Shekh Salum Msabah mimi nikiona post zako sizipiti ivi ivi mpaka nisikilize mawaidha yako yenye kina kirefu cha kuelimisha,, Allah akupe mwisho mwema inshaallah.
Assalamu alaykum, nduguzangu munaorikodi Darsa za shekh Salum Msabbah pamoja na Darsa za mashekh wengine kwajumla tunakuombeni mutuwekee namba ktkt masomo ilitujue kwamba hii ni Darsa nambangapi,
Nyie munomdhihaki shekh kwa kusema anafuga kucha hamjasoma dini sawa sawa nioneshe andiko gani linalosema muislamu kufuga kucha haramu acheni kuzuwa mambo bwana weye una mangapi yamesemwa yako ingelikuwa ni haramu hata nywele tusingeingia miskitini na nywele kubwa ........ Hemu tusomeni bwana tujue
Tatizo anafikri akizungumza uchafu ndio atapata wateja. Hawa ndio wanaoichafua dini ya kışlamı. Dini ya kiislamu ni nadhwifu na ina hayaaa sasa yeye SALİM MSABBAH amesoma wapi haya. Mtume SAW ndio alivyokuwa akiwaaidh watu hivi
maelezo tofauti kivip?? maana sisi tumenukuu maneno aloyasema na ndo mana unaona kuna alama ya kutofautisha neno moja na jengine. sasa tofauti iko wapi?
@@jamalkhalid1055 ndio ivo uislam ni usafi shekhe minywele imekua mengi mpaka haileti muonekano mzuri wa shekhe ni kioo cha jamii sasa minywele ivo tuige nini
@@aliabdalla9297 anae post hizi Crp zake haswaa atamfikishia au kama wewe ni nduguyo mjuze( Muhammad (SW) hakufanya dawa hivii...!! Au kama yeye yumo humu ajifunze Crp zake nyingi lazima alete uchale wamaneno machafu mfano wa haya..wabilah taufiq
Vip nawewe uko sawa? Hebu tuambie elezea uchafu wako kwanza hapa ili tuujue kabla yakuongea yawenzio Ukitaka kutaja aibu zawatu kwanza zitaje aibu zako