Kwa niaba ya mashabiki wote ningependa kutoa shukrani kwa kuyasikiliza malalamiko yetu,niliona ep 18 iko na dakika 25:44 na episode 19 ikiwa na dakika 31:43 tofauti na episodes zilizopita zilikua fupi mno.Tunawashukuru sana kwa kuongeza muda kwenye episodes,kazi nzuri #we_are_enjoying_it 🇰🇪💙🔥
Jaman namimi nnionjeshe hizo like zenu nivimbiane huku nimekuwa wa pili tunasindikizwa na snake boy season two na baadaye clip safi za magoli ya yanga akimdabangula ihefu
Leo tumefurahi imekua na dakika nyingi mwenye amefurahi kama mm gonga likes alafu clm wajua kupanga movie yako ndio bora tena bora Tanzania kw Africa yote
Ushamba tu inatakiwa tukosoe walipokosea Ili walekebishe Pia tupongeze walipofanya vizur Sasa utakuta mijitu mingine et wa kwanza mm shenz kabisa Kama huna D mbili huwez kunielewa
😂😂😂😂Aisee tunaomba mwendelezo wake please. Mtoto wa gwiji anaanza kuwatembezea vichapo wanaotaka kumuua mama yake kabla ajazaliwa😂😮akizaliwa itakuje😂😂😂 Yeye atakua anawageuza watu kuwa Bata kwenye imaya😊😢