dereva alkua anapita kila mara hyo njia kwahiyo anajua pakoje hata wakiwek bango kubwa kias gan sio kwamba watu hawajui muhim serikali ipunguze mlima huo barabara ilekebishwe hyo S kona haiko vzuri japo madereva ni vizur kuzingatia mwendo mana mwendo wa kasi ni hatari sana
Nashauri madereva wakiwa 2 kwenye basi 1 wasiondoke kwa wakati mmojo watakuwa wamechoka wate, wapange kituo cha kumpokea dereva mwenzake, ili apokee gari akiwa na nguvu.
Sio hivyo tu waweke na traffic barabara ya kutoka mbeya kuja Tabora watu wanajazwa sana kwenye bus af makondakta na madereva hata hawajari kabsa yan kiukweli inasikitisha
Serikali iwe makini, mfano njia hii ya Tabora Haina vituo vingi vya kukagua mabasi, ndio maana unakuta dereva anaendesha gari anavyotaka yeye,pili mabasi haya yanajaza watu kupita kiwango.