Pole sana dada angu Mungu ni mwema sana hadi hapo ulipofika ni Kwa neema tu na yeye ndiye mlinzi wa maisha yako akupiganie na asikuache katika kipindi hichi kigumu kwako Amen
Mwanangu akupe hekima busara we ni shindi sugar wa yesu nakupenda sana mwanangu pia nashukuru Mungu kwa uzima unao leo kusikia ukiwa hai ubarikiwe naishi marekani Mungu awe nawe mwanangu
Nilisikia vibaya mno kusikia kua amefariki bahati nilichoka moyoni kua nimemloteza mwimbaji wagu mzuri nazipenda nyimbo zake ninapo zimba nasikia furaha mungu akuogeze siku baada ya siku
Dada hiliswala limenishituka sana pole sana mungu yupo atakupa afya jema km. Ni w2 mungu atakurali mti wamatund utapingwa mawe dada utapo naujumbe utaupepe Rushal wa mungu
Yesu kristo mwana wa Mungu jamani!!! pole mtumishi wa mungu jamani pole sana. Mungu akiwa nawe hakuna kushindwa. Utapona kwa wezo wa Mungu. Twakupenda sana twakuombea na utapona Amen
Pole sana dada yangu kipenzi, Yani kabisa Mungu ni Mungu kabisa Ku waokowa, ungali nakazi mingi yakumutumikiya.ila sifa zimurudi saana. Natamani hâta Siku moja nikupigiye muziki kwani mimi ni mwana mziki nikiwa mkongomani na Sasa naishi apa yuganda
Mungu wetu ni mungu wa neema pole mama yangu bahati kipenzi changu mungu amekupigania Kwa mengi ivyo yupo pamoja na wewe uchawi autakaa mikononi mwako wala mwilini mwako Mika 5:12
Pole mwaya dogo Bahati Bukuku. Mungu Mwenyezi unayemtumikia tangu utoto wako ATAKULINDA, KUKUKINGA NA KUBARIKI KAZI YA MIKONO YAKO. UPONE MAPEMA MWAYA.
Je bénis l'éternel pour sa protection divine envers sa servante Bahati bukuku c'est ne pas seulement que le tanzanien qui ont prié pour notre maman Bahati bukuku il y a aussi les congolais de la République Démocratique du Congo
Pole Sana Dada angu Bahati Bukuku Mungu yupo na atawapa haki yao wanaozusha uvumi mbaya hivyo nawaambia hautakufa bali utaishi ili uyasimulie matendo makuu ya Bwana
Mungu akuponye na awaponye wote kwa damu yake takatifu. Kuwa na moyo mkuu. Mnaoota vifo kwa watu muwe makini ila tujue kifo ni njia yetu sote mavumbini tumeumbwa na kwayo tutarudi. Na tamka afya njema nnyote. Amen
dada maombi umeombewa dunia nzima sio kwa wa tanzania peke yao mimi ni mcongomani na mmefata magazeti zako usiku na mchana Mungu akujalie mema na maisha marefu na hekma nyingi tena mama asante
Mama sasa Bwana akikuponya,hudumia Bwana zaidi kwa roho na kweli,zikumbuke enzi za mwanzo ulipoanza injili haswa katika wimbo Mapito na pia Majaribu.Mama yangu mimi nakutakia afueni na nakupenda.Ila kumbuka ulikotoka.
Oh my God!!!! Mama mama yangu mama machozi yananitoka Mungu aliyeziumba mbingu na nchi anajuwa hadi kilindi cha moyo wa mtu akuinue mama akuweke juu juu juu zaidi so as we great testfy and great gradefy the groly of God through my mum bahati.amen.Mourine in saudia.
Pole Dada bahat jmn mungu ni mkubwa mungu asidi kukupingania ila wanahabar akili zao wanasijua wenyewe sijui kwann wanatoa tarifa za uwongo kwenye mtandao mkubwa km huu dah mungu you pamoja nawe my sister