Тёмный

SHEKHE ALHAD AMJIBU SHEKHE MUHAMMAD IDDI | AMTAKA AKAE KIMYA YEYE SI MSEMAJI 

BABDEO MILADU
Подписаться 255 тыс.
Просмотров 126 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

23 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 1,2 тыс.   
@naushadally2272
@naushadally2272 3 года назад
Sheikh Muhammad Iddi Allah akuzidishie ilmu na hikma ili uwaongoze hawa wanafiki
@mussabuhe1832
@mussabuhe1832 3 года назад
Liangalie Kwanza huna lolote toka unatu malizia mb zetu akuna shehe apo kwani wewe na ponda Nani kakosea unazidi kutia watu asila
@yaskidesaid5094
@yaskidesaid5094 3 года назад
Huyu ana elemu kait0lewa wp mashkhe wa mjini hawa hawana elemu wanakua wanapenda sifa tuu wana0na wamefika hpa dunian
@mohdkhatib223
@mohdkhatib223 2 года назад
Yeye mwenyewe pia ni mnafik, hao wote ni wapotoshaji na ni mashekh maslah.
@naswidiaabdulkarim5005
@naswidiaabdulkarim5005 3 года назад
Wallahi allah kwa jambo hili atahukumu kwa hukkmu ya waz waz tusubiri tuone maan haya ni madhra makubwa mm bnafs nahuzuni kwa uhasama huu maan UISLAAM UNATUACHA
@hajimaduka5224
@hajimaduka5224 3 года назад
Duh kwa kwel bakwata kwa hili la juz hadi sasa sina imani nayo na lazma itatupoteza waislamu tusipokua makini ALLAH ATUPE MWISHO MWEMA
@mgoiink4739
@mgoiink4739 3 года назад
Jamani mimi sina elimu sana ya dini ila ni muislamu,naumia sana kuona waislam,wanalumbana,kwa dharau,nyodo,ila naomba niulize ktk majibu ya mufti,hakuna kitu kinachoitwa RIA?
@myunaniniahmad6463
@myunaniniahmad6463 3 года назад
Bakwata hamna kitu.
@mrishongwikwi6448
@mrishongwikwi6448 3 года назад
Shekh Alhad ametumia maneno makali sana yasiyokuwa na unyenyekevu katika imani ya kiislamu, hakuna sababu ya kumshambulia muislamu kwa maneno ya matusi na jazba. Allah isimamishe hakhi katika jambo hili viumbe hawa wanakiuka maamrisho mema ya Mtume wetu Muhammad (S.A.W).
@salimurobota6947
@salimurobota6947 3 года назад
Ushauri wng muft zuber tutafutie sheikh mwengine na allaah atakulipa inshaallah
@saidiomary9070
@saidiomary9070 2 года назад
Hivi mbona mnatukatisha tamaa yamani acheni mambo ya kijinga Sasa mmesoma nn maneno ya kijinga Sana hayo mnajiazilisha Sana
@twahambowe440
@twahambowe440 Год назад
Aamiin
@fundibombazanzbar5717
@fundibombazanzbar5717 Год назад
Yametimia
@yusuphkibacha3063
@yusuphkibacha3063 3 года назад
Subhanalah, hizi siasa za kidunia zisitufarakishe. Nyie na viongozi wetu, baba zetu,walezi wetu Wa kiimani ni vyema makakaa na kumaliza tofauti zenu ndani kwa ndani bila kurushiana maneno makali mbele ya waumini. Sisi maamuma tutakuwa katika hali gani. Hii ni kuwapa nafasi maadui Wa uislamu. Mwenyezi Mungu awateremshie rehema muone njia sahihi ya wajibu wenu. As-laam alyekumu.
@cutegirlallyally4957
@cutegirlallyally4957 3 года назад
M.mungu atupe mwisho mwema na atupe amani ndani ya dini yetu
@jidahtururu2853
@jidahtururu2853 3 года назад
Sasa huo ni ubea
@mahembeathumani3552
@mahembeathumani3552 3 года назад
Muogope mungu
@jazeerajuma5014
@jazeerajuma5014 2 года назад
Amenn
@twahambowe440
@twahambowe440 Год назад
Aamiin
@twahambowe440
@twahambowe440 Год назад
Aamiin
@yusha109
@yusha109 3 года назад
sheikh hii ni din sio taarab muogope Allah ukilekekebishwa kubali
@mohdkhatib223
@mohdkhatib223 2 года назад
Ndo inaonyesha wote hao ni maslah
@muhammadmuhammad5043
@muhammadmuhammad5043 3 года назад
Muogope Mungu Usione Damu Inatembea Ukajiona Mwamba Ipo Siku Yako
@aliyalwatan3168
@aliyalwatan3168 3 года назад
Subhanallah hii dini imekuwa ya majungu Allaha atuhifadhi kwa kila jambo lakini daaah hiii sjuw niseme ni kukosa hekma au vp SUBHANA ALLAH
@salimali5457
@salimali5457 3 года назад
Nimesoma comments za wengi hapa na inaonyesha wazi sheikh wa Yesu kristo Una mengi ya kujibu kuliko ya kujibiwa.
@kidiginonbabu5935
@kidiginonbabu5935 3 года назад
Asante Hadi kwakumpa makavu,amebebeshwa mavitabu hajui ndani yananini
@ramangadu6451
@ramangadu6451 3 года назад
Wewe Nahuyo msemaji Akili Zipo Sawa. Akili Kubwa Haishindani naakili ndogo
@hamadrashid5140
@hamadrashid5140 3 года назад
Yani we ungekaa kimya tu... Unazidi kujiharibia. Maana kila aliyemsikiliza abuu idd kamuelewa vzuri. . Ushauri kaa chini ushahadie upya
@elishachanzi6074
@elishachanzi6074 3 года назад
Ppp
@sherrysalim50
@sherrysalim50 3 года назад
Yaani anazidi kukosea sanaaaaaaaaa
@jaliakamote5485
@jaliakamote5485 3 года назад
Kabisaaa
@shabanihussein171
@shabanihussein171 3 года назад
Njaa itakupeleka Motoni wewe mjinga.
