Тёмный

Jinsi ya kujiandaa kuwa mjasiriamali kabla ya kuacha kuajiriwa. 

Personal Finance Hub
Подписаться 1,9 тыс.
Просмотров 21 тыс.
50% 1

Jinsi ya kujiandaa kuwa mjasiriamali kabla ya kuacha kuajiriwa. Kabla hujaamuwa kuacha kazi na kujiajiri kuna mambo muhimu ya kuzingatia ndipo ufanye maamuzi.Anthony Luvanda anashare experience yake na vitu vya kuzingatia ili ufanikiwe.

Опубликовано:

 

22 мар 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 48   
@NgewaCompany
@NgewaCompany 3 дня назад
asante nimefunguliwa kutokana na somo lako Mungu akupe maisha marefu uzidi kuliokoa taifa hili kwa mafundisho mazuri
@rosemarysulle9288
@rosemarysulle9288 3 месяца назад
Asant kaka Antony Luvanda
@Kanyawela
@Kanyawela 3 месяца назад
Ili somo ni zuri kwa wanaojua rugha zote ila kwa wengine tu kiswahili hawaelewi badiri mfumo wa kufundisha
@KessiaHarerimana
@KessiaHarerimana 3 месяца назад
Jambo mweshimiwa samaani huku congo tunakufuwata vizuri hila ukishanganya kingereza hatuhelewi
@EvalistoMwakalobo
@EvalistoMwakalobo Месяц назад
Mim nipo mwanzon2 kuangalia lakn kingereza sijui nimeona2 niachie njian Kwan kulilua watu hawaelew kiswahili umo Apo ndo umefeli brother jitahid ukiwa na waswahili ongea kiswahili ukiwa na wageni ongea lugha izo Sasa umo wote waswahili nimekwazika kwakwel
@robertjisandu56
@robertjisandu56 Месяц назад
Yes I appreciate. Tunabarikiwa Asante sana.
@pascalnsengiyumva4836
@pascalnsengiyumva4836 2 месяца назад
Nimejengeka sana. Naomba weka hiyo iliyopita kuhusu BUDGET
@helenamwema744
@helenamwema744 3 месяца назад
Tatizo kingereza Luvanda ila unafundisha vizuri sana jitahidi Kiswahili kiwe kingi
@rajabkahindi3389
@rajabkahindi3389 3 месяца назад
Tunashukuru mnazidi kututoa ujinga
@pauljosephtarimo2279
@pauljosephtarimo2279 5 дней назад
Amazingly
@evaristosanga471
@evaristosanga471 3 месяца назад
Tumia lugha moja kwa ufasaha.Kama ni kiingereza basi tumia kwa ufasaha.Kama ni Kiwahili basi kwa ufasaha.Chagua kwa kuzingatia aina ya watu unaowafundisha.
@HaniyaKisingo
@HaniyaKisingo 3 месяца назад
Afadhali umesema
@ngugimundia6306
@ngugimundia6306 2 месяца назад
Mimi ni mwalimu wa lugha tokea kenya na hapa nakuunga mkono asilimia mia...uwasilishaji unahitaji matumizi ya lugha moja...hapa anazengua tu kuwachachawiza watanzania mmuogope kwa kingereza chake...hapa kenya 🇰🇪 tunacheka tu!
@josephmigila267
@josephmigila267 3 месяца назад
Big time information
@erastosanga1694
@erastosanga1694 Месяц назад
Upo sawa
@maniamba.tz_
@maniamba.tz_ 3 месяца назад
Nakupata vilivyo MC Luvanda
@user-jh6jf2vr4o
@user-jh6jf2vr4o 6 дней назад
Thank you 💕
@alextzatv
@alextzatv 2 месяца назад
Hii ni Moja mada nzuri sijapata Kuiona huku mjini RU-vid
@jamespetro3014
@jamespetro3014 21 день назад
Hii ndio shida ya watanzania wengi yaani somo unatoa tanzania lughaa ya ulaya pumbavu kbsaa
@steraswai3251
@steraswai3251 2 месяца назад
Nipenda hiyo sana nimejifunza kupitia hii asante sana
@erastosanga1694
@erastosanga1694 Месяц назад
Mada nzuri sana leo
@thomasndabulike4735
@thomasndabulike4735 Месяц назад
Very nice
@user-xw1ty7pb8h
@user-xw1ty7pb8h 3 месяца назад
Antony upo vizuri lakini punguza kingereza maana tupo ambao hatukijui na tunahitaji kujifunza
@MarcoMchele-e7b
@MarcoMchele-e7b 25 дней назад
Masomo mazuri brother
@eco-marktechnologylimited4033
@eco-marktechnologylimited4033 15 дней назад
Jamaa anabore sana. Kingereza cha nini sasa. Hajui kama anawakera sema hawana namna. Ni ushamba uliopitiliza kuongea lugha tofauti wakati team nzima inayokusiliza inajua lugha ya asili.
@pauljosephtarimo2279
@pauljosephtarimo2279 5 дней назад
Mi namwelewa sana,kiingereza ni muhimu kwenye dunia ya sasa.Jitahidi ujifunze ndugu
@oseahmbembela-gi4du
@oseahmbembela-gi4du Месяц назад
