Тёмный

SIRI NZITO! MARCO JOSEPH, ZABRON SINGERS ALIROGWA - Apostle Yohana Israel 

Pashwa TV
Подписаться 259 тыс.
Просмотров 160 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

28 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 279   
@PashwaTV
@PashwaTV 2 месяца назад
Talk to Appostle Yohana +254 722 744672 Got Story? Talk to us 0706 825 456
@bhokeshinta5140
@bhokeshinta5140 Месяц назад
Amina
@DavidMwakasala-ub9zb
@DavidMwakasala-ub9zb Месяц назад
Asante sana Pastor
@JaneMakemo
@JaneMakemo Месяц назад
Tuombe jamani tutoe zakana sadaka lakini tukumbuke kwamba marco aliimba wimbo wamungu ni daktari wa moyo wake ila alivyoambiwa kwamba anaugojwa wa myo angeacha kufanyiwa upareshen akajikabidhi kwa mungu kwa maombi zaidi na mapastar wakamwombea kwa sababu alisema yesu ndiyo dakari wa moyo wake angeomba tu sana akaacha kufanyiwa uparesheni angepona
@ireneshalwa911
@ireneshalwa911 2 месяца назад
There is truth in what this man of God is saying....... Tuzidi kuomba Sana na kufunga..
@BagoreSongambele
@BagoreSongambele Месяц назад
Most Christian s don't understand the spiritual realm !
@janecharo1196
@janecharo1196 2 месяца назад
Huu ni ukweli uezi fanya jambo bila kujijengea madhabau na mungu, waumini SILAHA ni MAOMBI na SADAKA za ULINZI ni mhimu sana kwa maisha ya mtu🙌🙌
@MaryBiyaki-t4y
@MaryBiyaki-t4y 2 месяца назад
Amen 🙏🙏🙏
@janecharo1196
@janecharo1196 2 месяца назад
@@MaryBiyaki-t4y karibu 🙌
@NeemaPaul-t9k
@NeemaPaul-t9k Месяц назад
Exactly
@MaingiMaingi-fg9iy
@MaingiMaingi-fg9iy 2 месяца назад
Ni kweli,kuna watu utumia uchawi kufanikiwa na kutumia nyota za wengine lkn Mungu ninani mwisho watashidwa tu,uwezi shida shetani nyinyi
@AminaShomariMwakambaya
@AminaShomariMwakambaya Месяц назад
Asikofu mungu akubariki sana somo linatugusa maana tunashambuliwa hatuna ulizi wa kiloho
@esthershayo8711
@esthershayo8711 2 месяца назад
Ubarikiwe sana Pastor kwa ujumbe mzito.
@RachelLaizer-n2p
@RachelLaizer-n2p 2 месяца назад
Kweli kbsaaa hata mimi hiki kifo hapana mchg umesema ukweli kbsaa ulimwengu wa giza unafanya kazi 😢
@PriscaOtieno
@PriscaOtieno 2 месяца назад
Amen ni ukweli
@jovinathabaraka8030
@jovinathabaraka8030 Месяц назад
Mungu atusaidie maana hospitali nyingi madaktari na manesi wanatumiwa sana katika ulimwengu wa giza, unatengenezewa ugonjwa na wanakuelekeza hospital yao naumia sana juu ya marco moyo wangu unashindwa kuamini😭😭 kama Kamwita kwa wakati huu ila sina budi kumwachia Mungu hili
@BagoreSongambele
@BagoreSongambele Месяц назад
Kwa kweli mimi ninapombea mara nyingi huwa sizisomi sana taarifa za madaktari kwa vile nyingi zimekusudiwa kukatisha imani ya kiroho
@PatriciaSidi-c4w
@PatriciaSidi-c4w Месяц назад
Kweli kabsa Pastor bila maombi, do silaha pamoja na fungu la kumi inakulida wachawi watakutengea mitengo lakn Haitafaulu juu yako,toa fungu lakumi Mungu atakutetea sana,sana
@BagoreSongambele
@BagoreSongambele Месяц назад
@@PatriciaSidi-c4w sio kuomba omba tu ila kuomba maombi sahihi!
