@@khuswayikidaghanya6321 manake aliwambia ukweli yakuwa wanawatukana maswahaba. Na hakuna sheikhe aliyewahi kutoka hadharani akawambia ukweli. Ndio maana nikasema ndie kiboko wa wa Mashia
@@jafarimruke9111 ni unafiki na kujipendekeza tuu siyo jingine tumewazoea wanakumbatiana ktk masherehe wakitoka hapo vijembe mwanzo mwisho mfano mzuri sheikh abuuid na sheikh alhadi mpaka clips za kukashifiana zikatoka mara ghafla wakaita waandishi wa habari ooh tumemaliza tofauti zetu ha ha ha haa haa
mbona Una wivu hivyi @hamynas,, Waombee Wenzio kheir na lio sema ni Mmoja umewaunga wote Allah akuongeze katika kheir ila sheikh kasema Kwel Sheikh Walidi anapendwa sna na atazidi kupendwa ma Allah Ndio alifnya awe Hivyo alivyo sio kwa kutaka yy Ila Allah