Hili ni tukio lililotokea Mkoani Arusha ambapo akina mama wawili wamemgombania mtoto anayefahamika kwa jina la Happy huku kila mmoja akidai ni mtoto wake baada ya mama anayefahamika kwa jina la Neema Mathias kufika kwenye shule anayosoma nakudai kwamba ni mtoto wake.
14 окт 2024