@shabanihussein171
@shabanihussein171 3 года назад
Yaani wewe, Alhad ni muhuni sana.
@abulghareebzimbawy790
@abulghareebzimbawy790 3 года назад
Mohd IDD yuko sawa wacha uchafu wa Roho
@salminisalehe9417
@salminisalehe9417 3 года назад
Wallah Nazidi Kukushusha Thamani Shekh Wa Mkoa Yani Kulijibu Hili Nazidi Kukudharau Umefanya Makosa Jarib Kukubali Umekosea. Kenge Wewe Jitathmini Ujiuzulu
@abubakarallawi1989
@abubakarallawi1989 3 года назад
Alhamdulillah kwaupande wangu Shkh Mohd ni hodari sana
@ghulamjuma2883
@ghulamjuma2883 2 года назад
Kwa upande wako kwa upande wa dini je?
@jaliabahat1520
@jaliabahat1520 Год назад
lazima ucheke kwakweli
@barathmfaume510
@barathmfaume510 3 года назад
Daaah ! SubhanaLLAH,SubhanaLLAH.Yarabb twaomba khusnur khatma.Waislam hii ndiyo khatma ya kibri,Allah atunusuru.
@abuyunusmohamed6961
@abuyunusmohamed6961 3 года назад
masheikh haifai kulumbana kwenye mitandao. kutaneni na mmalize tofauti zenu bila kupitia kwenye mitandao
@sameramwajdu9029
@sameramwajdu9029 3 года назад
Wacha walumbane awa mashekhe saivi hawapo kwa ajili ya ALLAH kila mmoja ajikumbizia kwake hawaangalii maisha ya watu wa angaliya matumbo yao tuu
@shabanmalange9658
@shabanmalange9658 3 года назад
Omary alikuwepo shehe pitia vzr hadith omary ndo alirud nyuma na kusema Abu bakar mm siwez kuwa amir wkt ww upo
@shabanmalange9658
@shabanmalange9658 3 года назад
Iyo serekal unayoiweka kipaombele juu ina mwisho wko shehe. Hii n dini ya Allah sio ccm serekal
@muhammadmuhammad5043
@muhammadmuhammad5043 3 года назад
Subhallah Akhera Kutakuwa Nakazi Jamani Na Sihoja Aalim Nahisi Wao Ndio Watakuwa Kuni
@abuujureyjkhaniy.5520
@abuujureyjkhaniy.5520 3 года назад
USHINDE KWA JINA LA ALLAH NA UPOROMOKE CHINI HUO UHUNI WAKO MIMI NILIZANI UTAOMBA RAZI KUMBE UMEZIDI TAKA ZA UJINGAA
@Gamba177
@Gamba177 3 года назад
Huyu kichaa mvuta bangi
@abowsudes210
@abowsudes210 3 года назад
We alihad mm ninayo clip unayomsifu makonda kuwa nizaid ya mtume nizaidi ya Allah ninayo anayoitaka 0653326771 what's up nimtumie kwaio tushakuzoea
@sheikhasalim1190
@sheikhasalim1190 3 года назад
Hajielewi
@selemanimohamed9034
@selemanimohamed9034 3 года назад
@@abowsudes210 nitumie mwalimu
@fakihmohammed3923
@fakihmohammed3923 3 года назад
@@abowsudes210 subuhanallah,, kumbe eee 🤔
@mbarakalwahebi4094
@mbarakalwahebi4094 2 года назад
Bismilahi Rahmani Rahim namshukuru mungu mpaka sasa alhaamdulilaah na yeye ni mfalme hakuna mwengine zaidi yake Amin Amin yaaraab Amin duuu kibri Kwa Muslim ni mbaya na kiongozi mungu anakuonaa shekhe wa mkoa mnaafki Sana subhaanaalhaah mtihani mkubwa subhaanaalhaah
@swahilitherapytv3846
@swahilitherapytv3846 3 года назад
BORA UKAE KIMYA..!! TUBIA KWA ALLAH, ACHA KIBRI ALHADI MUSSA. Jibu hoja na sio mambo binafsi
@Gamba177
@Gamba177 3 года назад
Huyu mbwa siyo shehe
@shabanmbajo191
@shabanmbajo191 3 года назад
Upo Sahihi Sana Progesa
@idrissazuber5509
@idrissazuber5509 3 года назад
Ombamsamaha urimtisha mange kimabe Sasa umenzamiposho
@husenikilala421
@husenikilala421 3 года назад
Kweli nimeamini nilikuwa nakuona bonge lashekh kumbe bonge la tutusa
@abishafiqabishafiq6065
@abishafiqabishafiq6065 3 года назад
Hapana sheykh hapa ujinga mtupu Huna hata hikma fala ww
@zahirallyzorro3940
@zahirallyzorro3940 2 года назад
Allah Azza Ajaalla, Azidi kukupa Upeo na Maono Utuongoze Waislamu Wenzio. Sisi tulio Maamuma tunaona Jukhdi na Vita zinazo elekezwa kwenu. Laakin Allah ndie Mlinzi wa Kweli. Amen Thumma Amen!
