Alhamdulillah kila baada ya swala namswalia mtume mara 100. Na nikikaa ndio uradi wangu hata km nnakazi gani hata nikilala nasoma dua ya kulala kisha namswalia mtume mpaka napata usingizi. Namshukur Allah kwa kunipa wepesi wa kuitamka namuomba Allah anidumishe iwe uradi wakudumu ktk ulimi wangu. Nawaombea pia wenzangu Allah awape wepesi wa kumswalia Mtume Muhammad (S. A. W).
MashaAllah sheikh mm mwenyewe nimefanya ila si kwa kutaka utajiri kwa kumuombea mgonjwa wng na wallah kapona na alikua hata hawezi kuinuka Alhamdulillah
Mwenyez mungu akupe maisha marefu shekhe nimejifunza jambo.eemwenyenzi.mungu.naomba.unipe.afya.na.uniondolee.maradhi.na.unifungulie.mirango.ya.ridhiki.Yaaarab✍️🙏
Assalam aleykum sheikh othman maiko , shukran kwa mawaitha yako na kutuelekeza kwa kumswalia mtume wetu mpendwa Muhammad SWA na kumuomba Allah atujaalie tupate yale yote tunayo muomba,tumuombe Allah atupe nguvu ya kufanya ibaada ya usiku ili tupate neema zake, Inn Shaa Allah, Allah akujaalie mema kwa kutupa siri ambayo wengi wetu hatukuwa tunajua, Allah akupe afya na nguvu kueneza neema za Allah kwa wasio jua na kuwa fungua macho kuweza kuona mbale na kufanya kazi yake Allah, shukran sana sheikh Othman
In shaa Allah mwenyezi mungu anijalie uzima na afya leo naanza allah atufanyie wepesi atujalie kila mwenye uzito atufanyie wepesi ameen 🤲 sheikh Allah akujalie imani uzime na afya atuongoze sote kwenye khery ameen
Shukran sheih mafunzo yako yamenipa faraja ya moyo kwa jinsi maisha yangu yalivyo kuwa magumu hadi nimeenza kufa moyo kila cku kulia, ila kuanzia sasa nitalitilia maanani na kumswalia mtume saw kila cku, jazzah yako iko kwa Allah
Waswalie wazazi wako acha upumbavu kwani muhamadi ndo kakuzaa ndo maana huna maisha ju unaacha kumswalia Mama yako alokubebea tumboni miezi 9 eti unamswalia muhamadi mtu ambae humjui pumbavu
Mashallah shukran saaana sheikh' wetu allah akulinde akupe mwisho mwema mimi alhamndulillah huwa namswaliya rasuul llah nishawahi kulala namuota mtume nahisi nipo nae kwenye ndoto nahisi namuona mtume lakin simuoni nahisi kama nipo nae karibu 😢dah allah atupe yale tunayo yataka na mwisho mwema amiiiin 🤲
Kila kitu changu kimefunguka kwa sbbu yakumsalia mtume.allahuma swalli ala Nuri Rahman wamaadhinil maarif rabania sayyid na maullana Muhammad wala ashabihi wasalim
Wallaih mm nmelelewa kikiristo lakini Baba yngu kizazi changu n Islam ata hizi mm n Muslim Kwa kweli nmepitia changa Moto nyingi tangu nlivyo slimu Alhamdulillaah 😍 naitaji mm pia n kizazi changu kiwe kimesimama ima n dini ya ALLAH AMIIN RABHI AMIN SHUKURU ALLAH
@@stoic_guild Npitia ila naami Allah Kareem najaribu ata ninapo mitiani mizito vp bsi nasumama n swala za ucku n zikr bsi Allah Akbar 😍 tusaidiane Kwa Kheri yke Allah n uslam tuzidi kuwa n ujasiri n kusamama n Kwa Kheri insha'Allah
SHEKH nami niombe dua nikikaa nakosa amani mjomba wangu anaumwa mwanangu saleh abdullah anashida ya mkono ya kushoto nilishawah kuja ila nikakuta umesafiri dua yako tafadhali
Shekh Shukrani nilijua nipo peke yangu kwenye hili ila nimefanya uzembe miezi kadhaa Mm sijitambulishi kwako tutakutana inshallah acha leo hii ni rudi kwenye hiyo kazi inshallah mwanza tena nitarudi hapa
Alhamdulillah! Shekhe nakupenda kwa ajili ya Allah has unavyotoa mawaidha kidogo kidogo mtu anaelewa, Allah atufanyie wepesi katika kuyafanyia kazi mawqidha haya mujarab
Assalam alaikum: Mimi ninapenda Kufanya Adh-kari, nyiradi zangu imo Swala ya mtume, na ninaisoma mara mia tu, unaloliongea Shekhe wangu ni ukweli mtupu, pesa ni zinaingia tu bila kutegemea, hapo ni mara miamoja, acha niongeze bidii
Wala sio uongo ni kua na imani na nia tu kila amal na nia ikiwa huna imani huwezi fanikuwa. Mtume mwenyewe S.A.W kasema ukimswalia swala zinamfikia aliko uongo wapi? Hata hio pepo huwezi ipata kama huna imani. Shaikh Othman Allah akuhifadhi umefikisha ilobakia kazi mtu kwake.
Asalamwaleykum warahmatullah wabarakatu shukran tabaraka Allah shekh wewe sina lakisema Acha tu nikuombee duwaa Allah azidi kukuhifazh natunakupenda sana nimefayidika nadarsa lako
Mashallah allahmdullah Allah akuajalie miongoni mwa waja wake wema akuajalie na mwisho mwema inshallah nitaifanyia kazi iyo swala na naamin Allah na mm ataniajalia inshalla amin
Ulikula chakula gan ndugiangu isje ikawa ulivimbiwa 😂 nakutania lkn kma ww ni mtu wa ibada bs ni kweli umemuota mtume maaan kwenye ndoto hizi huwa mtume umemuota kweli yy
Walahi sheikh Othman nashkur mafunzo yako yamenighuza na kujiona tajir ila Kwanzia Leo naanza kumswalia Mtume, Allah akujarie zaidi na zaidi nakuskiza tikea Nairobi
Allah allahu Akbar yarabi hakika Allah ni mjuzi wa yakini na in mwingi wa kukubali toba hakika yeye ni mjuzi wa kujua vilivyomi na visivyomo takbirriiii