Тёмный
No video :(

SHEIKH KADOGOO AUWASHA MOTO, AICHAKAZA SERIKALI YA CCM, "WANAZIDIWA HADI NA BAKHRESA,"WAKATAEN HAWA" 

Mwanzo TV Plus
Подписаться 164 тыс.
Просмотров 7 тыс.
50% 1

#TANZANIA: SHEIKH KADOGOO NI BALAA, "MSHAHARA WA POLISI UNASIKITISHA"
Sheikh Kadoo, Mwanachama wa Chadema afunguka mazito, "Polisi mishara yao utawaonea huruma, wanapata hasira ndio maana wanatupiga virungu, maisha yao ni magumu", Serikali ya CCM wanazidiwa hadi na Bakhresa"
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE RU-vid Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram

Опубликовано:

 

9 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 34   
@benedictgamuya8855
@benedictgamuya8855 Месяц назад
Allah uhakbal...... God is great.....umemleta huyu sheikh azungumze maneno ya maama sana. Umeongea maneno mazuri na hata Mungu anakuona. Ubarikiwe sana.
@paulmadundo8084
@paulmadundo8084 Месяц назад
Shekh uko vizuri, pata barka zote za mtume!
@lupyanamatimbwi8064
@lupyanamatimbwi8064 Месяц назад
Shee bora no,1 Tanzania Tutoe ujinga
@johnhaule9520
@johnhaule9520 Месяц назад
Msema kweli mpenzi wa Mungu, uko vizuri Sheikh.
@admaumsengi4230
@admaumsengi4230 Месяц назад
Sheikh Kadogoo wewe ni kamanda wa makanda big up bro
@yomseyyomsey5114
@yomseyyomsey5114 Месяц назад
Huyo Sheikh Yuko VIZUR Sana Mungu Amlinde na Anafaa Kuwa Kiongoz Mkubwa Hakika Apewe Maua Yake Na HAKIKA HUYU Ni Kiongozi wa Dini Kwelikweli Hataki UNAFIKI,FITINA, UONGO HAKIKA Yuko Vizuri na Apewe Jimbo HUYU Kiongozi wa Dini
@user-tb4gh1sm9k
@user-tb4gh1sm9k Месяц назад
SHEKHE UKO VIZURI MWENYEZIMUNGU AKULINDE AKUPE AFYA NJEMA BAKI CHADEMA NAOMBA UPEWE JIMBO UGOMBEE UBUNGE TUKUONE BUNGENI KAWASHE MOTO
@lwitikomwakatumbula5672
@lwitikomwakatumbula5672 Месяц назад
Sheikh wangu ubarikiwe sana
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 Месяц назад
Sheikh kadogo big brain educate tanzania people to the maximum vary clear l don't know lf ccm have capacity of answering chadema let ccm use police force they can't answering chadema only police force lteligince
@maligiretongora3333
@maligiretongora3333 Месяц назад
Shekh uko umewapa ukweli ccm safari hi mmefundishwa
@ezekielkiduge8730
@ezekielkiduge8730 Месяц назад
Shekhe uko vizuri sana wengine sijui wako wapi !!!wanogopa utafikiri hawatakufa!!!!!!
@user-tb4gh1sm9k
@user-tb4gh1sm9k Месяц назад
NDUGU TUNAOMBA GOMBEA UBUNGE KWELI UNATOSHA
@user-bq4tk6yq2q
@user-bq4tk6yq2q Месяц назад
Ccm hawjibu hoja za chadema zinawahukumu kwasababu ni ngumu.
@AbasiAbdi
@AbasiAbdi Месяц назад
Shekhe umesema kweli
@tumainimwaifunga3884
@tumainimwaifunga3884 Месяц назад
Shelve kama Shelve👏🏼👏🏼
@SundaySteven-bz4yq
@SundaySteven-bz4yq Месяц назад
Yaani Hawa ccm wanaojipambanua kuwaniwema huku Marais wasitafu wameijeruhi inchi Kwa kuuza rasilimali zetu na wanaendelea kuchukua mishahala huu ni ubwege huu uzalendo Bora tuuache kabisaa
@giftyjackson2461
@giftyjackson2461 Месяц назад
Swafi shehe
@RaymondKilomeye
@RaymondKilomeye Месяц назад
Yunahtaji mashekh wanaojitambua km huyu msema kwel co wanafk kaz yao kusifia ujinga, pongez kwako shekh mungu akubariki kwa Nia yako njema
@johnnyoni3976
@johnnyoni3976 Месяц назад
UMEONGEA UKWELI SANA
@FabianJustine-bq6qv
@FabianJustine-bq6qv Месяц назад
Ukweli umesema wakukusikia sasa hapo kazi ipo
@PaskaliCharles-pz8ds
@PaskaliCharles-pz8ds Месяц назад
Sheikh nakukubali sana viongozi wa dini mkipaza sauti hivi tutaikomboa inchi yetu mikononi mwa mafisadi ya CCM ambayo hawataki hata katiba mpya inchi yetu
@hamidmussa838
@hamidmussa838 Месяц назад
Njaa njaa!
@tugemwakilewa1298
@tugemwakilewa1298 Месяц назад
Jamaa siasa zake zipo vizuri hachishi kumsikiliza asipobadika kwenye uongeaji wake anaweza kujipatia wafuasi wengi sana. Anatumia lugha ya kistaarabu sana.
@user-kl8xf1yk2b
@user-kl8xf1yk2b Месяц назад
Siasa kama izi huwA nazikubali
@jakobongwara3038
@jakobongwara3038 Месяц назад
Nakubali she wanyoshe
@allyhasani3750
@allyhasani3750 Месяц назад
Kadogoo unajua sanaaa
@user-kg8dn6qr8o
@user-kg8dn6qr8o Месяц назад
Napenda Kala uko vzr sana
@user-gp1hi7sw5k
@user-gp1hi7sw5k Месяц назад
Unatosha
@user-vl4rz6lf6d
@user-vl4rz6lf6d Месяц назад
Mwiiteni kadogo msimwte sheghe Hana elimu ya kuitwa sheghe
@frankcharles3980
@frankcharles3980 Месяц назад
UPO VIZURI KAMANDA
@akidajulius1581
@akidajulius1581 Месяц назад
🎉
@gidongailo7174
@gidongailo7174 Месяц назад
Chawa wa mama. Kwahiyo mama ana chawa ndani ya nguo😂?! #&@+😢😮 Chawa ndani ya nguo za mama au chawa ndani ya mama?!? &#@ Chawa wanaishi kwenye nguo za mama au chawa wapo mwilini mwa mama?! # CCM tafuteni slogan nyingine. Hii inachefua sana
@davidkawesa3594
@davidkawesa3594 Месяц назад
Mataahira Duuh
@KassimHanga-xr7rb
@KassimHanga-xr7rb Месяц назад
Hee shehe mm mpenzi wa ccm lakiñi hotuba yako imeniingia vizuri nimekukubali❤❤❤❤❤❤
Далее
Вся Правда Про Хазяевов !
41:02
Просмотров 2,2 млн