@samiahassan6208
@samiahassan6208 3 года назад
Yaani apa chanzo ni ccm allah atuepushe na ili janga huu sio usilaam alituachia mtume wetu
@jumafaki1697
@jumafaki1697 3 года назад
Dada wacha habari yaccm amekosolewa kuhusu dua aliyoomba kwa jina la yesu isa Almasih nimakosa muislamu kuomba kwa jina la yesu
@Zuwenamachela
@Zuwenamachela 3 года назад
Huyu syo shekh ni kibaraka na jabbar bc kibri kimemjaa wafikiri weye cheo chako kitakufaa nn mbele ya Allaah kwanza ulicgaguliwa na nan twajua waz kuwa nikibaraka wa makafiri na serikali tubia ww Alhad
@saidmbarouk3553
@saidmbarouk3553 2 года назад
ASSALAMU ALAIKUM NDUGU ZANGU WA KISLAMU HIVI KWANINI HAWA MASHEKHE WETU WA TANZANIA WANATUCHANGANYA SANA MASHEKHE BAZI YAO WANALUMBANA WALA HAKUNA SABABU ZA MSINGI MUNATUCHANGANYA SANA SISI WAUMINI WA KISLAMU HEBU UNGANENI MUTANGAZE YA ALLAH ILI TUPATE FAIDA SIO KUBISHANA MITANDAONI ALLAH HAPENDI HIVYO
@ibrahimually1196
@ibrahimually1196 3 года назад
WEWE ALHAADI NI MNYOO HUNA ELIMU YA KUTOSHA
@chandlerbrooks876
@chandlerbrooks876 3 года назад
Pro trick: watch movies at Flixzone. Been using it for watching lots of of movies recently.
@jeffreyfrank6998
@jeffreyfrank6998 3 года назад
@Chandler Brooks Yup, I've been using Flixzone for months myself :)
@haarunsaidabdillahi5267
@haarunsaidabdillahi5267 3 года назад
Wewe Alhadi kuomba kwa jina la Yesu ni kujipendekeza kwa binaadamu mwenzako kwa tamaa ya cheo cha hapo ulipowekwa.InshaAllah Mungu atakufedhehesha si muda mrefu.Allah akulpe maradhi na uombe kwa jina la Yesu upone.
@kaimumonero2877
@kaimumonero2877 3 года назад
Yaan ukijifanya sheikh alaf ukiwa muhuni Allah atakuumbuwa...ndio ww
@aminimushi6945
@aminimushi6945 2 года назад
Allah,mrehemu sana muft Hemed bin Juma bin Hemed,aliunganisha waislam,Leo hii ni mtihani.
@sabraham5308
@sabraham5308 3 года назад
Huyu kijana ana kibri mpaka anamkufuru Allah.
@hassanally445
@hassanally445 3 года назад
ALLAH AMREHEMU SHEIKH WETU MUHAMMAD IBN AYOUB
@muhammadmuhammad5043
@muhammadmuhammad5043 3 года назад
Subhallah Allah Istustiriy
@haseanatnsanya2079
@haseanatnsanya2079 3 года назад
Asalam aleykum ndugu zangu katika iman] tumuogopen mungu kwasababu nyie mambo kama haya nikuitana sehem munaongea mnamaliza yanaisha msisimangane mnawapa naFsi wakwilito mnazalilisha din haiko ivyo malaika wanaandika mema namabaya
@fahadfaraj1822
@fahadfaraj1822 3 года назад
Kuonyesha hatumkubali shekhe huyu weka like ili aone hatukonae , na hana heshima hata kidogo mbele yetu waumini
@allyiddy1263
@allyiddy1263 3 года назад
Sheikh unajikweza
@abuumaabadi7125
@abuumaabadi7125 3 года назад
Uyu shekh hamna ktu jaman dooh
@abuumaabadi7125
@abuumaabadi7125 3 года назад
Shekhe anajisifia kuwa yeye ndokamleta mjini Shekhe iddi hamna ktu apa
@khamissalum5456
@khamissalum5456 3 года назад
Kwa huko tunako kwendea waislam
@khamissalum5456
@khamissalum5456 3 года назад
Tukiambiwa munapeana mipasho kama taraab jaman tunajisahau na dunia
@georgematahimba5242
@georgematahimba5242 2 года назад
Mimi ni mkristo lakini nampenda sana huyu shekhe mkuu wa mkoa wa Dar es salaam. Watu wanaotaka kumchafua huyu shekhe wangu Wananiudhi sana. Huyu ni mhimili mkubwa sana katika nchi hii. Ana busara sana huyu shekhe. Sipendi watu wamchafue nitawachukia sana.
@faridahalwaily85
@faridahalwaily85 3 года назад
Waaislamuh swamahenaneni muwee kitu kimojaaa na kuwa kitu kimojaaa.
@kiri5807
@kiri5807 3 года назад
Huyu njaa jamaa hana elmu tangu lini sheikh wa mkoa akachaguliwe na raisi tena mkiristo?
@abishafiqabishafiq6065
@abishafiqabishafiq6065 3 года назад
Huyu muache achanwe maana m'bishi haelewi pia hafai kua sheykh wa mkoa
@hassanandnabil7243
@hassanandnabil7243 3 года назад
Ww sheikh acha porojo, hapa hoja umekosea na umeukachifu usilamu na kuwakafichu waislam, what we want to hear apologies toward your fellow faith. By the way ww unaonesha una beef na huyu Muhammad, mbona hujamtaja Sheikh Sharif ambae nae hajakubaliana na ww. Listen I am listening to you and all I can acknowledging from you that hunahekima wala huna maadili ya dini, mcha Mungu waukweli hawezi kutuma lugha hii nakuaza kumita msha cjuwi unavuta bangi, just prove a point and treat your fellow Muslim with respect cos no one is above the law of God will.
@muhsinsalum8009
@muhsinsalum8009 2 года назад
WEWE SHEIKH WA MKOA HUNA ZAIDI YA KIBURI. ABUU EID ANAKUOSHA MBALI TU KIELIMU
@abubakarbarakaty4241
@abubakarbarakaty4241 3 года назад
Hamna ktu apo uyo alhad ni msaka tonge tu! #rudia mawaidha ya sheikh ilunga Allah amrehem
@abdallahrajabu4401
@abdallahrajabu4401 3 года назад
Yani kweli imedhihiri kule kuto like eana aibu kurumbana ktk mitandao ya kijamii mwenye elmu anajua kuwa hatuna mashekh Allah atuhifadhi
@malaikakassim8539
@malaikakassim8539 3 года назад
Ombaa radhiiii *SHEITWANIIIIIII WEWEE*
@allymbarouk5362
@allymbarouk5362 4 месяца назад
Nampenda sana shekh Ponda kwa ajili ya Allah Haburuzwi kw maslahi ya wachache
@zainabumwagiroabdallamwagi97
@zainabumwagiroabdallamwagi97 3 года назад
Huyu sheikh wa mkoa anapotosha duwa yoyote lazima iwe na mwenendo unaoendana na sunna ya mtume.na huwezi omba kwa jina LA yesu wala mtu yeyote .mungu amesema msiombe kwa jina lingine isipokua yeye Allah.
