Тёмный

STEVE MWEUSI AMLIPUA CLAM VEVO '' HAWEZI KUWA NA BILLION 2/ IHEFU WAMEMZOEA YANGA'' / CLAM NI MUONGO 

Mpenja TV
Подписаться 512 тыс.
Просмотров 193 тыс.
50% 1

Baada ya msanii wa maigizo nchini Clam vevo kufunguka kupitia kipindi cha Clouds Fm kinachoitwa XXL kuwa tangu ameanza kutumia RU-vid Channel yake mpaka sasa ameingiza Billion 2, rafiki yake wa karibu Steve Mweusi amefunguka ndani ya Mpenja tv kwa kusema kuwa hakuna ukweli kwenye hilo kwani yeye anajua kuhusu mapato na amempita Jumla ya watazamaji RU-vid hivyo sio kweli
Aidha Steve Mweusi amefunguka kuwa anafanya mawasiliano na Golikipa wa timu ya Yanga Djgui Diara anatumiana nae ujumbe kutumia mitandao ya kijamii

Спорт

Опубликовано:

 

3 окт 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 400   
@KafrogyPep
@KafrogyPep 9 месяцев назад
Huyu Jamaa anajitambua na anaheshimu Wote .. Hana muda wa Kuongelea wenzake.. Kazi zake zinatembea bila kuforce wala kuongeza sufuri.. Legend 🙌🏾👊🏾
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 9 месяцев назад
Hakika yuko vizuri uyu mwamba
@user-xf2fu1oz5r
@user-xf2fu1oz5r 9 месяцев назад
Kweli kbsaa yuko vzr
@Officialjidaa-sn9cs
@Officialjidaa-sn9cs 9 месяцев назад
Kabisaaaa jaman
@ignancenshimiyimana8267
@ignancenshimiyimana8267 9 месяцев назад
Vraiment ce gars, il respecte toujours bien les autres
@Danny_tryphonnyTz
@Danny_tryphonnyTz 9 месяцев назад
Nakubar xan
@user-sq9si8wy8d
@user-sq9si8wy8d 7 месяцев назад
😂😂😂 Unajielewwa Sana stive Amos kutoka burundii
@macklineremmanuel1742
@macklineremmanuel1742 9 месяцев назад
Uko vizuri ndugu yangu Steve unajua maisha Sana, Mungu akusaidie zaidi✝️🙏
@user-wz4gw8qt9h
@user-wz4gw8qt9h 9 месяцев назад
Steve wew unakili sana unakuja kujibu hata aujisifu natokea Moçambique namkubali sana
@ZDZ.COMPANY.LIMITED
@ZDZ.COMPANY.LIMITED 9 месяцев назад
Lijamaa linaongea likiwa limetulia sana nakukubali steven
@BiddazTz
@BiddazTz 9 месяцев назад
Kiukweli Steve kanenaa hata akipata tatizo unaweza kumchangia chochote kitu lkn hawa matapeli wanaosema wana B.l2 siku wakilata ttz watu wanashindwa kuwasaidia kwa 7bu wanaongeza sifuri mbele wanaect maisha Steve hongera🙌💪🔥🔥
@deogratiasbav
@deogratiasbav 9 месяцев назад
Steve Anajitambuwa sana.heshima kwako karibu Gitega Bdi
@abdallahmbonabona8860
@abdallahmbonabona8860 7 месяцев назад
Unamuarifu Gitega uce umushikana mu Gishora atamba ingoma?