@BayanaOmari
@BayanaOmari 2 месяца назад
😢wangejua hangefanyiwa matibabu hapo tz,,kwa yote mungu ndiye anajua,,inauma sana wacha Marco apumzike kwa amani😢
@Moreen-m1y
@Moreen-m1y Месяц назад
Ni kweili kabisa mtuimishi WA mungu
@Busime-x5s
@Busime-x5s Месяц назад
Merci monsieur pasteur pour la bonne parole vs ns parle,exactement il faut se séduire tout simplement a Dieu
@geofreymunene8842
@geofreymunene8842 2 месяца назад
Poleni Sana Zabron singers Kwa kumpoteza mmoja wenu mpendwa.Huzuni kubwa kwetu wote
@JacklineMuthoni-k1w
@JacklineMuthoni-k1w 2 месяца назад
Man of God you are speaking the truth God bless you
@SalimaSalmia-b5j
@SalimaSalmia-b5j 2 месяца назад
mtumishi amenena iyonikweri kabisa ubarikiwe namungu nambar Yako Mimi siku erewa unaweza kunisaidia nitayi pataje
@MinzhaSarah
@MinzhaSarah Месяц назад
😢
@annamakandawa7065
@annamakandawa7065 2 месяца назад
Umesema kweli kabisa baba tatizo hasa neno la Mungu kwa waimbaji ni kidogo sana na fungu la kumi hawatowi kama inavyostaili
@BagoreSongambele
@BagoreSongambele Месяц назад
@@annamakandawa7065 most singers confuse praise for entertainment
@MaryCharles-o4j
@MaryCharles-o4j Месяц назад
Ni kweli walimkata watumie nyota yake mungu ni samehe na roho ya mtumishi wako unpublished kwa amani
@TabithaMiddle
@TabithaMiddle 2 месяца назад
Really God is giving you revelation 🙏🏽🙏🏽🙏🏽 concerning what's happening in the world.
@annewangui547
@annewangui547 2 месяца назад
Inatakiwa watu wavunje madhabahu ya ukoo Na kujenga ya Mungu si waimbajitu👏
@mariamaswa
@mariamaswa 2 месяца назад
Tusimame na Mungu nakumtafuta Mungu kwakuwa anapatikana, na ansema tumtafute yeye na nguvu zake sasa haya ya Mchunguja nikweli kabisa tusilewe sifa shetani na mawakala wzake wapo kazini na vita nikali. Na hicho kitengo cha uimbaji ilikuwa nisehemu yake sasa atakubalije ufunguwe watu kwa nyimbo lazima atakushambulia tu, sasa hapo ndio utakapoitafuta madhabahu na baba wa kiroho mwenye nguvu za Mungu wa kweli. Kila hatua ina bita yake na maadui wanaanzia ngazi ya familia kama ilivyoandikwa adui waakaribu niyule wa nyumbani kwako, sasa hapa Mungu akupe macho yakumjua adui na kushughulika naye rohoni. Maana ukizijua silaha zake na mbinu zake ni rahisi kushinda sasa makanisa menngi haya ya kwetu mambo yenye nguvu ya roho mtakkatifu hawataki wanadai kanuni, sasa watu wanaangamia kwa kukosa
@MiragorethLaswai
@MiragorethLaswai 2 месяца назад
Madhabahu haivunjwi unajitenga nayo mum
@richardcastromzena5136
@richardcastromzena5136 Месяц назад
Unajitengaje?​@@MiragorethLaswai
@annejayden7305
@annejayden7305 2 месяца назад
Hata Munish Faustine alisema japo kwa mafumbo💔💔💔
@margywanjala8317
@margywanjala8317 2 месяца назад
Point taken, thank you man of God
@eunicekirui3880
@eunicekirui3880 Месяц назад
It's true that he acts in a hospital. It's good to sing songs that worship ano and praises God. I don't see why should the the singers sing other things other than the worship of God.
@JudithNyanchera-h4z
@JudithNyanchera-h4z 2 месяца назад
My situation right now zmay God see me through
@jabezpartners4460
@jabezpartners4460 Месяц назад
Kifo ni ya Mungu....let us allow God to do His will....it is sad but God allowed it for a reason. Kwani wachawi wana nguvu kushinda Mungu? Acheni kupoteza watu
@longliferose5905
@longliferose5905 Месяц назад
Lakini si kukufa mapema
@jabezpartners4460
@jabezpartners4460 Месяц назад
@longliferose5905 Life is in God's hand....He is the creator of life. Jesus died when he was only 33 years ....but he had accomplished what he came to do. You can live for 100 years and still die without knowing your purpose in this world. God is the beginning and the end...Alpha and Omega....so instead of questioning God, we need to thank him for the gift He gave us while remembering that we are also on our way to the grave.
