Тёмный

SNAKE BOY | ep 19 | SEASON TWO 

CLAM VEVO
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 794 тыс.
50% 1

Follow Me On Instagram
/ clamcris_
Tiktok:
/ clam_cris
Facebook:
www.facebook.c...
#Clamvevo #Vevowood

Опубликовано:

 

5 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 2,1 тыс.   
@atupelenyondo6379
@atupelenyondo6379 4 месяца назад
Nipeni hizo like zang aseee nimekumban nayo leo paaap ni mm sasa fanyen yenu chap aseee
@MwidadySayyid
@MwidadySayyid 4 месяца назад
Kwa niaba ya mashabiki wote ningependa kutoa shukrani kwa kuyasikiliza malalamiko yetu,niliona ep 18 iko na dakika 25:44 na episode 19 ikiwa na dakika 31:43 tofauti na episodes zilizopita zilikua fupi mno.Tunawashukuru sana kwa kuongeza muda kwenye episodes,kazi nzuri #we_are_enjoying_it 🇰🇪💙🔥
@MashaPromise
@MashaPromise 4 месяца назад
Jamani film zuri tatinzo munachelewesha alafu Leo mumefanya vizuri sana kurefusha
@JailoceAnthony
@JailoceAnthony 4 месяца назад
Xahiv wame jitahid kuweka dk nyingi
@AngelMbelle-ld4hq
@AngelMbelle-ld4hq 4 месяца назад
Leo ndefu
@MohamediKalanje
@MohamediKalanje 4 месяца назад
Huyu jamaa BUTUA anajua sana namuona mbali sana Ana kipaji sana
@MartinKhizzer-bi4gw
@MartinKhizzer-bi4gw 4 месяца назад
Yaan acha kabisa
@AminaEmi-d1j
@AminaEmi-d1j 4 месяца назад
Anakipaji ghaswa MashaAllah
@KhadijaAli-e7e
@KhadijaAli-e7e 4 месяца назад
I'm proud to be Tanzanian, Nchi ya Amani, Nchi ya furaha, Nchi ya vipaji, Gonga like kwa Snake Boy twende ❤
@Nailah736
@Nailah736 4 месяца назад
Asanteni kwa kutuletea mwendelezo wetu mtamu wa snake boy asante kwa mara nyingine clam na director kakoso nawapenda bure🎉🎉🎉🎉🎉
@richardalfred1214
@richardalfred1214 4 месяца назад
🔥🔥
@johnkitwima6963
@johnkitwima6963 4 месяца назад
wanaomkubali Mganga wa waacha, kurukutanta mantete😂😂
@MartinKhizzer-bi4gw
@MartinKhizzer-bi4gw 4 месяца назад
Mganga wetu kafungiwa kwenye chupa
@Kaysam806
@Kaysam806 4 месяца назад
Wa kwanza jaman from zambia🇿🇲🇿🇲❤ please naomba more like like zanu kwa kuwahia
@gloriamutula9492
@gloriamutula9492 4 месяца назад
Umeniwahi 😢
@Kaysam806
@Kaysam806 4 месяца назад
@@gloriamutula9492 Sana tena sana kabisa 😂😂😂
@mwanakuninga381
@mwanakuninga381 4 месяца назад
2:54
@papaamasauti1973
@papaamasauti1973 4 месяца назад
Watanzania mnaroho mbaya sana like zenu mnapeana wenyewe from CONGO LUBUMBASHI
@ZuuMohamed-r8f
@ZuuMohamed-r8f 4 месяца назад
Sasa like zinakusaidia nini😅
@rachelrodgers5080
@rachelrodgers5080 4 месяца назад
Et tunaroho mbaya nawakat unalike 86😅😅
@saleheluvanga9929
@saleheluvanga9929 4 месяца назад
Sisi hatuna roho mbaya watanzania sifa yetu ni wakarimu tena tuna upendo sana ko usiwaze mkongomani🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@RahimShaban-lz7cb
@RahimShaban-lz7cb 4 месяца назад
Unapenda kusumbulia ya mingi
@papaamasauti1973
@papaamasauti1973 4 месяца назад
Nimependa sana watanzania kumbe muko na roho mzuri sana
@zanzibarfin5789
@zanzibarfin5789 4 месяца назад
Saaafi sanaaa picha inazidi kuleta mvuto wa kipekee barani Afrika. Hongera sana wahusika wote.
