Baada ya msanii wa maigizo nchini Clam vevo kufunguka kupitia kipindi cha Clouds Fm kinachoitwa XXL kuwa tangu ameanza kutumia RU-vid Channel yake mpaka sasa ameingiza Billion 2, rafiki yake wa karibu Steve Mweusi amefunguka ndani ya Mpenja tv kwa kusema kuwa hakuna ukweli kwenye hilo kwani yeye anajua kuhusu mapato na amempita Jumla ya watazamaji RU-vid hivyo sio kweli
Aidha Steve Mweusi amefunguka kuwa anafanya mawasiliano na Golikipa wa timu ya Yanga Djgui Diara anatumiana nae ujumbe kutumia mitandao ya kijamii
3 окт 2023