@HassanAbbas-lb9jx
@HassanAbbas-lb9jx 9 месяцев назад
Stive unayajua maisha uwemshauri kwa sisi
@HassanMohamed-wg2ik
@HassanMohamed-wg2ik 9 месяцев назад
Steve kweli umeongea point kaka ,kuishi maisha yako halisi inapendeza sana
@TWAGIRAYEZUJackson
@TWAGIRAYEZUJackson 9 месяцев назад
Kiukweli Steve nakukubali mno.maana maisha unayajua sana
@georgeslupopo6215
@georgeslupopo6215 9 месяцев назад
Uyu jama iko tofauti, nimwenye hekima fulani, natokea kumupenda zaidi , kwamwisho nimependa pale alipo sema '' mimi ni Steven Moïse nime OKOKA'' njomana uko mwenye hekima ndugu yangu sababu umeokoka. Nous t'aimons énormément frère, Que Dieu te bénisse, depuis la République démocratique du Congo 🇨🇩🇨🇩
@einsteinmboje4730
@einsteinmboje4730 9 месяцев назад
Aiseeee Sikuwah Kujua Huyu Jamaa Ni Smart Saaaana .... Very Matured And Smart ,Na Naamini Vijana Wengi Wa Comedy Wamepitia Kwake Na Bado wanasaidiwa Na Yeye
@barakamatata2228
@barakamatata2228 9 месяцев назад
@abdallahmwanga5792
@abdallahmwanga5792 9 месяцев назад
Nakuelewa sana ndg yangu Steve,long life to you....😂😂😂
@NzeyimanaFrancis
@NzeyimanaFrancis 6 месяцев назад
Tumusapoti ndugu yetu Steve we love you in Burundi 🇧🇮
@simaovirgiliodunia3947
@simaovirgiliodunia3947 9 месяцев назад
Yani Steve ni mmwelewa sana, na ninamini uyu kweli anamtegemeya mwenhyezi mungu🙏, kwaiyo anaitaji sana sapot zetu Ili asichoke kutuleteya ilimu mzuri kupitia komedy❤❤❤❤❤
@MoiseCristia
@MoiseCristia Месяц назад
Una juwa ongeya kweli ndugu yangu Steven. Suis congolais.
@user-rp1jm4ix9g
@user-rp1jm4ix9g 9 месяцев назад
Steve madze napenda lifestyle ako bro,,,hujigambi aisee
@RajabMashina
@RajabMashina 9 месяцев назад
bro Steve ukopis sn kk mung akupe uli mlef
@JoelFikirini
@JoelFikirini 9 месяцев назад
Kiukweli steve wewe utafika mbali maana hata mwenyez MUNGU anatuambia tuseme kweli,na ninavyokuona wewe ni mkweli sana.
@user-dy3wy2py3r
@user-dy3wy2py3r 6 месяцев назад
Nakukubali xana mwanangu Steve Huna mambo ya kumuongelea mtu mungu akujalie uwe hvo
@fd..dangote...6lack72
@fd..dangote...6lack72 9 месяцев назад
Nakubal stev mweusi bro huwa mkwl san big up bro
@PauloCharicha-xp5hy
@PauloCharicha-xp5hy 9 месяцев назад
Bloo unajuw kuongea na Medea kiukwel you are my favorite comedian
@Bad7official-tz1pv
@Bad7official-tz1pv 9 месяцев назад
Katavi stend up uko xahihi broh🌹🌹🌹
@user-ep3it9qe4j
@user-ep3it9qe4j 9 дней назад
Sema jamaa ni mkwel sana steve congratulations brother ❤
@user-ex2id7sw4x
@user-ex2id7sw4x 9 месяцев назад
Anajiita mweusi steve big up broo mbna nakukubali xan much love from us
@mussahosseni8229
@mussahosseni8229 9 месяцев назад
Safi sana steve huna baya kakaaa humsemagi m2 kakaaaa tukupe maua yako kakaaa
@jenvonmumbere5943
@jenvonmumbere5943 8 месяцев назад
Mimi ni mcongomani nasema stivu ata jaza goma na bukavu aaadi Lubumbashi 🎉🎉❤❤
@christopherdavid8635
@christopherdavid8635 9 месяцев назад
Steve uko vizuri man keep it up
@SophlaJackson-nt1nc
@SophlaJackson-nt1nc 9 месяцев назад
Daa steve MUNGU aku baliki huna sifa 🙏🙏🙏