@UpendoMwandelile
@UpendoMwandelile 4 месяца назад
TUMSHUKURU MWENYEZI MUNGU KWA KUTUAMSHA SALAMA SIKU YA LEO AMEEEEN 🙏🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥🔥
@kamarhelo
@kamarhelo 4 месяца назад
Ameen wew ndo umeongea kitu Cha maana sio kutomba like kama wajinga
@rizikladyherson8451
@rizikladyherson8451 4 месяца назад
Aamin❤❤❤
@rich.kizza10
@rich.kizza10 4 месяца назад
​@@kamarhelo kufanyaje?
@emilywilly2306
@emilywilly2306 4 месяца назад
Ameeeen
@ArafaHassan-qv2xm
@ArafaHassan-qv2xm 4 месяца назад
Ammin ammin
@ahmadbelier3160
@ahmadbelier3160 4 месяца назад
Mimi ni wa mwisho kutoka bujumbura 🇧🇮 rakini hata like moja inatosha jameni💫
@samwelfute2215
@samwelfute2215 4 месяца назад
Leo wamejitaidi kutuletea mapema kama naww umefulah gonga gumba apo chini🤭🤭
@AgnesZubedah-zs2xd
@AgnesZubedah-zs2xd 4 месяца назад
Kwa hii snake boy season 2 Iko na familia nyingi sana
@hamzaIlunga
@hamzaIlunga 4 месяца назад
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲, leo nimechelewa kidogo ila samahani naomba like ata 100
@lukassimfukwe9318
@lukassimfukwe9318 4 месяца назад
Sehemu ipi bro
@JackNel-hx8zg
@JackNel-hx8zg 4 месяца назад
😂😂
@FedrickExsavery-nl6nj
@FedrickExsavery-nl6nj 3 месяца назад
😂😂
@winifridanshunju-hx9gz
@winifridanshunju-hx9gz 4 месяца назад
Jamani watu mnawai sangapi duuuh na mm nimewai naomba like zangu
@octaviaflowni9798
@octaviaflowni9798 4 месяца назад
❤❤❤
@KhadijakassimMwaipaya
@KhadijakassimMwaipaya 4 месяца назад
❤❤❤❤
@BarakaMligo-i7e
@BarakaMligo-i7e 4 месяца назад
Naombeni like zangu
@squaregirl
@squaregirl 4 месяца назад
Uwe.macho mda wote
@IbrahhPerfect-ec1qb
@IbrahhPerfect-ec1qb 4 месяца назад
Sawa pole😊
@charlespatrick8632
@charlespatrick8632 4 месяца назад
Jaman namimi nnionjeshe hizo like zenu nivimbiane huku nimekuwa wa pili tunasindikizwa na snake boy season two na baadaye clip safi za magoli ya yanga akimdabangula ihefu
@eliassalimo6984
@eliassalimo6984 4 месяца назад
@charlespatrick8632
@charlespatrick8632 4 месяца назад
​@@eliassalimo6984jumapili safi sana hii
@Burudani_Tv
@Burudani_Tv 4 месяца назад
Hahaha
@Sempai_Adui
@Sempai_Adui 4 месяца назад
Hahh umetisha
@Mainda-q5b
@Mainda-q5b 4 месяца назад
😂😂😂😂😂😂😂
@judithpendo9985
@judithpendo9985 4 месяца назад
Wa kwanza like zangu please 🙏🙏 team strong hoyeeeeeeeeee 🇸🇦🇰🇪♥️♥️♥️♥️ nawapenda saaana Niko Riyadh
@RehemaKatana-m6l
@RehemaKatana-m6l 4 месяца назад
Leo mmejitahidi imekuwa ndefu zaidi...Alafu nzuri sana...
