Wallahi allah kwa jambo hili atahukumu kwa hukkmu ya waz waz tusubiri tuone maan haya ni madhra makubwa mm bnafs nahuzuni kwa uhasama huu maan UISLAAM UNATUACHA
Jamani mimi sina elimu sana ya dini ila ni muislamu,naumia sana kuona waislam,wanalumbana,kwa dharau,nyodo,ila naomba niulize ktk majibu ya mufti,hakuna kitu kinachoitwa RIA?
Shekh Alhad ametumia maneno makali sana yasiyokuwa na unyenyekevu katika imani ya kiislamu, hakuna sababu ya kumshambulia muislamu kwa maneno ya matusi na jazba. Allah isimamishe hakhi katika jambo hili viumbe hawa wanakiuka maamrisho mema ya Mtume wetu Muhammad (S.A.W).
Subhanalah, hizi siasa za kidunia zisitufarakishe. Nyie na viongozi wetu, baba zetu,walezi wetu Wa kiimani ni vyema makakaa na kumaliza tofauti zenu ndani kwa ndani bila kurushiana maneno makali mbele ya waumini. Sisi maamuma tutakuwa katika hali gani. Hii ni kuwapa nafasi maadui Wa uislamu. Mwenyezi Mungu awateremshie rehema muone njia sahihi ya wajibu wenu. As-laam alyekumu.
Bismilahi Rahmani Rahim namshukuru mungu mpaka sasa alhaamdulilaah na yeye ni mfalme hakuna mwengine zaidi yake Amin Amin yaaraab Amin duuu kibri Kwa Muslim ni mbaya na kiongozi mungu anakuonaa shekhe wa mkoa mnaafki Sana subhaanaalhaah mtihani mkubwa subhaanaalhaah
Allah Azza Ajaalla, Azidi kukupa Upeo na Maono Utuongoze Waislamu Wenzio. Sisi tulio Maamuma tunaona Jukhdi na Vita zinazo elekezwa kwenu. Laakin Allah ndie Mlinzi wa Kweli. Amen Thumma Amen!
Huyu syo shekh ni kibaraka na jabbar bc kibri kimemjaa wafikiri weye cheo chako kitakufaa nn mbele ya Allaah kwanza ulicgaguliwa na nan twajua waz kuwa nikibaraka wa makafiri na serikali tubia ww Alhad
ASSALAMU ALAIKUM NDUGU ZANGU WA KISLAMU HIVI KWANINI HAWA MASHEKHE WETU WA TANZANIA WANATUCHANGANYA SANA MASHEKHE BAZI YAO WANALUMBANA WALA HAKUNA SABABU ZA MSINGI MUNATUCHANGANYA SANA SISI WAUMINI WA KISLAMU HEBU UNGANENI MUTANGAZE YA ALLAH ILI TUPATE FAIDA SIO KUBISHANA MITANDAONI ALLAH HAPENDI HIVYO
Wewe Alhadi kuomba kwa jina la Yesu ni kujipendekeza kwa binaadamu mwenzako kwa tamaa ya cheo cha hapo ulipowekwa.InshaAllah Mungu atakufedhehesha si muda mrefu.Allah akulpe maradhi na uombe kwa jina la Yesu upone.
Asalam aleykum ndugu zangu katika iman] tumuogopen mungu kwasababu nyie mambo kama haya nikuitana sehem munaongea mnamaliza yanaisha msisimangane mnawapa naFsi wakwilito mnazalilisha din haiko ivyo malaika wanaandika mema namabaya
Mimi ni mkristo lakini nampenda sana huyu shekhe mkuu wa mkoa wa Dar es salaam. Watu wanaotaka kumchafua huyu shekhe wangu Wananiudhi sana. Huyu ni mhimili mkubwa sana katika nchi hii. Ana busara sana huyu shekhe. Sipendi watu wamchafue nitawachukia sana.