@maryngara9340
@maryngara9340 2 месяца назад
Ayub alirogwa na nani nayeye na Mungu alimtolea ushuhuda WA utakatifu wake.No man is so powerful to know the secret o God.
@FrolaFrola-u6m
@FrolaFrola-u6m 2 месяца назад
Kumbuka Mungu aliruhusu shetan ajaribu maisha ya Ayubu lakin alimpa sharti asiguse roho yake
@NaomiWanjiru-cl7zm
@NaomiWanjiru-cl7zm Месяц назад
Job ilijaribiwa lakini shetani hakuweza kununua na alilipwa kila alichopoteza
@alicekadenge
@alicekadenge 18 дней назад
True pastor
@eunicemarugu3595
@eunicemarugu3595 2 месяца назад
Ni kweri kabisa nasio kwa waimbaji tu hata waombaji
@JenniferOpondo
@JenniferOpondo Месяц назад
Totally agree
@Aimbora-nh1wd
@Aimbora-nh1wd Месяц назад
Nimejifunza kitu hapa ni kweli lazima mwimbaji alindwe na madhabahu na sadaka dama
@GraceZunda
@GraceZunda 2 месяца назад
Ni kweli kabisa Askofu mdogo wangu amekufa tatizo moyo na alianza kuinuka kiuimbaji na ufundishaji muda mfupi tu akafa inaumiza saana!
@IsayaJohnMapande
@IsayaJohnMapande Месяц назад
Pole Sana
@IsackIsaya-bi2hj
@IsackIsaya-bi2hj 2 месяца назад
Kwa kweli mtumishi hebu angalia dr.ipyana anavoandamwa na shetani
@BernadetaCharles
@BernadetaCharles Месяц назад
Ni kweli kabisa baba yaan kwenye hii ulimwenguni enewe tuzidi kumuomba sana mungu
@East_baby-i1z
@East_baby-i1z Месяц назад
Yaani shetani kamuona ule bora tuh.....Mungu aifariji familia yake
@TabuKasembe
@TabuKasembe Месяц назад
Pole Sana zabron singers kuondokewa inauma sana
@SiahMoshi
@SiahMoshi 2 месяца назад
Mungu ndo ajuaye
@EmmillyKarasi
@EmmillyKarasi Месяц назад
Exactly mjungaji wachawi washidwe katika jina la yesu
@annmbula6367
@annmbula6367 Месяц назад
Pole sana zabron singers Mungu awafariji
@agnesmwangu2075
@agnesmwangu2075 Месяц назад
Waimbaji waangalie sana wanyenyekee chini ya mkono waMungu maana hata shetani alikuwa mwanasifa m,Zurich waombe sana kwa sababu shetani hafurahii huo uimbaji ambao upo ndani yako waimbaji wamtolee Mungu sadaka na waombe Mungu awaonyeshe madhambahu halisi inayo toka Kwa Mungu
@ChristanahChristanah-oo8jn
@ChristanahChristanah-oo8jn 2 месяца назад
Kweli kabisa ni maroho za kutumwa
@RehemaMoses-w3m
@RehemaMoses-w3m 2 месяца назад
Ni kweli kabisa mtumishi wa Mungu,
@nancyrukayagana-iu2tv
@nancyrukayagana-iu2tv Месяц назад
Fact
@BagoreSongambele
@BagoreSongambele Месяц назад
Ni kweli kurogwa kupo ila sio kila anaekufa karogwa. Kumbuka kuwa hata mchawi hufa, ns hata kwa mchawi poa huwa wanafiwa !