@salumualoyce5620
@salumualoyce5620 4 месяца назад
Kwasasa katika Tanzania hii sidhani kama kuna mtu anaweza akaigiza nafasi ya mganga wa kienyeji kama Chil.
@AgostinhocosmeNambanga
@AgostinhocosmeNambanga 4 месяца назад
Leo wa mwisho kutoka Mozambique🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿nipe mauwa yangu
@Nextboy001
@Nextboy001 4 месяца назад
Leo tumefurahi imekua na dakika nyingi mwenye amefurahi kama mm gonga likes alafu clm wajua kupanga movie yako ndio bora tena bora Tanzania kw Africa yote
@stylishtz9693
@stylishtz9693 4 месяца назад
Mi ndo wakwanza Leo please like zangu
@mansourkhamis457
@mansourkhamis457 4 месяца назад
Mm nimekwisha kata tamaa na like zenu bana 😢
@IreneSambala-xj8oq
@IreneSambala-xj8oq 4 месяца назад
Alooooh kwa hii snake boy season 2 stress za mapenz zinatoka wap 😂😂 snake boy season 2 ni 🔥🔥
@sarahnjeri-tz8eu
@sarahnjeri-tz8eu 4 месяца назад
Wenye tumefurahia kuona Tete hajauawa gonga like 👍👍👍hii naifuatilia ata ikifika episode 50😂😂😂
@DJKHALIN254
@DJKHALIN254 4 месяца назад
Tuliofuatilia toka season 1 tujuane gonga like❤❤🇰🇪💯
@wamboiwamboh
@wamboiwamboh 4 месяца назад
❤❤❤
@AminaEmi-d1j
@AminaEmi-d1j 4 месяца назад
Umeona eghh
@BosiWadebe
@BosiWadebe 4 месяца назад
nakubali mwamba
@Touss_b
@Touss_b 4 месяца назад
Wakwanza kutoka Congo Drc liké zangu
@Carlos_furaha
@Carlos_furaha 4 месяца назад
Mweny series aombi like ...nyie wengine vp amtoi maon 🤔🤔mnataka like ..sahv sheria amna kuomb like🙃🥴
@aganzeroger
@aganzeroger 4 месяца назад
Wa kwanza kutoka Congo goma nipe like zangu asheni ushoyo🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@jumafox-mu1dd
@jumafox-mu1dd 4 месяца назад
Sema ndembo anaweza akawa nyoka hadi kwenye maisha yake ya uwalisilia maana anatisha kweli
@erickhaule8680
@erickhaule8680 4 месяца назад
Yaani nyoka haswaaa na hiyo sura yake
@dorcasresiato8929
@dorcasresiato8929 4 месяца назад
😂 😂 😂 😂 😂
@Chocolatee25
@Chocolatee25 4 месяца назад
😁😁😁😁
@atupelenyondo6379
@atupelenyondo6379 4 месяца назад
wakwanza hapa leo ni mm ebwana eeee
@AndrewMunisi
@AndrewMunisi 4 месяца назад
hi guys na mm nimewahi naonba like wangap wanampend calm
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 4 месяца назад
Shabiki wazinga Niko hapa😂😂😂❤❤❤ Dom ktkt ya Tanzania 🔥🔥🔥🔥
@ÉgideWilondja
@ÉgideWilondja Месяц назад
👊👊👊👊
@SalumSheha-sb9qj
@SalumSheha-sb9qj 4 месяца назад
Leo nimekuwa wa kwaza Kutoka Zanzibar nipeni like zenu
@Isihakafogo
@Isihakafogo 4 месяца назад
Me wa mwisho ila naombeni like zangu kingine hiii move nn inafundisha au wwe nni umejifunza napokea mahoni
@patricialmwashibanda6447
@patricialmwashibanda6447 4 месяца назад
Mbna mahoni😂
@isayamwanjoka3958
@isayamwanjoka3958 4 месяца назад
Burudan kujifunza kaanze shule
@shukuraadam2920
@shukuraadam2920 4 месяца назад
Duuuuu kweli mahoni
@JamilaSalumu-g2m
@JamilaSalumu-g2m 20 дней назад
Nimejifunza kua uchawi unanguvu
