Acha chekee😂😂😂😂,kweli wanawake mwalimu wao kipofu anafanya kosa hakitegemea msamaha duuuh.hebugwa safi sana bro👏👏👏endelea kutoa doziiiii filamu nzuri sana. Watching from mombasa-kenya
Huyo hawa siyo mwehusi alikuwa mzingu kwa hiyo hoyo habari ya uwongo ,siyo .historiya yetu. Siwehisi babu wetu wawili hawakumbana na hakuna usaliti kati ya Ntangu Akongo mwanahume na Ngonde Akongo female walihishi pamoja hadi wakati warudiya mu inchi za kiroho.