Jamani hiyo nafasi Ina ka something ndani yake kwamba sing'oki. Sasa si mfuate utaratibu mchague inavyopaswa mridhike kila mmoja mnagombania nini lakini mbona kukosa aibu fateni utaratibu mchaguane. Sasa kama msemaji na matusi humohumo hamfiki popote na mtakuja leta ugomvi tu. Maoni yangu wafanye uchaguzi mpya akipita tivu ake mpeni nafasi na asipopita mpeni aliyepita basii huyo hata kwenye mambo ya misiba ya bongo movie bado walikuwa hawamtaki jamani 👏
Steve ilifaa sana uende kwenye siasa ila sio hapo kwa maana umekuja na majibu yasiyo na mashiko wala kujenga hoja,kiongozi hutakiwi kuwa na majibu ya mipasho kama hivyo.
Steve waachie wanamuziki usilete utani kwenye kazi za watu. Waache wana music wenyewe wanatosha. Mwana FA anaweza asikujibu maana majibu unayo tayari na unacho ongea ni hadithi tu
Kama vipi waachie hiyo nafasi yao wasije wakakuroga bure maana Kuna mijitu kazi yao uchawi tu utasikia huniwezi kwa hela huniwezi kwa uchawi nipe mkono tushindane 😄😄😄😄😄😄 waachie watakuloga hao
Kwanza msemaji sioni kama ni Ishu Kaliiii..Kwanza msemaji unapewa yakuongea tu na kuhamasisha Basiii yaani wla..Nashangaa watu wanalalamika kuna Vitu sio lazima uwe Profesheno ndio uwe sehemu flan..Wasanii wanajidaii wajuajia na hamba kituu. Mwacheni Stivu afanye Kazi akimaliza mumtathmini kiukweli FA alizingua MnoooMihemko tu
Oya,miye sikuwa msanii ila nimeanza leo kuwa msanii nishamaliza kuandika mashahiri na leo nina nguvu zote za kusema "stave sikuhitaji uwe msemaji wangu"😂😂 kwanza unajichubua bana😅😅
Wacha ukhanithi wako na pengo hilo! Kiingereza kama hujui wakija wageni utaongea nao nini na wewe ndiyo msemaji wao!? Katibu ina sema uwe na elimu ya fedha, we naona huna chochote zaidi ya pengo!
Naombeni msada watanzania wenzangu nataman nimfikie hata rais lakin sina uwo uwezo. siitaji pesa mkononi naitaji huduma. Mnitibie nipone napata maumivu makali usiku silali.
@@saidinyoni2463 hawana mtu zaidi ya kuwa na fikira za kutaka WCB wawasaidie niamin mimi hawato pata mtu kama Steve kwa muda huu labda kwa baadae sana shida hao watu hawanazuri wanachukiana sana..
Kwanini sio sawa kumbuka ni waziri wa afya... sio daktari kwamba ataingia hospitalin kutibu watu.. ina anawakilisha mambo ya kiafya katika serikali... yan bungeni... na yeye pia ndo anakua na watu wake chini sasa daktari mkuu... na wengine
Sasa je vipi kuhusu waziri mkuu ane anatakiwa awe nani.. maana yeye ni waziri wa kila kitu afya,madini,maji,umeme,ujenzi sijui na mengine mengi.. sasa je huyu anatakiwa awe na ujuzi wote huo....
We ropoka tu waulize kampun ya simu ilo simama na mwana fa mahakamani kilicho wakuta yule ni muakilishi wa sisi watu wa Muheza alafu anamtolea maneno machafu wamesema bibi yake wajua kama yuko Hai au la wacha dharau kwa watu usio wa fahamu na kuomba mh mbunge we tu wa panga chukua hatua kwa huyu kiumbe alokutukana hadharan pamoja na famly yako