Ahsante Mh. Waziri, Tutafurahi sana kama mtapiga marufuku wanawake kwenda uchi kuvaa visuruali na viguo vifupi, wanaume kuning'iniza suruali mpaka zinakaribia kudondoka haya mambo yanatukera sana. Zanzibar Sasa imekua znz jina tu. Tunaomba Mh. Waziri haya mambo yako ndani ya uwezo wenu
Serekali ya dhuluma haiwezi kufanikiwa hawana lolote hapo amani ccm hatar chama Cha mashoga Ni kikubwa hakina raisi tu halafu serekali inamkono mrefu lkn kw chama hicho Haina mkono mrefu
Alihamdulilahi yarab likatazwe hili na jengine mabaa pombe wanawake kwenda uchi na wanaume wanoshusha suruwali manywele yanosukwa Zanzibar yetu irud kama alivyo iwacha rais wetu abed aman karume
@@mohammedkhkombo4439 Nyinyi Some Wapemba matusi ndio yenu sasa wale wanaoweka nguo nje ya maduka ya walipa kodi ni nani kama sio Baadhi yenu Wapemba?sasa ule ndio uchafu wa mji ,na wale wanaopanga nguo barabarani na kuweka vimeza ni nani kama sio nyinyi baadhi ya Wapemba?Kisha kunilisha mimi huwezi kwasababu mmekimbia kwenu Pemba kwa sababu ya njaa zenu mukajileta Unguja kuzaliana ili muwe wengi muchukue madaraka hahah yagujuu Kazi kuchafua mji mtu nyinyi na wamachinga pamoja na wamasai ndio munaongoza kuchafua mji wa Zanzibari ,Watu wa Unguja wastaarabu Ammy hauwakuti vile na sio kama hawawezi ila ni wastaarabu na wanaheshimu mamlaka
Hawa watu usiku wanaouza vyakula madaga mezani hasa huku chukwani wachekiwe health zao kabla hawajaruhusiwa kufanya biashara ya vyakula barabarani na ni uchafu. Vibanda vimejaa pembeni ya barabara vyote Serikali iviondowe nchi imekuwa uchafu KILA mahali.