Тёмный

SIGARA NA SHISHA MARUFUKU ZANZIBAR. 

AL FATAH TV ONLINE
Подписаться 100 тыс.
Просмотров 4,8 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

27 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 32   
@thamani5842
@thamani5842 Год назад
Ahsante Mh. Waziri, Tutafurahi sana kama mtapiga marufuku wanawake kwenda uchi kuvaa visuruali na viguo vifupi, wanaume kuning'iniza suruali mpaka zinakaribia kudondoka haya mambo yanatukera sana. Zanzibar Sasa imekua znz jina tu. Tunaomba Mh. Waziri haya mambo yako ndani ya uwezo wenu
@mpagikhatib3684
@mpagikhatib3684 Год назад
Mungu akubariki akupe maisha marefu wanawake wanakwenda uchi vimbaya mnoo hata wanaume wanashusha suruwali chi yakiuno wapigwe marufuku
@maryammtumwa8278
@maryammtumwa8278 Год назад
Alhamdulillah ya Rrabbi lidumishe hili na utupe ufumbuzi wa kudumu kunisaidia jamii yetu
@OmanOman-gu1wy
@OmanOman-gu1wy Год назад
Nawanawak kutembea uchu likemewe vikal naomb nawanaume wakikutwa wamesimana nawanawar vichochoron wapigwe bakor haswa
@AbdullahOmar-fv3ld
@AbdullahOmar-fv3ld Год назад
Serekali ya dhuluma haiwezi kufanikiwa hawana lolote hapo amani ccm hatar chama Cha mashoga Ni kikubwa hakina raisi tu halafu serekali inamkono mrefu lkn kw chama hicho Haina mkono mrefu
@AA-yr7sr
@AA-yr7sr Год назад
Allah Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar Alhamdulillah Rabbi Allamin 🤲🏿🤲🏿🤲🏿
@saidsalum9587
@saidsalum9587 Год назад
Usagaji na ushoga jee?
@saynabmohammed6263
@saynabmohammed6263 Год назад
Muliona haya ndo madhara mbona hamtoi sheria na kupapana na ushoga ubasha usagaji
@abuubakar7594
@abuubakar7594 Год назад
Bora mpaka pombe na sigara za kawaida na bangi zote ziwe haramu znz
@jebellwallace3509
@jebellwallace3509 Год назад
Yapi madhara ya electric cigarette?unguja hua Muna visheria vya ajabu sana,me nilitegemea utasema pombe ni marufuku kumbe nawee ni wale wale tu.
@RioIpo
@RioIpo Год назад
Tatizo mawaziri hao hawatoki Town babu...
@shaviercharvinho18
@shaviercharvinho18 Год назад
hii bora itasaidia sana
@abubakarmuhammadsaid3244
@abubakarmuhammadsaid3244 Год назад
Katazeni ulevi pigeni marufuku mabaa yafungwe.
@khamisjuma8501
@khamisjuma8501 Год назад
How about kuko hoa
@hassanmchoro1198
@hassanmchoro1198 Год назад
Alihamdulilahi yarab likatazwe hili na jengine mabaa pombe wanawake kwenda uchi na wanaume wanoshusha suruwali manywele yanosukwa Zanzibar yetu irud kama alivyo iwacha rais wetu abed aman karume
@RioIpo
@RioIpo Год назад
Haiwezekani tena iyo dunia imesogea saivi
@R10_Rajab
@R10_Rajab Год назад
safi sana Wamasai wamachinga na baadhi ya wapemba wanachafua sana mji
@mohammedkhkombo4439
@mohammedkhkombo4439 Год назад
We mpemba anakulisha mbwa we kumamamako .
@R10_Rajab
@R10_Rajab Год назад