@BagoreSongambele
@BagoreSongambele Месяц назад
Kiroho ile kuaga dunia siku 9 baada ya mkuki wa giza (shambulio la ghafla) kumdunga kifuani kumeniacha natafakari kama waliomuombea walilifukuza pepo la mauti na kumtamkia uhai kinabii! Nakumbuka nilipowaombea kinabii ndg Rugemalira na Kaka Mbowe mahamani kisha gerezani kilichofungua milango ni nguvu neno la kinabii. Sijawasahau Mo Dewji wakiwa na Babra, pia binti wa Alice John aliyekuwa anaishiwa damu kipepo pepo. Kwa hekima ya kishauri na neno la kinabii lilitimia. Miujiza na shuhuda ni nyingi siwezi kulimaliza. Naamini Zablon walipaswa kuwa wazi haraka na kutangaza ugonjwa wa Marko maana ufahamu na ujuzi wa kiroho hutofautiana. Nilizaliwa Msabato ila nimejifunza mengi, kimaombezi kutoka kwa baadhi ya walokole wakweli. Sio kila siku tuombe kinyonge nyonge na kusimama ukingoni Kingoni (njia panda) "... Wawezeshe madaktar....Kama ni kupenda kwako aishi basi aishi... Amina" Amini nakwambieni mfalme Hezekia hakuomba hivyo, angeomba hivyo angefariki. Kosa la madaktari lilikuwa kumjulisha Marko hali yake. Ni maadili yao ila kwa kufanya hivyo walimvisha vyazi la umauti kwa hofu bila kufahamu. Naiamini sayansi ila mara nyingi ninapokuwa nimejulishwa kumuombea mgonjwa aliye mahututi huwa sizisomi wala kuzizingatia sana tarifa za madaktari! Kama mhusika ni kijana au mtu anayehitajika sana kijamii / kiroho huwa naitisha uhai tu na kufukuza giza! Wengi wameishi kwa maombi bila gharama ! Na nashukuru wengi wao hata sadaka za shukrani kwa Nabii / mtumishi hawakukumbuka kutoa. Utumishi wa ukweli una majaribu yake. Simu +255746450753 Whatsapp +255782886744
@BagoreSongambele
@BagoreSongambele Месяц назад
Ni muhimu kusoma kitabu cha MKUU WA WACHAWI AMGEUKIA KRISTO kimeandikwa na Prof. Ike Nathan Uzorma
@kanankirannko6174
@kanankirannko6174 2 месяца назад
Mi nilichonote waimbaji wengi wanaomuabudu Mungu halisi wanawindwa hiyo ni kweli
@MarryUisso-d6l
@MarryUisso-d6l 2 месяца назад
Kabisa asee jamanii
@Teaching356
@Teaching356 2 месяца назад
Yaani kwa kweli asipokufa mtu anachezewa hadi ndoa kuvunjika hakina shusho, martha ,upendo nkone n.k ona jamani​😢@@MarryUisso-d6l
@Teaching356
@Teaching356 2 месяца назад
Jamani sedekia😢 rose muhando aliwashinda kwa jina la YESU.
@teresasifuna4986
@teresasifuna4986 2 месяца назад
Ni ukweli kabisa mtumishi wa Mungu
@ZipporahKerubo-o2z
@ZipporahKerubo-o2z Месяц назад
Exactly apostle 😢
@sarahezekiel5170
@sarahezekiel5170 2 месяца назад
Mungu aturehemu.Umesema kweli .Mtumishi,na ushahidi wote.Who is your prayer partner,father? Tujiulize,
@catherinekinyili5797
@catherinekinyili5797 Месяц назад
This man have spiritual knowledge
@juliusnakhisa1018
@juliusnakhisa1018 Месяц назад
Ukiwe kabisa pastor
@dionisiaefremu807
@dionisiaefremu807 2 месяца назад
Jaman tuelewe neno mara moja inavyorudiwa yan mungu atuongoze
@millicentbarasa1342
@millicentbarasa1342 2 месяца назад
N kweli saaana bwana askofu Aky Mungu tuhurumie
@esternaftari9032
@esternaftari9032 2 месяца назад
Amina baba nashkru umefungua wengi.
@felixmuvengei4472
@felixmuvengei4472 Месяц назад
Yaani unaogea ukweli mtupu pastor..
@judithtobiasofficial8069
@judithtobiasofficial8069 2 месяца назад
Plain truth. God protect us. Blood of Jesus. Cover us all gospel singers
@edithnafuna
@edithnafuna 2 месяца назад
Thanks for this, quite insightful.
@catherinekinyili5797
@catherinekinyili5797 Месяц назад
Good question...those patterns are not good
@Triza-eo7gu
@Triza-eo7gu 2 месяца назад
Ukweli kabisa
@tescomo7224
@tescomo7224 2 месяца назад
Amen Mungu akupaliki Kwa kutufungua akili mtumishi Wa mungu
@RoseSafi-g7q
@RoseSafi-g7q Месяц назад
Mungu akubariki baba
@RoseSafi-g7q
@RoseSafi-g7q Месяц назад
Iyo kweli baba,maaduyi ni wengi na madhabu ya mwovu,Eeeeeh Mungu tusaidiye tusaidiye ili tuishi kukesha kwa maombi
@simionlumwachi7651
@simionlumwachi7651 Месяц назад
You remember ambassador of Christ team?
