Wewe kama unaongoza watu nawatu hawakutaki kwann usitoke tu... Kama bado unang'ang'ania kuongoza watu ambao hawataki uwaongoze basi umeona kua kunamasirahi yako binafsi hapo na si masirahi ya wakenya. Alafu ruto ww unaonekana ni mjeuri sana..
RUTO WEWE NI MKABILA MKUBWA UNALETA WAKALENJIN PEKEYAKE BRITAIN. TUMEPIGA MSUMARI KWA SERIKALI YA HUKU WINGEREZA UTAWAONA HUKO. THEY CHANGED RULES BECAUSE OF WHAT WE TOLD THEM
Lies,,lies,,lies Mr president...dawa ni ukweli tu mkuu....even now you know you are lying..ati Rao ni mzuri sai sasa...mzee wa kitendawili..mmepanga,mkatenga alafu mmesema😂😂😂😂😂😂😂..as a patriot we zidiii
Linus kaikai asked you when you will stop lying Zakayo, you are still lying. You joined hands because of hague. Lair,lair. You are treatimg us like children
Present you are only the first president who will learn Kenya for one time only because you took the Bible and you don't know God does not like lies. your bottom up is upside down.