@Amourharoub-rf1tc
@Amourharoub-rf1tc 9 месяцев назад
Safi sana Steve mpe elimu bwanamdogo ache kujitapa mm namini hata milioni kumi hafikishi😊
@kelymbilinyi2274
@kelymbilinyi2274 9 месяцев назад
Dah mshikaji yupo very simple hongera
@officialsuccesschannel
@officialsuccesschannel 9 месяцев назад
uyu jamaa nimemkubali yuko really sana nimemkubali
@dr.peterofficial6390
@dr.peterofficial6390 9 месяцев назад
Atakuketisha na wakuu safi sana Steve kwa kumuweka Mungu mbele
@user-kd9qs2ji3s
@user-kd9qs2ji3s 9 месяцев назад
Stiv uko pow mimi nakukubali
@irfanabdi8877
@irfanabdi8877 9 месяцев назад
Safi sana Steve kwa kua mkweli na Hali unayoishi
@jamesluckson2367
@jamesluckson2367 9 месяцев назад
Steve Asante sana Kwa kuwa mkweli😂😂😂😂
@shwaibukhatibu2838
@shwaibukhatibu2838 9 месяцев назад
Wasanii wengi NI matajiri Ila usijitangaze chameleon ni tajiri Sana Ila he is still cool
@Igweezysirleem
@Igweezysirleem 9 месяцев назад
Steve mweusi Ako very humble
@user-uo6bo3ph6g
@user-uo6bo3ph6g 9 месяцев назад
Tatizo la clam ni sifa na ulimbukeni Ila Kuna siku utamponza,,hongera stev kwa kujitambua
@DoublevisionTVKE
@DoublevisionTVKE 9 месяцев назад
This man is very wise. He speaks when necessary and he fights to keep his personal life private. He is a Wise man
@BarakaMasunzu-xb9st
@BarakaMasunzu-xb9st 7 месяцев назад
Namba ya sitivu
@manutheejungle2678
@manutheejungle2678 9 месяцев назад
Watching from Kenya,,,I like the way mweusi is answering the questions, he's the only comedian am watching in from Tanzania
@patrickmusyokipaul7824
@patrickmusyokipaul7824 7 месяцев назад
Big up ndugu Steve, you're so humble
@swaggaboy-ro7zt
@swaggaboy-ro7zt 9 месяцев назад
Bro nakukubali xana umeongea point watoto hawajui maisha endelea kuwapa elimu
@LatifaAbdallah-wx9jf
@LatifaAbdallah-wx9jf 7 месяцев назад
Ukovizuri
@DanielWillison-fd6ql
@DanielWillison-fd6ql 9 месяцев назад
Kaka upo vizuri xana steve nakuombea ufanikiwe zaidi
@CHIEF_WA_BUJONDE
@CHIEF_WA_BUJONDE 9 месяцев назад
sema yanga sana kaka Steve uko vizur
@musamchaga7103
@musamchaga7103 9 месяцев назад
Kuanzia leo shabiki yako broo umetisha
@nelsonmatambo
@nelsonmatambo 8 месяцев назад
Stivu nakuerewa sana
@NGUNGUNISYAIE
@NGUNGUNISYAIE 9 месяцев назад
Steve mwenye akili sana na pia naweza penda kuiga muenendo wake...love from Kenya artist 👌👌👌
@CarlosHenriquesNankodya-nl5ps
@CarlosHenriquesNankodya-nl5ps 9 месяцев назад
Steve nakukubali ndugu yangu kazi njema mungu akuliki🙏 MOZ 🇲🇿
@officialjoakim3555
@officialjoakim3555 9 месяцев назад
Interview nzr sema Steve nilichoona auitaji kujikuza Sana Ni Mambo mazur big up bro.
@Ahsaltz
@Ahsaltz 9 месяцев назад
Nakukubali steve
@israelyeremia3439
@israelyeremia3439 7 месяцев назад
Kwa mara ya kwanza nimemwelewa Steven.
@jemimamachimo7506
@jemimamachimo7506 9 месяцев назад
Utafika mbali Kaka, Mungu akupe maisha marefu saaaana tuendlee kujifunza vijaana
@JenniferKasaba-uz6xz
@JenniferKasaba-uz6xz 7 месяцев назад
🎉🎉chukuwa mauwa yako kabla hujafa Mungu akupe maisha malefu huna baya.