@Cristina-jt2xp
@Cristina-jt2xp Месяц назад
Ukweli kabisaa 😢
@RoseSafi-g7q
@RoseSafi-g7q Месяц назад
Na alikuwa na nyota kubwa imbayo imekuwa imeengaa ilikuvunja nguvu za Giza,Sasa madhabahu ya mwovu iwezi furahiya hayo,badi turudi kwenye misingi ya Imani, ili maombi ya kwa wingi.Itampendeza Mungu
@Dyness-t4d
@Dyness-t4d Месяц назад
Yani vifoo vya kusitukiza vimekuwa ving sana kwa waimbaji duh mungu atusaidie
@FridahFridahcent-qk8hw
@FridahFridahcent-qk8hw Месяц назад
Ukweli kabsaaa,,,,
@Crownofwisdom670
@Crownofwisdom670 2 месяца назад
I sincerely pity anyone who thinks Apostle Yohana is a truthful man.
@dorcasnjeri7294
@dorcasnjeri7294 2 месяца назад
Wambie tena
@philipwambua1789
@philipwambua1789 2 месяца назад
He might not be truthful according to you, but he is saying the truth on this matter
@juliamutungi2198
@juliamutungi2198 Месяц назад
​@@philipwambua1789just his thoughts
@mercymasawi5189
@mercymasawi5189 Месяц назад
Exactly, on this matter it's the truth​@@philipwambua1789
@pastorisraeltv230
@pastorisraeltv230 Месяц назад
​@@philipwambua1789 God bless you my brother
@blessedggithinji6192
@blessedggithinji6192 2 месяца назад
Umenena ukweli askofu🙋🏼‍♀️🇰🇪sector ya Gospel imechafuka kabisa wooi ithank God to be alive today
@soniatinta1467
@soniatinta1467 Месяц назад
Alguém aqui pode me explicar por favor, em português o que este homem esta contar ?
@neemaChristian-rg9ku
@neemaChristian-rg9ku Месяц назад
Polesana lakinitanzania nikuombatu yawezekana ileugojwa yamoyo banailogana sana iposiku mutagunduwa vizuri namutabakamata bachawi benyeku usika nakuloga bengine ilemagojwa kwasababu banaitumiya kamabale benye banalogasumutu
@heavenishome20
@heavenishome20 Месяц назад
Seek where there's God's grace and hide under it, listen to him 👆👆👆 again
@AncyMerci-un2nu
@AncyMerci-un2nu 2 месяца назад
Mshungadji anaongea ukweli Kabisa,'Mungu atulinde kabisa tunabidi kukesha sana
@Gachly
@Gachly 2 месяца назад
So sad 😢 and my condolences to Zebron Singers and family of late and pray God to give them all comfort and strength during this time of mourning. God rest his soul in eternal glory and peace 🙏🏼😭!
@cleahkarahi403
@cleahkarahi403 2 месяца назад
Amen
@SamsonManyama-vx5jh
@SamsonManyama-vx5jh 2 месяца назад
Wakati wa mungu huwa ni wakati sahihi mungu ajawahai kukosea wewe unafikili Mungu hakusikia maombi ya huyu Mrco au kupitia ndugu walokuwa wanamuombea unafikili Mungu akusikia kilio chawatu wake wakati wa mungu ukifika umefika hata yesu hata kama yuda asingemsaliti ili abaki hata kupasuka angepasuka tu mpaka agano lake litimie
@nurukidakule9468
@nurukidakule9468 2 месяца назад
Jitahidi ujiombee, tengeneza madhabahu YAKO, mtu unapomuambia akuombee naye ana yake ya kukuombea wewe atakuweka ziada tu
@RoseMshana-pm8op
@RoseMshana-pm8op Месяц назад
Kama kawaida kazi yenu wa Kenya, kuiponda tz hawajui kitu, ila kwenu Kenya mazuri elimu vyote mnajua nyie, msitupondee Madactar wetuee
@emmyboiywo2769
@emmyboiywo2769 2 месяца назад
Mnamkkumbuka Valentine Munakho? Got sick and died at Kenyatta Hospital I really liked his songs.
@MariamLigoha
@MariamLigoha 2 месяца назад
Sasa nikuulizie, hao waliokufa huko kwenu nao madactari walienda likizo?
