Jinsi ya kujiandaa kuwa mjasiriamali kabla ya kuacha kuajiriwa. Kabla hujaamuwa kuacha kazi na kujiajiri kuna mambo muhimu ya kuzingatia ndipo ufanye maamuzi.Anthony Luvanda anashare experience yake na vitu vya kuzingatia ili ufanikiwe.
Tumia lugha moja kwa ufasaha.Kama ni kiingereza basi tumia kwa ufasaha.Kama ni Kiwahili basi kwa ufasaha.Chagua kwa kuzingatia aina ya watu unaowafundisha.
Mimi ni mwalimu wa lugha tokea kenya na hapa nakuunga mkono asilimia mia...uwasilishaji unahitaji matumizi ya lugha moja...hapa anazengua tu kuwachachawiza watanzania mmuogope kwa kingereza chake...hapa kenya 🇰🇪 tunacheka tu!
Jamaa anabore sana. Kingereza cha nini sasa. Hajui kama anawakera sema hawana namna. Ni ushamba uliopitiliza kuongea lugha tofauti wakati team nzima inayokusiliza inajua lugha ya asili.
somo nizuri sana , lakini najiuliza kwani kunaulazima gani kufundisha kwa kutumia lugha mbili kwa watu ambao unaweza kuongea nao kwa lugha yao? hivi ni lini waafrika tutaacha ulimbukeni wa lugha za watu ? kweli sai utumwa upo kichwani sio kama zamani.
Maisha hayana usawa boss.mfano mzuri hata hao waliopo hapo wote hawalingani chochote umri rangi jinsia dini n.k..sasa kwanini utofati wa lugha tu ndio ukukwaze wakati kuna utofati kwenye kila kitu???
Mwalimu uko vizuri ila wengi naona hapa ni waswazi....am from kenya 🇰🇪 and your presentation is so articulate and on point though my brothers and sisters from Tanzanian 🇹🇿 are really struggling to comprehend the concept just use swahili....tumia lugha rahisi ya watanzania ili wanufaike zaidi hamna ubabe kwa kutumia lugha ya wakoloni..salam toka hapa kenya 🇰🇪.
Uko sawa akilini mwako? Unashauri mtu aongee kiswahili tu kwasababu naneno mengine anachanganya kingereza na nikweli ni lugha ya kikololono ila ni lugha ya kibiashara pia halipingiki hilo, je wewe mbona umwchanganya hapo kuongea kiswahili na kingereza kwa wakati mmoja? Je Kenya kuongea kingereza wao ni wazungu? Au bado ni watumwa? Maana wanatumia lugha ya mzungu
@@nassercurtis9579 elewa kingereza nilichokitumia si kwaajili ya mtu wakijijini...kama wewe hapa ni nazungumza na msomi mwenzangu.. sasa wewe tatizo elimu tu..naomba ujiongeze babu...sasa hata kiswahili chenyewe kina kupa tabu...angalia unavyo endeleza maneno vibaya..makosa mengi ya sarufi....nini maana ya kikololono....unamwchanganya....rudi shule ujue kuandika kisha utumie mitandao ya kijamii..