@user-ng8by1iu6t
@user-ng8by1iu6t 7 месяцев назад
Hamzidi clam kiuchekeshaji
@RashidJuma-de7zg
@RashidJuma-de7zg 9 месяцев назад
Tatzo Clam anapenda brand sana alaf utoto unamsumbua mdogo wetu yule mwachen2 au mpuuzien cz hafikirii kuhusu future😢
@modex_0376
@modex_0376 Месяц назад
Yani Steve waongea point mzuri
@flaviejuliusanney2823
@flaviejuliusanney2823 8 месяцев назад
Safi sana Steve mweusi, uko na hekima sana! ..big up bro be blessed
@FelisterDuway
@FelisterDuway 9 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂 yaani we hamadi kijicho leo umenichekesha
@user-oe3dz5mx5b
@user-oe3dz5mx5b 9 месяцев назад
Unajielewa Sana Steve mweusi
@user-cc6wo4bp2p
@user-cc6wo4bp2p 9 месяцев назад
Yaan nmkubali san uyu kak alfu pia anajua maisha ni nin😍Mungu Akuzidishie ya kadri uombavy🙏
@user-cs6vy8hs9r
@user-cs6vy8hs9r 9 месяцев назад
Uko vizuri mungu akupe maisha marefu
@DeBeasts66
@DeBeasts66 9 месяцев назад
HATUONII TATIZO NI INFINIX😂😂😂 STEVE BWANA😢
@manuelraulchimangande
@manuelraulchimangande 9 месяцев назад
Wewe steve uliomba nsaada kwa clam.uongo kweli ? Sema kweli
@mtanganyika-films
@mtanganyika-films 6 месяцев назад
Wanakutukana sana lakin shabiki zako hatuhami . Steve unajitambua bro 💪💪
@dnx_Gr
@dnx_Gr 9 месяцев назад
This guy is masterpiece
@leekaijage6815
@leekaijage6815 9 месяцев назад
Msema kweli mpenzi wa Mungu unazidi kuongeza wafuasi kwa sababu unajitambua kaka
@RobertAlukwe-io7et
@RobertAlukwe-io7et 3 месяца назад
Steve Mweusi mtu wangu kabisa wewe ndio mwamba wa uigizaji hapo Bongo
@user-kq3jj7ni5e
@user-kq3jj7ni5e 6 месяцев назад
Huyu kijana sikuwa nafikiria kama yuko ivi, hakika wewe ni mutu mkubwa kiakili, yani nilikuwa nikikuchukuliya kama unavyo cheza nikajisaulisha kuwa ni kazi, hakika Big up brother
@Bivany96
@Bivany96 9 месяцев назад
Nakubal brother Steve
@princeJones11
@princeJones11 9 месяцев назад
Mi nikiskia2 sauti ya stivu mweusi😊ah mmi hufrahi saaana🎉
@rasulyonline3681
@rasulyonline3681 9 месяцев назад
😂😂😂😂😂 ila Steve jauuu
@user-os4pu7sd8s
@user-os4pu7sd8s 9 месяцев назад
hahahaha majambaz msameen alikua anaota kule jaman msiende kum vamiaa
@irankundafiston6039
@irankundafiston6039 7 месяцев назад
Nakubali stive
@user-nu3il7mm6n
@user-nu3il7mm6n 9 месяцев назад
Nasi huku USA tunamkubali sana Steve barikiwa Dallas tunakufwata sana
@princekilosho6088
@princekilosho6088 6 месяцев назад
Ukweli lazma tuseme mambo tunasikia mitandaoni na interview ya Steve kuhusu bifu ya Steve na clam si kweli kabisa , Steve hekima n'a anabusara ataki kuongelea majina za watu.big up bro.
@AllyRumela-cg2qu
@AllyRumela-cg2qu 9 месяцев назад
Nakubar sana steve
@DanWafula-vw9md
@DanWafula-vw9md 9 месяцев назад
I love your videos 😍
@deodatusmramba7597
@deodatusmramba7597 9 месяцев назад
Uko vizuri kiongozi
@andrewalphonce8120
@andrewalphonce8120 9 месяцев назад
Hopefully jamaa hakuelewa alimanisha tangu aanze kazi yake ya sanaa ndo mzigo alioingiza mpaka sasa na siyo cash aliyonayo.