@mdaomasalimu
@mdaomasalimu 3 года назад
Ww mwehu umekosea kusema dua maalum afu kwa jina la yesu ww mshenz sana ttz lenu mnachahuliwa na serikali
@abdulhafidhi84
@abdulhafidhi84 3 года назад
Dah shekhe gan ww unatukana km malaya
@salumsaid6572
@salumsaid6572 3 года назад
ALLAH akuongoze ujue baya na zuri akupe husnulkhatima
@yusuphahmedymngombe3706
@yusuphahmedymngombe3706 3 года назад
Nimegundua kuwa Shekhe wa mkoa wa Dar anamapungufu makubwa na nahisi sio mwislam halisi
@sherrysalim50
@sherrysalim50 3 года назад
Kabisaaaaaaa huyu maslahi
@hamidmussa838
@hamidmussa838 3 года назад
Ww Mbabashaji Mtu wa dili
@dallenhamidu7084
@dallenhamidu7084 3 года назад
Huyu kachangany dini na siasa ndio kosa na kwakuwa anapata maslahi huko CCM ndio kibri anachokipata
@mohamedrashidy29
@mohamedrashidy29 3 года назад
mshenz huyo
@seremenikibwene8633
@seremenikibwene8633 3 года назад
Huyu c ktk waislam
@saidjoka1282
@saidjoka1282 2 года назад
Alhad NYOTE NYINYI WAJINGA sana MASHEKH GANI NYINYI NYINYI mashekh au wavuta BANGI HAMNA tofauti na mashangingi AIBU AIBU MUNGU awaondoe mkauze pombe
@jafarinahonyo7349
@jafarinahonyo7349 3 года назад
Mashekhe mm nawaomba sana sana mukitofautiana kwa makosa yeyote yale nawaomba muitane nakukaa kwa sili muyazungumze muyamalize musiwe munaongea ktk mitandao kuanikana matatizo yenu hiyo siyo kweli mungu katufundisha mufanyenn pindi mukitofautiana sio kuanikana hazaran munashusha heshima na uthaman wadiniyetu huwa hatupendi sisi mnachokifanya tunachukia sana ila tunashindwatu uwezo wakuwafikishia kutokana na tunakoishi ni mbali na nivijijin .naomba fuateni kitabu na sunna ilikutatua migogoroyenu acheni kutatuamigogor kwa akilizenu munaharibu na munabomoa mafundisho allah muogopen mungunyie walimuwetu
@farajichilumba5114
@farajichilumba5114 2 года назад
Hili kosa lilifanywa hadharani watu tukashikwa na butwaa tungejuaje kuwa haifai kama si kosa kubainishwa hadharani
@Auf-uh3jq
@Auf-uh3jq 2 года назад
Safi kabisa
@jumaamartin7929
@jumaamartin7929 2 года назад
Tumsalie mtume mashekhe wetu.ningewaomba zitumike sana busara kumaliza hili.tusipo kuwa na subira na umakini.tutaufedhehesha uislaam.hembu tumuogopeni allah.
@fatmaseleman9661
@fatmaseleman9661 2 года назад
Ah !!! Subhannallah
@fatmaseleman9661
@fatmaseleman9661 2 года назад
Mtume wetu (S. A.W.) alisema zizueni hasira zenu. Mbona nyie mnazipandisha?
@sk-wj9or
@sk-wj9or 3 года назад
Aibu kubwa kua na viongozi wa kiislam kama hawa. Innah lillah wainnah ilaihi rajiuna.
@abuukauthary3706
@abuukauthary3706 3 года назад
Maneno unayoongea inamaanisha dhahit ww sio kiongozi muadilifu unajitapa sana kuliko kuelimisha
@sophiamgaza3800
@sophiamgaza3800 3 года назад
Filimasne
@sophiamgaza3800
@sophiamgaza3800 3 года назад
Filimasne
@sophiamgaza3800
@sophiamgaza3800 3 года назад
Ni Kweli umezaa na dada hukutemeke
@sophiamgaza3800
@sophiamgaza3800 3 года назад
Bakwata ni vibarska
@hamidharunsaid1666
@hamidharunsaid1666 3 года назад
Wallahy anajifakhiri sana
@muhsinsalum8009
@muhsinsalum8009 2 года назад
ALF WEWE SHEIKH ALHAD, MNAMTETEA KISHKI ANAQUR'AN, LAKINI SIWEWE KWENYE DIBETI YA KINA MAZINGE ULISEMA MAWAHABI HAWANA LOLOTE UTAWAOMBEA ALBADRU, WAANGAMIE. WEWE SEMA TU UNAWAOGOPA WACHUNGAJI NA SERIKALI. NA IN SHAA ALLAH ABUU EID ATAKUA MUFTI BADALA YAKO. MAANA KATIKA WATU WANAOTOA HOJA ZA KIUME NI ABUU EID. WEWE UPO HAPO KWENYE CHEO KWA MCHONGO TU. ELIMU HUNA. TULIA UPEWE UKWELI WAKO TU.
