Mji wa Mombasa unasalia kituo muhimu cha historia ya mataifa ya Afrika mashariki. Mji huo unafahamika kuwa na vituo vingi vya kihistoria kama vile jumba la Fort Jesus na pia pembe za tembo.Soko la Mckinon maarufu Marikiti ni kituo kingine cha kihistoria kama anavyotueleza Salma Mohamed akiwa Mombasa.#VOA #VOASWAHILI
18 сен 2024