Ww sheikh acha porojo, hapa hoja umekosea na umeukachifu usilamu na kuwakafichu waislam, what we want to hear apologies toward your fellow faith. By the way ww unaonesha una beef na huyu Muhammad, mbona hujamtaja Sheikh Sharif ambae nae hajakubaliana na ww. Listen I am listening to you and all I can acknowledging from you that hunahekima wala huna maadili ya dini, mcha Mungu waukweli hawezi kutuma lugha hii nakuaza kumita msha cjuwi unavuta bangi, just prove a point and treat your fellow Muslim with respect cos no one is above the law of God will.
Huyu sheikh wa mkoa anapotosha duwa yoyote lazima iwe na mwenendo unaoendana na sunna ya mtume.na huwezi omba kwa jina LA yesu wala mtu yeyote .mungu amesema msiombe kwa jina lingine isipokua yeye Allah.
Mashekhe mm nawaomba sana sana mukitofautiana kwa makosa yeyote yale nawaomba muitane nakukaa kwa sili muyazungumze muyamalize musiwe munaongea ktk mitandao kuanikana matatizo yenu hiyo siyo kweli mungu katufundisha mufanyenn pindi mukitofautiana sio kuanikana hazaran munashusha heshima na uthaman wadiniyetu huwa hatupendi sisi mnachokifanya tunachukia sana ila tunashindwatu uwezo wakuwafikishia kutokana na tunakoishi ni mbali na nivijijin .naomba fuateni kitabu na sunna ilikutatua migogoroyenu acheni kutatuamigogor kwa akilizenu munaharibu na munabomoa mafundisho allah muogopen mungunyie walimuwetu
Tumsalie mtume mashekhe wetu.ningewaomba zitumike sana busara kumaliza hili.tusipo kuwa na subira na umakini.tutaufedhehesha uislaam.hembu tumuogopeni allah.
ALF WEWE SHEIKH ALHAD, MNAMTETEA KISHKI ANAQUR'AN, LAKINI SIWEWE KWENYE DIBETI YA KINA MAZINGE ULISEMA MAWAHABI HAWANA LOLOTE UTAWAOMBEA ALBADRU, WAANGAMIE. WEWE SEMA TU UNAWAOGOPA WACHUNGAJI NA SERIKALI. NA IN SHAA ALLAH ABUU EID ATAKUA MUFTI BADALA YAKO. MAANA KATIKA WATU WANAOTOA HOJA ZA KIUME NI ABUU EID. WEWE UPO HAPO KWENYE CHEO KWA MCHONGO TU. ELIMU HUNA. TULIA UPEWE UKWELI WAKO TU.
Mimi ninavyojua wenye elmu na hekma wanapotofautiana Huwa wanaitana na kukaa kuyamaliza. Mazali mmeingiza dini katika mtandao maneno mnayoongea na kuchafuana imekuwa kama mipasho. ALLAH awanusulu maana amuelimishani bali mnachafuana.
Assalam Aleikum jamani tusiwape watu faida kiumbe akipotea njia tumuombee dua kwa Mwenyezi Mungu amuongoze njia ya kheri Laana si ya kumuombea Muisilamu pia si vizuri waisilamu kurushiana maneno kutoleana siri zenu kikao kidogo aitwe aelezwe makosa yake. HAADHA WA ALLAHU AALAMU. Utanisameh Shekhe wangu ALHAD kama nimekosea LA TAGHDHABU. INNA LLAH MA SSABIRIIN.