@ahmedomar804
@ahmedomar804 3 года назад
Kuna kitabu kina hadithi 40 hebu angalia hadithi ya 36-37 je Hawa wanasifa ya kuwa ndugu KATIKA uislam
@sultankitamo3878
@sultankitamo3878 3 года назад
al imam nnawawiy
@sevenofficial446
@sevenofficial446 3 года назад
Inna lillah wainna ilaihi rajiun. Wewe hufai kua shekh wa mkoa coz huna hekma wala busara,shkh Iddy hakukutukana wala kukudhihaki ila wewe ulimi wako umeshindwa kuulinda
@malaikakassim8539
@malaikakassim8539 3 года назад
Ombaaaa RADHIIIIII USIWEEEE *IBILISIIIIIIIII ombaaaa msamahaaaaaaa*
@jumakubili1512
@jumakubili1512 2 года назад
Mimi ninavyojua wenye elmu na hekma wanapotofautiana Huwa wanaitana na kukaa kuyamaliza. Mazali mmeingiza dini katika mtandao maneno mnayoongea na kuchafuana imekuwa kama mipasho. ALLAH awanusulu maana amuelimishani bali mnachafuana.
@yahyahamad1802
@yahyahamad1802 3 года назад
Sasa wewe kama ni shekhe unaejielewa kwanini unakua huna subira unamjibu jeuri mwenzako sio vizuri
@fakihmohammed3923
@fakihmohammed3923 3 года назад
Hajielewi huyo,, allah amsamehe
@Gamba177
@Gamba177 3 года назад
Huyu kichaa alikuwa akiuza Bangi huku Tandika
@yahyahamad1802
@yahyahamad1802 3 года назад
@@Gamba177 hahaha
@aidaabdallah2874
@aidaabdallah2874 3 года назад
DUUU HUYU HAFAU JAMN HATA KAMA WAMEPATANA HUYU SIYO.AIBU TUUUUUUUU
@mahengomwenyewe4204
@mahengomwenyewe4204 3 года назад
Apo mnamtetea nani uyo Abu idi pia ni mbabaishaji wote njaa kali Abu idi hana busara hata moja yupo kama chizi
@abdullahalmahrooqi8306
@abdullahalmahrooqi8306 3 года назад
Assalam Aleikum jamani tusiwape watu faida kiumbe akipotea njia tumuombee dua kwa Mwenyezi Mungu amuongoze njia ya kheri Laana si ya kumuombea Muisilamu pia si vizuri waisilamu kurushiana maneno kutoleana siri zenu kikao kidogo aitwe aelezwe makosa yake. HAADHA WA ALLAHU AALAMU. Utanisameh Shekhe wangu ALHAD kama nimekosea LA TAGHDHABU. INNA LLAH MA SSABIRIIN.
@herculesthepower1544
@herculesthepower1544 3 года назад
mbona hujibu uchaguzi ulifanyika lini na wapi? unazunguka mbuyu.
@kiri5807
@kiri5807 3 года назад
Kachaguliwa na Magu ndio linaburuzwa kuchunga unga wake . Mnafiq wewe umefika kusema kuwa Magu ana sifa za Mungu .
@godfreyaron3511
@godfreyaron3511 Год назад
Shehe mkuu Dsm Mungu akuongezee hekma nakukubali
@samiahassan6208
@samiahassan6208 3 года назад
😭😭😭😭 huu ni msiba ata ww mbona umeshindwa kumsitili mwenzio ata we pia ufai kuwa shehe wa mkoa
@kiri5807
@kiri5807 3 года назад
Fitna wewe unayeleta habari hizi za kina kishki . Mufti gani? Mshenzi huyo naye mufti akachaguliwe na Magu ?
@abulqadirellajmy431
@abulqadirellajmy431 3 года назад
MBONA KWENYE MAANDIKO ALLAH ANATWAMBIA MKITAKA KUOMBA MUOMBENI ALLAH NA MKITAKA MSAADA TAKENI KWA ALLAH WW DUA YAKIPEKEE UMEIPATA WAPI KWA HADITHI AU ULAAMAA,YYTE WW HUNA ISHU TOA JIBU
@abulqadirellajmy431
@abulqadirellajmy431 3 года назад
Ww ktka UISLAM kosa halisubiri MTU maalum ndio akataze ktka khadithi Mtume (s.w.a ) anasema yeyote ataeona kosa aondoe kwa mikono yake au alisemee au achukie nahapo alipokukaribisha ilikua hujalewa madaraka sasaivi umelewa madaraka umekufuru Tamka shahada huna Uislam
@abulqadirellajmy431
@abulqadirellajmy431 3 года назад
Na Shekh Mohammed Iddi usishughulike kua na Msimamo huohuo ukiliona kosa LISEMEE USISUBIRI ASEME FULANI
@abdulsalim5081
@abdulsalim5081 3 года назад
Huyu hamna kitu asee elimu uchwara
@desultansaid3647
@desultansaid3647 3 года назад
Subhanalllah tumefikia Huku kweli qiyama chatuijia
@abburakkaan5694
@abburakkaan5694 3 года назад
Wallah Wallah Wallah mazungunzo yako hayaendani na title yako. Unaonesha dhahir kwenye macho yako na sura hujui kujiekeza unaongelea chuki tu hapa sio kuelimisha. Nakuomba rudi kwa muumba wako haraka sana before to let. Please sura zako jamiil ila ninashaka na Imani yako. Pole sana kama nimekukwaza, ila nakuonea huruma juu ya dhamana yako kama hujaitendea haki itakudhuru duniani,wakati wa sakarat lmaut,kaburini na siku ya hisabu, ila nakuhakikishi bado unao wakati wa kujisafisha. Tafadhali fanya hivyo
@mwatanohmakuka3780
@mwatanohmakuka3780 2 года назад
Musikashifiane mnawapa nafasi maadui zegu
@hawaismail5060
@hawaismail5060 2 года назад
asalam aleiykum warahmatuh wabaraqatuh kwa hakika shekhe kesho nyinyi mtakua masuuli mbele ya allah mtume salalahu aleiyh wasalam wakati anafanya hijjatil wadaa ktk kauli yake aliusia kushikamana na vitu viwili kitabu quraan na suna zake sasa vipi vinywa vyenu vinataka kuwapotosha jamii msilimini mnatukanana mnaambiana lugha za kihuni ambazo haziendani maadili ya dini kwanini mnahukumiana nyinyi allah mpeni nafasi yake majigambo na kujifaharisha na kuitana majina mabaya fanyeni istaghafar acha matusi hakuna mbora juu mwingine mrudieni allah wewe shekhe acha maneno mengi
@halimamohd5132
@halimamohd5132 3 года назад
wallah we shekh ni mtafta tonge tu kwa jina la ushekh hata kama utaipata kwa kharam
@kiri5807
@kiri5807 3 года назад
Huyu jamaa haikuhusu kuwataja watu wengine , km aligombana nao yeye imekuwa anaita wenziwe washamba yeye umji gani alonao? Kuvunja nyumba za wanaume wenzake . Mnafiq na huyo mufti pia kibaraka
@abdalllahmwinyi8185
@abdalllahmwinyi8185 3 года назад
Toa hoja
@kiri5807
@kiri5807 3 года назад
Kwani yeye kaja na hoja? Huyu jamaa mpotoshaji na kaekwa makusudi kuwapotoa waislamu. Ni mnafiq yeye jana alikuja kwenye media kutoa kashfa tele za mwenziwe ikisha alipokwisha wamekutana na kusameheana . Kutafuta kiki tu , huyu sheikh wa mkoa choko basi hana elmu hiyo
@harunahashim9463
@harunahashim9463 3 года назад
Asalam aleykum warahmatullah wabarakatuh, mimi binafsi nnaona kwamba viongozi wetu wote wanatupoteza!!! Sababu ya wao kulumbana na kukosana kwa sababu ya #siasa na hata hakuna maslahi na uislamu. Je,mgogoro huu umeanzishwa na nani? Je, tatizo ni nini? Ni nani wa kutu unganisha tena? ALLAH UNUSURU UISLAMU NA WAISLAMU TANZANIA MAANA TWENDA ANGAMIA.
