Тёмный

SHK RUSAGANYA VIJANA MUSIJISAHAU ZAMA ZA MWISHO HIZI BADILIKENI | ACHENI MISIMAMO YA KUBURUZANA 

Riyadh Tv Online Znz
Подписаться 297 тыс.
Просмотров 31 тыс.
50% 1

#RiyadhTvZnz #Zanzibar #ShkRusaganya

Опубликовано:

 

11 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 24   
@husnaally7964
@husnaally7964 Год назад
Jazaaka llah khair.waislam tusomen dini yetu tujilazimishe kufuata kheir
@Kondoa805
@Kondoa805 2 года назад
Mashallah tabaraka llah nasaha nzuri sana allah atujaaliye tuwe wenye kuzingatia
@mariammasalu6547
@mariammasalu6547 Год назад
Mashaallah shekh Mungu akulinde kwa kusema kweli
@ahz6907
@ahz6907 2 года назад
Jazaqallah kheyr kwa ukumbusho. Allah akujalie uwe na umri mrefu wenye manufaa na akujaalie mwisho mwema 🙏
@claudiabakisa8052
@claudiabakisa8052 Год назад
Amiin
@user-ju1pl7rr8n
@user-ju1pl7rr8n Год назад
Aslm alkm ww.... Jazakallah kheir 🙏.
@kabirigisaidi8253
@kabirigisaidi8253 2 года назад
Jazakallahu haira sheikhe
@saidgawawa8519
@saidgawawa8519 Год назад
Huyu sheikh nampenda Kwa ajili ya Allah ,Huwa haogopi mtu akisema mambo ya kweli hususan yanayoathiri jamii Kwa ujumla!! Allah barik Yaa sheikh....
@mubirirashidi
@mubirirashidi 6 месяцев назад
Mashaaallah❤❤❤
@umugumyabangakhadjraty8319
@umugumyabangakhadjraty8319 Год назад
Shukrani saaaaaana mwalim
@sayaribrand538
@sayaribrand538 Год назад
Shehe rusaganya mungu akupe maisha malef
@ahz6907
@ahz6907 2 года назад
Kweli sheikh.umenena kweli.
@aminashaib6956
@aminashaib6956 2 года назад
MashaAllah Allah barik
@ussihamza-xn7bx
@ussihamza-xn7bx Год назад
Sheikh Shukran Sana.
@khadijadirunga6715
@khadijadirunga6715 10 месяцев назад
Allah akijaaliy Pepo
@aminashabani9526
@aminashabani9526 2 года назад
Allah atuhifadhi
@jiyaaabdillahi
@jiyaaabdillahi 2 года назад
Dalili za kiama hizo ustadh
@ayubojoao7460
@ayubojoao7460 2 года назад
Asalam alaikum ostazi nachukuru k wa ukumbucho wa alha
@sayaribrand538
@sayaribrand538 Год назад
Yani uyu shehe wallahi nampenda sana yan hapindi pindi alaf akiongea ukwel moyo wng hua unapanda iman na uwoga unabak kw Allah pekeyake na sio mungne
@kaitaramadan6340
@kaitaramadan6340 2 года назад
Sheikh rusaganya nakukubali Sana ktk mawaidha yako ila ktk hili suala la waislamu kutokuijua dini Yao wakulaumiwa sio waislamu wa Tanzania Bali wakulaumiwa ni bakwata kwa sababu bakwata ndo wamejipa jukumu la kuwasimamia waislamu Sasa Nani anaetakiwa kupanga mtaala wa kufundisha madrasa? Nani wa kuwalipa waalimu wa madrasa? kwa sababu elimu ya dini inatakiwa uianzie ukingali mdogo bakwata wanapata pesa nyingi Sana kutoka kwa wahisani wa nje na wa ndani hizo pesa wanapeleka wapi? waliachiwa shule za sekondari taqwa secondary school hospital za bakwata zimekufa bakwata watajibu siku ya kiyama kwa kuwanyima haki msingi ya elimu ya dini Yao Kuna nafasi za wanafunzi kusoma nje ya nchi misri, Saudia, nk hizo nafasi wanapeana wao kwa wao bakwata ndio chanzo cha kuwafarakanisha waislamu wa Tanzania
@omaryteddy535
@omaryteddy535 Год назад
Mashaallah
@ramlaomaryramlaomary70
@ramlaomaryramlaomary70 Год назад
Ma
@samyamohammed4568
@samyamohammed4568 2 года назад
Allah atuhifadhi
@aminashabani9526
@aminashabani9526 2 года назад
Inshaallah
Далее
SHEIKH HASHIM RUSAGANYA....ALAMA KUBWA KUMI ZA QIYAMA
29:59
MAITI ANAPOKUWA KABURINI | SHEIKH HASHIM RUSAGANYA
50:16