mimi ni mwanafunzi wa kiswahili kutoka Malawi.nilikuwa mpya katika lugha ya kitswhili wakati nikatanzama movie hii when it was only 1 day kwenye youtube ilikuwa shida na mimi kuielewa lakini sasa baada ya miezi tisa naweza kuielewa vizuri sana, naipenda. asante♥♥♥♥♥♥
Chidi hana kosa kumbuka walikua na mausiano kabla ya abdul. Tatizo ni Mahamuzi ya mwanamke. Labda amempenda sababu ya mwonekano wake.Ivyo musilaumu sana eti kisa ni pesa!!
Huyu jamaa alipenda sana shadia lakini hakuna kitu mbaya kama kulia mbele y mwanamke. (1) Huyu akienda kubali matokeo (2) Rudi palepale mahali mlipatania bdo xko
Movie nzuri ,mafunzo tele... ukikubali tamaa ikutawale umwache mwanamme mzuri kisa Hana hela uolewe na wenye hela basi michepuko watakuhusu shoga, upo?!
M'ke au m'me yyte unayeanza nae mahusiano ukakutana nae vipembeni si wakumuamini na usijidanganye km ati anaijua dini. Hio ni tabia chafu na utambue hata akikuoa haiachi na ndoa utaiona chungu.