@rahmasaleh1984
@rahmasaleh1984 3 года назад
Jaman huyu shekh ni mzima kweli? Hana quality za ushekh hatà chembe
@yahyahamad1802
@yahyahamad1802 3 года назад
Haya yote ya nini? Muhimu umekosea omba msamaha kwa allah na uombe radhi kwa uislam hakuna haja malumbano alhad umekosea usijifanye msomi sana na unajua sana kwa hili ulikosea
@adamsalumu7918
@adamsalumu7918 3 года назад
Sasa alhadi cc hatuhitaji michambo hapa tetea hoja,hakuna dua kwa jina la yesu
@farhatrashid2063
@farhatrashid2063 3 года назад
Michambo voo🙄
@mahengomwenyewe4204
@mahengomwenyewe4204 3 года назад
Lkn kweli Abuu idi mwehu
@binthatv2794
@binthatv2794 2 года назад
Asalam Aleikum warahamtullah wabarakatuh hivi munajuwa dunia nzia unawapa maco subuhanallah munatiya aibu habari zaugomvi wenu munauweka inje inje umbea Watu wasikiye Allah akbar
@saidiiddi9591
@saidiiddi9591 3 года назад
Senge Wewe Hivi Mufti hamuoni Huyu Baba Atolewe Kwenye Ushekhe Wa Mkowa ,, Anatuchanganya Bana
@amnehajji3460
@amnehajji3460 3 года назад
Ao walio mchagua wote ni usalama wa taifa
@mwidausaid5701
@mwidausaid5701 3 года назад
Hawez kumtoa ni mkwewe
@yaskidesaid5094
@yaskidesaid5094 3 года назад
Shekhe gani huyu hafai hata kuadhini kwa fatua yangu mm hyu anataka maslahi tu lkn subr mwka uishe uta0na nn
@yusufumbwene6845
@yusufumbwene6845 3 года назад
Mwenyezi Mungu humpa hikma amtakae , na mwenyekupewa hikma basi kapewa kitu kikubwa zaidi .
@rojaboka7910
@rojaboka7910 3 года назад
Me nahisi huyu ni mkristo kapandikizwa kwenye uislam
@fredichaki4868
@fredichaki4868 3 года назад
Kweliiiiiiiiiiiiii kabisa huyu ni mkristu
@mohamedabdallahmellah4370
@mohamedabdallahmellah4370 3 года назад
Ume chemka shekhe acha kuongea....
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 3 года назад
Huna akili kwahiyo mkigombana mkristu ndio kawakosanisha huu ni upuzi kbsa na uzandiki kbsa poor kbsa
@mohammedsigulu575
@mohammedsigulu575 5 месяцев назад
Innalillahiw wainna ilayhir raajiun! Hakika masheikh wamekwisha. Dini imebaki na Wahuni. Hata waimbaji wa taarabu nafuu. Siyo wanafiki na wachafua haiba ya uislam kama Hawa.
@jumahory3069
@jumahory3069 3 года назад
hivi Zama zamtume sw swahaba yupi alijibizana wezake
@Gamba177
@Gamba177 3 года назад
Shehe wetu wa mkoa inaelekea alikuwa muimbaji taarabu
@hussenimbwana325
@hussenimbwana325 Год назад
Asalam alaykum mashekhe zangu mimi sina elimu ya fatwa lakini nyinyi viongozi wetu mnatupiana vijembe sana mnatupeleka wapi je mnatufundisha nini?
@muddiesmart
@muddiesmart 3 года назад
Alhad muogope allah, kumbuka sisi mnaotuongoza tuna akili pia, usitutoe akili.. Majibu yako hayapo ktk hoja ya msingi.. Una mshambulia Shekh badala ya kushambulia hoja zake..
