Kashaingili we mtoto wa juz tuachie ccm tunayoijua cc au unafurahia kuletewa tren ya umeme ni sawa nami nashukuru kuletewa treni hiyo pia na ndege hizo kumi na moja je ndege utazipanda na je mbona viwanda avifufuliwi vijana wakaajiliwa kutokomeza janga la machokora na kutoa janga la vijana kukaa mitaani zaidi tunaletewa ndege treni kupata ajila ya kufanya ata usafi uwanja wa ndege uwe na ufaulu wa chet cha form four kijana acha kufuraia vitu kwa kuviona ila fatilia kijana amka
@@ricksonlyimo5594 kupanda ndege sio lazima,Kuna hata ambaye hajawahi kupanda pikipiki au baiskeli japo watz wengi wanazimiliki,tunachoangalia ni maendeleo,na maendeleo huwezi kuyapata bila miundombinu ya uhakika,kama njia za uchukuzi, na anga ni njia mojawapo ya uchukuzi tena ambayo ipo kwenye ushindani wa hari ya juu sana duniani,na ndio njia ya kurahisisha kufanya vitu kwa haraka kuliko njia zingine ,ukitaka kuokoa muda wa kusafiri ni ndege,yani,ukitaka kusafirisha mizigo kwa haraka sana bado ni ndege brother,hata lisu alipopigwa risasi asingeweza kuwahi nairobi isingekuwepo ndege,angelazimika kutumia gari kwa muda wa masaa zaidi ya 13 kutoka tz kwenda Kenya,Sasa hapo ndio maendeleo yanapokuja kuonekana umepata tatizo umewahishwa na ndege,ambayo ni kitu,maana Kama ni maendeleo ya watu ok tuseme unahela zakutosha huna njaa,lkn ndio Sasa imetokea Kama hivyo umepata ajari unawahishwa Kenya kwa gari zaidi ya masaa 13,mwenzio anapanda ndege anawahishwa Kenya dakika 45,Sasa aliye endelea ni yupi hapo brother,maana tusitukanane bila sababu tuzungumze kiuhalisia,hivi wewe jirani yako ana nyumba bora ,wewe unabora nyumba,mwenzio anamiliki gari,wewe huna hata mkokoteni wakusombea maji, mwenzio anamiliki boat Kama mbili za kisasa zakuvulia samaki,wewe hata mtumbwi wakujichogea kienyeji huna,Sasa ni yupi mwenye maendeleo. Maendeleo ni kuwa na vitu,au kwa jina lingine Mali unazomiliki hayo ndio maendeleo,Sasa wewe mtu hata kiwanja chat kujenga chumba kimoja huna alf useme umeendelae,wa tz inabidi tujifunze kufanya kazi kwa bidii brother Yani shauri masera wafanye kazi ndege mbona unaipanda tu ,ni kitu Cha kawahida sana,sema mnaogopa jina ndege,wengine hata airport wanaogopa kufika kisa jina ndege,naomba tufanye kazi usipopanda ndege basi utaagiza mizigo leo kutoka china ,itakufikia kesho mapema,badala yakutumia meli ambapo ingechukua miezi 3 kufika, brother sipendi kutukanana lkn huu ndio ukweli
@@ricksonlyimo5594 wewe ndio ukae kimya maana huijui CCM,lbd nikujuze tu kuwa, ufatilia kampeni za ccm kwenye chaguzi zoote,uone kama waliwahi kuacha wasanii nyuma,sasasijui mmeliona leo,lkn kipindi Cha nyuma mliona kawahida tu,wasanii wengi ni wanachama wa ccm,na kingine,chadema bado haina ubavu wakupambana na ccm kwa Sasa,lbd baada ya miaka 100 ijayo,kizazi kingine ndio kitafanikiwa,lkn Bado ni lbd
@@fortidaskashaigili7496 yaan huna akili kabisa naweza kujikuta nabishana na kitoto kinachofurahia wasanii mimi cshoboki na wasanii we wafuraie nikikuuliza nn maana ya upinzani uwez ukanielezea nikikuuliza nn maana ya ccm uwez nieleza zaidi utabwabwaja tu na kusema umeona wasanii wanavyoimba amka toka ucngizini wewe
Tukisema Wananchi hawa wanakwenda fiester bure kwenda kuangalia Wasanii na sio magufuli mnakataa sasa hii ni nini! Ila pamoja na yote tunahitaji siku tar 28 October haki itendeke tofauti na hivyo mtajuta mkifanya uhuni mtakao ufanya.