@gracekenan4665
@gracekenan4665 2 месяца назад
Anaweza asiwe amerogwa ila kuna familia mtu akifika umri fulani akapata mafanikio lazima afe....ndio mana tunahitaji kuomba sana na kujitoa kwenye madhabahu zinazotufatilia za kiukoo
@DianahWalukana
@DianahWalukana Месяц назад
Kenya tumehusunika sana,sana na pdo tunalia Marco joseph
@pendohezron4961
@pendohezron4961 2 месяца назад
Tupo kwenye ulimwengu mgumu sana uliojaa wivu, chuki na kukomeshana. Mungu atupe ulinzi sisi ambao yameshatuguza haya tunaelewa huyu mchungaji anachosema. Wachawi wanapenda sana kuuwa nguvu kazi yani vijana
@Yohana-o9f
@Yohana-o9f 2 месяца назад
Kweli
@StevenOkari
@StevenOkari Месяц назад
God bless u
@maureenkavandi7340
@maureenkavandi7340 2 месяца назад
You are right man of God
@CATEMOGESH
@CATEMOGESH 2 месяца назад
Point taken, very true
@mahonataniymayunga
@mahonataniymayunga 2 месяца назад
Ni kweli waimbaji wengi hawajui kutoa fungu la kumi wanajisahau sana kumbukeni kutoa sadaka za ulinzi
@RamadhaniHussein-sy5zx
@RamadhaniHussein-sy5zx Месяц назад
Hakuna nguvu za giza zinazoshinda kwa nguvu za Mungu,kwahiy kufa kwake ndiyo mipango ya Mungu,
@richardcastromzena5136
@richardcastromzena5136 Месяц назад
Mpango wa Mungu ndio huwo?
@victorianchimbi8640
@victorianchimbi8640 Месяц назад
Mungu husaidia mtu pale wewe nawe itakapo zama sana ktk misingi ya kushika sheria zake
@richardcastromzena5136
@richardcastromzena5136 Месяц назад
@@RamadhaniHussein-sy5zx kama ni mpango wa Mungu mtu kufa ujanani alete maandiko
@sifahamuli6902
@sifahamuli6902 Месяц назад
Ile ni kweli kabisa
@EverlineNyanchama-z3k
@EverlineNyanchama-z3k 2 месяца назад
Ulikuwa wapi muda huu wote haukuwambia kuhusu madhibau na tunajua walikuwa wanaimbia mungu pamoja na wewekunisaidia watu wamungu kenya kabla ya kufa wakawajengea vizima vya maji na jakula na mungu ana sema kadili muwafanyiapo mumuja wenu anaye shida tunamufanyia mungu je hiyo si ni matibau
@GraceMukuva
@GraceMukuva Месяц назад
Witches have no power over the power of God,,,Only God knows why,,,,,,we humans we speak out of our minds but no body knows,
@LovelyChocolateBonbons-ok2ww
@LovelyChocolateBonbons-ok2ww 2 месяца назад
Ukweli kabisa🙏🙏🙏🙏
@danielimalaki
@danielimalaki 2 месяца назад
Nimekuelewa baba waimbaji Wana vita sana
@malemiym3942
@malemiym3942 2 месяца назад
Una ujumbe mzuri kwa waimbaji na naamini huja maanisha Marco ameuwawa na wachawi. Kikubwa tujikite kwa Mungu tu. Mitume wakubwa waliuwawa hadharani wengine waliugua lakini haikumaanisha hawana Mungu nooo!! NI HERI TUFE KATIKA KRISTO
@hemedmwipopo780
@hemedmwipopo780 2 месяца назад
Mchungaji kifo ni Cha Mungu na ndiye anaye amua uishi au ufe, pia usiendekeze sana habari za kichawi maana Mungu akitaka Uishi utaishi tu hata kama utarogwa vipi maana Mungu akitaka Uishi utaishi na akitaka Ufe utakufa hata kama Utaomba au Ujigange vipi. Kifo Kiko mikononi mwa Mungu mwenyewe na ndiye anaye amru kufa kwa Mwanadamu. Pia mchungaji kusema Madaktari wa Tanzania hawana utaalamu wa kutibu na Elimu zao ni duni hilo nalo ni kudharirisha taaluma za Madaktari wetu na ni dharau na tusi kwa nchi. Nadhani Mchungaji jitathimini na Uchungaji wako maana nawewe nimekuona mpenda pesa na kujisifu sawa tu na hao waimbaji. Nakushauli Unapo ongea Chagua maneno ya Kusema.
