Oyaaa unategea snake boy ukiwa mm Niko apa Riyadh 😂🇸🇦🇰🇪 alafu mmesahau saaana big boss 😢😢bana mnaboo n mnatoa ham mkieka bihide scene bana nawapenda Genz 👊 team strong hoyeeeeeeeeee ♥️♥️♥️♥️
Ubaya ubwela kwa tanu jamani,,,n uyo jamaa ambae mkewe anapigwa dana dana ni mpuuzi tu kwanini tangu mala y kwanza kwa mgaya asimwambie kuwa yule ni mkewe n badala yake akamwambia kuwa n dadaake
Jamani Huyu VEVO na team yake wamedhamiria kufanya makubwa kwenye hii tasnia TUMPE nguvu hatutajutia, jamaa wanajituma yaan Hadi kufikia hii episode stor haijaharibika na Bado wanaonesha Energy Ile ile. Big up Team VEVO..
Zumba zumba nakuhisi jambo kijana wa hovyo sana😂😂😂n'a clam utagombanisha watoto wa shahidi😅ani moovie kila sik utam unazidi❤mnajua bhana🎉mauwa yako clam n'a. Team.yako kwaujumla🎉🎉🎉🎉from burundi❤
Bila kusahau like za clam vevo zote ziwekwe hapa jamani sijawai kupata hata like 1k Kazi nzuri clam vevo tupo nyuma yako bro...🫶💪💪 Tuzidi kusapot kazi ya kijana wetu 🥰
Nasemaje...am very happy comrades.This is the best series ever on this planet... Congratulations to Ntanzi,Kakoso, Famau..and all the actors and actresses. •Zumba impregnanted Kim. •Tanu killed kapera's wife. •Kapera revenged back by killing Tanu's children. •Ntanzi loves Sanura. ° .......🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Daaah ebhn nimechelewa sn kwasabab ya bando nipo porini congo kifurushi kimeisha hapa nimeomba wifi kwa mwana nimeburudika aswaaa niombe angalau like kazaa wandugu 🤝🙏
Em skizen jmn toen maon kuhus mnachoangalia me binafsi vita ya Tanu na Kapela daaah ni nzitoo mnoo wauwaji n wao wenyew lakin wao wao pia wamepewa kazi ya kuchunguza muuaji 😂😂😂 halafu kapela akarudisha msemo aloambiwa "Kuwa makini unaonekana una maadui wengi 😂😂😂" Big up sanaaa Clam ❤❤
Mnavyolilia kila mtu ni wa kwanza mnanikumbusha wazee wa zamani ambao kila mzazi anasema yeye alikua wa kwanza shuleeee, sasa cjui wa mwisho nani ukiniacha mimi😅😅😅