Hii team yafaa nyuki awe ndani mwaigiza kitu chenye mpaka mtu anajua ni igizo, igizeni kitu mpaka mtu adhanie ni true story waigizaji kama Kevin ako somehow shy the same na huyo msanii so tafteni character wengine then si kila movie ama series watu ni nyinyi tu washirikisheni watu kama Adam Leo,Gabo Zigamba , Hemedy mwawashirikisha pia kila siku wahusika ni hao hao tu wakat mwingine mwaboesha
Sisi kama mashabiki wa donta tv tunapenda kuwaomba hiii move nayo iendee Kasi spidi yatreni laumeme hiii move nikali jamn siku Moja kabla ya ndoa plizii tunawaomb donta me saiv nimekua Sina lahaaa hii move mnaichereweshaa tu awaombaaa tu awapendaa san❤❤❤😂😂😂
Kwaiyo Tina aomba pesa kwa jems na jems aomba kwa mshangazi na mshangazi anaomba wakwe zake na uku lina nae aonga Rashidi yani kizungu mkuti bado Kelvin tu nae atoke na mtoto wa boss wake