@UpendoMwandelile
@UpendoMwandelile 4 месяца назад
MUNGU AWE NASI JUMAPILI YA LEO AMEEEEN🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙌
@ZahraAlly-wq4ku
@ZahraAlly-wq4ku 4 месяца назад
Wakuomba Like Ndo wanatyping... now 😂😂😂
@bernardmlenda9800
@bernardmlenda9800 4 месяца назад
Naona Kila mtu anasema wa kwanza, aya mim wa mwisho naombeni like zangu sas
@Mukansconstruction
@Mukansconstruction 4 месяца назад
I can't get bored when I'm watching this movie, I wish it was full saison two yhoo I really like it . From south Africa 🇿🇦 🇿🇦
@Mukansconstruction
@Mukansconstruction 4 месяца назад
From south Africa 🇿🇦 🇿🇦
@adiliamoni3681
@adiliamoni3681 4 месяца назад
Yan watanzania hatutoi maoni ya movie na hisia zetu tanang'a ng'ana wakwanza wakwanza
@mariamnjama3963
@mariamnjama3963 4 месяца назад
Aky wanaboesha kamwe 😂
@AminaEmi-d1j
@AminaEmi-d1j 4 месяца назад
Umeona eghh
@venanceJohnbosko
@venanceJohnbosko 4 месяца назад
Nahisi awaelewi maana ya comment
@Danielkashatila2024
@Danielkashatila2024 4 месяца назад
Ajabu
@samymahuchani4562
@samymahuchani4562 4 месяца назад
Ushamba tu inatakiwa tukosoe walipokosea Ili walekebishe Pia tupongeze walipofanya vizur Sasa utakuta mijitu mingine et wa kwanza mm shenz kabisa Kama huna D mbili huwez kunielewa
@patrickkapisha628
@patrickkapisha628 4 месяца назад
Wakwa nza leo Nawapenda sana
@kedimonchilamsa9821
@kedimonchilamsa9821 4 месяца назад
2nakupend piyaa
@muzihilipiusdaudi6792
@muzihilipiusdaudi6792 4 месяца назад
Tunaofurahia dakika zimeongezwa hapa❤❤
@AbednegoMselela
@AbednegoMselela 4 месяца назад
Blessings to you bro Ahsante kwa kutuongezea urefu wa kipande❤❤❤
@yasrisimba6387
@yasrisimba6387 4 месяца назад
Big game big movie big reaction Mnajua kinoma Embu nipen hvyo vi like hata5❤❤❤😢
@modex_0376
@modex_0376 4 месяца назад
Wa kwanza Leo Kutoka kenya naomba like zenu
@khamiswapemba9019
@khamiswapemba9019 4 месяца назад
Pia napongeza sana sana team mzima kwa kusikiliza kilio chetu cha mdluda
@HKvägäTV
@HKvägäTV 4 месяца назад
Wakwanza jmn naombeni like zangu 😂😂❤❤
@MwanarusiMwandugu
@MwanarusiMwandugu 4 месяца назад
Kuma nyoko wewe eti wakwanza leo nipeni likes kambe unalipwa ukipata likes
@HansiHassankipajiHansiHassanki
@HansiHassankipajiHansiHassanki 4 месяца назад
❤❤❤
@Sophia-i1t7j
@Sophia-i1t7j 4 месяца назад
​Pendaneni jamani haifai kutukanana kwnye mitandao,Tumshkru Allah kw kutupa uhai mpka sai tunapumua ❤️🙏
@OmanMuscut-ju3xp
@OmanMuscut-ju3xp 4 месяца назад
Wechukuatu izo like zako usijali
@Ki2pe
@Ki2pe 4 месяца назад
Nomaa sana nikiwa pande za South Africa nakubal sana home line kazi nzuri
@lillyemmanuel9529
@lillyemmanuel9529 4 месяца назад
Dahh jmn roho imeniuma wakinazinga kumshind uyoo mchawi
@Kevinhabiba
@Kevinhabiba 4 месяца назад
Duuuuh clam clam nakuita mala. 2 unajuwa kaka unajuwa kaka we jin nakupa mauwa yako❤❤❤🐍🐍🐍🐍
@MoiseJosue