MBONA KWENYE MAANDIKO ALLAH ANATWAMBIA MKITAKA KUOMBA MUOMBENI ALLAH NA MKITAKA MSAADA TAKENI KWA ALLAH WW DUA YAKIPEKEE UMEIPATA WAPI KWA HADITHI AU ULAAMAA,YYTE WW HUNA ISHU TOA JIBU
Wallah Wallah Wallah mazungunzo yako hayaendani na title yako. Unaonesha dhahir kwenye macho yako na sura hujui kujiekeza unaongelea chuki tu hapa sio kuelimisha. Nakuomba rudi kwa muumba wako haraka sana before to let. Please sura zako jamiil ila ninashaka na Imani yako. Pole sana kama nimekukwaza, ila nakuonea huruma juu ya dhamana yako kama hujaitendea haki itakudhuru duniani,wakati wa sakarat lmaut,kaburini na siku ya hisabu, ila nakuhakikishi bado unao wakati wa kujisafisha. Tafadhali fanya hivyo
asalam aleiykum warahmatuh wabaraqatuh kwa hakika shekhe kesho nyinyi mtakua masuuli mbele ya allah mtume salalahu aleiyh wasalam wakati anafanya hijjatil wadaa ktk kauli yake aliusia kushikamana na vitu viwili kitabu quraan na suna zake sasa vipi vinywa vyenu vinataka kuwapotosha jamii msilimini mnatukanana mnaambiana lugha za kihuni ambazo haziendani maadili ya dini kwanini mnahukumiana nyinyi allah mpeni nafasi yake majigambo na kujifaharisha na kuitana majina mabaya fanyeni istaghafar acha matusi hakuna mbora juu mwingine mrudieni allah wewe shekhe acha maneno mengi
Huyu jamaa haikuhusu kuwataja watu wengine , km aligombana nao yeye imekuwa anaita wenziwe washamba yeye umji gani alonao? Kuvunja nyumba za wanaume wenzake . Mnafiq na huyo mufti pia kibaraka
Kwani yeye kaja na hoja? Huyu jamaa mpotoshaji na kaekwa makusudi kuwapotoa waislamu. Ni mnafiq yeye jana alikuja kwenye media kutoa kashfa tele za mwenziwe ikisha alipokwisha wamekutana na kusameheana . Kutafuta kiki tu , huyu sheikh wa mkoa choko basi hana elmu hiyo
Asalam aleykum warahmatullah wabarakatuh, mimi binafsi nnaona kwamba viongozi wetu wote wanatupoteza!!! Sababu ya wao kulumbana na kukosana kwa sababu ya #siasa na hata hakuna maslahi na uislamu. Je,mgogoro huu umeanzishwa na nani? Je, tatizo ni nini? Ni nani wa kutu unganisha tena? ALLAH UNUSURU UISLAMU NA WAISLAMU TANZANIA MAANA TWENDA ANGAMIA.
Haya yote ya nini? Muhimu umekosea omba msamaha kwa allah na uombe radhi kwa uislam hakuna haja malumbano alhad umekosea usijifanye msomi sana na unajua sana kwa hili ulikosea
Asalam Aleikum warahamtullah wabarakatuh hivi munajuwa dunia nzia unawapa maco subuhanallah munatiya aibu habari zaugomvi wenu munauweka inje inje umbea Watu wasikiye Allah akbar
Innalillahiw wainna ilayhir raajiun! Hakika masheikh wamekwisha. Dini imebaki na Wahuni. Hata waimbaji wa taarabu nafuu. Siyo wanafiki na wachafua haiba ya uislam kama Hawa.
Shekhe hayo majigambo ati Mohammed mshamba,wewe ndio ume.leta mjini, yanahusu nn. Unatangaza aibu na msaada uliotoa kwake,hii ni desturi ya uislam?maneno hatafai mitandaoni kwani uongozi hakuna?shekhe maneno yako yako yamepita kiwango hayana hekima na busara jamii inajifundisha nn kutoka kwako shekh alhad (kumbe hata mashekhe ni mabingwa wa mipasho)lahaulaaa
Unawataja mashekhe wengine ili iweje wakuunge mkono au tena unataja mpaka siri za marehem,inahusiana nn huna siri, kwa maneno yako shekhe alhad unatatizo kweli shekhe tena wa mkoa unazungumza maneno kama haya,alhamdulilah,wewe ndie haswa kwa maneno uliyozungumza umekosea, kwa kuzungumza na kuwataja baadhi ya mashekhe mbona hapo mwanzo hukuzungumza?