@annpuritykarimi9136
@annpuritykarimi9136 2 месяца назад
Umesema tu ukweli hakuna uchawi wala shetani aliyo na uweza wq kumtoa MTU yeyote uhai kama Mwenyezi Mungu hajapanga sijui watu husoma bibilia gani .mbona akina Rose muhando ,kyade na wengineo bado wako hii Tania ya waafrca MTU akifa had I ako na sababu no vyema tuache kwanza wanaojiita wakristo bibilia inasema mambo yote yanatendeka kwa wema kwa watoto was Mungu
@elizammari
@elizammari 2 месяца назад
natamani ungejua anamaanisha nini ila nimeshajua sababu kwa nini hujui alichomaamisha mchungaji
@ArubinaChimuli
@ArubinaChimuli 2 месяца назад
Ukuei kabisa mtumishi kifo ya Marco imeshtua watusana..hata ukiangiangalia ile video yenye alifanya Akiwakua denge.akirudi zake Tz..Alikuamzima wa Afia..huyu walimronga..kupitia maungojua ya moyo..😭😭🕊
@BarikiDominick
@BarikiDominick Месяц назад
Ungejua. Vitakubwa aui isee Kwawachungaji
@zulphamushi3700
@zulphamushi3700 2 месяца назад
😢😢😢😢 yaan waandishii ni huzuni kwakweli. Mapya yanaibuka hata hajazikwaa
@DiyananaEarny
@DiyananaEarny 2 месяца назад
Kabisaaa mungu ni mwaminifu tutor shaka na shadska juu ata Ibrahim alitoa shaka mwanawe ,juu ukitoka tithe itozi kitu ,shadska ni ya mwimusana
@EmmanuelBaraka-q6e
@EmmanuelBaraka-q6e 2 месяца назад
Kila madhabahu hotolewa sadaka hiyo ni kweli
@AminaMwandri
@AminaMwandri Месяц назад
Asante KWA kutukumbusha KWELI kwa Sasa HIV, tuombe San maisha yanatisha mmmmm mwanadamu WA Sasa nawaogopa kama ukoma ubarikiwe kwa KWELI MUNGU akupe maisha MAREFU amina.
@alexjairos9789
@alexjairos9789 2 месяца назад
mung akubaliki nimepoke ujumbe wangu amne
@musaliaeugene7975
@musaliaeugene7975 2 месяца назад
Ukweli kabisa mtumishi
@VianneyNdayirukiye
@VianneyNdayirukiye 2 месяца назад
Iyo ni kweli kabis nawaza kira mwenye kuimba nyimbo za MUNGU wawe macho Sanaa KAMA MUNGU anahinuwa sana na njo gisi shetani naye anahinuka tunaitaji Maombi sana
@SelestinaJohn-r5p
@SelestinaJohn-r5p Месяц назад
Jamani mbona mtumishi wa Mungu kapondea sana madaktari wa tanzania kwamba elimu yao ni ndogo Eti ujuzi wa mdogo ,hii imenisikitisha sana Mtumishi wa Mungu kudharau madaktari wa nchi isiyokuhusu,binafsisimwelewi kabisa utumishi wake
@Leeeeeeee-96
@Leeeeeeee-96 Месяц назад
ni kweli ujuzi mdogo huwezi kulinganisha u daktar was kenya na Tanzania
@ibrahimnyabwa8088
@ibrahimnyabwa8088 Месяц назад
Ni kweli, huyu mchungaji anapaswa kuomba radhi kwa kudharau elimu ya madaktari wa Tanzania. Kwani hapo Kenyatta hospital wagonjwa wa opereseheni ya moyo hawafi kabisa!!?
@IsayaJohnMapande
@IsayaJohnMapande Месяц назад
Lakini mbona sisi tunamuelewa ila swala la elimu katuchapa
@sophiamakani6133
@sophiamakani6133 Месяц назад
Hiyo ndio ukweli, na ukweli inauma 😅
Далее
Nightmare | Update 0.31.0 Trailer | Standoff 2
01:14
Просмотров 660 тыс.
MARCO JOSEPH - TOFAUTI (official video)4k
5:00
Просмотров 535 тыс.
Nightmare | Update 0.31.0 Trailer | Standoff 2
01:14
Просмотров 660 тыс.