Kazi nzuri sana 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 tunaomba muwalete wote wale wa sani nguli wote pia muendeleshe hizo episodes. Alafu Mwakadobe amekutana na mwengeni muchawi mkubwa kuliko yeye na huyu jama anafahamu sana kazi natumaini wote pamoja na Mwakatobe wataacha historia kubwa katika episodes hizi.
Clam vevo bro wwe ni mkubwa sna katika vijana wanaingiza uko juu na tena unajua mpka umetuletea mzee chilly kwenye movies mzee nakupa salute unanikumbusha *maneno ya kuambiwa*dah ilikua noma snaa mzee mwinyi mkuu
Yaan hum mnakera sana sio vzr mwenzenu kataarsha kaz ili kupata comment zetu za vzr aongeze bidii au mbaya asahihishe lkn mnaomba like asilimia kubwa ya watu hamcomment kumpa moyo na kumpa nguv mnaomba malike ya kaz gan kwa zinaliwa izo like clam umejitahd sana mungu azd kukuongoza vzr sana nmefurah ulivomueka huyo chili mganga yupo vzr nae kabisaa hongera zako
wee hujui hiyo ina maana kubwa mno mfano mimi siwez kwenda kuvew video alafu nisiipende eti niombe like alaf pia watu wanafanya ivo soo kwa ubaya mtu anasema KM UMIPENDA HII EPPISOD LIKE APA yee mwenyewe clam akiona watu wamemlike anaenjoy ni moja pia ya surpot kwahyo mm sion km kuna ubaya
@@dangomc_niger Shda ni kwamba kila mtu alaf anaomba like kwa kuwa wa kwanza c km anasema ameipenda angesema km umeipenda hii movie like hapo unaelewa lkn eti wa kwanza naomben like ndo nn kila mtu hii sio poa inaboa walete comment zinacfia kaz au kutoa ushaur wa kurekebsha au kuongeza ktu bc ni vzr zaid
Yaani ukitazama tamthilia za nje huwezi kuona haya mambo ya sijui naombeni like sijui mimi wa kwanza, yani kuna watu wanakimbia hapa kuja kusema tu naombeni like hata hajui anafanya nini hapa majitu mengine yani mungu tusamehe
Acheni ujinga, kila mtu wakwanza yeye,.. Mara nipeni like zangu,... Toeni maoni kwa wasanii hawa tunaowatazama kwenye kazi zao ili maoni hayo yawajenge na kuwa bora ili waendelee kufanya kazi kubwa na bora zaidi.
Nice series kaka ila idea ya chain ya waganga na wachawi imekuwa kubwa sana,jaribu kuleta content yenye kisa kizur kama ile ya mwanzo ya chief kutaka kutawaliwa na wachawi ww kuja kuokoa imaya na kulipa kisas waliomuua mama yako iliteka sana watu ayo ni maoni tu kwenye kuboresha asante
Aise wata Wana sumbuwa saaana Ku omba like djamani like siyo muhimu saana Kuliko Ku wa sifiya kwa Kazi nzuri ambayo timu nzima inalo Li Fanya ongereni saana Team Clam vevo kwa Kazi Zuri Mimi ni mukongomani 🇨🇩 from Dubaï🇦🇪
Mimi cku hizi Wala sicomment nimtu wakusoma comemment tuu huku nikii injoi na *SNAKE BOY❤* maana nikicomment iyo comment YANGU watu wanavyoupita najua mwenyeweee😂😂😂😂😂😅
mwaka wako ...wala usijali sisi tuko pamoja na wewe uwezi amini wananchi wote wanakusubiri vipande vyako vinasisimua hakuna mganga juu ya mungu wewe mungu ameshakufungulia kazana toa msada wako kwa wasinii waliopotea kwenye tasnia za filam wanakuombea na baraka zako zinakuwa juu Akram ...yani hiyo ni comedy mixer sirius episode umeweza ndugu yetu kula mb zetu ni zako
Whao hata kama CLAM VEVO alikwepa kuja MISISI 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 ila familia ya MISISI Tuko nyuma yako 💪💪💪 ongera sana kwa hiki ambacho mnazidi kujifanya pamoja na SUPER DIRECTA wetu KAKOSO 🤝
Katika comment zote ww ndio ulie na busara maana umempa moyo na kumpongeza msanii.. wengine wote wanalilia kuwa wa kwanza sijui wanafaidika nn??? Kizazi hiki shida tupu.Ongera sana ndg
Mimi kwa maoni yangu kusema ukweli mimi naona ukweli usemwe tu maana naona naweza nikaongea na katika hatua hii ndugu zangu nafikiri na naona kabisa kuwa kwa muda huu naona na natamani niongee kuhusu haya na nina mengi ya kusema moyoni lakini kuhusu hili acha nichangie hoja kwa kusema ni kweli mnayosema na mimi sina la kusema.
Pooeni ndg zetu wa Kenya kwa madhara ya mafuriko. Nimpongeze sana story creator wa Snake boy, hakika he's so creative, pongezi pia kwa director ba steering mwenyewe Clam vevo. Amazing work