Chagua lugha moja ya kufundishia mkuu wengine hatujui kiingereza
@HildaOscar
@HildaOscar Месяц назад
Tunaosikiliza so wote tunaojua lugha za kigeni hapo Uhuru siuoni hapa ninapojufunza
@abdulrahmanhassan5998
@abdulrahmanhassan5998 3 месяца назад
somo nizuri sana , lakini najiuliza kwani kunaulazima gani kufundisha kwa kutumia lugha mbili kwa watu ambao unaweza kuongea nao kwa lugha yao? hivi ni lini waafrika tutaacha ulimbukeni wa lugha za watu ? kweli sai utumwa upo kichwani sio kama zamani.
@jacqueisaac8155
@jacqueisaac8155 2 месяца назад
Na kama kuna wasoelewa kiswahili je?
@jasminemumwi2401
@jasminemumwi2401 2 месяца назад
Maisha hayana usawa boss.mfano mzuri hata hao waliopo hapo wote hawalingani chochote umri rangi jinsia dini n.k..sasa kwanini utofati wa lugha tu ndio ukukwaze wakati kuna utofati kwenye kila kitu???
@alikomwandoto1258
@alikomwandoto1258 2 месяца назад
Exactly 💯
@alexntahiraja2974
@alexntahiraja2974 Месяц назад
Umesema vyema kabisa. Kwa sababu siyo wote wamejariwa kujuwa lugha ya kingeleza lakini wana pesa na akili.
@hosianamshana
@hosianamshana 26 дней назад
Kwanza mim sielewi kabisa
@ngugimundia6306
@ngugimundia6306 2 месяца назад
Mwalimu uko vizuri ila wengi naona hapa ni waswazi....am from kenya 🇰🇪 and your presentation is so articulate and on point though my brothers and sisters from Tanzanian 🇹🇿 are really struggling to comprehend the concept just use swahili....tumia lugha rahisi ya watanzania ili wanufaike zaidi hamna ubabe kwa kutumia lugha ya wakoloni..salam toka hapa kenya 🇰🇪.
@nassercurtis9579
@nassercurtis9579 Месяц назад
Uko sawa akilini mwako? Unashauri mtu aongee kiswahili tu kwasababu naneno mengine anachanganya kingereza na nikweli ni lugha ya kikololono ila ni lugha ya kibiashara pia halipingiki hilo, je wewe mbona umwchanganya hapo kuongea kiswahili na kingereza kwa wakati mmoja? Je Kenya kuongea kingereza wao ni wazungu? Au bado ni watumwa? Maana wanatumia lugha ya mzungu
@ngugimundia6306
@ngugimundia6306 Месяц назад
@@nassercurtis9579 elewa kingereza nilichokitumia si kwaajili ya mtu wakijijini...kama wewe hapa ni nazungumza na msomi mwenzangu.. sasa wewe tatizo elimu tu..naomba ujiongeze babu...sasa hata kiswahili chenyewe kina kupa tabu...angalia unavyo endeleza maneno vibaya..makosa mengi ya sarufi....nini maana ya kikololono....unamwchanganya....rudi shule ujue kuandika kisha utumie mitandao ya kijamii..
@JulianaMchome
@JulianaMchome 2 месяца назад
Luvanda acha uzungu mwingi zungumza kiswahili chakwetu
@njungedennis8227
@njungedennis8227 3 месяца назад
Good communicator..The English is on top
@ngugimundia6306
@ngugimundia6306 2 месяца назад
But why use English and your target audience only understand swahili this in kenya 🇰🇪 we count it as backwardness and insensitivity...
@AliFakimati-dk4mt
@AliFakimati-dk4mt 28 дней назад
Tumia lugha moja tuhicho unachokifanya sio uhuru.
@HildaOscar
@HildaOscar Месяц назад
Tusiojua kizungu hapa tunapata hasara
@erastosanga1694
@erastosanga1694 Месяц назад
Ugonile juve vahwawe
@neemalaurent9836
@neemalaurent9836 Месяц назад
Ubora wa somo haupo kabisa,lugha ya kingereza kwa watanzania tena waswahili,wapi na wapi sasa🤦
@user-vj2mg5ng1v
@user-vj2mg5ng1v 2 месяца назад
Tumia kiswahili jamani
@erastosanga1694
@erastosanga1694 Месяц назад
Wuwomba imboimbo nonu hilume
Далее
TENGENEZA UTAJIRI KUPITIA HISA na Emilian Busara
57:11
Копия iPhone с WildBerries
01:00
Просмотров 614 тыс.
D3 BMW XM LABEL Король.
31:52
Просмотров 646 тыс.
UMUHIMU WA KUWEKA AKIBA YA FEDHA- Anthony Luvanda
13:31
BIASHARA ZINAZOTENGENEZA MATAJIRI WENGI
12:39
Просмотров 30 тыс.
Usizi Umfazi Womuntu Edliwa Umfana Omncane.
22:44
Просмотров 29 тыс.
MPANGO WA BIASHARA(BUSINESS PLAN)
30:18
Просмотров 38 тыс.
Копия iPhone с WildBerries
01:00
Просмотров 614 тыс.