Anthony Luvanda - MC Luvanda, Adeline Mushi - MC Linah na Godfrey Rugarabamu - MC Gara B, ni moja ya washereheshaji maarufu zaidi nchini Tanzania. Walianzaje kazi yao? Ilikuaje wakaichagua kazi hii inayoonekana kwa wengi ni ngumu sana? Nini baadhi ya changamoto za kazi hii? Kwenye #SmartTalk wanafunguka mengi yatakayofumbua macho kuhusu kazi yao
6 сен 2024