Тёмный

SHEIKH MZIWANDA BILA UOGA AMWAMBIA MUFTI "UMETUONDOLEA TUNAEMPENDA, UMETULETEA TUNAEMPENDA ZAIDI" 

BABDEO MILADU
Подписаться 257 тыс.
Просмотров 40 тыс.
50% 1

Kongamano la kuukaribisha Mwezi mtukufu wa Ramadhani na kujadili mmomonyoka wa Maadili, leo March 20 Ukumbi wa Karim Jee Dar Es salaam.

Опубликовано:

 

11 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 60   
@maryamhamdan5353
@maryamhamdan5353 Год назад
fantastic 💪 Allah akuhifadh na hassad
@suleimanrodriguez9484
@suleimanrodriguez9484 Год назад
Maashaa Allah ! Shukran shekh nakupenda kwa ajili ya Allah
@SayyidAhmadBaalawy
@SayyidAhmadBaalawy Год назад
Mola akupe umri mrefu na kukupanulia elimu yako na maarifa yako na uongezi wako wa maarifa inshaallah. Kullu aam wa antum bukheir wa Ramadhani kareem
@abdililahahmed3095
@abdililahahmed3095 Год назад
Hii safi sana, moja ya hutuba bora kabisa za Sheikh Mziwanda, hii bomba.
@yusufally2748
@yusufally2748 Год назад
Mashaallah Allah tuwekee masheikh wetu tuzidi kupata dawa
@ibrahimsuleyman9465
@ibrahimsuleyman9465 Год назад
Huyu mziwanda ana akili huyu, masha ALLAH!!
@abbasmungia266
@abbasmungia266 Год назад
Sikujua sheikh mziwanda upo vema hivi, Allah akupe mema katika kila unachokifanya Insha Allah
@gooleserviceyoutubescandar3450
Masha Allah, Allah Akbar Sheikh Mziwanda Alhamdulillah.
@mohammedsigulu575
@mohammedsigulu575 3 месяца назад
Jazaakallahul khaira jembe!
@alhabibmkama3566
@alhabibmkama3566 Год назад
Mashaallah ya sheykhe muharram mziwanda
@khelefomary4486
@khelefomary4486 Год назад
Sheikh mziwanda ALLAH akubariki nakupenda. Kiboko cha Mashia wakikuona wanatamani wakutafune kisha wakuteme baharini
@khuswayikidaghanya6321
@khuswayikidaghanya6321 Год назад
Eti kiboko ya mashia toka lini awe hvyo mnajidanganya utam san
@khelefomary4486
@khelefomary4486 Год назад
@@khuswayikidaghanya6321 manake aliwambia ukweli yakuwa wanawatukana maswahaba. Na hakuna sheikhe aliyewahi kutoka hadharani akawambia ukweli. Ndio maana nikasema ndie kiboko wa wa Mashia
@blackjack4241
@blackjack4241 Год назад
بارك الله فيك الشيخ المفتي
@AL-MADRASATSIRAJI
@AL-MADRASATSIRAJI Год назад
Mashallah mungu akulipe kila LA kherii
@salumukimbanga2495
@salumukimbanga2495 Год назад
Sheikh Mziwanda ni azina ya Taifa
@ramaaman4020
@ramaaman4020 Год назад
Shekh unaongea kwa makinisana Allah akuweke inshallah.
@hamadsaid2232
@hamadsaid2232 4 месяца назад
Mashaallah lahaula Wala kuwwata illa billahi
@sassboy9360
@sassboy9360 Год назад
Mash Allah
@JumaJuma-sm5cl
@JumaJuma-sm5cl Год назад
MAA Shaa Allah 🙏
@MbaraqRashid-dz4ni
@MbaraqRashid-dz4ni Год назад
Hii mashine sio mchezo Allah amuhifadhi
@muftiahmadimahmudulemba1918
Maa Shaa Allaahu Vizuri mwalimu
@sheykhansheykhan
@sheykhansheykhan Год назад
Maashaallah ❤❤❤❤❤
@hassanmaputa
@hassanmaputa Год назад
Asante sana
@muhammadmassoud3576
@muhammadmassoud3576 Год назад
Mashaallah
@nouhamour545
@nouhamour545 Год назад
Marshallah Marshallah
@saidyayoub4795
@saidyayoub4795 Год назад
MashaAllah ❤️❤️
@abdallahsaid8157
@abdallahsaid8157 Год назад
MashaAllah!
@ashrafchillah9857
@ashrafchillah9857 4 месяца назад
Mashallah
@hudishehdadi7790
@hudishehdadi7790 Год назад
Allah baarik
@NasibiSadiki
@NasibiSadiki 9 месяцев назад