@MoiseJosue 4 месяца назад
Nimefanikiwa kuwa wa kwnza nipe like hapa toka Congo/Bukavu ville
@Harmontwo255
@Harmontwo255 4 месяца назад
NA MIMI NIKO BUKAVU
@MoiseJosue
@MoiseJosue 4 месяца назад
Hongera sana
@Harmontwo255
@Harmontwo255 4 месяца назад
@@MoiseJosue powa sana
@Bizbabillon
@Bizbabillon 4 месяца назад
Ambao tupo New York Tusemaje sasa
@diamondplutnumz4862
@diamondplutnumz4862 4 месяца назад
Like zinawasaidia nin
@ButoyiThierryve
@ButoyiThierryve 4 месяца назад
Wakwaza mimi kutoka Bd🇧🇮 naombeni lik hapo nawapenda sana ❤❤❤
@khamiswapemba9019
@khamiswapemba9019 4 месяца назад
Kazi kubwa kwa director kakoso hakika unastahiloi sifa zote na tuzo zote za mwaka huu zije kwako
@marygorethtemu4959
@marygorethtemu4959 4 месяца назад
Hizi ndo comments zinazotakiwa sasa.. siyo mijitu kuomba omba likes kama mataira
@AminaSadallah-yi1dv
@AminaSadallah-yi1dv 4 месяца назад
Haswaa sio mm wa kwanza kila siku
@MartinKhizzer-bi4gw
@MartinKhizzer-bi4gw 4 месяца назад
Hilo la kweli kbs
@babrahmaryam5942
@babrahmaryam5942 4 месяца назад
Ya clam top la ma top wa bongo movie jamani umetishaaaaaaaaa na leo umeongeza muda basi mambo ni bull bull🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@kedimonchilamsa9821
@kedimonchilamsa9821 4 месяца назад
We Acha uko vzulii mdogo we2
@LudeofficialXworldwide
@LudeofficialXworldwide 4 месяца назад
Nakukubali sana kaka clam I appreciate your works 👍
@samsonongolla8053
@samsonongolla8053 4 месяца назад
Haki wana himaya wanateseka sana bila clam
@Riva57902
@Riva57902 4 месяца назад
Wakwanza tena kutoka Kenya Clam VEVO never disappoint more love From Kenya .... Like za Kenya hapa plz
@tabumohammed6514
@tabumohammed6514 4 месяца назад
Oyaaaae Clam VEVO mimi ndo wa Kwanza kutoka Kenya Musiniachee ivi ivi likes zangu
@lugangotz4470
@lugangotz4470 4 месяца назад
Kipara ni baba lao😂😂😂 Kila muda ashaacha tabia za mmbea! Real definition of me😂
@MussaMatewa
@MussaMatewa 4 месяца назад
Leo mmejitahi imekuwa ndefu kuliko zingn
@KarimNdayisenga
@KarimNdayisenga 4 месяца назад
Leo wa kwanz from burundi
@BelvineLumbu
@BelvineLumbu 4 месяца назад
Tupo nyuma yenu n'a wafwata toka Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@MayaOuthman-bd8bg
@MayaOuthman-bd8bg 4 месяца назад
Mzee baba Asnt kwakuongeza Dakika❤❤❤
@husnabilali3099
@husnabilali3099 4 месяца назад
NAMI naomba like Tano Kam itafaa😮😮
@zenakioga6567
@zenakioga6567 4 месяца назад
Bonge la episode jmn hongereni sn team Clam Kazi nzuri sn
@IbrahimYassin-hw8fu
@IbrahimYassin-hw8fu 4 месяца назад
Nakubali kwa hizo dakika mwamba umetisha
@ZulekhaRamadhan-k4o
@ZulekhaRamadhan-k4o 4 месяца назад
Team strong mko wapi jmn yaani tumechelewa kwa pirika ila kujeni apa tugonge like 🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲♥️
@fatmamohammed8346
@fatmamohammed8346 4 месяца назад
tupo uduguuuu tupoooooo
@miriamngome5917
@miriamngome5917 4 месяца назад
