️❤️❤️
@mashainePatrick
@mashainePatrick 4 месяца назад
kosa pesa ukunye sumu... Eee mapenzi ya sasa
@ramadhanmwagofwa5458
@ramadhanmwagofwa5458 Год назад
Nice ad teachable movie part 2bona cioni
@rehemakhamis8112
@rehemakhamis8112 Год назад
movie nzuri
@judithwere1259
@judithwere1259 Год назад
wacha kujiita maskini , tafuta hela kaka
@panganitanzaniatv9575
@panganitanzaniatv9575 Год назад
Mam wa Ashmat Umetisha sanaaa...Mungu akufanyie wepes, Mpo juu san
@dismasstanislaus6523
@dismasstanislaus6523 Год назад
Magret shaban usimuamini mtukwamaneno barimshuudie kwamatendoyake naombaprt2
@loningomolle
@loningomolle Год назад
Naomba pat 2
@japhetymabuya6487
@japhetymabuya6487 Год назад
Mjomba upo sahihi sanq
@Shazia-bo9en
@Shazia-bo9en 4 месяца назад
Asanti kwa mafunzo hayo
@muhirealena6986
@muhirealena6986 Год назад
Imenisikitisha saaaana jamani.nime mkumbuka mpenzi wangu Chadia,aliniacha naakafuatana na mwingine,mwisho aka mupa mimba,badaa akamukimbiza daah...Iyi filamu inanitosha machozi.🇹🇿🇧🇮
@salimanguzo5553
@salimanguzo5553 Год назад
Polesan
@haaigood
@haaigood Год назад
Kazi nzur sana nawapenda bure
@nafsinana5141
@nafsinana5141 Год назад
❤❤❤❤
@sudymohamedy9717
@sudymohamedy9717 Год назад
Malipo ni hapa hapa duniani
@NellahJoseph
@NellahJoseph 2 месяца назад
Atr san wanawakee
@Mziwanda_Tv
@Mziwanda_Tv 2 месяца назад
Nzuri nimafunzo kwetu ila baazi yetu tunaiga jifunzen pes siçhochote
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 Год назад
M'ke au m'me yyte unayeanza nae mahusiano ukakutana nae vipembeni si wakumuamini na usijidanganye km ati anaijua dini. Hio ni tabia chafu na utambue hata akikuoa haiachi na ndoa utaiona chungu.
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 Год назад
Akikuoa ukimuoa wkt anatabia hio utajuta.
@naziyrmahmoudnaziyrmahmoud9209
nice
@riverwoodbongomovies
@riverwoodbongomovies Год назад
Thanks
@reynaaalrawahi4137
@reynaaalrawahi4137 Год назад
Nzury sana Asante sana
@user-zw5uc2ki8i
@user-zw5uc2ki8i 7 месяцев назад
Hainaa part 2 Kwan mbon ahahahahaaha
@fahmysaid7541
@fahmysaid7541 Год назад
Yani hasira zake kaona Bora achkue cm badala ya kukaa nae chini na kuongea nae Ingawa hiyo haiwi dawa kwa madem wa sasa
@JopuRafaelimunga-hn7qc
@JopuRafaelimunga-hn7qc 2 месяца назад
Nifundisho upendo nikitebdawili
@sharonnjoki4371
@sharonnjoki4371 Год назад
💞💞💞💞💞
@user-ri5kh5jz8d
@user-ri5kh5jz8d 10 месяцев назад
Abdhulli kua na sipair isiumie mayo wako
Далее
HOUSE GIRL EP 55 || love story💞💕
21:03
Просмотров 39 тыс.
KISS MY PAIN 1:IRENE UWOYA /HEMED PHD
53:23
Просмотров 849 тыс.
Naima: Mwongofu Mpya - Latest Bongo Swahili Movie
1:03:02
PENZI LA DADA WA KAZI 💞 | Love Story
30:06
Просмотров 4,8 млн
MAPENZI YANAUMA | Full Movie
42:04
Просмотров 116 тыс.
Учусь бить клавы день-4
1:00
Просмотров 1,7 млн