@nourzahoro3178
@nourzahoro3178 3 года назад
Shekhe hayo majigambo ati Mohammed mshamba,wewe ndio ume.leta mjini, yanahusu nn. Unatangaza aibu na msaada uliotoa kwake,hii ni desturi ya uislam?maneno hatafai mitandaoni kwani uongozi hakuna?shekhe maneno yako yako yamepita kiwango hayana hekima na busara jamii inajifundisha nn kutoka kwako shekh alhad (kumbe hata mashekhe ni mabingwa wa mipasho)lahaulaaa
@nourzahoro3178
@nourzahoro3178 3 года назад
Unawataja mashekhe wengine ili iweje wakuunge mkono au tena unataja mpaka siri za marehem,inahusiana nn huna siri, kwa maneno yako shekhe alhad unatatizo kweli shekhe tena wa mkoa unazungumza maneno kama haya,alhamdulilah,wewe ndie haswa kwa maneno uliyozungumza umekosea, kwa kuzungumza na kuwataja baadhi ya mashekhe mbona hapo mwanzo hukuzungumza?
@abdulwalidali4567
@abdulwalidali4567 3 года назад
Mie aniongoze pumba huyu huyu elmu hana na hakuna mnafiq kama wewe na bakwata ni genge tu ccm
@muddiesmart
@muddiesmart 3 года назад
@@nourzahoro3178 Yaani mara mia angenyaza, hayo majibu ya Sasa kazidi kutuudhi na kutukera .. Halafu anasema kabisa kuwa kuna watu wakiwemo na mashekh mbalimbali wamemwambia asijibu, anashindwa kuelewa kuwa wana maana au busara gani kwa kumshauri hivyo,, Kwa akili yake mbovu anajua wapo pamoja nae ku support upumbavu wake, Halafu anataja mashekh wengine ili apate utetezi wao, kwa kuwa wao waliwahi pia kukosolewa, Yaani Sasa linatengeneza fitna za kimji, Huyu jamaa nina hakika kapumbaa akili, ana matatizo ya kichwa sio bure
@fakihmohammed3923
@fakihmohammed3923 3 года назад
@@nourzahoro3178 sheikh wa mkoa Ana laana huyo, ndomana anataka hata siri za marehemu Subuhanallah
@kishrakhan9351
@kishrakhan9351 2 года назад
Allah huakbar Imani yetu ya kislamu watu unaenda wapi😭😭😭😭😭
@aminachaulaya278
@aminachaulaya278 2 года назад
Yani wow shekhe katika siku uliyonichefua leo unamtusi mwenzio wakati yy hajakutusi kwa kifupi hufai kuwa shekhe wa mkoa wa dar jamani huyu shekhe hafai hana hekima hata kidogo masiba huu kwa waislamu
@abulghareebzimbawy790
@abulghareebzimbawy790 3 года назад
Allah pekee ndio ana nafasi ya simulizi kwa waja wake ...sio wewe kutaja kumsaidia Sheikh IDd
@suhaylasultan6820
@suhaylasultan6820 3 года назад
Inna lillahi wainna ilayhi rajiuun Shekh kuwa na hikma ukizungumza.
@ummyhawaaweis3867
@ummyhawaaweis3867 3 года назад
Astaghfirullah
@sidal6891
@sidal6891 3 года назад
Unamsaidia Mtu unamsimanga Daah wewe Mwisho Mufti Yaan unatukana Muumin hatukani...
@abdullahsaidi8009
@abdullahsaidi8009 3 года назад
Sheikh musa kubali kosa, umekosea, sheikh Mohammed Iddi ajakosea
@hamadrashid5140
@hamadrashid5140 3 года назад
Kibri kibaya sana.. Allah atuepushe
@abubilal4319
@abubilal4319 3 года назад
Ana kibri kibaya sana huyu Shekhe.....Allah SWT amuongoze..
@abishafiqabishafiq6065
@abishafiqabishafiq6065 3 года назад
Wallahi kweli
@oman7710
@oman7710 3 года назад
Allahumma amiiin yarab
@khatijaabdulrazakkhan2373
@khatijaabdulrazakkhan2373 3 года назад
Innalillah wainna ilahi raaj,uun YAA ALLAH tusamehe waja wako na utuongoze njia iliyo sahihi hakika huu in mtihani mkubwa ,kutuacha tukaongowa kwenye dini na kiongozi kama huyu .YAA RABBI tujaalie viongozi wenye hofu yako na hekima
@happynesbaemuhappynes8813
@happynesbaemuhappynes8813 3 года назад
Yaani zama hizi kila Muumini wa dini ya kiislam bora kuzidisha Ibada .hawa viongozi mm sielewi mwenzenu.badala ya kufanya suluhu wanatoleana siri
@lawrencelawrence3600
@lawrencelawrence3600 2 года назад
Hhhahahaha
@fakihmohammed3923
@fakihmohammed3923 3 года назад
Kama ulimsaidia ulivyofika Dar kwahiyo Leo ndo unamtangaza duuuh subuhanallah Tenda wema nenda zako au Ulitaka akulipe
@nourzahoro3178
@nourzahoro3178 3 года назад
Mambo unayozungumza hayafai maneno hayo yanahusu nn mbona tangu mwanzo hukuyazungumza aibu kubwa shekhe kwa unayoyasema.
@fakihmohammed3923
@fakihmohammed3923 3 года назад
@@nourzahoro3178 anazuga huyo,, aongelee jambo alilolifanya nasio kutangaza madhaifu ya watu
@kiri5807
@kiri5807 3 года назад
@@nourzahoro3178ni kweli hizi ni fitna tu , uislamu unatwambia ukitoa kwa mkono wa kulia hata mkono wa kushoto usijue . Sasa yeye kaja kuyaanika kwenye media kuwa alimsaidia halafu anajiita sheikh. Ama kweli usheikh wake huyu una mashaka
@kiri5807
@kiri5807 3 года назад
@@fakihmohammed3923 huyu jamaa hana hoja yamsingi maana aloyafanya ni makubwa anashindwa hata kujitetea . Kabaki kusema mambo yasomuhusu. Hata km yalitokea matatizo na hao kina kishki hakuwa yeye msemaji na hayakuhusu kuyaleta hapa .
@kiri5807
@kiri5807 3 года назад
Alichohoji ni wewe , jibu uliloulizwa . Hivi watu wakisema huyu jamaa msenge kumbe kweli . Alikuja kwa sababu hiyo ni kazi yako wewe si ndio sheikh wa mkoa?