Hayo maneno ya mziwanda Niya jinsi ya kuzibiti njaa yake,acheni unafiki,HAo mashee wawili wamikoa nao wanalijua hilomtakuja kuumbuka zaidi e,
@alfredrutaguza7506
@alfredrutaguza7506 Год назад
Mimi ni mkristo lakini huyu jamaa amenikosha sana kama marehemu shk.gorogosi
@maulidinchasi6401
@maulidinchasi6401 Год назад
Ma shaa Allah
@habil6545
@habil6545 Год назад
Mwenyezi Mungu Akuongoze zaidi nafsi yako izidi kuipenda kheri na uingie katika kheri kubwa zaidi ya Uislamu 🤲🏽.
@MkwenyaManya-pr8xc
@MkwenyaManya-pr8xc Год назад
@hamzayusuf1894
@hamzayusuf1894 Год назад
Nime kukbali kitambo siyo leo we nifundi wa qiraani
@alfredrutaguza7506
@alfredrutaguza7506 Год назад
Wakristo tujifunze kwa wenzetu kwenye dini yao hawaigizi bali wako siliaz
@mchilangaakomwaninyoyakwe8399
🙏🙏🙏
@HassanAhmed-os6uo
@HassanAhmed-os6uo Год назад
Fundi ❤
@hafidhnzota2142
@hafidhnzota2142 4 месяца назад
Asalaam ALEIKUM NDUGU zangu wapiga picha Hao WANAWAKE hapo waliojipamba wamefuata Nini? MBONA hawajavaa vazi letu hijab wamejipamba KWELI NDIVYO Mwenyezi MUNGU alivyotuagiza?
@athumanikhamisi3377
@athumanikhamisi3377 Год назад
احستم
@hassanmaputa
@hassanmaputa Год назад
Hongela Sana shehe mziwanda mungu akudhidishie heli ,
@husnatanga3161
@husnatanga3161 Год назад
Bingwaa wa kufundisha!!!
@zumbeshauri8114
@zumbeshauri8114 Год назад
Mzuwanda wewe nifundi wallah nakuelewa hasa kwenye hujah
@DrswalehOmarry
@DrswalehOmarry Год назад
Fundi mmoja
@ramadhanikasebulla5221
@ramadhanikasebulla5221 6 месяцев назад
Chuma mziwanda
@thabitngangila8562
@thabitngangila8562 Год назад
Kama kabudi!!!!
@zuenahamoud1532
@zuenahamoud1532 Год назад
Kama mwijaku
@jawasmhindi5888
@jawasmhindi5888 Год назад
Mwamba
@juma2668
@juma2668 Год назад
⁰ L0
@rashidimatiwili7585
@rashidimatiwili7585 Год назад
Maashallah
@bakarimbelwa2398
@bakarimbelwa2398 Год назад
Mungu akuzidishie inshaalwah
@hamynas
@hamynas Год назад
hawa ni wanafiki akiondolewa huyu wa sasa watasema maneno kama haya hawana hata aibu wala haya
@jafarimruke9111
@jafarimruke9111 Год назад
Haya ni maneno ya hekma huwezi sema kua ametolewa mbaya kaletwa mzuri hvo cyo wenye ilimu wameelewa alichozungumza sheikh
@jumaabdallah3258
@jumaabdallah3258 Год назад
Allah Akusamehe, Kuwa staha kwa viongozi wa dini
@hamynas
@hamynas Год назад
@@jafarimruke9111 ni unafiki na kujipendekeza tuu siyo jingine tumewazoea wanakumbatiana ktk masherehe wakitoka hapo vijembe mwanzo mwisho mfano mzuri sheikh abuuid na sheikh alhadi mpaka clips za kukashifiana zikatoka mara ghafla wakaita waandishi wa habari ooh tumemaliza tofauti zetu ha ha ha haa haa
@jamilashabani8580
@jamilashabani8580 Год назад
mbona Una wivu hivyi @hamynas,, Waombee Wenzio kheir na lio sema ni Mmoja umewaunga wote Allah akuongeze katika kheir ila sheikh kasema Kwel Sheikh Walidi anapendwa sna na atazidi kupendwa ma Allah Ndio alifnya awe Hivyo alivyo sio kwa kutaka yy Ila Allah
@jamilashabani8580
@jamilashabani8580 Год назад
@@jafarimruke9111 kwelii Kaka
@azirymohamed7656
@azirymohamed7656 Год назад
Mashaallah
Далее
Свинья неудачник ( Liar's Bar )
24:01
Просмотров 378 тыс.
Dragon Blood Whitening Cream
00:35
Просмотров 5 млн
Свинья неудачник ( Liar's Bar )
24:01
Просмотров 378 тыс.