Tupooo
@wamboiwamboh
@wamboiwamboh 4 месяца назад
TEAM IRAQ 🇮🇶🇮🇶🇮🇶🇮🇶
@salhaayub1338
@salhaayub1338 4 месяца назад
Tupooo😂
@janetkyumbe7154
@janetkyumbe7154 4 месяца назад
Tupo hapa kwa mpigo
@EliasiSirocha
@EliasiSirocha 4 месяца назад
Naleo kaongeza dakika kweriii bigapuuu sana
@AminaEmi-d1j
@AminaEmi-d1j 4 месяца назад
Jamani mwasi ananimaliza kwa huo usirias wake
@nassallybakar4346
@nassallybakar4346 4 месяца назад
Walokua hatujua man tetere (vila)ni chili gonga hapa tujuane
@ROBERTMangwangi
@ROBERTMangwangi 4 месяца назад
Wakwanza Leo unyama sanaa
@johnrogeo2161
@johnrogeo2161 4 месяца назад
leo nimeipatilia 👏
@IBRAHIMOFFICIAL-k1c
@IBRAHIMOFFICIAL-k1c 4 месяца назад
Ninemkubali zinga anavochapa vila hatari uyu jamaa anajuaaaaaaaa noma bwana CL@M VEVO
@naizymsangi7713
@naizymsangi7713 4 месяца назад
Mimi cjui wangapi ila pambe tu😂😂😂
@allyjafari8456
@allyjafari8456 4 месяца назад
Mmeboresha kwenye dakk hongereni sana
@Wakishua-wp
@Wakishua-wp 4 месяца назад
Kwelii kabxa saiv wana tahidi tu wape maua yao
@MohaJunior254
@MohaJunior254 4 месяца назад
Wakwanza kutoka 254 Kenya naombeni likes zangu
@swahabahusein23
@swahabahusein23 4 месяца назад
Haki mbona munachelewa Nairobi uwa tuna wagojea sana nipeni like pia
@Blaise-ft4kt
@Blaise-ft4kt 4 месяца назад
Natazama kutoka Australia jamani clam vevo you are doing a nice job
@Proproproprofit
@Proproproprofit 4 месяца назад
😂😂😂😂Aisee tunaomba mwendelezo wake please. Mtoto wa gwiji anaanza kuwatembezea vichapo wanaotaka kumuua mama yake kabla ajazaliwa😂😮akizaliwa itakuje😂😂😂 Yeye atakua anawageuza watu kuwa Bata kwenye imaya😊😢
@lucabedi7674
@lucabedi7674 4 месяца назад
Wa kwanza Léo nipeni like zangu jamani
@HusnaChelicheli
@HusnaChelicheli 4 месяца назад
We clam vevo unajua na unajua tena kaz nzur series nzuri tunaenjoy ❤❤❤
@LeonardChimanda-fn5fr
@LeonardChimanda-fn5fr 4 месяца назад
Safi sana..Leo mzigo umeshiba 30 minutes..dadeki..huyu ndio Clam Vevo
@ayubukassim7995
@ayubukassim7995 4 месяца назад
Kazi nzuri sana aisee Na leo umetufurahisha sana Mashabiki zako kaka Mana umetuwekea Dakk 30 nzima Asanten sana Team Snake Boy 🎉🎉 tunawapenda sana
@PhanyKemunto
@PhanyKemunto 4 месяца назад
Wow,hongera sana VEVO na team yako nzima,Leo mmefanya kazi safi kuleta episode refu ,nimependa
@byamnobebayoma7049
@byamnobebayoma7049 4 месяца назад
Wa kwanza kutoka kenya❤, likes zangu tafadhali
@EliasiSirocha
@EliasiSirocha 4 месяца назад
Watuuu mkooo chapuuu kwer yaniii ndooo imetoka mshakomentiii hvyooo kweriii hiii tamu
@SophiaDickson-me6zn
@SophiaDickson-me6zn 4 месяца назад
Jamani mi Niwatakie jumapili njema,na ushindi mwema yanga na ihefu
@greysonmatembo2802
@greysonmatembo2802 4 месяца назад
Umekuta ndefu sana ipo good
@husseinmohamed1380
@husseinmohamed1380 4 месяца назад
tuko pamoja hadi season 3...much love from 🇰🇪 usijaribu kumaliza hii movie mapema clam.