@rehemarajabu2221
@rehemarajabu2221 3 года назад
MAKUBWA!!! KUMBE MNAROGANA! SUBHANNALLAH!!! UMEJIVUA NGUO NA KUJIDHALILISHA. MNAITUMIA QUR'AN VIBAYA. DAAH! YAANI AFADHALI NINYAMAZE NISIJEFANANA NA WEEWE,NAPATA HASIRA TU NA HII MINENO YAKO.
@mohamedayubu8021
@mohamedayubu8021 3 года назад
Kwahiyo ufanye upumbavu watu wanyamaze tu eti sio wasemaji
@husenikilala421
@husenikilala421 3 года назад
Shekh unajibu mapigo
@husenikilala421
@husenikilala421 3 года назад
Unapo taja aibu yamwenzako kumbuka yakwako hivi huoni aibu shekh
@husenikilala421
@husenikilala421 3 года назад
Tumekujua wewe nimamluki Wala sigo shekh
@abishafiqabishafiq6065
@abishafiqabishafiq6065 3 года назад
Huyu shehe au mganga? 🤣🤣🤣
@ssjuma
@ssjuma 3 года назад
Kuburi kimemjaa, dah
@mababa-tv..s.z.b.4905
@mababa-tv..s.z.b.4905 2 года назад
Unalewa sana sifa Alhad wew mwenyew hutosh hatakuwa sh.wa nyumba kumi
@alfeshhassan4181
@alfeshhassan4181 3 года назад
N.ww.hutoshi ata kuwa sheee wa nyumba puuuzi kbw sna .... Ww unafaa kuw askofu tu 😳🤔🤔🤔
@ummylawheen8731
@ummylawheen8731 3 года назад
sio wa nyumba...hawezi hata kua sheikh wa kujiongoza yeye mwenyewe mjinga huyu
@alfeshhassan4181
@alfeshhassan4181 3 года назад
@@ummylawheen8731 anjtia ana akili.alf hyo kumbe akli wnywe kazkalia.hyo na nyngn zp tmbni asbriwa apew tart tu na.mgfuli aende akaongoze kwaya hya kanisani kwa mama yao mariya😄😄😄😄😄
@ummylawheen8731
@ummylawheen8731 3 года назад
@@alfeshhassan4181 🤣🤣🤣🤣🤣hawa ndo wanatuletea corona nchini
@alfeshhassan4181
@alfeshhassan4181 3 года назад
@@ummylawheen8731 tena hee si mchz yani tan antletea corona kw jna la yesu wke 😄😄😄😄😄
@hijjafakky569
@hijjafakky569 3 года назад
Ww hufai hata kuongoza mbuz huna ushekh na muislam unatakiwa umstiri aibu yke na ww utastiriw 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@fakihmohammed3923
@fakihmohammed3923 3 года назад
Sheikh wa mkoa wa Dsm hata uongee vipi hatuwezi kukuelewa Fanya towba bado mapema acha kutangaza madhaifu ya wenzako
@ramadhanaldawiyya8659
@ramadhanaldawiyya8659 2 года назад
Sheikh ALHAD tafadhali tufanye yameisha
@faju4real800
@faju4real800 3 года назад
Mashekh wengne wa Dar bwana bora Mlevi wa Zanzibar
@ramadhanimganza6958
@ramadhanimganza6958 Год назад
😂😂😂😂
@kibwanasuleiman263
@kibwanasuleiman263 3 месяца назад
Mambo ya hovyo kabisa mambo ya kijaahil ya kshamba kabisaa,mambo ya ki ibliiis,
@hafidhnzota2142
@hafidhnzota2142 Год назад
Sheikh Alhad Mussa ulimpiga kwa database zako uko vizuri mno umemjibu kisomi na facts.
@abdulhafidhi84
@abdulhafidhi84 3 года назад
Hyu alhad c msomi ni mjingaa
@footballprayers132
@footballprayers132 3 года назад
Yn we mjing una matatzo gan yn siwez kukuita sheikh mn mungu hatonsamee...... we c ujitetee kw ulichokifnya we mjng unaanza kulete mamb ya juma lokole kushushuana yn masheikh wa kitanzania cjui munaenda kumueleza nn mungu yn munautia uislam kwny siasa dah
@ahmedomar804
@ahmedomar804 3 года назад
Alokupa cheo cha sheikh alipotea njia
@allymassudi2246
@allymassudi2246 3 года назад
Mh mashehe wasikuhizi wanamashaka kweli kazi yao kutafuta umarufu mitandoni
@salumhamza3922
@salumhamza3922 3 года назад
Km nyiny wenyew mnagombana kw kutetea ugal wenu hamna lolote lengo nikutangaza din y Allah mbora wetu ni mchaj
@musabahmapinda9892
@musabahmapinda9892 3 года назад
Mohammed IDDY yupo sawa sawa kabisa .✅✅✅✅
@salumnassor1215
@salumnassor1215 3 года назад
Babdeo nakuomba usije ukasababisha watu tu unsubscribe tafadhali!!!HUU UPUMBAVU WENU NA MASHEKHE UNAOCHUKUWA CLIP ZAO ATHARI NI MBAYA KULIKO MAFIKIRIO YAKO! NAKUOMBA NAKUOMBA!TUTAZUNGUMZA NA KUWAVUNJIA HESHIMA YAO HAO MASHEKHE AMBAO TUNA HISTORIA NAO NJEMA!AMBAYO UNAIHARIBU!!!
@MtuSafi
@MtuSafi 2 года назад
Mashekhe mnataka trending sasa hv daah..
Далее
SHEKH MUHAMMAD IDD AMREKEBISHA SHEKH WA MKOA ALHAD MUSA
14:16
MWAIPOPO YAMFIKA SASA JICHO KUTOLEWA
43:52
Просмотров 25 тыс.
SHEIKH 'AMFUNDA' KIKWETE KUHUSU DINI NA SIASA
9:07
Просмотров 14 тыс.