Mm nimefurahi sana chama kuondoka kwani chama alishakua mzimu na hapa ndio mafanikio yatapatikana tukumbuke yanga ilikua inatafunwa na yanik fesali lakini walipojiona ni wakubwa kuliko klab waliachwa wote na ndipo yanga ikaanza kupata mafanikio kwaiyo na na uyo jamaa alishajiona nikama mfalme pale Simba hongereni uongozi hapo ndio mtajenga timu siimba more 🔥
NA NYIE ACHENI USHAMBA KWANI KUNA CHA AJABU GANI KUACHANA NA CHAMA? KM WACHEZAJI WENGI HUWA WANAHAMA SASA TUNASHANGAA NN CHA AJABU? VIONGOZI WA SIMBA HAWAKUMTAKA CHAMA MAANA KM WANGEMTAKA SIMBA BASI WANGELIONGEA NAYE MAPEMA.MAGOLI FANYA MAMBO BABA.
Itakuwa timu ya ajabu kukaa na wachezaji wake milele zote, kwani akina kibadeni wako wapi, Okwi na wengine si walikuwa wachezaji wa Simba na waliondoka wakaiacha Simba sembuse Chama, alikuwa wetu sasa hivi ni wa kwao. siyo ajabu.
Mapigo gani waliyojibu😂😂😂😂. Hii nchi ni klabu ya Yanga tu ndo wakiamua jambo lao ni sawa na serikali yaani hakuna wa kuwazuia. Yaani leo wameinunua thimba nzima maana ndo alikua timu yenyewe yaani makocha wote wanaingia na wanafundisha kutokana na yeye anavyotaka timu icheze haloooo😂
Watu ni wa ajabu sana. Chama alisajiliwa kwa kujua siku moja ataondoka. Hatimaye baada ya miaka 7 aliyoishi na kufanya kazi Msimbazi anaondoka. Wapya watapatikana ndugu zangu !
Sasa ndo naamini kwanini mashabiki wa Simba tuliitwa mbumbumbu na Kadu, yaani Chama ndo amekuwa Simba kweli? Mchezaji anatusumbua kiasi hicho? Mbona ni mchezaji kama wachezaji wengine waliotangulia kutoka? Mbona hatukuhuzunika siku Boko alipopewa Thank you? Au kwa sababu ni mbongo mwenzetu? Tuache hizo, tutengeneze timu
Msimu huu siamini kama simba tutasajili wachezaji wa ukweli maana kila msimu wa usajili unapoanza simba tunachongaaa mno kumbe mnawaleta kina jobe.sito amini usajili wowote wa simba hadi nimuone uwanjani.viongozi mnaleta ukatuni katuni kila mwaka wakagi watani yanga wanasajili vzr.simba tumekuwa timu ya kuchonga ngenga tu.tumeshachoka viongozi mnatuchosha sn😮😮😮
UKITAKA KUKENGA NYUMBA LAZIMA UKWANGUE ARDHI , UCHIMBE MSINGI NA KISHA UPANGE MAWE AMBAYO UMEYAYOA MILIMA MINGINE NDIPO NYUMBA ITAKAPOSIMAMA IMARA. MWACHE AENDE KWA AMANI KWANI SIMBA ITAENDELEA KUFANYA VIZURI.
Nampongeza sana Chama ameondoka wakat sahihi maana angejichanganya ajaendlea kuwepo nadhan angefifia zaid maana anamjua hicho chuma kinachoshushwa kuchukua nafasi yake, anamfaham vzr maana wanatoka nchi moja ni balaaaaaa! Kuliko awekwe bench ni bora akatafute mkate kwingne tu❤❤❤