Тёмный

SIRI YA KUFUNGA NA KUOMBA SEHEMU YA I 

Rev. Dr. Sako Mayrick
Подписаться 1,6 тыс.
Просмотров 19 тыс.
50% 1

Kufunga na kuomba ni masomo mawili tofauti ambayo kila Mkristo anapaswa kujua. Hata hivyo masomo haya yamekuwa na changamoto ya kutoeleweka na watu wengi, hususan somo la kufunga. Ni muhimu kutambua kuwa hatufungi ili kumshawishi Mungu au kujionyesha mbele za Mungu au wanadamu. Bwana Yesu katika kitabu cha Matayo 6:16-18, anataadharisha kuwa unapofunga hata wanaokuzunguka wasijue kuwa umefunga, wakijua tu umekwisha haribu funga yako! Tunafunga sio kumshawishi Mungu au kujionyesha bali kwa ajilli ya sisi kuingia katika roho. Mwanadamu ana maisha ya aina mbili, ya kimwili na kiroho. Ili kuweza kuzama zaidi rohoni ni muhimu kufunga kulingana na Isaya 58:3-9 ambayo imeeleza kwa undani aina gani ya kufunga Mungu anapenda. Hakuna klima unaoweza kusimama kama tukifunga kulingana na maandiko na kumwomba Mungu

Опубликовано:

 

15 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 15   
Далее
HATUA TANO ILI KUWA NA MFUNGO WENYE MATOKEO
38:52
Просмотров 218 тыс.
KUFUNGA KUNAKUANDAA KUJIBIWA NA MUNGU // 12 DAYS
18:41
World’s Tallest Man VS Shortest Woman!
15:07
Просмотров 13 млн
FAIDA ZA AJABU ZA KUFUNGA
19:23
Просмотров 25 тыс.
JINSI YA KUFUNGA NA KUOMBA $MAOMBI YENYE MAJIBU
11:29
KWA NINI NIFUNGE
23:19
Просмотров 33 тыс.
AINA TATU ZA MFUNGO
6:24
Просмотров 9 тыс.
World’s Tallest Man VS Shortest Woman!
15:07
Просмотров 13 млн