Mama yetu mrejeshe Jerry Slaa kwenye wizara ya ardhi huko Kuna ufisadi na unyanyasaji wa watu wa hali ya chini, watu wamezulumiwa ardhi sana ila Jerry Slaa ameweza kutatua na kutetea watu waliokuwa wamezulumiwa ardhi zao.
Wakati wa Mungu ni wakati sahihi👍🏼🙏hizi ndizo mbinu zinazotumika kuanzia 1995 mpaka leo hii,na Mungu alimchagua Nape ili aweze fikisha ujumbe kwa watanzania kwa ujumla wetu,Mungu ni jibu👍🏼👏🙏
Hayo maneno ya Nape alikuwa anasema ukweli lakini unaona amesema vibaya kwani huwa hawaibi? Leo tunaambiwa na ukweli kuwa CCM huwa wanaiba mnamkemea nini? Jamani CCM waache kuiba kabisa hakuropoka bali alisema ukweli. Kusem ukweli ni kosa? Ila ninyi mnata asiseme?
@@adelinelyaruu3036hakuwa amelewa ila laana ya Mwenyezi Mungu inaanza kuwatafuna, wanapokabidhiwa madaraka wanatoa viapo kwa kutumia vitabu vya Dini alafu baada ya hapo wanaanza dhuluma kwa Watanzania. Bado wakina Msukuma walioenda Dubai kuuza bandari zetu.
Pia mheshimiwa huyu alikuwa anatukana lakini SIRIKALI ilimfumbia macho,tunashukuri Dr Rais Samia S Hassan ameliona hili. VIONGOZI tupewapo uongozi tujiheshimu .TUJISAHIHISHE
Kwani nape AMESEMA uongo? Jibu amesema kweli,,kwani Uchaguzi 2020 yalitokezea nini? Si ndo hayo ALOSEMA nape? Kwa hiyo nape nI WAKUPONGEZWA Asante nape,,,ccm kama kawaida wembe ni ule ule ushindi,,,CCM HAWAAMINIKI KWENYE SANDUKU LA KURA
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
Mungu ni mwema ,Raisi wetu mpendwa asante Kwa kuleta Amani ya kweli Tz naamini uchaguzi ujao 2025 utakuwa wa uwazi na wa haki, Mungu akutie nguvu na ujasiri mama ameni
Kilichomponza ni kusema ukweli ccm ni kweli wanaiba kura wanajua kabisa bila kuiba hawawezi kushinda wanajua hawakubariki na watz vijana waliyo wengi hawaikubali ccm Mungu ameamua kuwafichua mbinu ovu wamayowafanyia watz
Huyu Nape ndiyo mwasisi wa goli la mkono. Kwahiyo sikumshangaa kumsikia akiendelea kubuni mbinu zinazofanana na hiyo ya wizi wa kura. Sasa kama hayo yanafanyika si ni siri ya wanaofanya? Kulikuwa na sababu gani kutangazia umma wa wananchi jinsi kura zinavyoibiwa. Hii ni kukidhalilisha Chama chake na kumdhalikisha Raisi. Raisi amefanya jambo jema sana kumtumbua. Sisi Wananchi tunampongeza.
Hata akitumbuliwa lakini amesema ukweli wote!! Kwakuwa wanatumia vitabu vya Dini wanapoapishwa laana ya Mwenyezi Mungu inaanza kuwatafuna na wataropoka sana.
Nape hua anasemaga kweli, nakumbuka kipindi cha Lisu kupigwa risasa, aliwahi kusema, hatayeye aliwahi kufuatiliwa, na hilohilo gari. kwa hiyo! sisi watanzania, tuchukue hili, kwamba, serikali hii,haitaki mtu atakae sema ukweli?
Mama Amuondoe pia mwigulu ambaye alisema wananchi ambao hawatakubaliana na tozo katika mitandao ya simu wakaishi Burundi hiyo lugha haikuwa nzuri kwa wananchi nae aondolewe.
Yani watu wanamsubiri huyo Nape tu, mzinguaji ametukana watu sana anasema watu wahame nchi???? Eti kwa kuongelea tu jambo ambalo wanayo haki ya kuongelea (Tozo) sisi hii nchi ni yetu tunamsubiri 2025 Domo lake linaongea tu
Ni wazi kabisa nape nijeuri sanaaaaàà. Aliwahi kunukuliwa akijigamba yeye ndio walipigania uhuru wa nchi hii Kwa kulala porini. Hawa ndo wanachafua ccm.
Umeanza kuelezea vizur lkn Hapo kwa Ndugai umechemka, ndugai hakudhihaki juhudi ama mamlaka bro, alichofanya ni kutumia uhuru wake wa kikatiba yaan FREEDOM of speech hivyo acha kupotosha jamii na hakuna mfanano wa alichokiongea Ndugai na Nape. Ndugai alizungumzia mstakabali wa taifa kwa ujumla wakt Nape kazungumzia suala la kichama... Get it brow!!!!
Hizo ndizo tabia za chaguzi zetu. Alichokifanya Nape na kuonekana amekosea ni kutoa siri za wizi wa kura. Amekosea kutoa siri za uchawi. Aliyosema ni kweli tupu na watanzania tunaufahamu utamaduni huo katika chaguzi zetu.
Kwa kweli Kuna waziri naona ni kosa kubwà silaa alivyofanya kazi kwa maarifa bidii tuljua Sasa tumepata mtu muhimu sijui amehamishwa kwa Nini inauma sana
Mara nyingi mwanadamu akiwa amezaliwa amekuta raha, akulia kwenye raha, kasoma akiwa kwenye raha, yani anaogelea tu kwenye raha hajakutana na ugumu wa aina yoyote katika maisha, mtu wa namna hiyo akipata madaraka ni vigumu sana kuvaa uhalisia wa watu anaowaongoza, analewa bila kunywa kilevi chochote.
Kweli kabisa, walimnenea marehemu mambo mengi sana ya ovyo juu yake wakijua kabisa hawezi kujitetea. Wengine wakasema eti "wazuri hawafi"🤔. Leo kiko wapi sasa - malipo ni hapa hapa duniani.
Kwahiyo ww kigogo unatakaje...tuamini 4r na tusiamini alichokisema Nape?? Ameamua kuweka wazi yanayojulikana kwahiyo usitudanganye na 4r..hii ina maana hata ccm ikishinda kiti chochote tunaamini ni kwa michezo kama hiyo..usisahau na kauli ya goli la mkono kwahiyo ameendelea kukoleza moto.
Wakiteuliwa tutajuwa Tanzania ni ya watu binafsi na siyo ya watanzania wote. Hawa Magufuli aliwatema, mama alipoingia akarudisha mafisadi wote. Wengi walijitajirisha kutumia Mali za chama. Na wakiiba hawakamatwi. Hawa wako juu yasheria
Naje 2025 itakuaje wizi wa kura tuachane nao jamani .tupige kura halali tutakuwa na maendeleo .ccm tusiwe waoga tupige kura halali tutakachopata ndio chetu.Nahakika tutashinda bils wizi