@@nourzahoro3178 Yaani mara mia angenyaza, hayo majibu ya Sasa kazidi kutuudhi na kutukera .. Halafu anasema kabisa kuwa kuna watu wakiwemo na mashekh mbalimbali wamemwambia asijibu, anashindwa kuelewa kuwa wana maana au busara gani kwa kumshauri hivyo,, Kwa akili yake mbovu anajua wapo pamoja nae ku support upumbavu wake, Halafu anataja mashekh wengine ili apate utetezi wao, kwa kuwa wao waliwahi pia kukosolewa, Yaani Sasa linatengeneza fitna za kimji, Huyu jamaa nina hakika kapumbaa akili, ana matatizo ya kichwa sio bure
Yani wow shekhe katika siku uliyonichefua leo unamtusi mwenzio wakati yy hajakutusi kwa kifupi hufai kuwa shekhe wa mkoa wa dar jamani huyu shekhe hafai hana hekima hata kidogo masiba huu kwa waislamu
Innalillah wainna ilahi raaj,uun YAA ALLAH tusamehe waja wako na utuongoze njia iliyo sahihi hakika huu in mtihani mkubwa ,kutuacha tukaongowa kwenye dini na kiongozi kama huyu .YAA RABBI tujaalie viongozi wenye hofu yako na hekima
@@nourzahoro3178ni kweli hizi ni fitna tu , uislamu unatwambia ukitoa kwa mkono wa kulia hata mkono wa kushoto usijue . Sasa yeye kaja kuyaanika kwenye media kuwa alimsaidia halafu anajiita sheikh. Ama kweli usheikh wake huyu una mashaka
@@fakihmohammed3923 huyu jamaa hana hoja yamsingi maana aloyafanya ni makubwa anashindwa hata kujitetea . Kabaki kusema mambo yasomuhusu. Hata km yalitokea matatizo na hao kina kishki hakuwa yeye msemaji na hayakuhusu kuyaleta hapa .
Alichohoji ni wewe , jibu uliloulizwa . Hivi watu wakisema huyu jamaa msenge kumbe kweli . Alikuja kwa sababu hiyo ni kazi yako wewe si ndio sheikh wa mkoa?
MAKUBWA!!! KUMBE MNAROGANA! SUBHANNALLAH!!! UMEJIVUA NGUO NA KUJIDHALILISHA. MNAITUMIA QUR'AN VIBAYA. DAAH! YAANI AFADHALI NINYAMAZE NISIJEFANANA NA WEEWE,NAPATA HASIRA TU NA HII MINENO YAKO.
@@ummylawheen8731 anjtia ana akili.alf hyo kumbe akli wnywe kazkalia.hyo na nyngn zp tmbni asbriwa apew tart tu na.mgfuli aende akaongoze kwaya hya kanisani kwa mama yao mariya😄😄😄😄😄
Yn we mjing una matatzo gan yn siwez kukuita sheikh mn mungu hatonsamee...... we c ujitetee kw ulichokifnya we mjng unaanza kulete mamb ya juma lokole kushushuana yn masheikh wa kitanzania cjui munaenda kumueleza nn mungu yn munautia uislam kwny siasa dah
Babdeo nakuomba usije ukasababisha watu tu unsubscribe tafadhali!!!HUU UPUMBAVU WENU NA MASHEKHE UNAOCHUKUWA CLIP ZAO ATHARI NI MBAYA KULIKO MAFIKIRIO YAKO! NAKUOMBA NAKUOMBA!TUTAZUNGUMZA NA KUWAVUNJIA HESHIMA YAO HAO MASHEKHE AMBAO TUNA HISTORIA NAO NJEMA!AMBAYO UNAIHARIBU!!!