@mtunda_thegreat_thinker
@mtunda_thegreat_thinker 4 месяца назад
sema unavhelewesha sanaaa clam iwe baada ya sku tatu umeachia mzigo pleaseee
@salmasalam3268
@salmasalam3268 4 месяца назад
Watu mpo makin na movie
@MaendaEca-j6s
@MaendaEca-j6s 4 месяца назад
Clam anaweza kbs watching from USA Illinois Chicago
@RanceEvance
@RanceEvance 4 месяца назад
Mimi wa mwixho naombeni za kunifaliji 2
@JanuaryThadeo
@JanuaryThadeo 4 месяца назад
Jamani mtoe haraa harak wa tz mnaroho mbaya naombeni me like zenyu from UGANDA🇺🇬
@wakati_jr_media2014
@wakati_jr_media2014 4 месяца назад
Are you really from ug
@sergesntunzwenimana
@sergesntunzwenimana 4 месяца назад
Mimi wakwanza nip like zangu snake boy❤❤❤❤❤
@HamadMwagoani
@HamadMwagoani 4 месяца назад
Ayo majani yanaitwaje ndugu wacheni kuuliza mambo ya like za ujinga na kuna mafunzo apo ndani
@odiboy254
@odiboy254 4 месяца назад
Waaa wapi likes kama unamkubali clam vevo kwa best comedian TZ
@ramadhanhamza4242
@ramadhanhamza4242 4 месяца назад
Kwan hii ni comedy
@f6djolomos12
@f6djolomos12 4 месяца назад
Like zangu piya from DRC ata kama siko wa kwanza leo
@georgemodest2002
@georgemodest2002 4 месяца назад
Ooooooh wachaaa clili mwanao wa sosi
@Suz015
@Suz015 4 месяца назад
Nko na swali jamani Huwa natamani kuuliza, huyo mwasi ni dadake kakoso
@diamondplatnumz5598
@diamondplatnumz5598 4 месяца назад
ndo kakoso mwenyewe huyo alibadilishwa na mizimu ety😂😂😂
@MaulidMrisho-hk2vi
@MaulidMrisho-hk2vi 4 месяца назад
hata mim ilo swali hilo hilo maana wame fanana sana mwasi v kakoso
@MaulidMrisho-hk2vi
@MaulidMrisho-hk2vi 4 месяца назад
kiuwalisia itakua ndugu maana ukiangali kwamakini unaona kunamfanano kidogo kat ya kakoso na mwasi
@IlhanabubakHussein
@IlhanabubakHussein 4 месяца назад
Jamani leo nimekuwa wa mwish😢😢
Далее
SNAKE BOY | ep 20 | SEASON TWO
30:18
Просмотров 764 тыс.
MAGIC RING | FULL MOVIE |
1:13:45
Просмотров 386 тыс.
HOUSE GIRL EP 19 | S3 | Love Story 💕💞
24:17
Просмотров 81 тыс.
MAPOKEZI YA CLAM VEVO ALIPOFIKA CONGO 🇨🇩
3:39
Просмотров 196 тыс.
KHASU Part 2 AKILA Entertainment (malawian movie)
1:20:05
MY LIFE FULL MOVIE
1:16:15
Просмотров 623 тыс.
KIBENTEN FULL MOVIE
3:35:14
Просмотров 1,7 млн