@@mohammedkhkombo4439 Nyinyi Some Wapemba matusi ndio yenu sasa wale wanaoweka nguo nje ya maduka ya walipa kodi ni nani kama sio Baadhi yenu Wapemba?sasa ule ndio uchafu wa mji ,na wale wanaopanga nguo barabarani na kuweka vimeza ni nani kama sio nyinyi baadhi ya Wapemba?Kisha kunilisha mimi huwezi kwasababu mmekimbia kwenu Pemba kwa sababu ya njaa zenu mukajileta Unguja kuzaliana ili muwe wengi muchukue madaraka hahah yagujuu Kazi kuchafua mji mtu nyinyi na wamachinga pamoja na wamasai ndio munaongoza kuchafua mji wa Zanzibari ,Watu wa Unguja wastaarabu Ammy hauwakuti vile na sio kama hawawezi ila ni wastaarabu na wanaheshimu mamlaka
@RioIpo
@RioIpo Год назад
​@@mohammedkhkombo4439hahahas kake kasema baadhi tutuliee tu
@shaviercharvinho18
@shaviercharvinho18 Год назад
na ma bar ya ulevi Zanzibar yaondolewe wa zanzibar hatuna hizi tamaduni na kwenye za keshi zote zisimamishwe shughul za kufanya ndio sehemu za starehe
@rastafare878
@rastafare878 Год назад
Ni kweli kabisa
@ariifrazakh9371
@ariifrazakh9371 Год назад
Dunia ndy inayoyatak haya zanzibr hatutoboi
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 Год назад
Na ulevi vile vichupa vidogo kama konyagi pia vijana wadogo wanakunywa kuliko maji ila hao unaozungumza nao wote walevi ndio starehe zao
@pavillioncry5241
@pavillioncry5241 Год назад
Hebu eka video nzima bwana we ahh Kazi kueka vipande tu
@nailamohd-wn6sb
@nailamohd-wn6sb Год назад
Ah anapenda kukata kata anarusha kidogo kidogo 😅
@mohammedkhkombo4439
@mohammedkhkombo4439 Год назад
Azungumze kistaarabu hicho ni kibri Mzee
@RioIpo
@RioIpo Год назад
😂😂😂
@ghalibelghanim1151
@ghalibelghanim1151 Год назад
Hawa watu usiku wanaouza vyakula madaga mezani hasa huku chukwani wachekiwe health zao kabla hawajaruhusiwa kufanya biashara ya vyakula barabarani na ni uchafu. Vibanda vimejaa pembeni ya barabara vyote Serikali iviondowe nchi imekuwa uchafu KILA mahali.
@abedomar5183
@abedomar5183 Год назад
this is nonsense 😭
@cr7abdalla480
@cr7abdalla480 Год назад
Apo mmenifurahis smz nip p1
@OmanOman-gu1wy
@OmanOman-gu1wy Год назад
Nawanawak kutembea uchu likemewe vikal naomb nawanaume wakikutwa wamesimana nawanawar vichochoron wapigwe bakor haswa
Далее
RAIS MWINYI AUWASHA MOTO USIO ZIMA ZANZIBAR.
8:26
Просмотров 4,8 тыс.
Nightmare | Update 0.31.0 Trailer | Standoff 2
01:14
Просмотров 629 тыс.
ДУБАЙСКАЯ ШОКОЛАДКА 🍫
00:55
Просмотров 2,5 млн
MIONDOMBINU ZANZIBAR YAPAMBA MOTO
6:51
Просмотров 3,8 тыс.
Viral Video of a Man's Crazy Job Interview
16:02
Просмотров 1,5 млн
WASIOKUA WAISLAMU WAONDOKA NA WAISLAMU 25
11:27
Просмотров 8 тыс.
RAIS MWINYI AANDIKA HISTORIA SOKO LA MWANAKWEREKWE.
7:56
How to win a argument
9:28
Просмотров 652 тыс.
BARAKA SHAMTE ASALIMU AMRI KWARAIS MWINYI
4:52
Просмотров 1,6 тыс.