@godlovekyela7807
@godlovekyela7807 6 месяцев назад
Unyenyekevu Tu kaka UNATOSHA sana kwenye Maisha Utafika mbali
@peterludala4583
@peterludala4583 9 месяцев назад
Bora ukawa mkweli kama sitivu hongera kijana
@user-sb7gu8xu2e
@user-sb7gu8xu2e 7 месяцев назад
Stive kweli anajuwa natamani sikumoja tufanye naye kazi ni clovis
@nzukokatavali78
@nzukokatavali78 6 месяцев назад
Hekina ni kitu kikubwa maishani mwa mtu Steve fundi sana endeleya hivyo hivyo
@ALEXLOTAN
@ALEXLOTAN 6 месяцев назад
🎉🎉🎉🎉🎉🎉stiv mkali na niwakitambo
@koffianodichisesa238
@koffianodichisesa238 9 месяцев назад
Nakubali kijana Stevu
@WaziriRamadhan-ML
@WaziriRamadhan-ML 9 месяцев назад
Steve ni mkweli na ananyota ya kupendwa na atafika mbali sn huyu mtu
@user-sy2qr4kw5t
@user-sy2qr4kw5t 9 месяцев назад
Sikuwahi kukufata but umenishawishi steve. You are the best. May God double for you
@albertkatuga2434
@albertkatuga2434 9 месяцев назад
Natafuta comment yenye kupinga alichokiongea lakini sioni hata moja
@muksinjuma4685
@muksinjuma4685 9 месяцев назад
​@@albertkatuga2434hautopata me nimeshindwa sijaipata😂
@JapharySilvesta-cj5nz
@JapharySilvesta-cj5nz 9 месяцев назад
Home boy huy steve namkubak san mwamba
@user-qr1ub8qi5e
@user-qr1ub8qi5e 6 месяцев назад
Steve uko vizuri sana mungu akuzidishiye sana
@CAN.164
@CAN.164 9 месяцев назад
Stive nakubari sana
@user-co3mq5pb1w
@user-co3mq5pb1w 7 месяцев назад
Bien dit mon cher ami
@Danielalfa-qx6jb
@Danielalfa-qx6jb 9 месяцев назад
❤❤❤in congomani
@allymwashambwa5920
@allymwashambwa5920 9 месяцев назад
Safi sana steve black unasema ukweli mtupu
@RizikiZiki
@RizikiZiki 8 месяцев назад
Steve mweusi ❤❤❤ ukovizuri sana lakini unacekesha😂asikukuzi nini😂😂
@gedionwafula9878
@gedionwafula9878 8 месяцев назад
I just love this man he is so wise... Iam his fun... Forever 👍👍😍❤️❤️... And also he's funny my all time commedian
@machenjamaduhu7636
@machenjamaduhu7636 9 месяцев назад
Well said Steve
@zeddymourice4249
@zeddymourice4249 9 месяцев назад
Achimwene kauwa wawili leo asubuhi iringa hapa,bodaboda na abiria wake.
@user-hz7uj4ii6v
@user-hz7uj4ii6v 5 месяцев назад
Steve your sharp bana ,na nakukubali sana
@badmanno.1650
@badmanno.1650 8 месяцев назад
Clam Vevo anapenda sifa.. hio pesa kwa mdomo rahisi kuitamka ila kwa kweli ni pesa nyingi.. na kweli utakuja kuumwa watu washindwe kukusaidia.
Далее
Недооцененный котел в Симс 4
00:37
STEVE MWEUSI  APEWA TUZO YA DHAHABU NA YOUTUBE HII HAPA
5:07
AFANDE NDARO NA STEVE WAMEYAKANYAGA
12:25
Просмотров 357 тыс.
WEWE SIO BOSS STEVE (PART1)
11:57
Просмотров 115 тыс.
VIDEO MPYAA STEVE MWEUSI NA NDARO UTACHEKA SANA
12:23
Просмотров 691 тыс.
❌🔴🟡 WHO DID WIN!? | SPEED CHALLENGE💨
0:13
Ishowspeed vs Ronaldo vs Messi Disguise Challenge
0:29
Maradona
0:31
Просмотров 7 млн