Pole Yako Vicky ndipo uliamua kutuonyesha umalaya ndipo kwa kila series hutosheki na mmoja wewe dada.ata km ni series lkn vicky ulijishusha huo uhusikia uliouvaa ni wa tina lkn km uliungangania itabidi tukueke group moja wewe na tina ndipo
😂😂😂😂😂Yani mtu amekazana anaandika kuwa ume amuwa kufanya umalaya waziwazi hiv hawajuwi kuwa hayo nimaigizo wanatufundish kweny maisha yetu ya uharisia Kam yapo tuyaache au tujifunze huu ni michezo tu ya kuigiza hakuna uharisia wowote na mtu akipewa kitengo Cha uwaji bas atakuwa kuwa kweli akipewa kitengo aigize Cha umalaya atakuwa maraya kweli wew umeona hapo wamelala shuka moja dk mbili tu wakish chukuliwa kipande wanaamk na wapo watu tele mbele yao nakushangaa sana wew dada ulie comment hivyo kuwa Viki kawekwa kwenye kundi la Tina asa tuna malaya au kaigiza kimalaya?@@VictoriaMwigani
Kazi nzuri sana wana donta tv hongera kwa loveness kwa kumpenda mtoto wa mkemwenza,kuwa mama ni lazima uwe na adabu hata mbele ya mtoto wako la sivyo hakuna vile mtoto atakuheshimu,unaeza kuwa unamfundisha uongo ila kuna siku ataerefuka na kujua ukweli
Hongeraa sanaaa lovenes,, ni bonge la movie na inafundishaa sanaaa🥰🥰🥰mtafika mbali wapendwa nawapendaa,,, still naona kila mmoja ana kipaji cha kuigiza na kutunga story nzur sanaaa,, 🎉🎉🎉nawapenda zinatufunza sanaaaaaaaaaaaa🥰🥰🥰
Khairat alivyoshika kiswaswadu sas🤣🤣🤣🤣il da vick change your behavior mtoot anakwambia maneno ya maan et katumw n shangaz zake🤣🤣🤣🤣🤣but congratulations James umeigiz vyema pia bil kusahau Loveness 🌹🥰khairat kuwa n heshim ila wew pia congratulations kwa kugunduw kuw mamdog Loveness kuw han hatia